Libya raia wao vichwa vibovu sana. Gadafi aliwapenda sana wakahisi wanajipendekeza wakamuua. Hivyo dunia tu iwatambue ni waaina gani na iwatrit wanavyotaka
CAF HAWEZI KUWA WAJINGA KIASI HICHO kama GOLI la YANGA lilikataliwa KABISA sembuse penalti ya MASHAKA kama ILE? VP kuwapiga na kuwarushia chupa za MAJI JE na cc tuwapige WAKIJUA KWETU?
WAPUMBAVU NYIE KESHA PEWA BEKI BORA WA WIKI NA PESA JUU MTAJIJU UTOPOLO NYIE ❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEEE OYEEEEEE
Libya raia wao vichwa vibovu sana. Gadafi aliwapenda sana wakahisi wanajipendekeza wakamuua. Hivyo dunia tu iwatambue ni waaina gani na iwatrit wanavyotaka
Kwa hiyo mngependa iwe penati mngefurahisana
Ninyi m najua sana sheria za mpira kuzidi refa ambaye wajibu wake ni kutafsiri hizo sheria
Ujui mpira ww
Hiyo VAR niya kwenu hapo au huyo mchezaji kajirusha
Hamna mchambuzi Apo,we mbele ya mwamuzi Apo Apo we unasema penati, Chamalone amegusa mpira.
CAF HAWEZI KUWA WAJINGA KIASI HICHO kama GOLI la YANGA lilikataliwa KABISA sembuse penalti ya MASHAKA kama ILE? VP kuwapiga na kuwarushia chupa za MAJI JE na cc tuwapige WAKIJUA KWETU?
Kwahiyo macho yenu ndoo VAR AU UTOPOLO MKUBWAAA NYIE
Ok nshort Ile ni ngumu kwamacho ya kawaida hata var pia huwz wka penat
Kwani penati ni goal inategemea
Hebu vilivyopita vimepita sasa nyie mnataka wapewe penati haya wakening imetoka hiyo
Ehee kwa hiyo ?
TUFANYE WAMESHINDA WAO AL AHLI MOJA SIMBA BILA VP HAPO 😂😂😂😂 KELELE NYIIIINGI
Hyo ndio sheria ya mpira hakuna namna
Mambo mazito haya 😅😅😅
Pumafu wee, kwahiyo mpira ulitolewa nje na nan?
Alianza kumfanyia dhambi mchezaji kabla hajautoa mpira nje.
Tuwapige na sisi
Mmmmh
Var ilishindwa kufanya maamuzi kwa yanga acheni hizo
Mbona kichwa cha habari na maelezo ni viti viwili tofauti? Acheni upumbavu basi
Ni mbinu za kula mb zako
Kwahyo kumbe n goli halali😂😂😂😂