Umkumbuke MUNGU mpaka utakapokufa na usimwache MUNGU kakangu na uwasaidie watu.MUNGU amekusaidia ukamtumikie tena.uwe mwaminifu kwake kwani tulikuombea kwa MUNGU msamaha Kam Kuna mahali ulikosea akusamehe na awasamehe wote na awakumbuke.nanyi pia msisahau kuombea wenzenu.nausifanye kisas kwa yeyote aliyekuudhi ukiwa katka kesi yako.na uwambie na wenzako Kwan MUNGU anaona.samehe wote na muwe na aman nao.kwan MUNGU anapenda anayesamehe nae anamsamehe kakangu.mbarikiwe!!!
Mungu mwema kuweza kuwezesha Sabaya kutoka ndani.kwani mtu anaheshimi kesho yake yule aliye muweka hayupo na wewe unawekwa ndani hii yote ni kuwa na KATIBA
Ndio ujuie hata wale tunaowaamini kusimamia haki ni sehemu ya kutunga kesi za uongo na ngumu kwajili ya kuwafurahisha watu wenye pesa,lkn wanasahau kua MUNGU yupo anaishi
Kwa maelezo yao nami pia naunga hoja kumshukuru sana Rais kusimamia haki , wakati wa ukuu wa wilaya nilimfuatilia sana Sabaya alikua KIONGOZI mzuri wa kufuatilia shida za watu na kuwabana wakwepa kodi , nadhani ni Fitina za wahujumu nchi waliobanwa na Sabaya ndio hawakumpenda, lakini Mungu ameona na sharia imeona ndio maana mahakama ukiacha ya kwanza zilizofuata Mungu amezielekeza , Sabaya ni kada mzuri aliyefanya kazi Bila woga,
Kama kweli haukuwa na makosa Mungu akulipie kisasi kwa adui zako wote ktk mashabiki wako pamoja na mimi nakukubali sana, niliumia sana lakini Mungu ametenda muujiza
@@suzymasawe8666 alikuwa anafikia kwake na kumulekeza wabaya wako wanakoishi ili wasurubiwe na were second degree offender pamoja na kuachiwa kwa rafiki kiaina
Hata uwe na sura mbaya kama kiboko ukiwa na ukiwa na pesa unakuwa mzuri kama Queen of the sheba. Sabaya alipokuwa na pesa na uluwa alikuwa more handsome. Lakini sashimi amekaa kama aliyetemwa na chatu. Dih pesa bwana.
Magufuli alimponza Sabaya.. Hizi kinga mnazoweka kwa rais alafu wanaotumwa wao hawana kinga. Sabaya ubabe uache na kama hutajifunza basi utakua sikio la kufa.
Hakuna lolote Hili jamaa leua watu wengi sana Na kubaka wake zao huku waume zao wakilazimishwa kuangalia Kama kwa sababu ya uccm mmeliachia Mungu hatoliachia Kabisaaaa
Mungu ni mwaminifu sana siku zote na njia zake hazichunguziki,usiogope Sabaya mtumain mungu na mkabizi njia zako zote yeye atafanya,usimwache mungu nakusihi hata upitie magumu yanayo tisha wewe simama na mungu tu.
Yaani hao majamaa na sabaya mwenyewe ukiwangalia tu kweli hawakusingiziwa nyuso zao zinaonyesha wazi si watu wazuri kabisa hawawezi kusingiziwa lazma ni watu wakupenda dhulma na unyanganyi
Ukweli wa kila tuhuma ni MUNGU na sabaya tu wanajua Mahakama huamua kutokana na uzito wa ushahidi na siyo ukweli wa jambo. Hivyo tumwachie MUNGU achukue nafasi yake kwani mahakama imeshamaliza kazi yake. Haki
Si fedha Wala werevu wa mawakili Bali ni huruma tu ,namaadui walokufanyia hayo usiwahukumu kwa hayo ,Bali wasamehe na kuwaombea rehema ,kwa kufanya hivyo mungu atakuinua tena ,
Tumshukuru Mungu kwa neema yake, hadi viongozi hawa kuachiwa huru kupitia mahakimu wenye hofu ya Mungu iliyowaongoza kutenda haki kwa viongozi hawa, ndugu zangu watanzania hakuna mwanadamu aliyekamilika siku zote tutubu na kumrudia Mungu.Tusiwe wenye visasi,kisasi ni cha Mungu pekee, sabaya mshukuru Mungu kwa mema aliyokutendea na usimwache kamwe.
