Pole sana Diva nikumbia muda tu ulipolewa nikuambia kwa kweli kosa arudi kosa nashukuru umetoka kwa kweli yaani family hiyo yake acheni nao cicle yake usishitlrikiana nao huyu kijana sawa na mbakiji na huyu mtoto shida alipewa laki saba ndio biashara kafungua kweli toxix hatakuwa hata mfanyia mambo yakiwi kufanyiwa anasema mke kweli kaoa kijakazi kwa kweli kwanza unaona ana nuru amechoka kwa mapenzi hatari yeye siku siku hajifanya anifanyisha kazi pesa nambiwa nivahe baibuhi hata hereni hakuna
Diva, you are dealing with a narcissist who does not care about your explanations or complaints-they thrive on attention, whether it is positive or negative. Their behaviour is driven by a need for energy, and any reaction from you only fuels them. Focus on finalizing your divorce and stop engaging with him, whether in person or on social media. The moment you stop arguing or giving him any attention, he will lose his power and control over you. Narcissists are abusive, selfish, manipulative, immature, and insecure. Their survival depends on bringing others down while playing the victim. Stay strong and keep your distance, even when he tries to provoke you. Grey rock him-and remain indifferent and unresponsive. It will frustrate him and strip him of the control he craves
Diva wewe ni shujaa tafuta amani ya moyo, nenda kanisani na utaona mkono wa Bwana. Una historia kubwa nzuri sana mbele yako. Stay strong and be blessed.
Kumbe yanaumaeeeeeh, unavyokua unayaingilia ya wezak Diva, leo ni leo na ataongea kweli kipindi ulikua unapewa mapenz na ulikua ujui kama yeye ahana pesa yakiwa njenje ndo unataka utuambie et yeye ni tapelii hapanaaa atukubaliani na mambo yako, Diva tulia tumeshajua maisha yako yalivyo
Huna akili, ndio maana hata Abdul amekuburuza, sasa unapomtaja Ricardo momo huoni kama unampa Audio Kwa Abdulrazack na hata watu wengine na hata Kwa babe wake, huna akili diva kweli huna pole sana,
Dada pole sana wanawake tunapitya mengi sana tusipo jitambuwa tutazalilishwa sana unaweza kutembea umevaa vizuri kumbe watu wanakuona upo uchi kabsaaaa🙌
Ya kwako nayo nje nje, acha kutufanya kama washamba Diva uwezi kuishi na mwanaume ambaye hana pesa wewe, wewe ndo uliachwa bhn na bado kumbe na wewe unatoa machozi, ndo shid ya mwanamke kuchelewa kuolewa ahuoni hata aibu kwa miaka uliyonayo kwendraaaaaaah
Pole sana hakuna kitu kibaya kama kumkana Yesu Kristo kwa ajili ya kitu au mtu,ila Mungu wetu ni wa huruma na rehema tubu nae atakusamehe na atakupa mume mwema ila na wewe acha,sifa,majivuno na majigambo.
Kama ni tapeli Kwani ulikubali kuolewa naye?Hukujua kama ni tapeli tupishe siye? Asiyesikia la mkuu huvuniika guu ulionywa sana Diva. kweli Umeona mwenzio sasa ana peta tu jifunze kutoka na makosa.
Mmmh unataja wtu tena waliokusahidia mama.weeee diva mbona.unavuruga vuruga unawachochea wtu tena nakupenda.lakini kwa hili diva wngu don't usiwe unawatqja watu kwa kuwaunganisha na hili...pole.lakini nonooo noo usifanye hiv unaongea ukweli lakini utaonekana ueleweki usihusishe waliokushauri..umepitq hapo kwa sababu thank God diva ni mafundishoo umepitq kujifunzaa love ❤
Ukome si ulikuwa unajigamba kama mm ntapata mume mwenye pesar maharishi millions 40 tujifunze binaadam majigambo sio mazuri ukijiganba basi anatolia mtu anapanga nae kama mm ntaingia pale na sitotowa hiyo pesaro.
