Asante sana mama yangu imepitia mengi magumu na mabaya ,alizunguka uku na kule kutafuta mudada wangu kwa waganga tofauti ,ninacho muombea ni mwisho mwema na musama kwa Mungu sababu alipitia mengi kwaajili yangu❤❤❤❤
Asante sana mama yangu imepitia mengi magumu na mabaya ,alizunguka uku na kule kutafuta mudada wangu kwa waganga tofauti ,ninacho muombea ni mwisho mwema na musama kwa Mungu sababu alipitia mengi kwaajili yangu❤❤❤❤
Asante kwa Mama aliyenizaa. Na watoto wazuri Mungu alionipa na kuwa faraja na upendo kwao nao kuwa na tabia njema na ya kumcha Mungu katika umri wao.
Asante sana mama yangu imepitia mengi magumu na mabaya ,alizunguka uku na kule kutafuta mudada wangu kwa waganga tofauti ,ninacho muombea ni mwisho mwema na musama kwa Mungu sababu alipitia mengi kwaajili yangu❤❤❤❤
Asante kwa mafundisho mazuri Apostle
Asante MUNGU Kwa mama yangu.Asante Kwa kuzaa mtumishi ktk shamba la Mungu.Happy mother's day.
Watu wanapenda kunywa maziwa.
Kwa kweli nimekuwa nachukia mamangu sana na kumuona ni mubaya sana kwanzia leo hii nitamuomba musamaha na kumlinda kama mamangu na kumpenda ivo alivyo
I love my mummy rest in peace
Amen amen amen
Amen glory to God
Ahsante sana MUNGU kwa neema ya kunipa mama mzuri, Pamoja na kuwa amelala bado wewe ni MUNGU mkuu,
Amen.Asante Mtumishi kwa kutuelimisha
Asante sana mama yangu imepitia mengi magumu na mabaya ,alizunguka uku na kule kutafuta mudada wangu kwa waganga tofauti ,ninacho muombea ni mwisho mwema na musama kwa Mungu sababu alipitia mengi kwaajili yangu❤❤❤❤
Amina AMINAAA
Napenda Sana mama.may God protect my mum
Asante mama kwa kunizaa
Ameen. ✋👍💪