RIPOTI YA LEO MOHAMED VOLUME 07

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 73

  • @geejireh4730
    @geejireh4730 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu pekee ndiye anaweza Na Damu ya Yesu inanena mema kila siku

  • @GenofevagelodiChaula
    @GenofevagelodiChaula ปีที่แล้ว +1

    Tunajifanza tusimtegemee mwanadam bali tumtegemee Mungu katika Kila Jambo naitwa Genofeva chaula kutoka daar kigamboni

  • @GenofevagelodiChaula
    @GenofevagelodiChaula ปีที่แล้ว +2

    Jaman kwanini watu wanataka kujilinganisha na Mungu ?
    Na watu wajifunze njia za mwanadam ni za mda tu Bali njia za Mungu ni za kudumu
    Naitwa Genofeva chaula kutoka kigamboni

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 ปีที่แล้ว +3

    Tegemesye mungu si mwanadamu mungu siku zote

  • @fora2009
    @fora2009 ปีที่แล้ว +7

    Hii dunia tumtangulize sana mungu

  • @neemahando6183
    @neemahando6183 ปีที่แล้ว +1

    Kama movie vile, kumbe maisha yakweli. Ee Mw. MUNGU, tulinde na hii Dunia iliyojaa binadamu wa hovyu

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 ปีที่แล้ว +1

    Yaleo kali hadi naogopa mmmh mganga mungu atuongoze inshallah

  • @jacklinemassawe9028
    @jacklinemassawe9028 ปีที่แล้ว +12

    Amtegemeaye mwanadamu amelaaniwa na moyoni mwake amemuacha Mungu

    • @WilliamGaudence-l1w
      @WilliamGaudence-l1w ปีที่แล้ว

      Yaah Ni Kwel

    • @linajoseph5296
      @linajoseph5296 ปีที่แล้ว

      Na vip Hawa watumishi tunapoenda kusali. Na kuwaamini kuwa akikupaka mafuta unapona. Je hao sio wanadamu? Na wao c wanakufa pia . Yote kwa yote twende tunakoenda ila tusimuache Mungu Mana yy yupo Leo na milele... Jisaidien Nam nitawasaidia. Huwez kula ndani ukasema Mungu nipe ugali 😀Ni lazima utoke ufanye Kaz na Mungu abariki upate pesa ule ugali.. so tuhangaike huku tukiomba Mungu..

    • @kristinakeneth5657
      @kristinakeneth5657 ปีที่แล้ว +3

      Kweli kabisa. Mungu si mchoyo. Hata kama mtu akienda kwa watumishi wa Mungu wa dini zote ambao watu wengine wanasema ni waongo Mungu bado huwa anawajibu kwa sababu ndani Ya nafsi yao wanajua wamemtafuta yeye Mungu lakini ukienda kwa mganga hata kama anamtaja Mungu bado mwisho wa siku lazima mambo yarudi.

    • @gracekretus1851
      @gracekretus1851 ปีที่แล้ว

      Nimwambie ndgu utapatwa Mimi apa Mimi nimempoteza mama alipewa maji kumbe ndan kuna uchawi akafa muda uwo tumeangaika kwa makanisan Sawa basa ya apo Baba angu mzazi alitupiwa jini likamnyoga mchana kweupe sawa kwahyo omba yasikupate madam

    • @GODFREY-je9xq
      @GODFREY-je9xq ปีที่แล้ว

      ​@@linajoseph5296 sawa kabisa MUNGU ANAJITEGEMEA ,UKICHANGANYA NA GIZA UPATI JIBU

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 ปีที่แล้ว +5

    Kwer uganga upo nauchau upo
    km ayajakukuta uwez amini🙏

    • @GODFREY-je9xq
      @GODFREY-je9xq ปีที่แล้ว +1

      Ni kweli kabisa MUNGU naye yupo Tumtegeme

    • @MamaRoy-k6n
      @MamaRoy-k6n ปีที่แล้ว +1

      Kakika Mungu yupo

  • @jacklinegodifrey8607
    @jacklinegodifrey8607 ปีที่แล้ว +6

    Story nyingi za dada V zinatufundisha kabisa kuwa wale wote waliofanikiwa mwishon walikimbilia kwa Mungu tu

    • @saidindope4617
      @saidindope4617 ปีที่แล้ว +1

      Asante Saidi ndope mpiga picha wa yombo kilakala

    • @zubedamohamedi753
      @zubedamohamedi753 11 หลายเดือนก่อน +1

      Mwenyezi Mungu ndio kila kitu🙏🙏ALHAMDULILLAH

  • @JoycePeter-u9c
    @JoycePeter-u9c ปีที่แล้ว +1

    Shetani nae ana mbwembwe mtu ukiwa na Imani haba ukisikia mganga kafufua mtu utaacha kumwamini muumba wako guys Mungu ndo mpango mzima kwa sheteni Kuna viini macho tuu ila mwisho wake ni mbovu UTASEMA yaani mpaka uchemeeeeeeee 😂😂😂

