Ukiwa kama ndugu wa karibu kutizama wimbo wangu unaokwenda kwa jina la sipiganagi mwenyewe Mungu akubariki.#MarthaMwaipaja#SipiganagiMwenyewe#MusicVideo.
Amina Amina. Ukisikiliza huu wimbo akika unapata nguvu ya ukimya kwa maadui zako na kukaa na kuangalia mungu anavyo wachapa maadui zako. Jamani kumtegemea mungu ni rahaa sana.LIKES ZENU KWA MARTHA MWAIPAJA 2022.
@@mbakapetermungai2545 huyu ni msanii wa karne ! amepakwa mafuta na Mungu, kwanza kabisa mimi ningebahatika kukutana na yeye ningemutunukia tunu nzuri kwa kuniwezesha kufaidika kujua lugha ya kiswahili kwa methali na misamiati kadha wa kadha .kutoka RWANDA mimi naitwa JEAN DAMASCENE HITAMUNGU Mbalikiwe nyote msiochoka kumfuata dada mpendwa Martha Mwaipaja Amen !
I have not been going to church for 6 years but this song has changed my behavior sincerely speaking, and to all Martha funs and followers be blessed all❤
I love listening to this inspiring song, hakuna sababu ya kupigana na wenye wivu, tamaa,uchawi,madharau na wenye wako na mipango mibaya kwa maisha yetu, tuwachie BABA mwenyezi Mungu awanyoroshe mwenyewe.
Kwa kweli huu unanibariki sana ktk maisha yangu na unanitia moyo sana maana ktk hii Dunia Kuna watu ambao kwa macho ya kawaida huwezi kuwatazama bila msaada wa Mungu ee Mungu naomba unipiganie peke yangu siwezi hii vita ni vikali sana kwanguu😭😭😭😭
Ni. Kwel mungu kanipigia katika shida, na majaribu yote, hakikq mmm sipiganagi mwenyewe napiganiwa na baba mungu, hata wew ndugu yangu, mwambie mungu hakupiganie katik maixha yako, kama meshark na abedinego,
Huwa sipigani mwenyewe maana tangu utotoni napiganiwa na babaa""hallelujah"wengi tunapoteza nguvu nyingi kutaka kujitetea na kujisafisha mbele ya wanadamu"acha YESU akupiganie"na matokeo yake watesi wako wote watakuona uking'aa na kupanda kila cku in Jesus name.
Dada katika jina la Yesu kristo Mungu akubariki sana.Huu Wimbo huwa unanigusa sana kila mara ninapousikiza.Na nilipata funzo kuwa Mungu hawezi kutuacha tuishi katika mateso
Hakika Martha Mwaipaja "BARIKIWA SANA", Nafarijika mno na nyimbo zako zilizojaa Utume uliotukuka, AMENITENGENEZA HUYU BWANA na sasa ANATAWALA zinasuuza nafsi si haba.Barikiwa MAMAANGÚ
I have testimony too mungu amenisaiidia niko saudia na nashkuru nmepata kibal kwa hii nyumba naishi kama nko kenya mungu anantetea na mambo mengi atamajaribu yanapo nipata naamin mungu n msaada wangu maombi na kufung imekua silaha yangu hakika sipani mwema huu wimbo unipa nguvu ya kuendelea mungu azidi kututetea watu wa gulf mungu akubariki dada kwa Wimbo mzur tunakupenda.
For sure my battles i live hem to God for he's the worrior of my battles he's the burning spear ,mwenzio sipiganagi mwenyewe ninapiganiwa na baba aliye juu binguni.
Am a living testimony that some years ago our God fight for us,I can't forget,He told Moses tell the Israelites that "the enemies you are seeing, you will never see them again"
Ewe Mungu naomba unipiganie na mimi ,kama unavyowapigania wengine ,mungu usinipite nitendee kama unavyowatendea wengine, Mungu nipambanie na mimi na familia yangu
Hakika mungu amenipigania sana mimi ni ushuhuda uliyo hai kuishi maisha bila msaada wa wazazi wako tangu ningali mdogo na sasa nahitajika kwa hio familia zaidi kuliko mtu yeyote yule
Huuu wimbo ni kama nimeimbiwa mimi napitia matatozo, shiki na tabu ndugu jamaa wamejitenga na mimi lakini najua Mungu atanipigania atafanya njia pasipo na njia asante sana dada Mwaipaji
Wooow what an inspiring song it's. She will remain to be my favorite artist. May God continue lifting her to greater levels and bless her beyond measure.
