Wema usiache kuomba mungu atatenda miujiza yake kuwa na Imani mbona ibraimu na mkewe sala walipata japokuwa umuli ulikuwa umeenda mwamini mungu sana Wala usisikilize maneno ya wanadamu maana imeandikwa kwamba ni heri kulia mbele za mungu kuliko kulia mbele za wanadamu hatakusaidia chochote pia kwa Aunt ezekeli ongera sana mungu akulinde nafamilia Yako yote pia uwalee watt wako katika misingi ya dini maana yesu alisema wahache wtt wadogo waje kwangu maana ufalume wa mbingu niwao
Jamani muacheni mtoto wa mwenzio kwani mrizishuhudia hzo mimba alizotoa wako wangapi dunia hii hawakuona hiyo sura ya mtoto je nao walitoa mimba za kanumba mbona watanzania tunapoteza uahalisia wa kitanzania tuliokuwa nao tunaenda wapi tunakaa kumsakama mtu mpka bac tufike mahali tufunge midomo yetu pole mwanangu nyamaza milele Munguu
Na ninyi wa Tanzania 🇹🇿huo umbea wenu utakwisha lini? Kwani Wema tu. Ndo ka comment mwenyewe tu. Mbona watu wengi wana comment yaani kwakweli ni shidaaa???? hiyo ni Hali tu ya Umbea. Mungu atawalaani bila kujua jmn. mwacheni Wema Na maisha yake Mungu Ndie muweza wa yote ipo siku yake tu. Na yeye wala asikate Tamaaa Sarah alipewa mtoto na umri mkubwa tu. Na akalea . Kwahiyo ni kawahida kwa Mungu hiyo wala Mungu hajamsahau Wema atapata mtoto ninalo Imani juu ya Wema ❤❤❤
Ishu inakuja ayo masajali aloyafanya hayazulu kizazi?? Mim kila siku namuombeaga wema apate mtoto tusimuhukum eti alitoaga mimba Kwan mastaa wangap wametoa mimba enzi zao nasas wana watoto apunguze masajali ayo nikumkufulu MUNGU
Hata yeye atapata tu kwani aliewapa hao watoto ni Mungu alie hai,na anatoa kwa wakati wake,na kama aliweza kumpa Sara mtoto akiwa kikongwe wema ni nani asipokee mtoto kwa Mungu?Wema poke watoto kwa jina Yesu Kristo wa Nathareth
Mungu ndie anajua siku yake anaeza hata mpa twins kwa wakati mmoja ama hata watatu kwa wakati mmoja. So huenda huu mwaka niwake wakubeba wake Inshallah
ndo maana mungu akaitwa mungu kwani walemavu wa miguu kawauba nani wewe ulie kamili kakuumba nani acheni maneno ya ajabu mtt anatowa mungu na asie pewa hapewa na mungu .kwahiyo kuzaa si kwa uhodarri na kutokuzaa si kwa uiinga yote majaliwa ya mungu .
Mungu Hana uchanguzi ipo siku ikifika na yy wema atapata pacha tukijaliwa na ati zekel mungu akuwekee watoto wako❤❤❤
Mashallah tabaraka Allah mungu akulindie inshallah hongera daa ❤❤❤
Wema usiache kuomba mungu atatenda miujiza yake kuwa na Imani mbona ibraimu na mkewe sala walipata japokuwa umuli ulikuwa umeenda mwamini mungu sana Wala usisikilize maneno ya wanadamu maana imeandikwa kwamba ni heri kulia mbele za mungu kuliko kulia mbele za wanadamu hatakusaidia chochote pia kwa Aunt ezekeli ongera sana mungu akulinde nafamilia Yako yote pia uwalee watt wako katika misingi ya dini maana yesu alisema wahache wtt wadogo waje kwangu maana ufalume wa mbingu niwao
Namuombea wema mungu atampa watoto sita mapacha wakiume watatu,,,wakike watatu pokea hao watoto wemaa
Amen 🙏
Mungu atampa mtoto 😊
Jamani muacheni mtoto wa mwenzio kwani mrizishuhudia hzo mimba alizotoa wako wangapi dunia hii hawakuona hiyo sura ya mtoto je nao walitoa mimba za kanumba mbona watanzania tunapoteza uahalisia wa kitanzania tuliokuwa nao tunaenda wapi tunakaa kumsakama mtu mpka bac tufike mahali tufunge midomo yetu pole mwanangu nyamaza milele Munguu
AMEN MUNGU ATAMPA TU HATA MIMI NAMUOMBEA SANA
Hongera anty Ezekiel hunafubaza kizazi chako kwa ustaa .
