Hapo nilitegemea ubunifu wa kinyama, ningekuwa mi director au story writer, ningetafuta watu wanaofanania na watu uliowadiss niwapigisha magoti hapo naanza kuwachana, idea ya pili ungekuwa wewe ni police wao ni wajelajela, wamevaa nguo za jera wewe ndio police unawachana, Idea ya tatu ungekuwa umefanya press conference na wao (kikosi kazi) wapo kwenye geto moja hv la kimaskini knoma wanakuangalia, mara waombane buku wanunuw dagaa watoe ugali(ilmrad tu kuwaua) then wanakuwa wanaelewa unachoimba haf mwishon wanajadli wakikubali unayoyasema Baada ya watu wengi kuLIKE naongeza Idea ya mwisho wewe ni HAKIMU, wao ni watuhumiwa wewe ndio unatoa hukumu mpo mahakamani mwisho wa siku wanaenda jela. Thank you
Motra ngoma Kal sana ,lakn vdeo mbaya sana Yan sana.mana nilikuwa nasubl nione ubunifu Kama ulioufanya kwenye uwandish,SIKUNYINGNE UKTAKA KUFANYA VDEO NTAFUTE NKUSAIDIE KUANDIKA
Motra daaa mziki mzuri video haiko real na unachoimba ulikuwa unaharaka gani kutoa video research ni muhimu kabla ya video chalii uyo baunsa kujivimbisha ivyo ndio nn sasa
Iyi ngoma Video imetolewa haraka BEAT KALI SANA ILA VIDEO NAONA IMEHARAKISHWA MANA NINAPO IANGALIA NAONA AIKUTENDEWA HAKI KABISA #TUSUBIRIVIDEONYINGINE
Chali ya chuga hiyo!! Akili mingi mingi!! Levo zenu sio mimi labda Lunya
Hapo nilitegemea ubunifu wa kinyama, ningekuwa mi director au story writer, ningetafuta watu wanaofanania na watu uliowadiss niwapigisha magoti hapo naanza kuwachana, idea ya pili ungekuwa wewe ni police wao ni wajelajela, wamevaa nguo za jera wewe ndio police unawachana, Idea ya tatu ungekuwa umefanya press conference na wao (kikosi kazi) wapo kwenye geto moja hv la kimaskini knoma wanakuangalia, mara waombane buku wanunuw dagaa watoe ugali(ilmrad tu kuwaua) then wanakuwa wanaelewa unachoimba haf mwishon wanajadli wakikubali unayoyasema
Baada ya watu wengi kuLIKE naongeza Idea ya mwisho wewe ni HAKIMU, wao ni watuhumiwa wewe ndio unatoa hukumu mpo mahakamani mwisho wa siku wanaenda jela. Thank you
@Motra The Future aisee idea zilikuepo za maana zaid
Sema nini ngoma kali
Video hajaitendea haki kiukweli. Ngoma kali sanaaa, video imeinyonya
wewe bonge la director mwanangu
Af unakuta uko mtaan unasikilizia ajira akat tayar we n director mzee idea kal na nahis una more zaid ....fanya
King Copper.....ri....bichwa lako limejaaaaa mau!!!tun...duu!!! Nimekubaliii kinoma hizo Ideas 3😀🤔💪💪💪💪💪💪💪💪
Hamna kitu hapa
Hamna kituuuu kazi chukiiiii2 usenge mtupuuuu
Shades at night😤😤😤
Wewe mshamba tu kikoi kama nnzi nyimbo yenyewe views ziro
Ujawahi kukoseaga mkuuu
Ubugi mwanangu kuwadisi wanangu kikosi kazi
Unyama mwingi #tellaaxistz
Video mbaya Ila goma ni homa ya main👏👏
Tokea kwenye the future is now volume 6 asee nilikua moja ya ninaefatilia kazi zako salute sana
Saloot 💪🏿💪🏿💪🏿
Oyeah
umetisha mzazi
Motra ngoma Kal sana ,lakn vdeo mbaya sana Yan sana.mana nilikuwa nasubl nione ubunifu Kama ulioufanya kwenye uwandish,SIKUNYINGNE UKTAKA KUFANYA VDEO NTAFUTE NKUSAIDIE KUANDIKA
Umepigwa Na director
Nzito sanaa bobu
Hapa uliua sana broooo
Mshamba mmoja kutoka NGARAMTON YA Chini
Nipeni likes hapa kwa motra kama rapa bora tz
Video mbaya!ubunifu ziro,fokoooofu
Mziki mnene bro more life
Ngoma kali sana
Ngoma nyepesi sana aje tumwandikie
Nyimbo nzuri sana
We ni mshamba, nawanao wanaokudanganya yani kumdiss Nikki mbishi umezingua
Ngoma ni ya motoooooo 💥💥🔥🔥🔥 sijui watakuja vipi. Punch kila line💥💥💥💯🔥🔥
Sawa chaliii naelewaga kabla hawajaeleweshwa chaliii ccm kijenge
Nakubari sana motra
Ngoma kali
Atali sana hii
Huwa mnajificha wapi wapuunzi nyie wakati mnajua mmekaalia utamu utengeni tuuview bana
Huyawezi
Nyimbo kali san ila video mbay
Huyu kuma ingekuwa mbele tyar washa mkill
Kijana wangu hii ya moto
Motra umezingua sana unawadiss waliokuinspire???!!!