Hivi ungekua ni yule aliyekatwa masílkio ungejisikiaje??? Ungesamehe tu uendelee na maisha bila masikio?au mke wako amebakwa au wewe mwenyewe ulibakwa ungesamehe tu na maisha yaendelee?
@@felixmsale9244 acha unafiki nasema acha unafiki mbona waliyo muua braitoni huku WAMEJIVALIA UNIFORMS ZA CHAMA CHAO MAISHA YAO YA NAENDELEA NA UNAJISIFIA VIZURI? CHUKI TU ZIME KUJAA KUTAFAKARI DHAMBI ZA ADUI YAKO
@@jenyyusuph4973 Hata hilio sio sahihi .Nachosema mimi dhambi inasamehewa na kitubio.na Dunia ya maendeleo inatawaliwa kwa HAKI NA SHERIA hivyo DHAMBI yyte inasamehewa na KITUBIO .hata kwenye vitabu vya Dini vinasema Hivyo.hivyo sidhani kama unatumia Lugha sahihi kuongelea juu ya Unafiki .Hakuna binadamu anayestahili fadhila /Ubora /heshima kuliko mwingine.Binadamu wote wameumbwa kwa Nyama na Damu.na wana Utashi na Hisia Hivyo tunachapashwa kupigania ni Utawala wa SHERIA na HAKI .ktk Ujenzi wa Jumuia bora Kila siku ikuchayo sio kosa wala unafiki binadamu kua Na mawazo tofauti.
Yaani huyu jambazi anaachiwa huru kweli, huyu amebaka, amepora na kudhulumu. Ila Mungu yupo na hulipa hapahapa duniani, huyu amewabambikia watu kesi, ameharibu mali za Mbowe kwa hila leo hii anaachiwa.
Sasa Apo ndo mjifunze kua ukipata matatizo wanao kuja kulia ni masikini na siyo tajili viongozi muajali sana wananchi jeshi la wananchi ni kubwa one love
Mkatende mema sasa Looks like Rais amehusika kutoka kwenu sina hakika hizi shukrani kwa Rais zinasemwa tu Moyoni mwenu mnajua mlichokifanya kipindi cha utawala
Sabaya sabaya sabaya,nimekuita Mara tatu nataka nikwambie kuachiwa kwako nimachozi na maombi ya watu kwa mungu Mimi naishi mkoa kagera lakini pamoja nakuchafuliwa kwako watu tulikuwa hatuamini Asante mungu
Mungu ndiye hakimu wa kweli. Kama ulitendea watu mabaya utakutana nayo katika lango la Mbinguni. Ukatubu na utubu Sana. Huruma imepita tu hapo na usijidai kuwa umeshinda. Mshukuru Sana Mh. Rais kwa huruma yake. Ukimtaja Mungu mtaje kwa ukweli Pasi Shaka. Tafakari Sana ndugu Sabaya.
Hilo nifundisho kwa viongozi ambalo linakuwa kama mfano kuwa hapa tz hakuna mtu ambayee yuko juu ya shelia leo kwako kesho kwangu viongozi wameona mfano hai.
Nakuombea kaka angu sabaya Mungu akuponye na uwo uvimbe kichwani
Mungu kasimama na sabaya na wenzio🤲🤲🤲
Mungu mbariki kijana wetu🇹🇿🙏
Alhamdulillah
Poreni.na.ongela.sana.kaka.zangu.mungu.awalinde.
