HAKUNA KUPOA! CHAMA, WACHEZAJI WENGINE WALIVYOFANYA MAZOEZI GYM BAADA YA KUMCHAPA VITAL'O 6-0

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 111

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 2 หลายเดือนก่อน +36

    Tujitaidi kujisajili ili kuendelea kupata wachezaji wazuri daima mbele nyuma mwiko🇹🇿🔰✔️

    • @elikindomondo3569
      @elikindomondo3569 2 หลายเดือนก่อน +3

      kweli kabsa

    • @AshimuMuhammad
      @AshimuMuhammad 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kabsa kbsa😊

    • @salimhusseni4784
      @salimhusseni4784 2 หลายเดือนก่อน

      Nimeona kitu kinanipa wasis baka kamanda baka kajishika msuli wa nyuma ya paja

    • @MrMatikiti_kudondoka
      @MrMatikiti_kudondoka 2 หลายเดือนก่อน +1

      mtu wa maan kabisa

    • @ThabitiMkemwa
      @ThabitiMkemwa 2 หลายเดือนก่อน

      Hakika

  • @michaelkapaya7164
    @michaelkapaya7164 2 หลายเดือนก่อน +13

    IPO SIKU KUNA TIMU KUBWA AFRICA HII ITAKUJA KUPATA AIBU KUTOKA KWENYE HILI JESHI LA GAMOND IPO SIKU 👏👏

  • @AdeniKasalile
    @AdeniKasalile 2 หลายเดือนก่อน +10

    Yanga daima nyuma mwiko hongera wachezaji wote kwa ushindi 1 rais wa yanga 👏👏👏👏👏👏

  • @abdunnurahmedsilim7456
    @abdunnurahmedsilim7456 2 หลายเดือนก่อน +6

    I do like this attitude and spirt! Keep it up boys till we reach finals and bring CAF TROPHY to TZ. For us every team we face is a tough opponent and a stumbling block on our way towards achieving our goals

  • @emmilemalewa4257
    @emmilemalewa4257 2 หลายเดือนก่อน +8

    Kweli Yanga wapo kiuwelred zaidi, na Wana jambo zito msimu huu.
    Mungu akubali dhamira na malengo yetu yatimie aamin

  • @AshourAli-d3e
    @AshourAli-d3e 2 หลายเดือนก่อน +3

    Allah awanusur n madua mabay y mahasid kwa uwez wa Allah tutaimaliz safar salam.

  • @fatmaomar8335
    @fatmaomar8335 หลายเดือนก่อน

    Daima mbele nyuma mwiko 💛💛💛💛💚💚💚💚

  • @rachelcheyo-p5z
    @rachelcheyo-p5z 2 หลายเดือนก่อน

    Love yanga

  • @MagangaJuma-w9d
    @MagangaJuma-w9d 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu ibariki yanga baba inshallah tutashinda daima mbele nyuma mwiko

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 2 หลายเดือนก่อน +4

    Ila wachezaji waache ubinafsi kwenye mechi ya vital o tungefunga zaidi ya nane ila kunasehemu ya kutoa pasi wachezaji wanalazimisha kufunga mfano kwa Aziz ki na max nafasi walipata zakumtoa pasi ambazo zingekuwa magoli ila wakataka wafunge wenyewe ushirikiano ukiwepo magoli mengi sana yatafungwa na msipo lizingatia Hilo huko club bingwa michezo migumu inayofatia ubinafsi utaicost team

    • @josephmapesa71
      @josephmapesa71 2 หลายเดือนก่อน

      uko sawa, ila wakati mwingine huwa ni tofauti kama timu ishapata matokeo na ikiwa inatafuta matokeo. pia unakuta timu imezidiwa sana hasa ktk kutengeneza nafasi, hapo ndo utahisi ni ubinafsi ila wao wanacheza pata potea aone labda goli linaweza kupatikana

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 2 หลายเดือนก่อน +1

    All the best chama langu💚🖤💛

  • @Mariejo123-g2x
    @Mariejo123-g2x 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndio maana mnashinda sana, mbajiandaa vizuri kila wakati. Pongezi kwenu💚🇹🇿🇹🇿💛

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugema 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nawaombea mje na Ushindi, mpambane kweli Kagera uwa inakomaa sana.👍👍👍