Mapenzi niliyasahau kitambo staki niyape nafasi ya kunitawala yalitaka kunitoa roho cha msingi kuwa na moyo wa kuzalau dada unapomuongelea yy furaha kwake kwa nn umpe mtu furaha na ww unaihitaji mnyamazie maisha mengine yaendelee kunyamaza jibu la mjinga
Jamani yapo hayaa! Tunayapitia wengii! Tumuonee huruma saana na tulimwambia toka day one. Ila mapenzi ni upofu, wapo wengi wanaume kama hao na wana wake tunavumilia mengiiii! Na wa gumu kutoa TALAKA sielewi kwani hawapendi kutoa talaka. Pole Diva tuna yajuwa hayo tunayo. Huyu anakurusha Roho tu, acha usimjibu unampa KIKI usimpe Airtime huyu mpuuzi tu hajitambui kabisaa.
Kumbe wewe umemuelewa diva vizuri sana waume waivo wapo na familia zao ziko ivo mtu kitu bila kuwapa kitu wanamtuma ndugu yao atafute mke mwingine we acha tu ambae ajamuelewa diva atamuona kama anamdomo lakini uyu kaka nitapeli kweli wa mapenzi
@@joycemkeka3769 wengii sana! Tunao tunaishi nao, ila inabidi uwe shupavu kupambambana nao na bila kijali utachwa au ataowa, mradi na kazi yangu na kwangu aendeee harakaa. Ila huyu Abdul mswahili na mshamba sana, ana mtusha roho Diva aseme! Ingekuwa mimi ningemnyamazia kimyaaa! Nikafanya yangu ila inaumaaaa una weza kuiwa.
@@najmanuru2021 kwa hiyo anavyolopoka umemsaidia nini? Mbona kashindwa ku move on kutwa kutusumbua na hiyo ndoa yake kamshauri aitishe na waandishi wa habari ili aropoke vizuri aende na BBC ili aitangazie dunia aone kama itamsaidia chochote.kutwa anaonekana kituko tu
Ongea mwaya moyo upone hawa baadhi ya wanaume matapeli wanakera sana ukimpenda anakuona mjinga ukimuacha anachanganyikiwa dawa ni kuwaacha tuu waendelee na maisha yao na utapeli wao
Diva anaumia kwasababu sio muhini akipenda amependa❤Mungu atakupa wa kwako
Kwakweli
Kweli kbsaa
Kweli kabisa
Huyu mwanamme ni anapenda ustaaa
Dada yetu diva ,tunakupenda sana DIVA wetu ،tuko pamoja hadi wakutoe roho dadekiii zaooo❤❤❤❤
😂😂😂😂
Ametokwa na povu kama lote😂😂😂
Leo kiswahili kimenyoooka😮😮😮😮
Diva uliambiwa tangu mwanzo kuwa huyo mtu hafai ukawa mbishi hatimae umejionea mwenyewe. Pole sana❤❤
Hata Sabrina alisema hadharani lakini ,Diva was inlove
Amejionea sasa si alikuwa sikio la kufa
Chezea kurogwa wewe😂
Huyu kaka nitapeli kweli anaonekana mnyanyasaji sana
Sanaaaaaaa
Wewe nawe umejaa kwenye mfumo
We nawe akili za kuambiwa changanya na za kwakoo we unajaa tu kwenye mfumo mzima mzima khaa.!!
Serikali imchukulie sheria anadhalilisha wanawake Kwanza anawalipua akili ili wamlee
Kbs div acha akione tulimwambia😂😂nayule bint alilia vid hakujali akahis yeye atamuweza Abdul 😅😅😅😅leo kamin sasa😂😂
Diva usikimbize watu kwenye hayo mahusiano usitaje majina ya watu waliokushauri sio vizuri.
🎉🎉🎉
Huyu dada kiazi kweli 😅
Ni kweli hakutakiwa ataje jina ndomana mambo ya ndoa bwana mshauri anaponzwa
Umesema kweli,huyu sio wa kuambiwa kitu diva mtu kakushauri au kakupa siri afu unakuja kumuanika adharan sio poa
😂😂😂 watu kama Hawa usiwashauri kuhusu mahusisno utaumbuka
Siku zote UNAJISHAUA hujui kuongea kiswahili vizuri lakini leo Maasha'Allah unaongea kiswahili kizuri sana....HAHAHAHAAAAAA😂😂😂😂
Sema napenda huyu dada anavyoongea,good voice
😂😂
Hahahaha
Diva polee Sana unahaki yakuongea hyo mwanaume anakupanda kichwani Sana mshikishe Adabu
Muongo huyo dada
Simo muongo uchungu upo moyoninajua ndoa sasa ninamiaka 20 unacho kisema kweli
Wapo wanaroho mbaya
Hivi huyu ni Shekh kweli au???
