DUDU BAYA ,HARMONIZE AMESHAPOTEA SHOW YA TAIAFA HAKUNA ALICHOKIFANYA MAMBO YALEYAL

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 29

  • @alibinali_
    @alibinali_ 5 วันที่ผ่านมา +2

    Dudu Baya anaongea ukweli big up Konki Master 🔥🔥🔥

  • @HangiMakina-wf8hw
    @HangiMakina-wf8hw 7 วันที่ผ่านมา +6

    Dudubaya Yuko sawa

  • @user-ys5iu3qu3u
    @user-ys5iu3qu3u 2 วันที่ผ่านมา

    Big point kwelli kabisa bongo flevo ya zamani nzuri kuliko hizi amapiano

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 6 วันที่ผ่านมา +2

    Mamba uko sahihi 😂😂😂

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 7 วันที่ผ่านมา +3

    UKO SAHIHI DUDU

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 6 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa unaimba albam nzima unamsifia kiongozi wa siasa wakati sifa unazotoa hazina ukweli wowote nani atakuelewa? Na hiyo albam itatoka nje ya nchi? Ndio maana wakiwa nje ya nchi wanapiga kwenye mabaa.

  • @AndrewMajingwa-ln7oi
    @AndrewMajingwa-ln7oi 6 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂 ila konkii hapa umepuyanga wenzio hawataki mziki wa kuishi wanataka mziki New model na wanapiga pesa hatariiiiiii,,, angalia ni ENJOY hapo inachanja mbuga

  • @AishaYahaya-ld5lb
    @AishaYahaya-ld5lb 4 วันที่ผ่านมา

    Msema ukweli ❤❤

  • @user-rh4ue7rb6t
    @user-rh4ue7rb6t 6 วันที่ผ่านมา

    Wewe mzee mtafute Mika mwamba mbafu sana

  • @alibinali_
    @alibinali_ 5 วันที่ผ่านมา

    DUDU BAYA NOMA SANA 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AckriniSikulumbwe2000
    @AckriniSikulumbwe2000 6 วันที่ผ่านมา

    HHaahahhahahaah hii nchi

  • @RodaMwakatundu
    @RodaMwakatundu 7 วันที่ผ่านมา

    Trueee konk3masta

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa kapotea yeye .. kila kitu kwake sicho anachukia wasanii bila sababu ovyoooo

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 7 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe umefanyanini enzi zako?

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 7 วันที่ผ่านมา

    We nimuongo

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 7 วันที่ผ่านมา +2

    Kwa kwel ww enz zako hela ulipeleka wap mbona unatia huruma uwez fikia level za mmakonde

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews 7 วันที่ผ่านมา +1

      Nashangaa kazi yake kuwasema wasanii tu

  • @evansobewa7741
    @evansobewa7741 7 วันที่ผ่านมา +1

    Jamaa anaongea maneno mengi ila hana lolote,tafuta pesa wacha mdomo

    • @user-nx4eg7sf8u
      @user-nx4eg7sf8u 6 วันที่ผ่านมา

      Wewe ndo hujitambui unapenda kiingereza kuliko kiswahili chako halafu unajigamba umeitawara nchi yako muda huo huo unasema kiingereza, cha mtu mavi hebu acha kuiga cha mtu watanzania muudumishe utamaduni wenu hebu rudini kwenye bongo flava.

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 2 วันที่ผ่านมา

      Loloote analoo

  • @redockbracard9455
    @redockbracard9455 6 วันที่ผ่านมา

    Wewe ni mzee mda wako umeukula vibaya una wivu na Harmonize kijana mdogo ana kuzidi pesa na umaarufu aumuwezi

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 7 วันที่ผ่านมา

    We kaka msanii au mchambuziii atukuelewii au ume ACHA kuimba toa ww nyimbo kumawee

  • @user-wn3zb5xv6v
    @user-wn3zb5xv6v 5 วันที่ผ่านมา

    Umeferi huu wakati wa konde ata upondevipi wwnzio washakuacha mbali mmechezea mziki kazi makelele kuwaongelea wenye mziki wao

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 5 วันที่ผ่านมา

      Wakati wa konde hahahahahaha mmakonde kwa kipi hana jipya ameshafeli

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu kaka hampendi konde boi