Nimefurahi sana
Kama ulifanya hayo ukome maana duniani tunapita cheo ni dhamana
huyo tajiri aliyewabandikiza kesi ashughulikiweeeeeeeee
Weeeh weeeh Nancy weweee!!! Jifunze kufua chupi zako ukimaliza kutombwa!!! Coz wewe unakojolewa ukitombwa then unaendelea kuvaa chupi yako wiki nzima! Unanuka bwaaaNa!!! Then Acha kujitia vidole kwenye Kuma na kuinusa nyau weyee!!!
Mungu ni mwema siku zote. Mungu sio athumani.
Haya ndugu zetu na chama chenu kipya ni UMOJA Party haraka sana chukueni kadi zenu mapema kimya kimya #tukutane2025
Hebu rejea
Sabaya Mungu anakupenda alitaka utambue ukuu wake wakati wa Shida na Raha Barikiwa.
Wale wote mliotaka Sabaya afungwe mkimsema ni mjambazi mtaficha wapi sura zenu.
huyu jamaa enzi za Magufuli alijiona mfalme sana akiwatesa sana wapinzani kupitia ukuu wake wa wilaya
Acha hizo na wewe..
@@prosperitymaarifa1336 ubabe wake ulikuwa huuoni? au kwakuwa ni mwana ndugu wa sabaya
@@ramadhanmahongole5663 peleka ushahidi zwazwa wewe
Natumaini serikali itamulipa Sabaya kapsto yake Sabaya Kama alivyolipwa Tundu Lisdu na Gaudí Mbowe
Pole saaaaana SABAYA hayo ni mapito tu AMANI KWAKO
Nyie watanzania😭😭😭😭😭asante MUNGU kwaajili ya Sabaya
Kama mashitaka sabaya wenzake yalikuwa ya ni ya uongo ,basi haki imetendeka lakini kama mashitaka hayo yalikuwa ya kweli MUNGU ni mhukumu wa haki.
Umkumbuke MUNGU mpaka utakapokufa na usimwache MUNGU kakangu na uwasaidie watu.MUNGU amekusaidia ukamtumikie tena.uwe mwaminifu kwake kwani tulikuombea kwa MUNGU msamaha Kam Kuna mahali ulikosea akusamehe na awasamehe wote na awakumbuke.nanyi pia msisahau kuombea wenzenu.nausifanye kisas kwa yeyote aliyekuudhi ukiwa katka kesi yako.na uwambie na wenzako Kwan MUNGU anaona.samehe wote na muwe na aman nao.kwan MUNGU anapenda anayesamehe nae anamsamehe kakangu.mbarikiwe!!!
Hapo kwenye kichogo vp tena sabaya. Pole sana. Ata kama utatoka lakini unaujua ukwel.