Ndoa sio kitu cha lazima wanawake wenzangu😢tujifunze diva alikurupuk sana kiukwer uyu kaka ni mchafu wa tabia
Aina hii ya mwanaume Huwa hovyo kabisa
Kwa mdomo wa huyo mwanamke abdulrazak kuvumilia sna anaongea sana uyo dada mzuri yy, kingereza yy, kunyooka kunyooka yy , kamkoma mamake zake
We huna cha ajabu
Analia mapenzi hakutegemea mwenzie kutambulishwa ,afu kumbe Kiswahili unaongea vzr bila kiswanglish makubwa
Pale anakua kazini ila hapa kapanic anahasira
Hahaaaa umeonee km angekua na hekma angenyamaza
Toka hapa mchawi wewe
Leo kiswaili kingii atujakuzoea ivyo😅
Yamemfikaaaa
Diva anaongea kiswahili kizuri jamani😂😂😂
Hahaha kumbe anajua kiswahili jmn😅😅😅😅
Ila waja😊
@@modestajamada3496 Eeh anakiweza kabisa 😂😂😂
Pole sana Diva nikumbia muda tu ulipolewa nikuambia kwa kweli kosa arudi kosa nashukuru umetoka kwa kweli yaani family hiyo yake acheni nao cicle yake usishitlrikiana nao huyu kijana sawa na mbakiji na huyu mtoto shida alipewa laki saba ndio biashara kafungua kweli toxix hatakuwa hata mfanyia mambo yakiwi kufanyiwa anasema mke kweli kaoa kijakazi kwa kweli kwanza unaona ana nuru amechoka kwa mapenzi hatari yeye siku siku hajifanya anifanyisha kazi pesa nambiwa nivahe baibuhi hata hereni hakuna
Mm cjakuelewa hii msg Kuna sehem umekosea
😂😂😂@@KhadijaMasoud-m6u
Asa povu la nini!!
Tu ulisha move On, Unamzungumzia wa nini!!!
Unge kaa kimya, Ingekuwa Bora Zaidi.
Roho Inakuuma bana.
Kwa kimwanaume gani!!
Pole sana mdogoangu muache akuongelee mpaka atachoka mwenye ajitambui uyo mwanaume pole sana ajielewi uyo achana nae mamaangu kipenzi
Uyo Abdoul ajirudie emo jman hiyo loo loo ya wanawake wanalia kil siku ajil yake atapit shida
Huyu dada ni shida
Huyu Abdul ni tapeli walah
@@husseinmillingana mwanaume nae
@@chunaabdullah1333 wewe ndio mwanaume
Makubwa 😮 mzungu kawa mswahili leo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kunoga mambo😂😂😂
Tena kiswahili cha kiswahili😂😂
😂😂😂😂
@user-z😂😂😂s4qz4wm2n
🤣😂🤣😂punguza presha Diva umepatikana umekula kwako Abduli ongeza mwengine
Diva, you are dealing with a narcissist who does not care about your explanations or complaints-they thrive on attention, whether it is positive or negative. Their behaviour is driven by a need for energy, and any reaction from you only fuels them. Focus on finalizing your divorce and stop engaging with him, whether in person or on social media. The moment you stop arguing or giving him any attention, he will lose his power and control over you. Narcissists are abusive, selfish, manipulative, immature, and insecure. Their survival depends on bringing others down while playing the victim. Stay strong and keep your distance, even when he tries to provoke you. Grey rock him-and remain indifferent and unresponsive. It will frustrate him and strip him of the control he craves
It's true narcissist are very dangerous, you can't change them
It's very hard to deal with narcissist person especially a man@@gloriamkongwa4486
Huyu Mwanamme mbaya na muongo sana alisema kanuna nyumba mara sjui napandisha tapeli mkubwa
Diva unamkumbuka Sabrina wewe si ulitamba 😂😂 imekurudia mwenyewe sasa hivi
Sawasawa. Umesema kweli ndugu yangu. Diva alimshushua Sabrina akajiona wa maana,kiko wapi😢
Malipo ni hapa Duniani wallah
Tena alivimba haswa😂
Alimpeleka mpaka porisi Leo yamekua ayo
Jehanamu haiko mbali jamani ni hapahapa
Diva jamani wewe dada, mshukuru Mungu amekuepusha na aina hii ya mwanaume, ingewezeka usimuongelee kabisa let him go
Hivi anavyoongea ndio anapona.
