'Hakuna mtu ambaye amefanikiwa halafu hana adabu'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Ambwene Yesaya @aytanzania Ni miongoni mwa wasanii wa mwanzo kufanya muziki wa hip hop kuwa biashara nchini Tanzania na kufanikiwa kufanya kazi na wanamuziki wakubwa kama @psquareworld, Miss Trinity, Sean Kingston, Romeo na wengine wengi.
Amezungumza na @rmziwanda_official kuhusu masuala mbalimbali ya muziki
🎥: @jesswapele @frankmavura
#bbcswahili #tanzania #muziki
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
This is our Home Grown Jay Z [Abwene Yesayaaaaa] ..God bless you brother . Salute
Regina miongon mwa wana habar mashuhuru kabisa,katika uhodar na tashtiti yaaani lugha ni taaaam sana unavyotumia ,Allaha akubariki kwanza ni dhamu na utash mkubwa uliokua nao
🔥🔥🔥🔥🔥🕴️🕴️🕴️🔥🔥🔥🔥
Madam ana kiswahili kizuri kinavutia sana
Regina anakichezea kiswahili kwa utaalam mkubwa sana
Hii sauti nmekumbuka enzi za kuwahi shule saa 12 asubuhi najiandaa uku nasikiliza amka na BBC
Same here
Ay,he is real master
Nice interview
Abwene🎉🎉🎉❤
Truee
Ay,,,,,Snae Yuko wapi ?
Kweli kabisa ktk maisha usiwe bendera ufuata upepo use your brain not someone else brain.
Masta ni Masta kweli
Nimependezwa na hili kutoka kwa AY "kila kitu kinaanzia nyumbani"
Swali ni kwamba "Unalizungumziaje swala la watu wa nyumbani kukukataza baadhi ya mambo fulani mathalan, muziki na kuambiwa sisi hatuna waimbaji kwenye familia yetu na wakati kaka AY amefanikiwa kwenye hili kwa maadili ambayo hata watu baki wanapendezwa nayo?"
Jamaa kuna nyimbo kazifuta tidal, na majani na yeye kafuta bongo records vol 1, why?
The interview is hot.