GB 64 APAGAWA NA USHINDI WA YANGA vs VITAL OLEO (6-0 ) / CHAMA AMEZALIWA UPYA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 56

  • @RajabuHasan-w8w
    @RajabuHasan-w8w 18 วันที่ผ่านมา +1

    Nakukubali xna gb lakn mwanao mzur

  • @IssaShaban-y7h
    @IssaShaban-y7h 18 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa Kawa mpole baada ya kusema wachezaji wa Yanga wanatumia madawa Baada ya kuambiwa alete ushahidi akababaika

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 18 วันที่ผ่านมา

    USISEME WE UOGOPI BWANAAAA,SEMA UBAYA.....

  • @joachimisack5834
    @joachimisack5834 17 วันที่ผ่านมา

    Hiyo chezi yako kola imetanuka ndio maana na na maneno yako yanatanuka hovyo hovyo

  • @joachimisack5834
    @joachimisack5834 17 วันที่ผ่านมา

    Nyoka wa kijani hawang'ati

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 18 วันที่ผ่านมา

    Simba ni waongo sana. Wasichosema ni kwamba wamebadilishana na US Algier Fred na Ateba. Hakuna cha kufanya kuvunja mkataba.

  • @Fadhilitolinga
    @Fadhilitolinga 18 วันที่ผ่านมา

    Kaka gb64 nakukubalee haxa chasambi mbona achezeshwiii

  • @hassanimeja4344
    @hassanimeja4344 18 วันที่ผ่านมา

    Kama Kawa kaka tunakukubali

  • @AshaShariff-lr6ry
    @AshaShariff-lr6ry 18 วันที่ผ่านมา

    Nawashangaa hao wanaosifia sana wanatofauti gani hao vital,O na asas na zalan mpk yule miraji kuongea sana hizo timu zote ni madaraja ya kina pamba natimu nyingine za ligue ya nbc zinazochukua nafasi ya11 mpk. 16 la ajabu lipi ht singida ipo bora klk zote

  • @rachelsamwel5359
    @rachelsamwel5359 18 วันที่ผ่านมา

    Yaani simba wana mashabiki wa hivyo hili nalo kupiga kelele tu hana point yoyote

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 18 วันที่ผ่านมา

    Mbona hauja vaa sanda mzee

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 18 วันที่ผ่านมา

    Hamjui kusajili ndio sababu Manadanganya. Hamjui mchezaji mzuri na kocha mzuri. Mnaacha wachezaji wazuri mnadhani wataachwa?

  • @user-zj8ks2or2p
    @user-zj8ks2or2p 18 วันที่ผ่านมา

    Nyoo leo umeongea kwa adabu kwakuwa upo na mwanao

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 18 วันที่ผ่านมา

    Tunza kauli ya kuwapiga makonzi

  • @SonyDavid-do6pg
    @SonyDavid-do6pg 18 วันที่ผ่านมา

    Mbona hamkufunga yanga kama mnavitoto

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 18 วันที่ผ่านมา

    Wewe baba Aisha wacha maneno mengi tulia dawa iwaingie.

  • @mmewaswida
    @mmewaswida 18 วันที่ผ่านมา

    Kwani mchezaji hawezi kupata game exposure akiwa Tanzania?

  • @user-eq3nn6tp3k
    @user-eq3nn6tp3k 19 วันที่ผ่านมา

    Asee kumbe una katoto kazuri hivyo, barikiwa saana

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 18 วันที่ผ่านมา

    VITAL,O BURUNDI NJAA NA UTOPOLO MATAPELI MECHI IMEPANGWA WAMTAPELI MAMA SAMIA PESA.

    • @user-ch2it3qt5z
      @user-ch2it3qt5z 18 วันที่ผ่านมา

      Punguza wivu unaiona YaNGa ipo vzr unakalia wivu tu ata kwa macho uone kwl YaNGa ipo Vzr japo unajitoa akili tu,et Yanga wazee je kapombe kumb kijana eeh

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 18 วันที่ผ่านมา

      @@user-ch2it3qt5z WOTE VIBOVU SIMBA BABA LENU

    • @user-kk5hq4sk5d
      @user-kk5hq4sk5d 18 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 utakuwa kanda bongo man ww

  • @user-nv9to8cq6d
    @user-nv9to8cq6d 18 วันที่ผ่านมา

    Haka kasichana ni BOMBA Mashllahu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 18 วันที่ผ่านมา

    HAO WARUNDI HAWANA TOFAUTI NA SALATAN YA SUDANI KUSINI UTUMBO MTUPU.

