As salaam alaikum warrahmadulillah wabarakaduh,, sheikh mimi nina miaka 33 na hali ya magoti yanauma saana,,kukaa ni shida,kuinuka siwezi,usiku kulala miguu inawaka Moto,nisaidie nyapate hayo mafuta niko MOMBASA KENYA
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh..cheh naumwa kabisa ugonjwa wameuona hospital.nasali nakaa nikitembeye naumiya.naomba msada cheh kwa ajili ya allah nisaidiye chekh.ntayapata wapi.
Hata sio lazima na uzani mkubwa wala umri hii shida sijui ni nn wengine ni wakonde na wanaumwa na magot na sio wazee
Walykum salam warhmatullah wabarkatuh shekhe mimi ninatatizo ilo na dawa naipataje nipo uarabuni
Assalam alykum warahmatullah wabarakatuh
Shekhe nayapataje hayo mafuta?
Cha ajabu hawajib wala kusema tunayapata vp....
Asnte sana je nayapataje haya mafuta?..nayahitaji sana
Nahitaji
Shukraan Sana sheikh wetu tunayapataje hayo mafuta nayanauzwa bei gani sheikh
MATATIZO YA VIUNGO NA MIFUPA KUSAGANA
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1. MAGOTI
• Maumivu kwenye magoti
• Magoti kushindwa kujikunja
• Kushindwa kupanda ngazi Kwa urahisi
• Kusikia milio ya mifupa Kusagana kwenye magoti
2. MGONGO / UTI WA MGONGO
• Maumivu kwenye mgongo
• Kushindwa kuinama
• Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. BEGA
• Kushindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega
SABABU
✓ Uzito uliopindukia
✓ Historia ya familia
✓ Ajali
✓ Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, Wana mazoezi
MADHARA YA MIFUPA KUSAGANA
© Kifanyiwa upasuaji
© Kansa ya mifupa
© Vidonda kwenye maungio
Tunatibu changamoto ya viungo na mifupa Kusagana, Karibu Kwa ushauri na tiba +255678233736
Asalaam Aleikum, nitapataje hayo mafuta
Nina miaka 60 kilo zangu ni107 mwanamke napataje hayo mafuta Niko kenya
Shukran SHEKH.
She ninamiaka 46 lakini nasumbuliwa na goti linauma sana Niko Mwanza naipataje dawa? Na ni bei gani
As salaam alaikum warrahmadulillah wabarakaduh,, sheikh mimi nina miaka 33 na hali ya magoti yanauma saana,,kukaa ni shida,kuinuka siwezi,usiku kulala miguu inawaka Moto,nisaidie nyapate hayo mafuta niko MOMBASA KENYA
Sheikh hayo mafuta ni bei gani
Nikiwa warabun shekhe omn natumiy mafuta gani maana goti linanisumbuwa Sana mguuu sas unanip shida
MATATIZO YA VIUNGO NA MIFUPA KUSAGANA
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1. MAGOTI
• Maumivu kwenye magoti
• Magoti kushindwa kujikunja
• Kushindwa kupanda ngazi Kwa urahisi
• Kusikia milio ya mifupa Kusagana kwenye magoti
2. MGONGO / UTI WA MGONGO
• Maumivu kwenye mgongo
• Kushindwa kuinama
• Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. BEGA
• Kushindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega
SABABU
✓ Uzito uliopindukia
✓ Historia ya familia
✓ Ajali
✓ Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, Wana mazoezi
MADHARA YA MIFUPA KUSAGANA
© Kifanyiwa upasuaji
© Kansa ya mifupa
© Vidonda kwenye maungio
Tunatibu changamoto ya viungo na mifupa Kusagana, Karibu Kwa ushauri na tiba +255678233736
Hakuyataja mafuta hayo duuuh Nami nihivo
Mafuta hayo ntayapataj sheikh
assalam aleykum hiyo mafuta inatumika vipi hatujaelezwa tafadhali tuelezee jinsi hiyo mafuta utatumia kuponya shida ya magoti
Assalaam alaykum shkh, ... kwa majina naitwa hassan Athman kutoka kenya, nayahitaji sana hayo mafuta sababu magoti yananiuna sana.
Hawajibu jmn😢😢😢 pia mm yameanza kunisumbua
Asante
Shi ngapi dawa
Mafuta yanauzwa wapi na Jina LA mafuta ya naitwa vipi
Jamani nahitaji hiyo Dawa sasa nitaipataje?
Shekhe nayapataje ayo mafuta
..yanapatikana wapi shekh
Mi mdogo sana wala sina uzto lkn magoti yangu makavu sana
Kunywa maji kwa wingi,hiyo ndio sababu pia
@@fauzaynfauz7839 shukuran
Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh..cheh naumwa kabisa ugonjwa wameuona hospital.nasali nakaa nikitembeye naumiya.naomba msada cheh kwa ajili ya allah nisaidiye chekh.ntayapata wapi.
Sallalaahu caleyhi wasalam