Eh eh eh ,Mungu tuongoze usituache wenyewe ,mnapenda kujulikana ,nandiowatu wanatufanya biashara ,huyo kaka mtihani ,hamuogopi Mungu naanamchezea Allah ,nimjaalana huyo ,Diva,achana naehuyo anapenda umpe kiki ili aishi ,muuza sura huyo
Waume wako na shida kweli pole sana mama Mungu atakupa mtu sahihi
Diva you have said it all mamaa. Superwoman ❤❤
We understand you Diva ❤❤❤❤❤❤❤
Kabisa. Tunamwelewa❤
She had no respect for her husband and his family. She's too much of her self and she's very childish good for her.
Adi msukule anajua kwa kiswahili, ulimliza dada sabrina sana ww kimekulamba
Huyu Kweri diva mbona nikachanganikiwa🤷Leo Kawa muswahili nakupenda sana ❤funzo kwa wanawake
Diva kaongea sana kwa uchungu😢😢😢😢😢😢
Deep down she still love this guy the way she talk i notice something
Asante umelijua hilo kumbe ♥️🥰
It's ain't easy to leave a Narcissist yani nikama wanakuaga wachawi uyu akipigiwa sim tu anarudi nyumbani na msamaha anaomba yeye😂
Anamfanyia uswahili ila alivyoongea kachoka huyu mwamba ni mbwa
Diva achana nae, He was squeezed you up to the born. Achana nae.Mungu atakupigania. Rudi kanisani na Mungu atakushindia.
Pole sana diva muombe sana mungu atakusaidia achana nae
Just advice her to grow up and stop being childish😂
Ametokwa na povu kama lote😂😂😂😊
Diva wewe ni shujaa tafuta amani ya moyo, nenda kanisani na utaona mkono wa Bwana. Una historia kubwa nzuri sana mbele yako. Stay strong and be blessed.
Diva ungekaa kimya sasa unaonekana umepanic si unampenda bado, unge move on kimya kimya watu wanakuona kumepanic
Mwanzo Nilijua diva haujui kiswahil vizur
Hahahaha miyayusho tu
anajua adi mafuta ya taa😂
@@agnesjohn3125😅😂
😅 muba
@@agnesjohn3125😂😂😂😂😂😂Ana kiswahili kimenyooka
Pole Diva umepitia Mengi, pumzika fanya yako.Jinyamazie Diva.
Pole my sis
Pole Diva. Ila nimependa unavyo ongea hapa.
yani ningekuwa wew ningefunga mdomo unapomuongelea anapata kichwa
Tumuache atoe yamoyoni huenda atapata nafuu ya moyo
Ayajakukuta wewe ndugu
Huyu sheikh gani anazaa nje ya ndoa. Dini yetu hairuhusu kuzaa bila ya ndoa. Anatuchafulia dini.
Sema ukweli mana kunawanao msifia wakati kweli amekosea
Hilo ni shehena sio shekh
😅😅😅😅Kumbe anajua kunyoosha kiswahili vizuriiii amepanik sanaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jaman
Sioni kama amepanick anaongea tusiyoyajua, na anaakili bora katoka
Anaongea bwana😂😂😂
😂😂😂et meno kayatoa😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
duu nimeshanga sana diva kumbe nayeye mapenzi yanamumiza kumbe mapenzi yananguvu
Kumbe yanaumaeeeeeh, unavyokua unayaingilia ya wezak Diva, leo ni leo na ataongea kweli kipindi ulikua unapewa mapenz na ulikua ujui kama yeye ahana pesa yakiwa njenje ndo unataka utuambie et yeye ni tapelii hapanaaa atukubaliani na mambo yako, Diva tulia tumeshajua maisha yako yalivyo
Huna akili, ndio maana hata Abdul amekuburuza, sasa unapomtaja Ricardo momo huoni kama unampa Audio Kwa Abdulrazack na hata watu wengine na hata Kwa babe wake, huna akili diva kweli huna pole sana,
Si keshakuvuwa chupi Divaa 😅😅😅.. Si umelala nae uchi 😅😅😅 Basi kaa kimya tu keshakupiga rungu sana😅😅😅
Na kasema Hana maajabu eti diva hajui kucheza mpira kitandani mmmh
@annajoseph99 hyu jamaa chizi hivi unaweza ongea mambo ya mkeo eti ajui kitu kitandani.