God is for all of us. Nobody can defeat his good will for us all. Napiganiwa na baba kweli Amina kabisa. You bless us so much Martha through your songs.
It was my favorite song the time I was going through frustrations in every area of my life, but Baba Mungu alinipigania I came out victorious. Glory be to God
To those who think salvation is only for the confused and ugly, this is your testimony. Mwaipaja is beautiful, stylish and classy and still love Jesus. Much love from 🇰🇪
Hakika kama umepiganiwa na mungu kwa maisha yako nipe like........from kenya kanairo vita napiganiwa na baba aaah..
One of my best Gospel Singer! Kama wewe ni shabiki wa matha mwaipaja na Kama unaamini kwamba hupigani mwenyewe gonga like twende pamoja
Amen amen mungu atushindie majaribu yetu amen
Haya. Nguvu ya MUNGU NI KUBWA
Kwl, sifa kw Mungu.
Saf sana
Am the no one fan of Martha Mwaipaja....Mezio sipiginagi mwenyewe
Whos here 2024 kupiganiwa na baba❤
🙏🙏
@@kemuntoabigael-ig9emnnnnmmmnnqqqmnnmqnnnnnnqnqqnqnnqqqqnnnnnnnqqqqqnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnqqq
Kama una mkubali Martha naomba like hata 💯 zinatosha
Mimi wa kwanza kam hupiganagi mwenyew like apa Mungu akubariki
Tunapiganiwa
Barkiwa Sister
Amen God bless sis Mather
Mungu akubalik dada yangu
Dada Martha ua song has really touched my ♥ may the Lord uplift u more siz
Mwaka huu wa 2020...nakuwachia wewe yesu. Sitapigana, sitashindana. Simama kwa zamu yesu.
Bless you Dada Martha.
Yesu krusto
Amen
WINNIE K. Ameni
Asante
My break through must come 2020 through this wonderful worship in Jesus name ..Amen!!!
Amina Amina. Ukisikiliza huu wimbo akika unapata nguvu ya ukimya kwa maadui zako na kukaa na kuangalia mungu anavyo wachapa maadui zako. Jamani kumtegemea mungu ni rahaa sana.LIKES ZENU KWA MARTHA MWAIPAJA 2022.
KUSEMA NI KWEMA KUNYAMAZA NI ZAIDI.
amen mingi Manungu akipigania tangu utoto wangu hadi mwisho wa maisha yangu
Wakati nmfungikiwa nausikiza huu wimbo akika wanitia nguvu
@@mbakapetermungai2545 huyu ni msanii wa karne ! amepakwa mafuta na Mungu, kwanza kabisa mimi ningebahatika kukutana na yeye ningemutunukia tunu nzuri kwa kuniwezesha kufaidika kujua lugha ya kiswahili kwa methali na misamiati kadha wa kadha .kutoka RWANDA mimi naitwa JEAN DAMASCENE HITAMUNGU Mbalikiwe nyote msiochoka kumfuata dada mpendwa Martha Mwaipaja Amen !
Ukwel lazima mungu anibariki nikamshinde maadui eeeh mungu niokoe nione ufalme
I have not been going to church for 6 years but this song has changed my behavior sincerely speaking, and to all Martha funs and followers be blessed all❤
kama vita vyako sio vya damu na mwili bali vya kiroho basi pita na like
Ubalikiwe
Sana
Ubarikiwe
Penda sana
Barikiw
Enock Ndale b.
...
Wonderful song...kama unaamini kua upiganagi mwenyewe ila Baba ndiye ukupigania. Gonga likes za Martha hapa tukiendelea kuskiza na kusoma comments...
My lovely one wow mungu akubariki marthar mwaipaja nakupendaa sanaaaa mummy
My all time song...
Good song
Very good
Yan nampenda uyu Dada jaman nyimbo zinaujumbe
Hakika Mungu ananipigania sana,ananipitisha kwa watesi wangu pasipo Mimi kujuwa🙌🙌🙌💪💪🙏🙏 barikiwa sana dadangu, nyimbo zako Huwa zinanijenga sana🎉🎉
Amina sana nimebarikiwa nawaomba na wengine wanaosikliza wimbo huu wamuweke Mungu mbele awe mtetezi ...........hakika hakuna kinachoshindikana
This song is about me haki, Mungu ananipigia, wapi likes za Martha, she's a blessing
Very amenipiginia huyu mungu sijuwi ni mlipe nini jamani
Haki hii nyimbo niyangu. Mungu ananipigania kwa kila hali Martha be bless
@@fatumahamadi9628 I am
Infact mungu ni kila kitu
Hakika kama uliniimbia mimi! Much blessing Martha Mwaipaja
Especially for single mothers people don't have full respect for us . But only God fights for us. Wagapi wakubaliana na mimi?
