Ambapo naweza nikahitaji muda kujibu ni habari ya utatu lakini hayo mengine yaliyobakia ni uongo mweupe 1.Yeye hawezi kuwa Elia kwa maana Yohana ndiye Elia 2.Hakuna mahali Biblia ilisema nyoka alizini na Eva,ni uhongo mweupe 3.Habari ya wanawake napo anapotosha tuu
Mbarikiwe
Amee
Mama T.Mbarikiwe Watumishi.
Amina..tunafiatilia kipindi hikikwa makini,ni muhimu..Mbarrikiwe iwa utumishi huu.
Martha Togoro mbarikiwe watumishi wa Mungu tupo pamoja mafuatilia
Ambapo naweza nikahitaji muda kujibu ni habari ya utatu lakini hayo mengine yaliyobakia ni uongo mweupe
1.Yeye hawezi kuwa Elia kwa maana Yohana ndiye Elia
2.Hakuna mahali Biblia ilisema nyoka alizini na Eva,ni uhongo mweupe
3.Habari ya wanawake napo anapotosha tuu