    • @jimmyhabarugira4232
      @jimmyhabarugira4232 18 วันที่ผ่านมา

      Simba alikula 5, Azam 4 wote hao ni wabovu?? Tafuta sababu zingine

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 18 วันที่ผ่านมา

      @@jimmyhabarugira4232 SIMBA 10 BORA YA CAF WAPO YA 7 HAYA NYIE VIBOVU MPO WA NGAPI???

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 17 วันที่ผ่านมา +1

      @@jimmyhabarugira4232 TANO WAKATI WA MADUKA YENU YAPO KWA SASA HIVI UTAUFYATA TU MACHOGOOOOOOOOO

  • @gervas58
    @gervas58 18 วันที่ผ่านมา

    Nani anamuona Dada anamwangalia Gb64 akabwabwaja kama kituko..gonga like

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 18 วันที่ผ่านมา

      Binti yake huyo..amemleta kwenye mitandao... mwenye kisu kikali ajitokeze..mafisi wanamsubiria chuo..

  • @AshaNchira
    @AshaNchira 19 วันที่ผ่านมา

    Ndy maana nakukubari gb 64

  • @KasparyKaspary-z9f
    @KasparyKaspary-z9f 19 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona jezi moja kilasiku iyoiyo japo kiki kilasiku

    • @omarymwenebatu
      @omarymwenebatu 18 วันที่ผ่านมา

      Tumachezi ulizonazo tuzione wewe ambae unazo nyingi na mbona nawewe ahujabadilisha kichwachako kilasiku unaonekana na kichwahichohicho kilasiku?

  • @user-oc3jf3ts5i
    @user-oc3jf3ts5i 18 วันที่ผ่านมา

    Huna lolote! ni kwamba unajua Mzize ni tishio kwa Makolo hivyo unasisitiza aondoke ili upate nafuu!! Shame on you!!

  • @salmamakweta1198
    @salmamakweta1198 19 วันที่ผ่านมา

    GB 64 KAPATA KIBOKO YAKE

  • @IbrahimMmanda
    @IbrahimMmanda 19 วันที่ผ่านมา

    Gb 64 nakukubali kwa kuongea vizur bg up

  • @OmaryAthumani-db3vp
    @OmaryAthumani-db3vp 19 วันที่ผ่านมา

    Wewe GB huyo mwanao unawatangazia waandish wa habari ili wamtongoze kiufup umemuweka sokon Sasa subir uone

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 18 วันที่ผ่านมา

      AKILI ZAKO ZIPO KWENYE ZINAA TU

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 19 วันที่ผ่านมา

    Mamae leo kakaa na mtoto wake kisu aongei utumbo shuaini wewe

  • @paulotemba8881
    @paulotemba8881 19 วันที่ผ่านมา

    GB 64 ni mnafki tuu hana lolote

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 18 วันที่ผ่านมา

    GB 64 Taarifa zako kuhusu uwanja si za kweli Uwanja wa Mkapa upon ktk matengenenezo makubwa hasa eneo la Kuchezea Katibu Mkuu Wizara ya Michezo amethibitisha hilo Jana.

  • @AshaNchira
    @AshaNchira 19 วันที่ผ่านมา +2

    Wamewaonea vitalo

    • @kunsule9261
      @kunsule9261 19 วันที่ผ่านมา +2

      Ni kweli usemavyo. Kwanz Walianza kuwaonea simba hlf Waliwaonea azam kisha vital'o.

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 19 วันที่ผ่านมา

      Hujasema utasema tu!! Wenzio wameaga 😂😂

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 19 วันที่ผ่านมา

      Mwanaio anapokuwa karibu unanyoosha maneno c ulisema wanatumia dawa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@kunsule9261HAMPO KATIKA TOP 10 YA RATIBA YA CAF VIBOVU MMEKUTANA WALE NI KAMA SALATAN YA SUDAN TU.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@jumannemsengi2195WALE WENZENU NYIE HAMPO TOP 10 YA CAF

  • @Fadhilitolinga
    @Fadhilitolinga 18 วันที่ผ่านมา

    Kaka gb64 nakukubalee haxa chasambi mbona achezeshwiii