Amen. The ALMIGHTY GOD is our only refuge and strength in the might name of JESUS CHRIST.
Very true but sir God haezi tuacha anatupigania
True
Linet Kalamu
True speaking especially for us single mothers most of people they don't respect us,bt in all jehovah God is our fighter, waau
I love listening to this inspiring song, hakuna sababu ya kupigana na wenye wivu, tamaa,uchawi,madharau na wenye wako na mipango mibaya kwa maisha yetu, tuwachie BABA mwenyezi Mungu awanyoroshe mwenyewe.
Why say the truth
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😮😮❤
True
It true
Here two years later, testifying the goodness of the Lord. He has fought very difficult battles for me. Today am a living testimony of the hand of God
Amen
Amen🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Congratulations Martha 🎉🎉🎉
Martha nakupenda ❤️ ❤️
Wapendwa tuzindi kupinganiwa na Mungu❤❤like za Martha zi wapi jameni????
Napiganiwa na Baba 2021 here we come ..Nani anabarikiwa kama mimi .. Nairobi Kenya
Nmebarkiwa sana be blessed.
Martha God bless you more your songs zina fanya nkumbuke mbali
I'll e
hatupigani wenyewe hii 2021.....nabarikiwa nikiwa Dar es Salaam Tanzania
@@emeldandunge2901 acss
Here 2024 to testify huwa ananipigania.. Nrb Kenya
This song inanipea nguvu na Imani maishani. Mungu nipiganie bila wewe Mimi siwezi
Hakika hats mume wangu bado namwambia cpiganagi mwenyewe !
Kwa kweli huu unanibariki sana ktk maisha yangu na unanitia moyo sana maana ktk hii Dunia Kuna watu ambao kwa macho ya kawaida huwezi kuwatazama bila msaada wa Mungu ee Mungu naomba unipiganie peke yangu siwezi hii vita ni vikali sana kwanguu😭😭😭😭
Asante sanà Kwa huu wimbo. Kumbee 😢 napiganiwa na Mungu Alie hai 😢😢😢🙏🙏 Ameen namuona sanà
My favorite song nikisikia hiyo na ninaona kesho iliyopangwa n Mungu l leave everything l doing to listen first, go on mwaaaaaauuuuu 🔥
Miee ni mwisilam lkn waallaah nyimbo za huyuu dada zanigusa mnoo shukriaa kwa allaah na viumbe vyakee🙏🙏🙏💞💞😘
Tuko wengi dear
Martha Mwaipaja anaimba, kisha anagusa hisia za watu wengi. Mungu ambariki sana
🤔🤔🤔🤔
Same to me
Yaan acha tuu
Wapi likes za team Gospel 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪254 listening from 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Mungu akuinue na akupe miaka ming uendelee kuwepo penda sana martha
Jaman umenikoshaa roho
Yes
Kweli yatupasa kumkabidhi mungu vita yetu.barikiwa sana
Hizi hapa mkuu
Asante Martha, Nimebarikiwa, Mungu baba ndiye mpiganaji wetu.
Ni. Kwel mungu kanipigia katika shida, na majaribu yote, hakikq mmm sipiganagi mwenyewe napiganiwa na baba mungu, hata wew ndugu yangu, mwambie mungu hakupiganie katik maixha yako, kama meshark na abedinego,
Wow! Huwa wanibariki Sana dadangu, nakupenda Sana dada martha.
KAMA NA WEWE WABARIKIWA NA HUYU MPAKWA MAFUTA GONGA LIKE TUENDE SAMBAMBA
Mary Marie yuko vzr sanaaaa
Ubarikiwe sanaa Dada kwa kazi nzuri
Ubalikiwe sanaa dada
Amen
@@elizabethmwangomwango8157 nipiganie yesu wangu nina maadui sana.