Pole san my love ajifanya mganga mganga gan anae fanya uzizi mpige tukio moj tuu atokomee kusikojulikana
Dada asira zitamuuwa uyo dada kwaiyo mama mkwe wako analala chini kweli sasa kama ulikaa nae miaka yote ulishindwa kumnunulia kitanda mama yake
Hapo Sasa na amesema ana roho nzuri
@@JacquelineMahumbekwahyo yy kaz yake aliolewa kulea mume na familia yake au mume ndo amhudumie yy? Nini maana ya mume ?
Nimekupenda Diva wangu Leo kwasisi kingereza kinadushinda umetufanya tusikie natuerewe natujifunze
Diva tumekuelewa lakini ulisema uwezi kuongea kiswahili moja kwa moja 😂😂leo unaongea kama dafa angu maria aya pole
😂😂😂😂
KUMBE diva ana kiswaili kizuri ivi mashaallah 😢
Ni sawa tumeelewa! Ila umekosea kumtaja Likado momo kuwa alikwambia utoke umefanya kosa
Yaani mpaka usemee😅😅😅 bado hujasema
😂🤣☺
Husiombe maji tu😅😅
Pole sana umesema kweli kabisa wengi tunapitia hivyo vitu ukichukua sheria wanakugeuka❤
Pole saaaaaaana Diva,
Ila alisema hii interview mtaona atajibu yan hata hapajakuchaa
Dada pole sana wanawake tunapitya mengi sana tusipo jitambuwa tutazalilishwa sana unaweza kutembea umevaa vizuri kumbe watu wanakuona upo uchi kabsaaaa🙌
Ya kwako nayo nje nje, acha kutufanya kama washamba Diva uwezi kuishi na mwanaume ambaye hana pesa wewe, wewe ndo uliachwa bhn na bado kumbe na wewe unatoa machozi, ndo shid ya mwanamke kuchelewa kuolewa ahuoni hata aibu kwa miaka uliyonayo kwendraaaaaaah
Huyu ndo alisema mahali yake ni ml500 leo anatokwa povu hivo, tafuta ela fanya kazi kula vizuri ishi vizuri haya mapenzi hayalazimishwi
Pole sana hakuna kitu kibaya kama kumkana Yesu Kristo kwa ajili ya kitu au mtu,ila Mungu wetu ni wa huruma na rehema tubu nae atakusamehe na atakupa mume mwema ila na wewe acha,sifa,majivuno na majigambo.
Kama ni tapeli Kwani ulikubali kuolewa naye?Hukujua kama ni tapeli tupishe siye? Asiyesikia la mkuu huvuniika guu ulionywa sana Diva. kweli Umeona mwenzio sasa ana peta tu jifunze kutoka na makosa.
