Hofu ya mlima wa Manga ilioko Kisii

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
  • Makumi Ya Watu Wanaoishi Chini Ya Mlima Manga Kaunti Ya Kisii Wanaishi Kwa Hofu Kufuatia Mvua Inayoendelea Kusababisha Maporomoko Ya Mawe Katika Eneo Hilo. Wakaazi Sasa Wanataka Serikali Kuweka Juhudi Za Kuokoa Hali Kabla Ya Maafa Kutokea. Na Kama Anavyoripoti Chrispine Otieno, Mlima Huo Wa Manga Una Historia Kubwa Ya Jamii Ya Abagusii.

ความคิดเห็น • 66

  • @ronnyBMsaniithebigboy
    @ronnyBMsaniithebigboy 4 หลายเดือนก่อน +6

    Sijawai cheka shida lakini hii nimecheka weh 😅😅😅ati kapiga nduru kama Punduki 🔫😂😂

  • @DanielOogabosire
    @DanielOogabosire 4 หลายเดือนก่อน

    God's good all the time to get family

  • @dickensojiambo275
    @dickensojiambo275 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ambieni kindiki na osoro president wenyu ako usa anapewa pesa kuenda kupeleka vijana wake haiti

  • @charlesomboga2114
    @charlesomboga2114 4 หลายเดือนก่อน

    Lake Okari, that formed under similar conditions as Simbi Nyaima in Homa Bay, is located where local resident's house stood before sinking. It's a stone throw away from the precipice that is reported to be falling apart.
    It's a national calamity-in-waiting that affects a large population of indigenous community. They need to be relocated

    • @BiHu-ce9fx
      @BiHu-ce9fx 3 หลายเดือนก่อน

      Too sad the govt will do nothing for it's citizens, instead they will send police to save Haiti

  • @rufusmutahi4564
    @rufusmutahi4564 4 หลายเดือนก่อน

    Kama wanadamu tumaini lao limefika mwisho
    Mungu Ako mbinguni sio milimani

  • @WanjaGitonga-bw1mk
    @WanjaGitonga-bw1mk 4 หลายเดือนก่อน

    Government will wait for people to vacate and embezzle emergency funds

  • @edwinkenyatta5482
    @edwinkenyatta5482 4 หลายเดือนก่อน +5

    Ngaangalia ngaigwa 😂 😂 😂 my grandmother..be safe

    • @BxbHdbdbhjusu
      @BxbHdbdbhjusu 4 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂ngaiwa mawe inapiga nduru

    • @janetjully
      @janetjully 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @Gorgeousij
    @Gorgeousij 4 หลายเดือนก่อน +14

    Sasa mnangojea serikali na hii ni Mali yenu,si muhame kwani ni kila mtu awekelee serikali mzigo kila mala,ama munataka mlima ihamishwe

    • @rosewoiemitau8376
      @rosewoiemitau8376 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂

    • @annahnechesah1301
      @annahnechesah1301 4 หลายเดือนก่อน +1

      😂Eeh wakuje wahamishe mlima

    • @berniceonegbmusic2324
      @berniceonegbmusic2324 4 หลายเดือนก่อน

      Watoe mlima kwao😂😂😂😂

    • @DANIELMACHARIA-d5y
      @DANIELMACHARIA-d5y 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 Kenyans

    • @janemuthoni723
      @janemuthoni723 4 หลายเดือนก่อน

      So kijiji kizima chaeza kuja kwenu kuishi bila serikali kuambiwa???wapee pa kuenda basi

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 4 หลายเดือนก่อน +4

    Si mnajua vile serikali hutoa watu,ni kubomolewa manyumba

  • @rosewoiemitau8376
    @rosewoiemitau8376 4 หลายเดือนก่อน +7

    Simuangalie penye mnaweza kuhamia ama mnataka aje jamani uhai ni kitu mhimu sana

    • @janemuthoni723
      @janemuthoni723 4 หลายเดือนก่อน

      Wapee mahali pa kuenda hawana shida na kuhama

  • @Evoryhomescare
    @Evoryhomescare 4 หลายเดือนก่อน +7

    lakini wakisii....is it a must mungoje serikli ikuje kuwatoa surely?

    • @josephhill5885
      @josephhill5885 4 หลายเดือนก่อน

      Aki

    • @WanjaGitonga-bw1mk
      @WanjaGitonga-bw1mk 4 หลายเดือนก่อน

      Niwapi unajua Kuna no body's land uwaambie wahamie huko?

    • @artisthusnatalal3099
      @artisthusnatalal3099 4 หลายเดือนก่อน

      Exactly they're old enough to decide where to go siyo mpaka serikali iwape decision

  • @EmmanuelMwenda-cn6ps
    @EmmanuelMwenda-cn6ps 4 หลายเดือนก่อน +1

    Milima kitambo ilikuwa pahali takatifu kuombea mungu. Nowadays like ngong hills imejaa condoms, na watu kufanyia ngono .😂😂😂

  • @Muyahudi-fg5ud
    @Muyahudi-fg5ud 4 หลายเดือนก่อน +1

    Chameni mawe napiga nduru kapisa kama punduki....ghai!!God mercies

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kila kitu serekali...just vacate to another place

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 4 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂nduru kama bunduki

  • @omodesigner
    @omodesigner 4 หลายเดือนก่อน

    Actually this is not news, 😂😂

  • @irinemosati5557
    @irinemosati5557 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ulisikia wapi msaada Hama kwa usalama wenu serikali ni baadae.maisha niyako kusuia ikingojea msaada.