Huwa sipigani mwenyewe maana tangu utotoni napiganiwa na babaa""hallelujah"wengi tunapoteza nguvu nyingi kutaka kujitetea na kujisafisha mbele ya wanadamu"acha YESU akupiganie"na matokeo yake watesi wako wote watakuona uking'aa na kupanda kila cku in Jesus name.
Nimenyamaza nimemuachia Baba anipiganie 2021 nipiganie make goliati najua anapotoka
@@naomimsamba6073 🙏
I love this song so much but I don't know the longuage can you please explain for me 🙏
Amen my Sister
Kwaeshima kubwa sana Dada sijui nikupe nini ni Mungu tu ndo atakulipa kukazi uyofanya
Nikweli napinganiwa na baba yangu bila yy mm sio kitu,,,,,barikiwa sana kwa huyo wimbo mungu akubariki sana 🙏🙏🙏🙏
Huu wimbo unanipea nguvu ya kuvumilia mengi katika dunia nashukuru mungu kwa yote...ubarikiwe sana.
Pole
Jesus Christ love's you
Napinganiwa na yesu, who is still saying that in may 2020
Really nice song
Amen
Hii NATO nmaono yambali barikiwa
Mgonjwa wewe
Amen
❤❤❤Mungu nimuweza kuna siku nilikua napigiwa vita kazini mu ni nani alinipigania sahi niko abroad waliompiga vita walifutwa kazi much ❤❤ my god
Dada katika jina la Yesu kristo Mungu akubariki sana.Huu Wimbo huwa unanigusa sana kila mara ninapousikiza.Na nilipata funzo kuwa Mungu hawezi kutuacha tuishi katika mateso
This song came nikiwa kwenye kipindi cha betrayal Kali sana,it was my song,Na bado naimba hadi Leo...Asante Mungu,Asante Martha
Ngonga like twende pamoja kama tumemsoma Matha, nooo kupgana na Mtu2020, na maisha yenyewe mafupiii..
Unajua mama
Dada unaweza ongeza kasi
💯
Namshukuru mungu kwakweli ananisaidia kwenye mapambano yakidunia from bukwe utegi
Joshua 23:10_ Kweli sisi hatuwezi kupigana, ni Mungu ndiye hutupigania.
Mwaipaja sikukufikia jacaranda I wish unigawie hii neema ya gospel music I love u so much siz
I don't think this woman is a human being she just an angel in a mission ♥️♥️
That's true
Sure
🤗🤗
Tuna pinganiwa na baba yetu na barikiwa na huu mwimbo sana shalom dada
Yes umenena vyema. There are many angels among humans
Yes Napiganiwa na Baba. wewe nipige tu vijembe vyako
Mwenzio Napiganiwa na Yesu
Nakupenda sana Dada #♡♡♡♡♡Matha☆☆☆☆♡♡
Huwa nabarikiwa nisikiapo wimbo wa #Matha
Yeeees napiganiwa na baba
Hongera sanaaaaaaa my Dada
Hakika Yesu anatupigania
Nakupenda sanaaaaaaa my Dada
Napenda sanaaaaaaa huduma yako
Mungu akuinue juu zaidi ya ulivyo leo
Mwajina wangu tuko pamoja me mwenye nampnda sana da martha nabarkiwa sana na nyimbo zake
napingiwa na mungu mm
Hakika Martha Mwaipaja "BARIKIWA SANA", Nafarijika mno na nyimbo zako zilizojaa Utume uliotukuka, AMENITENGENEZA HUYU BWANA na sasa ANATAWALA zinasuuza nafsi si haba.Barikiwa MAMAANGÚ
Ameeen🙏
I have testimony too mungu amenisaiidia niko saudia na nashkuru nmepata kibal kwa hii nyumba naishi kama nko kenya mungu anantetea na mambo mengi atamajaribu yanapo nipata naamin mungu n msaada wangu maombi na kufung imekua silaha yangu hakika sipani mwema huu wimbo unipa nguvu ya kuendelea mungu azidi kututetea watu wa gulf mungu akubariki dada kwa Wimbo mzur tunakupenda.
Napenda kwanza nyimbo zako zote hunibariki sana,Mungu akusaidie sana
Mtetezi wa wanyonge nani kama yeye duniani na mbinguni.... HAKUNA he truly fights my battles.
Yeah
For sure my battles i live hem to God for he's the worrior of my battles he's the burning spear ,mwenzio sipiganagi mwenyewe ninapiganiwa na baba aliye juu binguni.