Washenzi walifanya tanzanian niyakwao.wafunge kabisa
Nilikuwa naumia Sana huyu yaani Sisi tuliyozaa watoto wakiume tunachangamoto kubwa sana
Mungu mwema kuweza kuwezesha Sabaya kutoka ndani.kwani mtu anaheshimi kesho yake yule aliye muweka hayupo na wewe unawekwa ndani hii yote ni kuwa na KATIBA
Mungu wa Mbinguni akubariki Sana Sabaya
Ndio ujuie hata wale tunaowaamini kusimamia haki ni sehemu ya kutunga kesi za uongo na ngumu kwajili ya kuwafurahisha watu wenye pesa,lkn wanasahau kua MUNGU yupo anaishi
Kwa maelezo yao nami pia naunga hoja kumshukuru sana Rais kusimamia haki , wakati wa ukuu wa wilaya nilimfuatilia sana Sabaya alikua KIONGOZI mzuri wa kufuatilia shida za watu na kuwabana wakwepa kodi , nadhani ni Fitina za wahujumu nchi waliobanwa na Sabaya ndio hawakumpenda, lakini Mungu ameona na sharia imeona ndio maana mahakama ukiacha ya kwanza zilizofuata Mungu amezielekeza , Sabaya ni kada mzuri aliyefanya kazi Bila woga,
Kama kweli haukuwa na makosa Mungu akulipie kisasi kwa adui zako wote ktk mashabiki wako pamoja na mimi nakukubali sana, niliumia sana lakini Mungu ametenda muujiza
Mimi mwenyewe nilimtetea sana mtaan kwetu mimi n wa hai sikuamin kilichomtokea mungu awalipie
🙈🙈🙈
@@suzymasawe8666 alikuwa anafikia kwake na kumulekeza wabaya wako wanakoishi ili wasurubiwe na were second degree offender pamoja na kuachiwa kwa rafiki kiaina
Hata uwe na sura mbaya kama kiboko ukiwa na ukiwa na pesa unakuwa mzuri kama Queen of the sheba. Sabaya alipokuwa na pesa na uluwa alikuwa more handsome. Lakini sashimi amekaa kama aliyetemwa na chatu. Dih pesa bwana.
Shahidi wa jambo lolote siku zote huwa ni mhusika na Mungu
Waambieni watoto wenu wajirekebishe
Magufuli alimponza Sabaya..
Hizi kinga mnazoweka kwa rais alafu wanaotumwa wao hawana kinga.
Sabaya ubabe uache na kama hutajifunza basi utakua sikio la kufa.
Si alijua atakaa milele madarakani
Hii kesi ilibidhi ishe ikiwa ya mbowe iliisha hii nayo pia ilfika kikomo
Hakuna lolote
Hili jamaa leua watu wengi sana
Na kubaka wake zao huku waume zao wakilazimishwa kuangalia
Kama kwa sababu ya uccm mmeliachia Mungu hatoliachia
Kabisaaaa
Opareshen kinundu itafanyika lini?
mkatuliee sasa cheo ukipata hudumiaa watu sio unyanyase watu na kujiona mungu mtuuu
Mungu ni mwaminifu sana siku zote na njia zake hazichunguziki,usiogope Sabaya mtumain mungu na mkabizi njia zako zote yeye atafanya,usimwache mungu nakusihi hata upitie magumu yanayo tisha wewe simama na mungu tu.
Ila sabaya hana kosa kama alikuwa anapora mali za matajiri nivizuri kuliko hawa wanao pora mali za masikini wembe ni ule ule sabaya
Majambazi TU hao serikali inawakumbatia janja janja wanacheza na akili za watanzania tu
Yaani hao majamaa na sabaya mwenyewe ukiwangalia tu kweli hawakusingiziwa nyuso zao zinaonyesha wazi si watu wazuri kabisa hawawezi kusingiziwa lazma ni watu wakupenda dhulma na unyanganyi
Na kesi za wengine zipelekwe fasta hivyo hivyo
Jela ni mbaya , sabaya mpaka mwili.umepungua
Akagombee ubunge pamoja na mbowe jimboni hai
Hiyo nundu alikuwa nayo before
Ukweli wa kila tuhuma ni MUNGU na sabaya tu wanajua
Mahakama huamua kutokana na uzito wa ushahidi na siyo ukweli wa jambo. Hivyo tumwachie MUNGU achukue nafasi yake kwani mahakama imeshamaliza kazi yake.
