Jaman kwanini watu wanataka kujilinganisha na Mungu ? Na watu wajifunze njia za mwanadam ni za mda tu Bali njia za Mungu ni za kudumu Naitwa Genofeva chaula kutoka kigamboni
Na vip Hawa watumishi tunapoenda kusali. Na kuwaamini kuwa akikupaka mafuta unapona. Je hao sio wanadamu? Na wao c wanakufa pia . Yote kwa yote twende tunakoenda ila tusimuache Mungu Mana yy yupo Leo na milele... Jisaidien Nam nitawasaidia. Huwez kula ndani ukasema Mungu nipe ugali 😀Ni lazima utoke ufanye Kaz na Mungu abariki upate pesa ule ugali.. so tuhangaike huku tukiomba Mungu..
Kweli kabisa. Mungu si mchoyo. Hata kama mtu akienda kwa watumishi wa Mungu wa dini zote ambao watu wengine wanasema ni waongo Mungu bado huwa anawajibu kwa sababu ndani Ya nafsi yao wanajua wamemtafuta yeye Mungu lakini ukienda kwa mganga hata kama anamtaja Mungu bado mwisho wa siku lazima mambo yarudi.
Nimwambie ndgu utapatwa Mimi apa Mimi nimempoteza mama alipewa maji kumbe ndan kuna uchawi akafa muda uwo tumeangaika kwa makanisan Sawa basa ya apo Baba angu mzazi alitupiwa jini likamnyoga mchana kweupe sawa kwahyo omba yasikupate madam
Shetani nae ana mbwembwe mtu ukiwa na Imani haba ukisikia mganga kafufua mtu utaacha kumwamini muumba wako guys Mungu ndo mpango mzima kwa sheteni Kuna viini macho tuu ila mwisho wake ni mbovu UTASEMA yaani mpaka uchemeeeeeeee 😂😂😂
Hapana huyu ni mtu mwema tu Na njia anayowaongoza ndo njia Sahihi Yakumtegemea M/mungu kwa Maombi, Kumbuka huyu Rafiki Mama Mohamed ni Mkristo, Kwahyo alichokua anataka yeye Ni Wasimame kwenye Maombi tu sio kwenda kwa Mganga wa Kienyeji, Na niukweli Mganga na Mchawi,Shetani wote lao moja
Mungu pekee ndiye anaweza Na Damu ya Yesu inanena mema kila siku
Tunajifanza tusimtegemee mwanadam bali tumtegemee Mungu katika Kila Jambo naitwa Genofeva chaula kutoka daar kigamboni
Jaman kwanini watu wanataka kujilinganisha na Mungu ?
Na watu wajifunze njia za mwanadam ni za mda tu Bali njia za Mungu ni za kudumu
Naitwa Genofeva chaula kutoka kigamboni
Tegemesye mungu si mwanadamu mungu siku zote
Hii dunia tumtangulize sana mungu
Amina, MUNGU KWANZA
Kama movie vile, kumbe maisha yakweli. Ee Mw. MUNGU, tulinde na hii Dunia iliyojaa binadamu wa hovyu
Yaleo kali hadi naogopa mmmh mganga mungu atuongoze inshallah
Amtegemeaye mwanadamu amelaaniwa na moyoni mwake amemuacha Mungu
Yaah Ni Kwel
Na vip Hawa watumishi tunapoenda kusali. Na kuwaamini kuwa akikupaka mafuta unapona. Je hao sio wanadamu? Na wao c wanakufa pia . Yote kwa yote twende tunakoenda ila tusimuache Mungu Mana yy yupo Leo na milele... Jisaidien Nam nitawasaidia. Huwez kula ndani ukasema Mungu nipe ugali 😀Ni lazima utoke ufanye Kaz na Mungu abariki upate pesa ule ugali.. so tuhangaike huku tukiomba Mungu..
Kweli kabisa. Mungu si mchoyo. Hata kama mtu akienda kwa watumishi wa Mungu wa dini zote ambao watu wengine wanasema ni waongo Mungu bado huwa anawajibu kwa sababu ndani Ya nafsi yao wanajua wamemtafuta yeye Mungu lakini ukienda kwa mganga hata kama anamtaja Mungu bado mwisho wa siku lazima mambo yarudi.