Martha mwaipaja binafsi nakupenda sana ningekuwa na uwezo ningekualika uje manyara utuburudishe , hongera mungu akubariki sana
Mungu azidi kukubariki uzidi kutoa nyimbo nyingi maana nyimbo zako huwa zinanibariki sana, ni kweli nilishapiganiwa na baba yangu kule mbinguni🙏🙏🙏
Mungu nipiganie mimi vita siwezi Jehova ...nitete usiache nizame 🙏🙏🙏 barikiwa sana Martha, can't get enough of this am just rewinding
Am a living testimony that some years ago our God fight for us,I can't forget,He told Moses tell the Israelites that "the enemies you are seeing, you will never see them again"
Yes
And God told Moses I will make your enemies to see you and run back away from you.
Ewe Mungu naomba unipiganie na mimi ,kama unavyowapigania wengine ,mungu usinipite nitendee kama unavyowatendea wengine, Mungu nipambanie na mimi na familia yangu
I have seen God fighting for my life Infront of watesi wangu,love the song
YESU pekee sliyeshinda yote msalanani atatupigania, atatushindani. Tumwamini kwa mioyo yetu.
Ukwer ndo huo ata mm cpiganaji mwenyewe anaenipigania ni mungu tuu ubalikiwe Mama mwaipaja
Hakika mungu amenipigania sana mimi ni ushuhuda uliyo hai kuishi maisha bila msaada wa wazazi wako tangu ningali mdogo na sasa nahitajika kwa hio familia zaidi kuliko mtu yeyote yule
Namimi pia huyumwaka nipo katiyawenye wamehweka mikono cini nikaona kupiganiwa na munguwangu wangu kwawatesi wangu woteee amen,
Matha unaweza sipagani alone God ako baba wa mbingu na nchi 2020 gonga. tulikes
2021 wangapi wanaamini bado Mungu atazidi kutupigania 🙏🙏
Am the one
Kindly welcome to our church
ujumbe jaribu Islamic
@@raufuuled6080 Christian milele
Ukiamn ww inatosha usituchukulie like zetu bure
Waaaah 👍 good mungu akuinuwe xana my sister napenda nyimbo zako zote 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mwaipaja nakupenda My wewe twakuombea kusogambere mungu Aendelee kukulinda nakukuinua Amen Amen Amen
Huuu wimbo ni kama nimeimbiwa mimi napitia matatozo, shiki na tabu
ndugu jamaa wamejitenga na mimi lakini najua Mungu
atanipigania atafanya njia pasipo na njia asante sana dada Mwaipaji
Mungu akupe hitaji la moyo wako
@@pendoyese4452 Amen
Napiganiwa na Baba
Ok I am going out of the latest news for me l have a good time at home with my friends n I am sure
Pole sana Mimi ni moja wapo
Hakika, haitupasi kupambana wenyewe
Maana vita vyetu si vya damu na nyama...
Nabarikiwa sana na nyimbo zako Martha, ongeza bidii Mungu yu pamoja nawe.
Hatuwezi kujipigania....Mungu ndiye mtetezi mwema...barikiwa sana martha
when i listen to this song when am down, it raises me up again.
Hawezi acha Leo nizame.kama Jana alinitetea, leo kamwe sitaangamia.... Amen🙏
I'm among those whom God has fight for....never fight on your own you'll be defeated.... Glory be to God
Ehee mungu nakushukuru kwani umenipigania Sana maisha yangu mpaka hapa nilipo🙏
If you are reading this undergoing some pressure feeling down, surrender it unto the most high the battle is not yours,be encouraged
Fact
Wooow what an inspiring song it's. She will remain to be my favorite artist. May God continue lifting her to greater levels and bless her beyond measure.
Ni kweri ata mimi kweri ni miisilamu lakini kwa nyimbo za uyu dd Mathar yup vzr na ujumbe wa kweri kabisa
Wanaopiganiwa na Baba wa like
Dada barikiwa sana kwa nyimbo zako zenye upako wa mungu,,
Martha muziki wako ni maalum, nakupenda sana. Labda sielewi lugha yako lakini inatia moyo sana. Ninatoka Zambia.
Hata NAMI anaendelea kunipigania kila siku na kila saa.barikiwa dadangu Martha
Ameen,Martha ubarikiwe kwa kunitia nguvu ,mwaka wa 2019 nlikuwa kwa mlima ambao ulinishinda bt nlipousikia huu wimbo ulinipa matumaini zaidi
Huu wimbo unanibariki sana kwakweli hta mm sipiganagi mwenyew ninapiganiwa na baba,Kama nawwe unapigana mwenyew twende pamoja🙏🙏
God is for all of us. Nobody can defeat his good will for us all. Napiganiwa na baba kweli Amina kabisa. You bless us so much Martha through your songs.
