Nawashangaa hao wanaosifia sana wanatofauti gani hao vital,O na asas na zalan mpk yule miraji kuongea sana hizo timu zote ni madaraja ya kina pamba natimu nyingine za ligue ya nbc zinazochukua nafasi ya11 mpk. 16 la ajabu lipi ht singida ipo bora klk zote
GB 64 Taarifa zako kuhusu uwanja si za kweli Uwanja wa Mkapa upon ktk matengenenezo makubwa hasa eneo la Kuchezea Katibu Mkuu Wizara ya Michezo amethibitisha hilo Jana.
Nakukubali xna gb lakn mwanao mzur
Huyu jamaa Kawa mpole baada ya kusema wachezaji wa Yanga wanatumia madawa Baada ya kuambiwa alete ushahidi akababaika
USISEME WE UOGOPI BWANAAAA,SEMA UBAYA.....
Hiyo chezi yako kola imetanuka ndio maana na na maneno yako yanatanuka hovyo hovyo
Nyoka wa kijani hawang'ati
Simba ni waongo sana. Wasichosema ni kwamba wamebadilishana na US Algier Fred na Ateba. Hakuna cha kufanya kuvunja mkataba.
Kaka gb64 nakukubalee haxa chasambi mbona achezeshwiii
Kama Kawa kaka tunakukubali
Nawashangaa hao wanaosifia sana wanatofauti gani hao vital,O na asas na zalan mpk yule miraji kuongea sana hizo timu zote ni madaraja ya kina pamba natimu nyingine za ligue ya nbc zinazochukua nafasi ya11 mpk. 16 la ajabu lipi ht singida ipo bora klk zote
Yaani simba wana mashabiki wa hivyo hili nalo kupiga kelele tu hana point yoyote
Mbona hauja vaa sanda mzee
Hamjui kusajili ndio sababu Manadanganya. Hamjui mchezaji mzuri na kocha mzuri. Mnaacha wachezaji wazuri mnadhani wataachwa?
Nyoo leo umeongea kwa adabu kwakuwa upo na mwanao
Tunza kauli ya kuwapiga makonzi
Mbona hamkufunga yanga kama mnavitoto
Wewe baba Aisha wacha maneno mengi tulia dawa iwaingie.
Kwani mchezaji hawezi kupata game exposure akiwa Tanzania?
Asee kumbe una katoto kazuri hivyo, barikiwa saana
VITAL,O BURUNDI NJAA NA UTOPOLO MATAPELI MECHI IMEPANGWA WAMTAPELI MAMA SAMIA PESA.
Punguza wivu unaiona YaNGa ipo vzr unakalia wivu tu ata kwa macho uone kwl YaNGa ipo Vzr japo unajitoa akili tu,et Yanga wazee je kapombe kumb kijana eeh
@@user-ch2it3qt5z WOTE VIBOVU SIMBA BABA LENU
😂😂😂 utakuwa kanda bongo man ww
Haka kasichana ni BOMBA Mashllahu
Pnomolo
Mu
O
O
HAO WARUNDI HAWANA TOFAUTI NA SALATAN YA SUDANI KUSINI UTUMBO MTUPU.
Simba alikula 5, Azam 4 wote hao ni wabovu?? Tafuta sababu zingine
@@jimmyhabarugira4232 SIMBA 10 BORA YA CAF WAPO YA 7 HAYA NYIE VIBOVU MPO WA NGAPI???
@@jimmyhabarugira4232 TANO WAKATI WA MADUKA YENU YAPO KWA SASA HIVI UTAUFYATA TU MACHOGOOOOOOOOO
Nani anamuona Dada anamwangalia Gb64 akabwabwaja kama kituko..gonga like
Binti yake huyo..amemleta kwenye mitandao... mwenye kisu kikali ajitokeze..mafisi wanamsubiria chuo..
Ndy maana nakukubari gb 64
Mbona jezi moja kilasiku iyoiyo japo kiki kilasiku
Tumachezi ulizonazo tuzione wewe ambae unazo nyingi na mbona nawewe ahujabadilisha kichwachako kilasiku unaonekana na kichwahichohicho kilasiku?
Huna lolote! ni kwamba unajua Mzize ni tishio kwa Makolo hivyo unasisitiza aondoke ili upate nafuu!! Shame on you!!
GB 64 KAPATA KIBOKO YAKE
Gb 64 nakukubali kwa kuongea vizur bg up
Wewe GB huyo mwanao unawatangazia waandish wa habari ili wamtongoze kiufup umemuweka sokon Sasa subir uone
AKILI ZAKO ZIPO KWENYE ZINAA TU
Mamae leo kakaa na mtoto wake kisu aongei utumbo shuaini wewe
GB 64 ni mnafki tuu hana lolote
GB 64 Taarifa zako kuhusu uwanja si za kweli Uwanja wa Mkapa upon ktk matengenenezo makubwa hasa eneo la Kuchezea Katibu Mkuu Wizara ya Michezo amethibitisha hilo Jana.
Wamewaonea vitalo
Ni kweli usemavyo. Kwanz Walianza kuwaonea simba hlf Waliwaonea azam kisha vital'o.
Hujasema utasema tu!! Wenzio wameaga 😂😂
Mwanaio anapokuwa karibu unanyoosha maneno c ulisema wanatumia dawa
@@kunsule9261HAMPO KATIKA TOP 10 YA RATIBA YA CAF VIBOVU MMEKUTANA WALE NI KAMA SALATAN YA SUDAN TU.
@@jumannemsengi2195WALE WENZENU NYIE HAMPO TOP 10 YA CAF
Kaka gb64 nakukubalee haxa chasambi mbona achezeshwiii