  • @Aviwamwadin-so3vy
    @Aviwamwadin-so3vy 2 หลายเดือนก่อน +3

    Leo wa kwanza🎉🎉🎉

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 2 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana Jeshi Langu
    Hakuna Kucheka na Kima

  • @Papycon22_
    @Papycon22_ 2 หลายเดือนก่อน +5

    Yanga kama Real Madrid 🔥🔥

  • @claratango9262
    @claratango9262 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏

  • @danielbenard9053
    @danielbenard9053 2 หลายเดือนก่อน

    Let us proud of our team

  • @babuumaeda7671
    @babuumaeda7671 2 หลายเดือนก่อน +2

    BALEKE 🎉🎉🎉🎉

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzize ni drogba mtupu🎉🎉

  • @AshamiBoy
    @AshamiBoy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Timu hii ni Bora sana

  • @MarkBenedict-w5c
    @MarkBenedict-w5c 2 หลายเดือนก่อน +6

    Chama baba chamaaaaaaa🎉🎉🎉💛💛💚💚🔰

  • @Youtuber-Tanzania
    @Youtuber-Tanzania 2 หลายเดือนก่อน

    keep building the greatest Team ever seen in our Country

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 2 หลายเดือนก่อน +1

    Good luck!

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki sana!

  • @Pachamasele
    @Pachamasele 2 หลายเดือนก่อน

    Tujisajili jamani tunapenda wachezaji wazuri awaji bila kuwa na pesa

  • @elikindomondo3569
    @elikindomondo3569 2 หลายเดือนก่อน +3

    jamani tuji sajili na uana chama

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chama langu 😇🔰🔰🔰🔰🔰

  • @ibrahimmzito390
    @ibrahimmzito390 2 หลายเดือนก่อน

    kila atua dua daima mbele nyuma mwiko

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 2 หลายเดือนก่อน

    oneni watu wanavomwaga jasho alafu m2 ukipigwa hamsa mnallalamika kaeni kwa kwa ku2lia wapinzani wa yanga

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hangalia sehemu ya mazoezi timu km za mbele wanavyolelewa alafu mtu anapigwa 10 mnasema wanatumia madawa unakili kweli weee

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndo kazi yao, hakuna kulala wanasafari ndefu sana bado kabisa

  • @MzeewaYanga-hm8jq
    @MzeewaYanga-hm8jq 2 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🙏💪💪💪

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 2 หลายเดือนก่อน

    HII NI ISHARA KWAMBA MAONI YETU MNAYAFANYIA KAZI,KEEP IT UP ,WE PRAY AND PLEDGE IF THERE IS ANY MEANS OR WAY OF PHYSICAL IMPROVEMENT TO HAVE A LEVEL OF EUROPEAN TEAMS STANDARD WE WILLSURELY WIN AFRICAN CLUB CHAMPIONS LEAGUE CUP,AS WE ALWAYS FAIL LACKING PHYSICAL BATTLES MENTALY NOT QUALITY. KEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEP IIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIT UUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUP,TIMU KAMA HAYA MA FOUNTAIN NA TABORA NOT OUR STANDARD .

  • @chollejr_
    @chollejr_ 2 หลายเดือนก่อน

    Ili zoezi walilomalizia kina aucho unaweza kufa mapaja😂😂😂

  • @KudraEliasa
    @KudraEliasa 2 หลายเดือนก่อน

    Yanga laha San mazoezi mazuli san

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 2 หลายเดือนก่อน +2

    My team 😂🎉

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ndo uchawi wenyewe sasa! Hakuna uchawi ktk mpira wa kisasa kama huu!

  • @hajiali1572
    @hajiali1572 2 หลายเดือนก่อน +1

    Madawa ya wachezaj wetu yanaazia hapa

  • @MalinoKadwame-u1c
    @MalinoKadwame-u1c 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamn I yanga au ipo free masoni

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 2 หลายเดือนก่อน

    Sanda huku wanapiga kelele sana jamani

  • @justinathanas6783
    @justinathanas6783 2 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥

  • @MwamvuaMwita
    @MwamvuaMwita 2 หลายเดือนก่อน

    A ziz ki. Hayupo

  • @Alinda-ot4no
    @Alinda-ot4no 2 หลายเดือนก่อน

    my team 👊

  • @MatikiMwibeleca
    @MatikiMwibeleca 2 หลายเดือนก่อน

    Ongeran San from USA 🇺🇸

  • @athumaninyituki7011
    @athumaninyituki7011 2 หลายเดือนก่อน

    Yang

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 2 หลายเดือนก่อน

    Daima mbele

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 2 หลายเดือนก่อน

    Anzeni kumnoa Baleke aive na yy

  • @songombingo108
    @songombingo108 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hizi mambo huzikuti kwa Madunduka😂😂

