Allahumma Swali Wa Salim Ale. MaaSha Allāh TabaraKaLlah Mungu Akuhifadhi, Akulipe kila la kheri, Twakushukuru kwa kutukumbusha, In Shaa Allāh Tutafanyia Kazi. Mungu Atujaalie Wenye kusikia na Kutenda. JazakaLlah Khair. Shukran
Sheikh umenena maneno ambayo ni ya kweli Wallahi .Msiba huu uko.Hakuna kusaidiana ila ukifa ndio sasa wataanza kusaidia .Yafaa nn kama mwenzako ateseka ilhali unao uwezo wala hutii juhudi kumsaidia akiwa anahitaji..Tutafakari waislam huenda tukapunguza maafa kwetu.
Innah lillah wainnah illeyhi rajiun mswiba mkubwa sheikh namjua sheikh gani lakini kweli sijui kwann sisi ndugu wa kiislamu ukiwa na shida huwezi pata msaada lakini wengine wanajitolea kwa hali na mali MWENYEZI MUNGU atujaalie tuwe wenye kusaidia kwa kidogo tulicho nacho maanake sio kwa anaye umwa ama mwenye shida bali ni hazina yetu ya kesho,tuta kufa tuta tamani siku hio yarethi ningesaidia wenzangu lakini itakua #toolate 😥😥😥
Allahumma Swali Wa Salim Ale. MaaSha Allāh TabaraKaLlah Mungu Akuhifadhi, Akulipe kila la kheri, Twakushukuru kwa kutukumbusha, In Shaa Allāh Tutafanyia Kazi. Mungu Atujaalie Wenye kusikia na Kutenda. JazakaLlah Khair. Shukran
Asalaam alleykum warahmatulah wabarakaatuh SUBHANALLAH MWENYEZI MUNGU akuhifadh sheikh wetu #yusufabdi Ummah mzima atupe nyoyo za Imaan,atupe utulivu wa nafsi,atuzidishie Taqwa atusamehe maaswi tunayo tenda na atujaalie mwisho mwema Amiin ya RABB 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Shukrni sna sheikh tuko pamja mawaidha mazuri sna
Subhanallah. Sheikh umesema kweli.
MAASHAALLAH mawaidha yako yautingisha moyo napata ladha na utulivu Allah akupe umri uzidi kutuelimisha Alla ibarik
Jazakallah khayran
shukran ustadh umesema kweli kabisa Allah akuzidishie napenda sana mawaidha yko
Rehma na Amani za MWENYEZI MUNGU zimshukie Mtume wetu kipenzi Mohammad Swalallahu Alleyhi Wasallam ahli zake na maswahaba zake wote
Mawaidha nzuuri sana ijumbe kwa dunia nzima mashallah shukran sheikh
Binadam hawana maana kabisa,,, mm kwa sahii naelewa hvyo vizuri sana ,,, Allah peke yake
Allah akuhifadhi.
Alhamdulillah sisi kweli tuko kinyume leo wafurahia ndugu yako tumbo mmoja akipata shida huwezi kumsaidia na una uwezo
Swadakta sheikh shukraan jazzakah ALLAHU kheir barakallahu feek da'waa itande mikoani kote
masha Allah baraka Allah
Shukraan na sifa zote zimuendee Muumba mbingu,ardhi na vote vilivomo ndani yake ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA
Subhanallah
Sheikh umenena maneno ambayo ni ya kweli Wallahi .Msiba huu uko.Hakuna kusaidiana ila ukifa ndio sasa wataanza kusaidia .Yafaa nn kama mwenzako ateseka ilhali unao uwezo wala hutii juhudi kumsaidia akiwa anahitaji..Tutafakari waislam huenda tukapunguza maafa kwetu.
AlhamduLiLlah Alaa Kulli Haal
Jazakallahu kheir
Allah ibarik
Innah lillah wainnah illeyhi rajiun mswiba mkubwa sheikh namjua sheikh gani lakini kweli sijui kwann sisi ndugu wa kiislamu ukiwa na shida huwezi pata msaada lakini wengine wanajitolea kwa hali na mali MWENYEZI MUNGU atujaalie tuwe wenye kusaidia kwa kidogo tulicho nacho maanake sio kwa anaye umwa ama mwenye shida bali ni hazina yetu ya kesho,tuta kufa tuta tamani siku hio yarethi ningesaidia wenzangu lakini itakua #toolate 😥😥😥
Masha Allah
اللهم اَمين يارب العالمين شكراً جزاك الله خيراً شيخنا
اللهم صل على محمد وآل محمد كما صليت على إبراهيم وعلى آل إبراهيم إنك حميد مجيد
Mashallah
Aslama . A . Mskiti wake uko wapi?