Haki
Nashukulu mungu sana kiukweli sabaya Alikuwa ananipa mawazo sana. Nashuku mahakama na mmsamia pia.sabaya mungu akulinde usiku na mchana
Pia ni aibu kwa waliotoa hukumu ya miaka 30 wakati walikua wanajua ukwel.lkn wakalazimisha
Si fedha Wala werevu wa mawakili
Bali ni huruma tu ,namaadui walokufanyia hayo usiwahukumu kwa hayo ,Bali wasamehe na kuwaombea rehema ,kwa kufanya hivyo mungu atakuinua tena ,
Nilikuwa naumia kiukweli kuhusu sabaya
Mahakama za Bongo hewa tu yan mshkaji alikuw katili apa hai ivo et leo kaachiwa amna kazi apa aixee
Ashenalee
Utakuwa umejifunza mengi
Ndo ukome sasa dunia ishakufunza
hii niaibu kwa alicho kuwa anafanya kwa sabaya na mbowe aibu zinamkamata anawachia
Wamlipe wamempotezea muda bure
Mkishapaga shida ndio mnajuaga kuna Mungu
kumbe hat majambaz wanamjua mungu alooo
Tumshukuru Mungu kwa neema yake, hadi viongozi hawa kuachiwa huru kupitia mahakimu wenye hofu ya Mungu iliyowaongoza kutenda haki kwa viongozi hawa, ndugu zangu watanzania hakuna mwanadamu aliyekamilika siku zote tutubu na kumrudia Mungu.Tusiwe wenye visasi,kisasi ni cha Mungu pekee, sabaya mshukuru Mungu kwa mema aliyokutendea na usimwache kamwe.
Hivi ungekua ni yule aliyekatwa masílkio ungejisikiaje??? Ungesamehe tu uendelee na maisha bila masikio?au mke wako amebakwa au wewe mwenyewe ulibakwa ungesamehe tu na maisha yaendelee?
@@felixmsale9244 acha unafiki nasema acha unafiki mbona waliyo muua braitoni huku WAMEJIVALIA UNIFORMS ZA CHAMA CHAO MAISHA YAO YA NAENDELEA NA UNAJISIFIA VIZURI? CHUKI TU ZIME KUJAA KUTAFAKARI DHAMBI ZA ADUI YAKO
@@jenyyusuph4973 Hata hilio sio sahihi .Nachosema mimi dhambi inasamehewa na kitubio.na Dunia ya maendeleo inatawaliwa kwa HAKI NA SHERIA hivyo DHAMBI yyte inasamehewa na KITUBIO .hata kwenye vitabu vya Dini vinasema Hivyo.hivyo sidhani kama unatumia Lugha sahihi kuongelea juu ya Unafiki .Hakuna binadamu anayestahili fadhila /Ubora /heshima kuliko mwingine.Binadamu wote wameumbwa kwa Nyama na Damu.na wana Utashi na Hisia Hivyo tunachapashwa kupigania ni Utawala wa SHERIA na HAKI .ktk Ujenzi wa Jumuia bora Kila siku ikuchayo sio kosa wala unafiki binadamu kua Na mawazo tofauti.
Huyu jamaa alipwe fedha zake
Amshukuru rais kwa kumuonea huruma hakuna Cha mahakama
mwizi tu huyu na alitumia madaraka yake vibaya
Sabaya umetesa cana watu ungefungwa tu
Yaani huyu jambazi anaachiwa huru kweli, huyu amebaka, amepora na kudhulumu. Ila Mungu yupo na hulipa hapahapa duniani, huyu amewabambikia watu kesi, ameharibu mali za Mbowe kwa hila leo hii anaachiwa.
Toa ushahidi wewe fala sio unaropokaropoka tu kwa sababu una bando#mfu
@@hassankatema2574 kabisa atoe ushaidi kama anajua. Mungu pekee ndo anatoa hukumu
Ahsante🙏🏿 mungu
Sasa Apo ndo mjifunze kua ukipata matatizo wanao kuja kulia ni masikini na siyo tajili viongozi muajali sana wananchi jeshi la wananchi ni kubwa one love
Viva sabaya
Pole Sabaya, kijana mdogo sana imeniuma
Wakati anatesa watu mliona sawa
Jmn wametoka kweli? Dah wamesota Sana Sana polen sana
Kama ameachiwa nipeni bamba ya mh sabaya
Amna lolote ote na mamayenu wezi tu
Ezekia yupi wewe mama?