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 2 หลายเดือนก่อน

      Takiri yao anaelewa ya kuwaweka kambi km hiyo alafu hao viongozi wao wanaueledi wa mpira

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 2 หลายเดือนก่อน

    ALISEMA ANAOGOPA WACHEZAJI 2 ENGINEER HERSI NA ALI KAMWE 😂😂😂HAKUKOSEA 💚💛💚💛

  • @jairatu688
    @jairatu688 2 หลายเดือนก่อน

    Halafu kuna mwehu mmoja anasema yanga wanatumia madawa ya kuongeza nguvu ......hivi hawaoni mazoezi mnayoyafanya

  • @IddyMwaimu
    @IddyMwaimu 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @jambia4515
    @jambia4515 2 หลายเดือนก่อน

    Aya ndio mambo tiliyakosa muda mrefu tuwashukuru walowekeza

  • @MwanaidiJuma-z8x
    @MwanaidiJuma-z8x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mm nampenda boka nipo Kenya ukweli msinishangae

  • @shaftmrutu7962
    @shaftmrutu7962 2 หลายเดือนก่อน

    Background music ni nzuri sana ila mpunguze kidogo sauti ili tuburudike.vizuri zaidi. Yanga raha jamani.

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 2 หลายเดือนก่อน

    Tukajisahiri tupate kadi ya uwanachama ili club ipate wachezaji bora

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 2 หลายเดือนก่อน

    Daima mbele, nyuma mwiko!

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 2 หลายเดือนก่อน

    hawa ndiyo watu wakazi sasa...!

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 2 หลายเดือนก่อน

    sidhani kama haya mazoezi yako kwa madunduka hua nawaona wanarukaruka 2 kule kwenye mashamba ya mpunga

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx 2 หลายเดือนก่อน

    Viva yanga

  • @danfordmwangesile9043
    @danfordmwangesile9043 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga taifa kubwa. Daima mbele nyuma mwiko. MNYAKYUSA toka ZANZIBAR

    • @hemedbakari8997
      @hemedbakari8997 2 หลายเดือนก่อน

      YANGA inaitwa Umoja wa Mataifa mikia ndio inaitwa taifa kubwa hata zamani kulikua na kanga zimeandikwa hivyo

    • @barikilangoy4737
      @barikilangoy4737 2 หลายเดือนก่อน

      Rudi nyumban zanzibar akuna kabila,wanajiita waswahili

  • @AhmedHussein-l3t
    @AhmedHussein-l3t 2 หลายเดือนก่อน +2

    Aziz ki where are you

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jmn mngewaacha wapumzike ata Leo tu kuna timu hazitakuja uwanjani😂

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mabingwa balaa tupu❤

  • @JaphetMasalu-n9d
    @JaphetMasalu-n9d 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kupowa

  • @youngshisha6115
    @youngshisha6115 2 หลายเดือนก่อน

    Mazoezi ya yangu sio mchezo jasho lazima likutoke la kutoshaa 😅😅😅😅

  • @zuberihassan3629
    @zuberihassan3629 2 หลายเดือนก่อน

    Faridi Musa sioni hat kucheza

  • @WinnieMashinga
    @WinnieMashinga 2 หลายเดือนก่อน

    Anatokea mjinga mmoja Anasema wachezaji wa Yanga wanatumia madawa yakuongeza nguvu

  • @OmarOmar-gq5tk
    @OmarOmar-gq5tk 2 หลายเดือนก่อน

    EXPENSIVE TRAIN FOR BRING CAF TRAPHOY IN TZ. DONT LISTEN WHAT THEY SAY JUST LOOK FORWAD. ONE DAY YOU" LL READ MY COMMENT.AFTER MISSION ACCOMPLISHED.

