Mawaidha mazuri sana. Kiukweli ikhtilifu au kutofautiana ndio asili yetu wanadamu.ifike mahala ikhtilafu hizi ziwepo bila kutukanana,kukejeliana,kuvunjiana hishma n.k. Jahazi letu ni moja Al-ISLAM. Tofauti zitaendelea kuwepo lakini mapenzi na kuheshimiana na kushirikiana bado itabaki ni muhimu mno katika umma huu .tusisahau waislam sisi sote ni ndugu.
Shukran sheikh kwa khutba yako mzuri sana na mungu atakubariki akupe umri ulio na mwema, Leo mekuwa hakuna dini tena ya allah bali kumebaki mizozano tuu isio na faida kwa umma,tumebaki na miashindano na mikao isio kuwa na maana.mungu atuongoze,ameen
Mwawalaumu salaf ,sawa lakini sisi hatuna neno katika hili masala ya mwezi hamna shida ikhitilafu hii ipo ,lakini manhaji jamani , sasa salaf wanalaumiwa tayari
Shukran sana sheikh wetu doctor Islam
Nakupenda kwaajili ya Allah
Ni mzaliwa wa Burundi naishi south Afrika
Allah akuhifadh dr islam
mashaAllah sheikh shukran kwa kutupa elimu inshaAllah mungu atakulipa na akuweke uzidi kutuelimisha
Maashaallah
Mawaidha mazuri sana.
Kiukweli ikhtilifu au kutofautiana ndio asili yetu wanadamu.ifike mahala ikhtilafu hizi ziwepo bila kutukanana,kukejeliana,kuvunjiana hishma n.k.
Jahazi letu ni moja Al-ISLAM.
Tofauti zitaendelea kuwepo lakini mapenzi na kuheshimiana na kushirikiana bado itabaki ni muhimu mno katika umma huu .tusisahau waislam sisi sote ni ndugu.
Allah akuhifadhi..
Shukran sheikh kwa khutba yako mzuri sana na mungu atakubariki akupe umri ulio na mwema,
Leo mekuwa hakuna dini tena ya allah bali kumebaki mizozano tuu isio na faida kwa umma,tumebaki na miashindano na mikao isio kuwa na maana.mungu atuongoze,ameen
Aslm alykm, mashallah!! Allah akuzudishie ufahamu huu na wengine wafate mfumo huu inshallah
Lau hao mashekhe wote wangesoma adabu za ikhtilafu na wazitekeleza aslimia kubwa sana ya mashakil yetu yangeondoka na tunge shughulika na vitu muhimu
Maa Shaa ALLAH 💚. Jazakallahu hyeir sheikh.
MAASHAA ALLAH Dr ALLAH akuhifadhi
Maneno ya busara Sana haya , Asante shekh
Nilikuwa na dubiri hii khutba . Masha Allah Dr
Mashaallah umesema kweli
Mashaallah
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
Mawahabi mukishindwa hoja munakumbuka adabu zaikhitilafu
Kuwa na adab ya dini..dini si ushindani lazma uheshimu maneno yenye haki bila kuangalia yameoka kwa nani
Nice
Huu uwanja uko wapi kwa anaejua
Kizingo ground
Apa nadhani ni ummu kulthum kwa joho.
Mwawalaumu salaf ,sawa lakini sisi hatuna neno katika hili masala ya mwezi hamna shida ikhitilafu hii ipo ,lakini manhaji jamani , sasa salaf wanalaumiwa tayari
Allah akuhifadh dr islam