Mimi nipo pamoja na sabaya
Duu acha nijipitiee
Muache ujambazi
Hatua alizopitia huyu brother zinatosha kujua maisha ni ya namna gani na nni maana ya maisha
Mwaka ni kidogo sana
Mungu mwema ssna
BOFYA HAPA KUONA CHURA ANAYETAMBUA KAMA UNA UJAUZITO AU LA ......th-cam.com/video/lsEnuscLcY8/w-d-xo.html
Hakika Mungu unastahili !
Hukumu duniani, Haki mbinguni.
SAWA, LAKINI HAKI UKIIPINDISHA DUNIANI,! MBINGUNI NI KIPONDO JEHANAMU!! MFANO NIHUO!!!!
Mungu ni mwema
Mungu ni mwema
Mungu mwema
Mkatende mema sasa
Looks like Rais amehusika kutoka kwenu sina hakika hizi shukrani kwa Rais zinasemwa tu
Moyoni mwenu mnajua mlichokifanya kipindi cha utawala
Sabaya anajua Hindi alivyo umiza watu kwa kunivunja yupo mungu mtu
Wachaga bhna
Safi sana
yote kwa yote mjue kua mroso alizulumiwa na hawa,,,
pih mkumbuke MUNGU atampigania mrosso apo alionewa
pole sana mroso
Mungu ni mwema 🙏🙏
Tuacheni siasa jamani hii kesi ilikuwa ni ya kisasi mama samia hausiki na kuachiwa huru
Poleni Sana washtakiwa wa kisiasa Baada ya yote mkaishi Maisha mema.
Vinginevyo viuno vyenu havitatumika nadhani mmeona wenyewe wakuu.
TEHEHEHEEEEEE😂!!!
Sabaya sabaya sabaya,nimekuita Mara tatu nataka nikwambie kuachiwa kwako nimachozi na maombi ya watu kwa mungu Mimi naishi mkoa kagera lakini pamoja nakuchafuliwa kwako watu tulikuwa hatuamini Asante mungu
Kongore Sana kijana Sabaya, wahurumie wote waliokuumiza.
Mungu ni mwema sana
Pole kaka. Endelea Kumtumainia MUNGU.
Huo uvimbe kichwani nani kampiga Mh.Sabaya
Nn maana ya kusema hukuwa unatarajia Hiki ,,,,kauri yako inaukakasi ,,,mchangiaji alyekuwa anacheka kwamba anafuraha
Mungu ndiye hakimu wa kweli. Kama ulitendea watu mabaya utakutana nayo katika lango la Mbinguni. Ukatubu na utubu Sana. Huruma imepita tu hapo na usijidai kuwa umeshinda. Mshukuru Sana Mh. Rais kwa huruma yake. Ukimtaja Mungu mtaje kwa ukweli Pasi Shaka. Tafakari Sana ndugu Sabaya.
kwani wewe ni mkamilifu acha Mungu amefanya kazi yake.
jee wewe nj mungu jee wewe mkamilifuuu jeee unauhakika na hayo ni kweli aliyatenda ama hakutendaa
.
Mungu ni mwema sana sabaya mtu wa Mungu na hakika maajabu makubwa Mungu ametenda na ataendelea kutenda muijiza juu ya sabaya🙏🏾
Tumshauri tuu awaombee maadui zake na awasamehe
Tunamshukru Mungu kwa hatua hiyo,ni is ishara njema,kijana wetu,SHIKAMANA SANA NA MUNGU,na Mungu atakuonekania
Ila mungu habagui muuombeni hubariki wote anakubariki huku akiona uliofanya dhahiri na mafichoni
Hilo nifundisho kwa viongozi ambalo linakuwa kama mfano kuwa hapa tz hakuna mtu ambayee yuko juu ya shelia leo kwako kesho kwangu viongozi wameona mfano hai.