Vile unavyonibariki Martha.
Umenifunza mengi Mama
Msanii ambae ukiacha kumpenda na kumwimbia Mungu""anazipenda nywele zake""so natural and beautiful always.Be blessed Martha in Jesus name.
I like 👍 her short natural hair too
when you trust God he will always fight your battles.wimbo mtamu sana barikiwa dada kwa maana bila yesu hatuwezi.mimi vita siwezi
Hi, the song really hits on me, be blessed
Ni kweli Mungu ndo kila kitu kwetu yeye ndiye anatupigania kwa matatizo makubwa tunayopitia waja apewe sifa na utukufu wake
Kwel sipigani mwenyew Mungu huwa ananipigania sanaa🙏 Asante Mungu wa mbinguni hakika wewe ni mwema sanaa
I was so weak until I heard this song and I play it daily in my house.
Mola endelea kunipigania
Namtwngea mungu daima
Mungu ananipigania adi naogopa me saizi sijui kupigana na mwachia yeye
Napiganiwa na baba
Helped me alot
This song lightens you up even at your hardest just like jesus
It was my favorite song the time I was going through frustrations in every area of my life, but Baba Mungu alinipigania I came out victorious. Glory be to God
Amen💯🙌🙌🙌
Amen
Amen
Amen
Amen
Ujuwe kama unanifariji sana kabisa mungu akupe kuishi myaka mingi njo ugermani tunakuitaji
Vita n ya yesu mwana wa mungu atatupigania kama familia in Jesus name
Kwa kweli sipiganagi mwenyewe napiganiwa Na Baba ktk maisha yangu Asante kwa huu wimbo unanibariki sanaa
Barikiwa sana Dada Martha Mwaipaja, nazipenda nyimbo zako, Mungu akuzidie kipaji Mara dufu am Bonny from Rwanda
Sipigani mwenyewe,balikiwa sana
hk siz martha nyimbo zko znanitianga nguvu sana,zdi kubarikiwa Amen
Enyewe umbali huu nimepiganiwa na Ebenezer. Santi sana Dada nimebarikiwa
To those who think salvation is only for the confused and ugly, this is your testimony. Mwaipaja is beautiful, stylish and classy and still love Jesus.
Much love from 🇰🇪
❤❤❤❤love mwaipaja songs zina nipeanga moyo
Xxdx4xxp6
She is beautiful, she dresses decently and she keeps blessing us with lovely gospel songs.
I like her dress code. Simple and descent👌
Uniponya Sana wimbo huu
This woman 🙏🙏🙏Martha you're a message to some of us be blessed uishi miaka mingi
Mtumishi wa mungu
Figure nayo🔥 ,anafanana na sarah selem
Kila moja anaye soma aniombe napitia magumu kabisaa huu wimbo unibariki mungu wangu
Mungu akuzidishie Dada coz Vita ninavyo hapa kazini naomba mungu anipiganie
Africa this is our season to show the world how to praise God!
Yes I agree!!!
Yes
that song is goo
Be blessed
The battle belong to him, mine is to give Him to find for me. Thank God
True because we have no other but him alone
th-cam.com/video/uGoFA4ZAPr4/w-d-xo.html
Mungu endelea kunipa kibali nabarikiwa sanaaa na nyimbo zako Martha ❤
Ni kwali atupingani wenyewe.ubarikiwe mtumishi wa mungu. I love this song from my heart inanibariki sana
The best chorist,,,,,,oh Lord be my fighter,,,,,wapi likes jameni for her
Amina Mungu amenipitisha kwenye magumu na kunipigania Hadi nimeshindaaaa ushindi wa kishindo milele.
amen wimbo umenibariki, vita siiwezi atanipigania Yeye. uuuuuuuuuuu mwenzenu sipiganagi mwenyewe
I'm ex muslim. This song make me realize that the Love of JESUS greater than anything in this world. Hallelujah
Amen.Welcome to the Kingdom of Most High....To Jesus the Redeemer,Saviour and Intercessor of our lives....Thankyou for being Bold as Lion....
Amen
L
@@reginawanjiku6536 my h
Amen and amen!