Umenyoosha mjuba
mwana upo vizuri
Baba angu
Baba ako
Baba yetu
Baba lao
Sema hii ngoma umeandika kikuma , Yani ukiacha tu kuwa distrack pia ni imeongea ukwel
Sana broooo kaaandika
Chalii yangu ni mmoja matembo mia moja
Usiwajibu tena jombaa wameanza kuwa mastar 🤣😂😂 imeishaaaaa iyoooooo
Motra
Shikamooo
Ss we una level gn😄😄😄
Uwezo🎙️🇲🇱
Ubunifu🇲🇱
Umakin🎙️🇲🇱
Diss track 🎙️🇲🇱
From A town
Umizaaaa baba sema azam wanatakiwa walipie tangazo
0:53 where is the long version?
Video n ya kichoko. Mwanzo mwisho nguo n zilezile tu mpaka inanuka jasho!! Kuma wewe
big up
ujumbe mzito mana game ime poa na wanao fany poa wana bezwa aseeee
BROOOOOOOOO....THIS IS KINDA HIP HOP WE WANT IN THIS COOOOOUNTRY JAPO SIO BOY...😆🙌🙌🙌
Najivunia kuona kaka anafanya vema bendera Ya arushaaaa inapepea
Sema namba ako nilipoteza kaka
Huu moto hauzmiki
Shkamoo baba
Anyone from jakerton?
Mashonipi wa bongo hawawezi afford kwa P Funk 😂😂😂hii punch kali sana MOTRA THE FUTURE (BABA AKO)
😅😅😅
Mabodigadi wenyewe wana vitambi😂😂😂😂😂
Mbona video yako wameifanyia figisu
Motra umetuangusha hapa
Wacha kuvimba motra bado battle uziwezi na kikosi kaka zako wale wote Wana hits wewe wenzako wakina mex
Motra daaa mziki mzuri video haiko real na unachoimba ulikuwa unaharaka gani kutoa video research ni muhimu kabla ya video chalii uyo baunsa kujivimbisha ivyo ndio nn sasa
Audio kali sana ila video hapana mkuu (truth fans)
💥💥💥🤞🔫🔥🔥💯💯💯💯 #Babaakoo
Heshim ma Broda hautofika mbali aseee
Atar saan
Raspect King Montra The Future.
You always doin great...👊👊👊
Huku Kenya ndio unaskika sai🇰🇪🇰🇪
Mziki umeenda shule G...much respect toka 254
Hadi leo view 100k haina
Warudishe mashambuliz sasa kikos kizima mwaka wangap huuu hawana hata mtu mwenye ata IST alaf kikos kaz kaz gan ya nyoko #chuga stand up
🔥🔥🔥🔥 burning
iyooo ndo diss sasa mtu anatajwaaaaa kabisaaa achana na hawa watoto wa siku izi
Baba akooo🔉🔊
To come.kikosikaz hakina Kaz yakufanya 😊
Kuvaa enyewe hajui
C fanyi ngoma na jux alafu niimbie maisha yangu
Kijenge juu.mwanama wakilisha babaaaako
Uhandishi mzur, Ngoja tuwasubir kikosi kazi tuone na wao uhandishi wao, Game imekuwa na challenge asaiv.🇿🇦🇿🇦
Kikosi kazi hawawezi wakamjibu mtoto kama huyo
@@hanifuamiri3163 Mashabiki tunataka Game ichangamke
@@mosamossile9113 cwashamjibu na Mex Cortez pamoja na diss track kabisa #Backtothefuture🔥🔥
@@kazyn9554 Game imechangamka mzee
@@mosamossile9113 Mex cortez killed murdered this guy's career...
Love from kenya
Arushaaaaa wauwe mkula hivyohivyo
Massage delivery 🚚
Ngoma Kali sana unyama mwingi michano imepangiliwa mwanzo kati na mwisho 🙌🙌🙌
1st view 1st coment💯✊Nakubal mjubawisee🔥🔥🔥🙌
Yule kanjibai alikurupuka
Oohoooo!
Iyi ngoma Video imetolewa haraka
BEAT KALI SANA ILA VIDEO NAONA IMEHARAKISHWA
MANA NINAPO IANGALIA NAONA AIKUTENDEWA HAKI KABISA
#TUSUBIRIVIDEONYINGINE
Ooooohiiiiiii wambie kuwa system iliwaelewa ila ni wao hawajaeleweka
Like broo
Vidaaaaa moko nyokoooooo saaaaana🔥🔥🔥🔥🔥🤝🤝🤝🤝🙏🏿✊✊✊✊✊✊✊✊
Chalii unaandikaga sana,endelea tuh kuliza moto
ARUSHAAAAAAAAAAAAAAAAAA🔥🔥🔥🔥
🚀🚀🚀
Kumchokoza SIMBA MZEEEEE!!!!!! %usiache KUTABASAMU%
Hii video budget ilikuwa ni LAKI
na nusu 🦽🦽🦽
@@motrathefuture muelezee na Voice ilikuwa ni ya Billion au nimtumie risit.!
From Mo town wame toka weupe kwenye hii kitu afu yule mshamba wa kizungu Mx cotz Mwambia Asimame kama yeye ache kutembelea upepo
This one should be in my playlist umewachana washikaji zangu ila ni fire 🔥🔥🔥🔥 team SNS
Sema mex cortez amediss kwa high level distrack 1and back to the future daaa ila hata wewe umetisha
Nimependa uhai wa weusi na wanangu TAMADUNI
Hatari
Ngoma kali realy sense, umewachana makolo wanaolazimisha watu wafuatr fikra zao kifupi hayo maisha hayapo now days wafanye vtu vyao wamechelewaa
Mex kalispondi hii inaitwa amkia lakin hii ni kali