Sipendi tabia anataja watu ili iweje
Mmmh unataja wtu tena waliokusahidia mama.weeee diva mbona.unavuruga vuruga unawachochea wtu tena nakupenda.lakini kwa hili diva wngu don't usiwe unawatqja watu kwa kuwaunganisha na hili...pole.lakini nonooo noo usifanye hiv unaongea ukweli lakini utaonekana ueleweki usihusishe waliokushauri..umepitq hapo kwa sababu thank God diva ni mafundishoo umepitq kujifunzaa love ❤
Usitaje watu majina bhana waliokuadvice bhana
Bado anampenda na ndio mana anausisha watu wengine ili tu apate faraja
😂
😁😁😁 asikwambie mtu mchambo wa kiswahili una Raha yake,😁😁 Leo hi dada full Swahili, pole sana, lakini ulipewa taarifa jamaa siye ukuamini,
Pole fanya maisha yako mdogo wangu🙏💆
👂🏾👂🏾👂🏾😳😳🫣🫣🤔🤔🤔Divaaaa Kifua Kitapasuka Hawezi Kuhema 🚑🚑🚑Wacha Uongooo umepatikana ushatumiwa Divaaaaaa Wacha Maneno Mengi ulipokuwa nae mbona hukuyasema🤔🤔Nawe umetumika Poleeee weweee Diva uliachwa Na laana za Sabrina Hizooo Shangaziiii kigagulaaa Leta mzungu Tumuone wewe bado kubwa jinga nyambavu 😏😏🫵🏾✍🏽🗣️🗣️📢
Ukishiliki sana waganga lazima wakuoe tu
@@OmanOman-dd5qk 🤣😂🤣💯💯💯✍🏽
😂😂
Akumjua tapeli sasahivi ndo kajua yy sialusema ataolewa maali milion 500 wacha kimrrrrrrambe
@@HusnaMuhidin 😂🤣😂🤣😂🤝
Huyu abdul ni jambazi wa wanawake
😂😅
😂😂😂😂
😜😜😜😜
Litapeli kabisaa
@@salomewandya7257 Badoo haujasemaa 😂
Mashallah diva kumbe mswahili hivi nilijua hujui kiswahili hee chezezea mume wewe haya pole
Ukome si ulikuwa unajigamba kama mm ntapata mume mwenye pesar maharishi millions 40 tujifunze binaadam majigambo sio mazuri ukijiganba basi anatolia mtu anapanga nae kama mm ntaingia pale na sitotowa hiyo pesaro.
Mapenzi niliyasahau kitambo staki niyape nafasi ya kunitawala yalitaka kunitoa roho cha msingi kuwa na moyo wa kuzalau dada unapomuongelea yy furaha kwake kwa nn umpe mtu furaha na ww unaihitaji mnyamazie maisha mengine yaendelee kunyamaza jibu la mjinga
Leo anaongea kiswahili nyambafu
Sali sana muombe mungu mkabidhi mungu kila kitu
Mungu sio mungu
Kumbe diva anaongea kiswahili cha waswahili haswa .hakuingiza kudhungu hata kidogo😂ile sauti ya ravidai haipo kabisa.pole sana mdogo wangu
Kigagula😂😂🎉 kachachamaha
😂😂😂😂MANGE KIMAMBE🙌🙌😂😂😂
Daah dada pole sana jaman diva Mimi namuelewa sana amechoka yamemfika shingon
Kumbe unajuwa kiswahili vizuri kabisa dah
Leo Diva amesahau yeye ni muingereza 😂
@@nahyialetomia9284😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Yani😂😂😂
😂😂😅😅
Jamani yapo hayaa! Tunayapitia wengii! Tumuonee huruma saana na tulimwambia toka day one. Ila mapenzi ni upofu, wapo wengi wanaume kama hao na wana wake tunavumilia mengiiii! Na wa gumu kutoa TALAKA sielewi kwani hawapendi kutoa talaka. Pole Diva tuna yajuwa hayo tunayo. Huyu anakurusha Roho tu, acha usimjibu unampa KIKI usimpe Airtime huyu mpuuzi tu hajitambui kabisaa.
Kumbe wewe umemuelewa diva vizuri sana waume waivo wapo na familia zao ziko ivo mtu kitu bila kuwapa kitu wanamtuma ndugu yao atafute mke mwingine we acha tu ambae ajamuelewa diva atamuona kama anamdomo lakini uyu kaka nitapeli kweli wa mapenzi
@@joycemkeka3769 wengii sana! Tunao tunaishi nao, ila inabidi uwe shupavu kupambambana nao na bila kijali utachwa au ataowa, mradi na kazi yangu na kwangu aendeee harakaa. Ila huyu Abdul mswahili na mshamba sana, ana mtusha roho Diva aseme! Ingekuwa mimi ningemnyamazia kimyaaa! Nikafanya yangu ila inaumaaaa una weza kuiwa.
Wew acha kujidhalilisha mwanamke mwenzangu ungekaa kimya tu hayo unayoyasema unajidhalilisha
Adui wa wanamke mwanamke ...
