mimi ni mwanafunzi wa kiswahili kutoka Malawi.nilikuwa mpya katika lugha ya kitswhili wakati nikatanzama movie hii when it was only 1 day kwenye youtube ilikuwa shida na mimi kuielewa lakini sasa baada ya miezi tisa naweza kuielewa vizuri sana, naipenda. asante♥♥♥♥♥♥
Chidi hana kosa kumbuka walikua na mausiano kabla ya abdul. Tatizo ni Mahamuzi ya mwanamke. Labda amempenda sababu ya mwonekano wake.Ivyo musilaumu sana eti kisa ni pesa!!
Huyu jamaa alipenda sana shadia lakini hakuna kitu mbaya kama kulia mbele y mwanamke. (1) Huyu akienda kubali matokeo (2) Rudi palepale mahali mlipatania bdo xko
Movie nzuri ,mafunzo tele... ukikubali tamaa ikutawale umwache mwanamme mzuri kisa Hana hela uolewe na wenye hela basi michepuko watakuhusu shoga, upo?!
Movie nzr sana. Naomba like jaman zifike 30 tu. Nawapenda watanzania wenzangu. Na jiran zangu wa kenya
Tunakupenda pia sisi🇰🇪
tunakupea piasanaa❤
Na Burundi pia
Like
Nzuri sana
Hivi vipo kweny maisha unae mpenda hakupendi Kam kweli manen ya mjomba gonga like
Walahi hili maneno ya mjomba Ni mambo muhimu sana ambalo naipitia maishani mwangu
mimi ni mwanafunzi wa kiswahili kutoka Malawi.nilikuwa mpya katika lugha ya kitswhili wakati nikatanzama movie hii when it was only 1 day kwenye youtube ilikuwa shida na mimi kuielewa lakini sasa baada ya miezi tisa naweza kuielewa vizuri sana, naipenda. asante♥♥♥♥♥♥
❤❤❤❤
Kwan Iko na translation 😅😅😅
Really great movie. Before you find love, find money first. Thanks for sharing.
Nice movie, muendelezo natamani kuona Abdul kamuoa Sharifa..... Kwahyo Shadia akute rafiki yake ndio mke wa Abdul
waah ni wakwanz naomb comnt jamani hii movie ni very nice 🥰🥰🥰🥰🥰
Nimefurahi uliipenda
Wallah acha na mm niione
Teachable movie waiting for part 2 walirudiana na Abdul au vipi
Penda sana move yako mumy by mkaza ochu like toooo mumy
Nzuli mashallah ❤️
tutafute ela tusigombonie mapenz😅😅😅😅
Pls naomba part 2tafdali nampenda hii movie sana
Part 2 jamani nzuri hadi raha nataka kuona abdhuli alifanya nn na Shadia alimwambia nn rafiki yake Sharifa much love nkiwa 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Saudi Arabia
Hahaha Asanteni Kwa saport by Abdul actor from Tanzania
Hawa naomba namba yako
Masha Allah nice movie
Nice movie congrats 👏🎉 part 2
Shadia msichana mwenye uragayi mukubwawe!!
Waaaah 🤔yani majuto mjukuu hapa,katika mausiano mpk uambiwe uongo ndio utaona ndio ukweli,tamaa mbaya jmn
Mapenzi ya kweli yako moyoni na c pesa mfukoni wadada tujielewe jamani
Kweli kabisa unaweza ukapata pesa ukakosa furaha ya maisha
Kwer
Funzo nzuri sana mpaka ya nivutia❤
❤❤❤❤love story
Mansh Allah inamafuzo mazur
Sisi wanawake tuna tamaa ya pesa sana wanaume maskini wana teswa sana kweny mahusiano kisa tu hawana pesa 😢
Mathna sio mbaya aoe tuu
Shadia ungekubali Abdul kwa sasa unalia pole sana
Hongereni Sana filamu nzuri Sana ina mafunzo
LOVE VOICE NICE MOVIE
Chidi hana kosa kumbuka walikua na mausiano kabla ya abdul. Tatizo ni Mahamuzi ya mwanamke. Labda amempenda sababu ya mwonekano wake.Ivyo musilaumu sana eti kisa ni pesa!!