Nimwambie ndgu utapatwa Mimi apa Mimi nimempoteza mama alipewa maji kumbe ndan kuna uchawi akafa muda uwo tumeangaika kwa makanisan Sawa basa ya apo Baba angu mzazi alitupiwa jini likamnyoga mchana kweupe sawa kwahyo omba yasikupate madam
@@linajoseph5296 sawa kabisa MUNGU ANAJITEGEMEA ,UKICHANGANYA NA GIZA UPATI JIBU
Kwer uganga upo nauchau upo
km ayajakukuta uwez amini🙏
Ni kweli kabisa MUNGU naye yupo Tumtegeme
Kakika Mungu yupo
Story nyingi za dada V zinatufundisha kabisa kuwa wale wote waliofanikiwa mwishon walikimbilia kwa Mungu tu
Asante Saidi ndope mpiga picha wa yombo kilakala
Mwenyezi Mungu ndio kila kitu🙏🙏ALHAMDULILLAH
Shetani nae ana mbwembwe mtu ukiwa na Imani haba ukisikia mganga kafufua mtu utaacha kumwamini muumba wako guys Mungu ndo mpango mzima kwa sheteni Kuna viini macho tuu ila mwisho wake ni mbovu UTASEMA yaani mpaka uchemeeeeeeee 😂😂😂
Sikulaumu kaka ila Mungu alibisha hodi ukamkataa imeniuma sana kifo cha huyu bnti 😮
Mie. Nataka namba ya huyo alimjibu mohamed
Dada veronica penda sana wewe kweli watu wanapitia mapito magumu - Saidi ndope mpiga picha wa yombo kilakala
Tunapata tabu sana kuwasikia kwenye Redio Moshii/Kilimanjaro siku mukiwa na mpira hatupatag kusikia kipindi tunaomba muliangalie kwa jicho la karibu
Dah haya Mambo acheni tu😢
No 1
Kweli kabisa matumizi ya nguvu za giza ni zamda tu
Hatari......! 😢😢😢
Uyu rafiki wa marehem mama pia nawasiwasi nae,,Astaghafilu,,nawasiwasi mkubwa na uyu baba,,,anaweza akatumiwa na ba mdogo,,,bas ni wazo!!
Hapana huyu ni mtu mwema tu Na njia anayowaongoza ndo njia Sahihi Yakumtegemea M/mungu kwa Maombi, Kumbuka huyu Rafiki Mama Mohamed ni Mkristo, Kwahyo alichokua anataka yeye Ni Wasimame kwenye Maombi tu sio kwenda kwa Mganga wa Kienyeji, Na niukweli Mganga na Mchawi,Shetani wote lao moja
Hapna sio hivo hy ni mtu wa Mungu hata huyo bamdogo hamjui hata,,,yuko sahihi sana
Hapan mtu anayemuhubiri Mungu ndan yake n mwema..happ anapinga nguv za giza zenye matokeo ya mda mfup na hasara ya miaka mingi....
Jaman iv waganga Hawa wapo? Mmmm,,, ingekuwa zinatolewa no Da Vero ungetupatia watu tunashida😢,,,mganga uyo konk😅wapi uyu jaman
🙏
Mungu ndo muweza wayote amtumainie mwanadam amelaniwa
Na kweli
@@jacklinechuga2569 connection
😂😂😂😂
Daah htr
Duuuuh
Nimewahi leo😂😂❤
HASANTEE
Wa 15 nimejitahidi kuwahi
Namba moja
following 🇰🇪
😮😮😮
💯💯💯
Wa8
Wakwanza
Wa pili
Dunia hii inamambo
😂😂Wakwaza mpo wangap sasa
Jmni😢😢😢😢
Watisa 😂😂
Mjinga wewe, unaacha kushukuru mtoto amerudishwa unaleta Mambo ya baadae! Kifo sahihi kikifika manake Ni kifo cha Mungu shida iko wapi?
No 1