  • @Kaka_Rambo
    @Kaka_Rambo 5 หลายเดือนก่อน

    Sikulaumu kaka ila Mungu alibisha hodi ukamkataa imeniuma sana kifo cha huyu bnti 😮

  • @zeyanaalgheithy6561
    @zeyanaalgheithy6561 ปีที่แล้ว +2

    Mie. Nataka namba ya huyo alimjibu mohamed

  • @saidindope4617
    @saidindope4617 ปีที่แล้ว +1

    Dada veronica penda sana wewe kweli watu wanapitia mapito magumu - Saidi ndope mpiga picha wa yombo kilakala

  • @AnethMushi-c3e
    @AnethMushi-c3e ปีที่แล้ว +2

    Tunapata tabu sana kuwasikia kwenye Redio Moshii/Kilimanjaro siku mukiwa na mpira hatupatag kusikia kipindi tunaomba muliangalie kwa jicho la karibu

  • @TeddyMsigwa-o8n
    @TeddyMsigwa-o8n ปีที่แล้ว +2

    Dah haya Mambo acheni tu😢

  • @AyubuMbuba-pu6tf
    @AyubuMbuba-pu6tf ปีที่แล้ว +2

    No 1

  • @GODFREY-je9xq
    @GODFREY-je9xq ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa matumizi ya nguvu za giza ni zamda tu

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 ปีที่แล้ว +2

    Hatari......! 😢😢😢

  • @mvfff7224
    @mvfff7224 ปีที่แล้ว +2

    Uyu rafiki wa marehem mama pia nawasiwasi nae,,Astaghafilu,,nawasiwasi mkubwa na uyu baba,,,anaweza akatumiwa na ba mdogo,,,bas ni wazo!!

    • @missmwayway4704
      @missmwayway4704 ปีที่แล้ว

      Hapana huyu ni mtu mwema tu Na njia anayowaongoza ndo njia Sahihi Yakumtegemea M/mungu kwa Maombi, Kumbuka huyu Rafiki Mama Mohamed ni Mkristo, Kwahyo alichokua anataka yeye Ni Wasimame kwenye Maombi tu sio kwenda kwa Mganga wa Kienyeji, Na niukweli Mganga na Mchawi,Shetani wote lao moja

    • @MamaRoy-k6n
      @MamaRoy-k6n ปีที่แล้ว +1

      Hapna sio hivo hy ni mtu wa Mungu hata huyo bamdogo hamjui hata,,,yuko sahihi sana

    • @monicambuva529
      @monicambuva529 ปีที่แล้ว +1

      Hapan mtu anayemuhubiri Mungu ndan yake n mwema..happ anapinga nguv za giza zenye matokeo ya mda mfup na hasara ya miaka mingi....

  • @mvfff7224
    @mvfff7224 ปีที่แล้ว +6

    Jaman iv waganga Hawa wapo? Mmmm,,, ingekuwa zinatolewa no Da Vero ungetupatia watu tunashida😢,,,mganga uyo konk😅wapi uyu jaman

  • @FatmaAlly-w7p
    @FatmaAlly-w7p ปีที่แล้ว +1

    Daah htr

  • @bahatigeorge6155
    @bahatigeorge6155 ปีที่แล้ว +1

    Duuuuh

  • @maryumamapunda8910
    @maryumamapunda8910 ปีที่แล้ว +1

    Nimewahi leo😂😂❤

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 ปีที่แล้ว +1

    HASANTEE

  • @LeoniaElilack
    @LeoniaElilack ปีที่แล้ว +2

    Wa 15 nimejitahidi kuwahi

  • @janemalongo5417
    @janemalongo5417 ปีที่แล้ว +1

    Namba moja

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 ปีที่แล้ว +2

    following 🇰🇪

  • @NaomiDaudi-n8k
    @NaomiDaudi-n8k ปีที่แล้ว +2

    😮😮😮

  • @IbrahimMohamed-eq4ek
    @IbrahimMohamed-eq4ek ปีที่แล้ว +1

    💯💯💯

  • @khadijaali5363
    @khadijaali5363 ปีที่แล้ว +1

    Wa8

  • @AyubuMbuba-pu6tf
    @AyubuMbuba-pu6tf ปีที่แล้ว +2

    Wakwanza

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 ปีที่แล้ว +1

    Dunia hii inamambo

  • @lydiajuma01
    @lydiajuma01 ปีที่แล้ว +1

    😂😂Wakwaza mpo wangap sasa

  • @MaurenEmmanuely-nc9id
    @MaurenEmmanuely-nc9id ปีที่แล้ว +1

    Jmni😢😢😢😢

  • @fatmahamadi8928
    @fatmahamadi8928 ปีที่แล้ว +1

    Watisa 😂😂

  • @FatumaMachongwe
    @FatumaMachongwe ปีที่แล้ว +1

    Mjinga wewe, unaacha kushukuru mtoto amerudishwa unaleta Mambo ya baadae! Kifo sahihi kikifika manake Ni kifo cha Mungu shida iko wapi?

  • @luckiesum9773
    @luckiesum9773 ปีที่แล้ว +1

    No 1