Na chidi alimuuliza shadia kuhusu huyu Abdul je wameachana akamsibitishia hamtaki ndio maana mwezake akamuoa chidi kosa hana
Huyu jamaa alipenda sana shadia lakini hakuna kitu mbaya kama kulia mbele y mwanamke.
(1) Huyu akienda kubali matokeo
(2) Rudi palepale mahali mlipatania bdo xko
Jamn nzuri episode two jamn
Nashukur pia kuna kitu nimejifunza mko vizur
Nimeipenda
Very nice movie
Daa move mzuli sana tunaomba part 2
Movie nzuri ,mafunzo tele... ukikubali tamaa ikutawale umwache mwanamme mzuri kisa Hana hela uolewe na wenye hela basi michepuko watakuhusu shoga, upo?!
Jamani muendelezo wake upo kwel movie nzuri sana hii
Masha Allah
Hamja imalizia vizuri filamu
Movie iko sawa kabisa congratulations 👏👏
Nimeipenda sana
Movie iko chonjo sana.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko ndani ndani ndani
Nzur sana leten muendelezo tuwacfie vzr
Very nice...
Xafi san mungu awabarik san movie nzuri 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Subhananllah nimejifunza pole amduli ama kweli tamaa mbaya poleni wote
Abdul banaa!!!mambo gani haya!(Wajizalilisha saaana bwana!!
Nzuri
Tuko pamoja majirani zetu...Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
On love
Mashaallah
Hii movie ni ya kwanza kabisaaaaaaa❤❤❤❤
Can we have English subtitles pleaaaaaaaseeeeeeee
Tuko pamoja nasisi wa kongomani kutoka Bukavu
Mapenzi ya kweli yapo moyoni na sio mdomoni
Shukurani kwafilim nzuri tu kiukweli nimejifunza mengi
Jameni ni nzuri sana 🎉
Nimeipienda sana
Mam wa Ashmat Umetisha sanaaa...Mungu akufanyie wepes, Mpo juu san
Magret shaban usimuamini mtukwamaneno barimshuudie kwamatendoyake naombaprt2
I need this kind of love😅😅
😂
Shadia acha tamaaa
Mwendelezo 🙏🙏🙏🙏
Oya hii mzuri sana
Hapo iko sawa..
Nzuri sana kazi nzuri be gup
Nice move
Pore sana shadia.tama.mbaya
Mashallah ❤❤❤❤
Estou ansioso em ver a segunda parte,weka part 2 tunataka sana kuona,cabo delgado Moçambique
Big up sana
Kazi nzur vipenzi
Pole xana abdul
Hii movie iko smart.
Nice movie but part 2
Mashaa Allah 😂 honger
Nzury sana Asante sana
Mapenzi dah😢
movie nzuri
Wap maryam msambaa nakukumbuk xan pind tupo pngani mpnz mungu akupe mafanikio kila hatua unayopga
MUENDELEZO ❤️❤️💯
Nzuli mashallah ❤️
Muendeleze bas
Habari naitwa philimoni naomba nafasi ya kuigiza
Upo wapi
❤❤❤❤❤
Tamaa zina ponza Jamani 😢
Good muve
❤️❤️❤️❤️❤️
Naomba pat 2
nice
Thanks
😥 part 2 please 🙏
Ndio maana sipendi kuolewa na mwanaume mwenye pesa maana mmmh 🙄 sio poa
❤❤❤❤
Mapenz c pesa anzeni pamoja life bnaaa,mtaishimiana
Mjomba upo sahihi sanq
kosa pesa ukunye sumu... Eee mapenzi ya sasa
Hainaa part 2 Kwan mbon ahahahahaaha
Atr san wanawakee
Malipo ni hapa hapa duniani
Woow muvii tamu yenye mafunzo
Asanti kwa mafunzo hayo
Nice ad teachable movie part 2bona cioni
💞💞💞💞💞
Nifundisho upendo nikitebdawili
part two hiko ?
Mmmmmh
Imenisikitisha saaaana jamani.nime mkumbuka mpenzi wangu Chadia,aliniacha naakafuatana na mwingine,mwisho aka mupa mimba,badaa akamukimbiza daah...Iyi filamu inanitosha machozi.🇹🇿🇧🇮
Polesan
Kazi nzur sana nawapenda bure
movie nzurii sana asantee