  • @monicahnangamishiundu635
    @monicahnangamishiundu635 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh tanakali za sauti, piga nduru kama punduki

  • @gulftranspoters1762
    @gulftranspoters1762 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ngaskia tulu kupwa 😂 but I love our distinct

    • @rosewoiemitau8376
      @rosewoiemitau8376 4 หลายเดือนก่อน

      Wanifunja bavu zangu yaani nimecheka mpaka watu wakaniangalia yaani umeniongezea siku

    • @marieheiss6560
      @marieheiss6560 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @johnnyamache2943
      @johnnyamache2943 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @rebeccabrown5135
    @rebeccabrown5135 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ngojea msaada kutoka kwa osoro atakupea

  • @erickaminga6023
    @erickaminga6023 4 หลายเดือนก่อน +2

    Shenzi kabisa relocat to safe places

  • @edwinedu1829
    @edwinedu1829 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nani anafaa kuondoka, ni mlima ama ni watu?

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 4 หลายเดือนก่อน +1

    The funny thing they are aware...and waiting 😂😂😂😂

  • @georgesagwe6703
    @georgesagwe6703 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mnangoja serikali iwatoe ndio muone ni serious

  • @annbwari7718
    @annbwari7718 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo ni nyumbani wacha Mungu alinde watu wake aki...

    • @nimosupdates4364
      @nimosupdates4364 4 หลายเดือนก่อน

      Eti mungu awalide?huoni wanafaa kuondoka

    • @dokimocrystal3418
      @dokimocrystal3418 4 หลายเดือนก่อน

      Home Ni side gani?

  • @Kissbaby267
    @Kissbaby267 4 หลายเดือนก่อน

    Swali ni si kwa ubaya but .. mnataka aje? Government uwabebe kwa mugongo iwatoe hapo? In Kenya we don’t have a government, so if you waiting for government to help you you will wait till the kingdom come. Jitoeni sasa ivi mko uhai msingoje tukuje tuwatoe mkiwa maiti

  • @alexinamaina794
    @alexinamaina794 4 หลายเดือนก่อน +1

    Redcross inakuja kutoa mawe yenye inapiga nduru kama bunduki

  • @laizerlusiana9215
    @laizerlusiana9215 4 หลายเดือนก่อน

    Ni ukweli vile huyo mzee amesema wapate msaada mapema Bado wakiwa hai,wasisubiri mabaya itendeke ndio msaada iwafikie.....Mungu awalinde na awatende mema

  • @OldisGold1982
    @OldisGold1982 3 หลายเดือนก่อน

    Hahaha ati ngangalia nkaigwa😂😂😂

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 4 หลายเดือนก่อน

    Si mnajua vile serikali hutoa watu,ni kubomolewa manyumba

  • @omwami360
    @omwami360 4 หลายเดือนก่อน

    Cameraman pia nikama hataki tuone iyo mawe imedunda vifiti

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 4 หลายเดือนก่อน

    Si mnajua vile serikali hutoa watu,ni kubomolewa manyumba

  • @wesmaelijah8460
    @wesmaelijah8460 4 หลายเดือนก่อน

    Si mnajua vile serikali hutoa watu,ni kubomolewa manyumba

  • @stephenmutinda9656
    @stephenmutinda9656 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mnagojea serekali saidia

  • @Happyface254
    @Happyface254 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa mnataka wahame,okay.Nawanahamia wapi exactly😊

  • @Irandabale
    @Irandabale 4 หลายเดือนก่อน +2

    Si wahame Tu!!

  • @janemuthoni723
    @janemuthoni723 4 หลายเดือนก่อน

    Weeee mawe kupiga nduru kama punduki ni makooshaaaaa na nkaankaria nkaigu makoshaaaa sana sana mawe na nduru za punduki ni makoshaaaa😂😂😂😂😂😂

    • @artisthusnatalal3099
      @artisthusnatalal3099 4 หลายเดือนก่อน +1

      You're there telling them wapewe mahali ya kuhama hawana shida na kuhama na huku unawacheka 😏🙄

  • @EnidKwamboka
    @EnidKwamboka 4 หลายเดือนก่อน

    Home place

  • @Kanji-qj7hx
    @Kanji-qj7hx 4 หลายเดือนก่อน

    So your intentions is be given food wake up and stop this ujinga

  • @rebeccabrown5135
    @rebeccabrown5135 4 หลายเดือนก่อน

    Hiyo mlima Manga Mr muongo tuaristi Ruto zakayo atakujia achenge affordable housing msijali kama hamtaki kuhama

  • @Honlameckmokaya
    @Honlameckmokaya 4 หลายเดือนก่อน

    Let them vacate the place

  • @dokimocrystal3418
    @dokimocrystal3418 4 หลายเดือนก่อน

    Our home.