VIJANA mpooooo..... Hakika ni kweli mimi ni SHUHUDA.... Yesu Anapenda Vijana tuache pombe., Mabinti Waache Uchangudoa... Vijana Tuache bangi... Mimi nilikuwa muuza madawa YA kulevya,, nilikuwa jambazi zoefu... Mungu Akanichagua Akanipeleka kwenye kanisa linalomkataa Mwanae... Na sasa Akanitoa huko Akanileta SABATO kanisa la kweli... Hivyo basi Vijana kaeni TayAli... Kristo Yesu kupitia mtumishi wake Pastor mbaga nitatoa Shuhuda kupitia MAHUBIRI TV
Ubarikiwe sana mtumishi Mungu, nivigumu sana kwa mwanadamu kukuelewa asipo ongozwa na roho wa kweli. Nakuombea Mwenyezi Mungu azidi kua nawe maishani mwako na kukupa nguvu maishani. Mungu akubariki.
Huwa najiuliza muda mwingine kama naweza kuelewa mahubiri yako yote pastor paka ningekuwa mkristo halisi.ila nitabadilika tu barikiwa mtumishi wa BWANA.
Asante sana pst tumebarikiwa zaidi.tafadhali Niko kenya nawezaje kupata vitabu vyako.be blessed.
Muwakilishi wetu kenya +254 759 614 102
Wanao barikiwa na haya mahubiri mpaka ivi tujuane hapa 👍, ubarikiwe sana Mchungaji 🙏
bwana yesu afiwe kwaupendo wamahajabu ario nao pr bwana hakubariki sana Asante namimi kwakubarikiwa nimebarikiwa nikiwa zambia
VIJANA mpooooo..... Hakika ni kweli mimi ni SHUHUDA.... Yesu Anapenda Vijana tuache pombe., Mabinti Waache Uchangudoa... Vijana Tuache bangi... Mimi nilikuwa muuza madawa YA kulevya,, nilikuwa jambazi zoefu... Mungu Akanichagua Akanipeleka kwenye kanisa linalomkataa Mwanae... Na sasa Akanitoa huko Akanileta SABATO kanisa la kweli... Hivyo basi Vijana kaeni TayAli... Kristo Yesu kupitia mtumishi wake Pastor mbaga nitatoa Shuhuda kupitia MAHUBIRI TV
pray the lord
Ushuhuhuda wako umenigusa
Ubarikiwe sana mtumishi Mungu, nivigumu sana kwa mwanadamu kukuelewa asipo ongozwa na roho wa kweli. Nakuombea Mwenyezi Mungu azidi kua nawe maishani mwako na kukupa nguvu maishani. Mungu akubariki.
Wanao barikiwa na haya mahubiri mpaka ivi tujuane hapa 28.6.2021👍, ubarikiwe sana Mchungaji 🙏
Roho yanguu na ikuimbiee jinsi wewe ulivyo mkuuu🙏🙏🙏🙏
Amina pr ubarikiwe sana ili uzidi kutuhubiri,nimebarikiwa sana sana
Upendo wa Mungu ni wa kushangaza hakika,ahsnt Mungu kwa kunipenda nisiestahili
Asante mchungaji, Bwana Mungu wetu atusaidie na kutuongoza. Amen
Asantee Yesu kwa neno lako kupitia mtumishi wako,nimebarikiwa hakika
Hakika Mungu nipendo, ubarikiwe San pastor unanifunza kila niangaliapo mahubiri yako
pastor nabarikiwa sana na mahubiri haya,Mungu aendelee kukutia nguvu, Amen
seven kan
Nakubaliana na pastor Amen .barikiwa .penda ww sana
Amen thank you good teaching may God
Mtumish unanibarik sana tukikutan mbinguni nitakusimulia mengi
God bless you pastor
Ubarikiwe mchungaji Mami pia nabarikiwa na mafundisho yako!!!!
Amina
Roho yangu naikuimbie jinsi wewe ulivyo mkuu haleluyaaa
Asante yesu kwa upendo wako kwangu
Toka sawewe tabora bwana akubaliki Sana mtumishi
Mungu azidi kukutumiya pastor, mahubiri haya yanabadili maisha yangu. ubarikiwe sana
Amem amen
Amina baba mcungaji huwa unanifundisha mengi kwa kila somo
Bwana azidi kukutumia pastor
Ameen Ameen
Somo zuri sana,,barikiwa mchungaji
Mungu aturehemu Sana
Alleluyah mungu wangu
Barikiwa sana pastor
Mchungaji unanibarik sana sana kwa mafundisho
moyo wangu umebarikiwa sana mchyngaji - Nairobi
mtumishi wamungu ubalikiwe
Balikiwa
😂😂😂 nimefurahi pia Mama aliyeaidiwa blanket la hata zikiwepo ahadi za wanadamu tutamshangilia tu Mungu
Amen
Balikiwa sana
Aminaaa mtumishi wa Bwana Mungu
Ubarikiwe mtumishe wa Mungu, unanibariki kila siku
Mchungaji masomo haya unayoendea kuyatoa yananibariki sana ndio maana nimeamua lazima nibatizwe.Niko ubungo NHC dar es salaam.
Mungu akubariki sana. tuma number kwenye email infomahubiritv@gmail.com ili tukuelekeze
Asante pastor
@@MahubiriPrMmbaga barikiwa sana pr
Nimevuta machozi ya tumaini natamani niwe kwa lile kundi litafutwa machozi na yesu pastor ni ombi langu tuwepo wote
Amen 🙏🙏🙏
Huwa najiuliza muda mwingine kama naweza kuelewa mahubiri yako yote pastor paka ningekuwa mkristo halisi.ila nitabadilika tu barikiwa mtumishi wa BWANA.
Hakika Mungu ni pendo
Asante
mtumishi Wang ubalikiwe