Mtumishi wa Mungu naomba kufahamu ni nini natakiwa kufanya ili Mungu ajivunie kuwa na mimi. Maana mimi bado ni mchanga sana kiimani ila natamani sana kumjua Mungu ili atawale maisha yangu yote. Maana naona mahali hapa ni pazuri sana natamani nafsi yangu ikae katika uwepo wa Mungu siku zote. Natamani nifanyike chombo cha thamani na si cha uharibifu. Naomba kujifunza kutoka kwako mtumishi wa Mungu ili niweze kukuwa kiroho. 🙏
Katika mambo yote ninayotamani mwaka huu ni MUNGU peke yake kutawala maisha yangu na uzao wangu ili katika maisha yetu MUNGU ajivunie uwepo wetu katika dunia hii
2024 Bwana Mungu naomba unipake mafuta na mkono wako uwe thabiti kwangu na ushughulike na adui zangu wote.
Napokea Kumiliki na kutawala katika Jina la Yesu Kristo Amen 🙏
Mtumishi wa Mungu naomba kufahamu ni nini natakiwa kufanya ili Mungu ajivunie kuwa na mimi. Maana mimi bado ni mchanga sana kiimani ila natamani sana kumjua Mungu ili atawale maisha yangu yote. Maana naona mahali hapa ni pazuri sana natamani nafsi yangu ikae katika uwepo wa Mungu siku zote. Natamani nifanyike chombo cha thamani na si cha uharibifu. Naomba kujifunza kutoka kwako mtumishi wa Mungu ili niweze kukuwa kiroho. 🙏
Asanthe Yesu kwa kuwa unanifurahia mimi na Nyumba
yangu na watoto wangu na ndugu zangu wote asanthe Mungu Amen 🙏
Ameni Mtumishi
Natembea na Furaha ya Bwana
Ameen Nayaweza mambo yote katik yeye anitiaye nguvu🙏
Amen 🙏🏽🙏🏽
Amen
Hatma yangu na ya Uzao wangu itaitwa Beila🙏🏻
Katika mambo yote ninayotamani mwaka huu ni MUNGU peke yake kutawala maisha yangu na uzao wangu ili katika maisha yetu MUNGU ajivunie uwepo wetu katika dunia hii
Eeh Bwana unipake mafuta kwaajili ya Kazi yako
AMEN
Amen