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz1230 2 หลายเดือนก่อน

    Ipo siku yanga tutawapiga 5 -0 alafu chama mzee

  • @IyumbuMartine
    @IyumbuMartine 2 หลายเดือนก่อน

    Ila sijamuona Max

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 2 หลายเดือนก่อน

      Yupo mbona

    • @IyumbuMartine
      @IyumbuMartine 2 หลายเดือนก่อน

      @@frida-oi6kw au sijaangalia vzr

  • @YusuphBupamba
    @YusuphBupamba 2 หลายเดือนก่อน

    Ibrahim bacca unategea komaa mwamba wetu

  • @IyumbuMartine
    @IyumbuMartine 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kupoa,,, next stop kaitabaaaaaaaaaaa wahaya twaja huko

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 2 หลายเดือนก่อน

    Khee shekani yupo ?😂

  • @morningstarartproduction8436
    @morningstarartproduction8436 2 หลายเดือนก่อน +1

    𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐜𝐢𝐥𝐢𝐭𝐢𝐞𝐬 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐭𝐢𝐦𝐮 𝐳𝐚 𝐮𝐥𝐚𝐲𝐚 𝐭𝐮

  • @edithajohn9600
    @edithajohn9600 2 หลายเดือนก่อน

    Wanaume wanamwaga jasho tu,,,

  • @mjinjasagamambi7531
    @mjinjasagamambi7531 2 หลายเดือนก่อน

    Mkude kamwagika maji😅

  • @FredyCharles-sz4gr
    @FredyCharles-sz4gr 2 หลายเดือนก่อน

    Mbon kam kibwan shomar anaraa shida nn

  • @LukaKisoka
    @LukaKisoka 2 หลายเดือนก่อน

    Nani kamuona chama akisema mabululu

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud 2 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🔰🔰💚💚💛💛💛🔥🔥🏆

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani kibwana kafiwaa????😂😂😂😂

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj 2 หลายเดือนก่อน

    Kwaio pacome anajua kisawhili

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 2 หลายเดือนก่อน

    Watu.ktk kusajiri ndio km wazito furaha wanaitaka jitahidini kuwa wana chama kamili

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 2 หลายเดือนก่อน

    Watu wanakula tizi uku la kuuwa mtu

  • @amanizavala
    @amanizavala 2 หลายเดือนก่อน

    Utopolo

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kolokwinyo zavala! Hakikisha unaendelea kumeza panadol za kutosha ili angalau upunguze maumivu lakini tambua Panadol haziondoshi mateso.. kwa hiyo endeleeni kuteseka kisha go to hell!😂😂😂😂😂

    • @aishabakari8040
      @aishabakari8040 2 หลายเดือนก่อน

      Kolo

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 2 หลายเดือนก่อน

      Ubaya ubwela ndo huu Sasa! Kolozidad mpo!

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 2 หลายเดือนก่อน

      Unasemaje bibie Deborah

  • @himanmwalwala7569
    @himanmwalwala7569 2 หลายเดือนก่อน

    WAACHE tu kutumia

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 2 หลายเดือนก่อน

    KWANAMANA HII NI LAZMA WASEME WANATUMIA MADAWA DADEK...!

  • @vestinamartin8570
    @vestinamartin8570 2 หลายเดือนก่อน

    💚💛💚💛🫶🏻

  • @joshemman520
    @joshemman520 2 หลายเดือนก่อน

    yao hakumsalimia baka na baka ni kama alijua like hawakosawa

  • @LightnessCharlseKimaro
    @LightnessCharlseKimaro 2 หลายเดือนก่อน

    𝑴𝒚 𝒇𝒂𝒗𝒐𝒓𝒊𝒕𝒆 𝒕𝒆𝒂𝒎

  • @mgenikhalfan9258
    @mgenikhalfan9258 2 หลายเดือนก่อน +1

    𝙖𝙢𝙖𝙣 𝙬𝙬 𝙠𝙬𝙚𝙡𝙞 𝙣𝙜𝙪𝙧𝙪𝙬𝙚 𝙛𝙘 𝙢𝙖𝙖𝙣𝙖 𝙠𝙞𝙡𝙖 𝙨𝙞𝙠𝙪 𝙪𝙣𝙖𝙪𝙢𝙞𝙖 𝙬𝙬 𝙩𝙪 𝙮𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙮𝙚𝙩𝙪 𝙠𝙚𝙣𝙜𝙚 𝙬𝙬 𝙨𝙖𝙣𝙙𝙖 𝙛𝙘

    • @MwanaidiJuma-z8x
      @MwanaidiJuma-z8x 2 หลายเดือนก่อน

      Haki mm nikwambie ukweli atanikifa Leo but nipo Kenya ila nampenda sana boka mwambieni namanisha