Inshaallah allahumma amiiy khery kwa uwezo wa allahu sw wema sepetu atapata uzao 🤲🤲🤲🤲🤲❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Na ninyi wa Tanzania 🇹🇿huo umbea wenu utakwisha lini? Kwani Wema tu. Ndo ka comment mwenyewe tu. Mbona watu wengi wana comment yaani kwakweli ni shidaaa???? hiyo ni Hali tu ya Umbea. Mungu atawalaani bila kujua jmn. mwacheni Wema Na maisha yake Mungu Ndie muweza wa yote ipo siku yake tu. Na yeye wala asikate Tamaaa Sarah alipewa mtoto na umri mkubwa tu. Na akalea . Kwahiyo ni kawahida kwa Mungu hiyo wala Mungu hajamsahau Wema atapata mtoto ninalo Imani juu ya Wema ❤❤❤
ALLAH haja msahau yote nimitihani2 hwenda akaja akapewa mapacha 4 mukabaki midomo wazi
Amiin
Wema sio eti chapati mimba uwapata sema akiwa n strxx mimba sku zote hutoka haitaki strxx ila Mungu Yuko pamoja nae❤❤❤
Polesana niitafute nikusaidiewema😢
Ishu inakuja ayo masajali aloyafanya hayazulu kizazi?? Mim kila siku namuombeaga wema apate mtoto tusimuhukum eti alitoaga mimba Kwan mastaa wangap wametoa mimba enzi zao nasas wana watoto apunguze masajali ayo nikumkufulu MUNGU
Wema hayuko serious achemshe karafuu akunywr asubuhi njioni ama majani ya mpera atapata mimba
Wewewe
Kabisa
Ongera.sana❤❤❤
Wema mungu awezi kumpa laabada akaungame zambi zake mungu amsahame sana kuna zambi ameshafanya ndomna mungu ajamjalia watoto
KAMA NI DHAMBI MBONA NA WENYE WATOTO WANAZO?
Hata yeye atapata tu kwani aliewapa hao watoto ni Mungu alie hai,na anatoa kwa wakati wake,na kama aliweza kumpa Sara mtoto akiwa kikongwe wema ni nani asipokee mtoto kwa Mungu?Wema poke watoto kwa jina Yesu Kristo wa Nathareth
Jaman Kama una shera comment toa faraja sio kumponda mtu hata mm namwombea Sana wema apate mtoto❤
Sophia mkulago mambo
Mungu atampa kwa wakat wake
Mungu ndie anajua siku yake anaeza hata mpa twins kwa wakati mmoja ama hata watatu kwa wakati mmoja. So huenda huu mwaka niwake wakubeba wake Inshallah
ndo maana mungu akaitwa mungu kwani walemavu wa miguu kawauba nani wewe ulie kamili kakuumba nani acheni maneno ya ajabu mtt anatowa mungu na asie pewa hapewa na mungu .kwahiyo kuzaa si kwa uhodarri na kutokuzaa si kwa uiinga yote majaliwa ya mungu .
JAMANI KWANI WEMA NDO MWANAMKE PEKEE AMBAE HANA MTOTO NCHINI TZ.. MTOTO UKIPATA SAWA, NA USIPO PATA SAWA.. HAIKUNYIMI UFALME WA MBINGUNI.
Mtoto atoka kwa mungu sie wa kwanza kukosa Mtoto muacheni kufafabisha kila wakati mitandaoni
Ongera.sana
Mungu ampe Mimba wema mara ngapi SI alisemaga alibeba Mimba ya kanumba akaitoa au hamkumbuki! Tatizo wanazichomoa! Sasaiv anawaonea wivu wenzake
😮
Hujui kama ilikuwa kweli au uwongo kwani ww nimara ngapi umetenda zambi na mungu kaendelea kukuona kama mwanawe
Mtoto wa mondi niwa wema
Kwan huyu wema alipeleka wap ile mimba ya juz aliyokua anajirusha kuitangaza
Watoto 4 sio 3
Wema utapata mungu nimpaji atakupa tu