Kajidhalilisha na nini? ukimya ndo unakuta wengi mnakufa kwenye ndoa za kikatili kisa kuogopa kuongea
@@najmanuru2021 kwa hiyo anavyolopoka umemsaidia nini? Mbona kashindwa ku move on kutwa kutusumbua na hiyo ndoa yake kamshauri aitishe na waandishi wa habari ili aropoke vizuri aende na BBC ili aitangazie dunia aone kama itamsaidia chochote.kutwa anaonekana kituko tu
@@ShangweSylus-nf6we mwanaume ndo ana haki ya kuropoka?? Muaache aseme jamii inachukulia wanawake daima ndo wabaya kumbe ukweli uko nyuma ya pazia
Pole sana Dada move on na Inshaallah Mungu atakufungulia kila lenye kheri na wewe
Ili upone usimjibu, achana nae nakuhakikishia utapona haraka, tena yeye ndio atajutia kukupoteza
Akicanganyikiwa ndo anaongeyavizuli kiswahili💯👌🏿🔥 😂
Ongea mwaya moyo upone hawa baadhi ya wanaume matapeli wanakera sana ukimpenda anakuona mjinga ukimuacha anachanganyikiwa dawa ni kuwaacha tuu waendelee na maisha yao na utapeli wao
Pole sana diva km unataka ndoa omba MUNGU akupe yenye kher inshallah
Tatizo lako unakifua divas knew ricadow alikuwambia mpka usme looo
Amechoma kibanda😂😂😂
Kulikua kunahaja gani umtaje Ricardo
Ricardo anamambo ya kike kweli
Ametokwa na povu kama lote😂😂😂
Big up Diva my girlie....nimekuelewa....
Hivi karibu tu utaongea kidigo au kisambaa maana kingereza Leo kimeruka
Haya naonge maana yazambuiya uyaivedu ayo kwaweao haya kuzacha
Uuuwiiiii hahahahaha
bongo ukifa siku zimefika tuu
Yaan Diva anahisi haya mambo yameanza kwake
Tulia mdogo wangu utapata mwanaume wa kufanana nae
I understand you sis.you deserve better love
Diva akiwa anamchamba mumewe huwa ananyoosha kiswahil hatari😂😂😂
😂😂😂
Kwa Sasa hv ukipata ndoa iliyotulia ni kumshukuru Mungu.
Watu wote walio kupa ushauri usiwataje sio vzuri .😂😂😂
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣👌
😂😂yamewahi nikuta vya kushauri shauri hivi sirudii tena
@@jenymtafya3430 kwakwer 😄
Dem mwenye sio mkali
Thank you, Divaaa,,Mungu yupo utapata aliyesahihi mamy,,
Yeye yupo sahihi kiasi gani?
Vs anaumia sana
Diva anaumia, Acha UONGO
Huyu dada nae anapenda kujiliza kwenye mtandao loooh si umwache sasa ww mbona unamsema kwenye mtandao alafu ww unakuja kutaka huruma kwa watu? 😅😅
Huyu Abdurazaq cjui anawadanga vipi wanawake. Sbb wanaona na wanackia wenzao wemesha umizwa. Na bado wengine wanaingia hapo hapo.
For the first time yuko serious 😢
Kumbe Mswahili Tosha
Am proud of you @DIVA
Diva kaa kimya jamani!!!!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Pole sana diva Mungu akuepushe na hili
Muombe mungu sana!!! Atakupa msaada
Kumbe kweli ubaya ubwela.. yakumbuke ya #sabrina 😂😂😂😂😂
Pole diva,kumbe kiswahili unakijua vizuri
😅😅😅
Leo amesahau ‘sijui Kiswahili!’
🤣 🤣 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
@nahyialetomia😂😂9284
Ustalabu hana abduli diva fata ustalabu wako huyu mwanaume ni mswaili sana huyu . Mimi nimeteseka sana kwenye ndoa kiukweli mimi sitaki.
Yaani diva umeyatimba nenda talaka itakufata nyoooooo!
Nakumbuka yule dada aliekua mke wa Abdul alivyosema huyo mwanaume nimnyanyasaji diva ukawa unamtetea mumeo adi mnatafuta yule dada na police,leo kikowapi diva nawew kimekuramba
Kiswahili kizur cha kitanga mashallah