NDARO, MR. MWANYA WAMEMCHANA MAKAVU CHIEF GODLOVE ATOKE MAGETONI "NIMEKUTANA NAE LIVE HANA HELA!"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Ni aibu! Mchezo wa Chief Godlove kutumia pesa feki tiktok umevuja na washkaji Ndaro na Mr Mwanya wamemchana makavu bila kupepesa macho.
Nimekutana nae Live hana pesa! Haendani na pesa anazoonesha tiktok!
Pia chief godlove ameamua kwenda studio na amesema ataachia ngoma yake hivi karibuni kwa hiyo watu wakae mkao wa kula.
#fyp #chiefgodlove #freemason #tiktok #ndaro #mwanya #mbao
Chief Godlove, ni mmbunifu, hongera msimuonee wivu....huyu ans hela hajakosea....Kwa sababu Dunia ni uwanja wa fujo aliye na ngoma acheze....
wew mwanya na huyo ndaro wote nnyiee n panya kwa huyu jamaa sis tuna muelewa sana chifu
akili auna tafta pesa alali
Huyu jamaaa pesa anazo nyingi sana ,,,yan namanisha kwamba kama huna pesa huwezifanya vitu kama anavyofanya mwamba,,pesa anazo💪💪
Kwel
🇹🇿🇹🇿
chief goodlove ni kaline tunao ishi sasa hivi ambayo imebeba majivuno kwa kili mtu kwangu mimi sio sahihi kuonesha pesa zako sehem za media mitandaon ili kusudi iweje sasa kwangu mimi anakosea sana
Kuna wakati anazungumuza vizuri nakuna wakati anazinguwa
Mwenye ela amsemi maskin zitaisha izo kumbuka misemo ya ndalo anasema yanamwisho
Mimi nimemuelewa sana
Hii ni mbinu Moja ya juu ya kufanya watu wakukazie uangalifu na hivyo kuwa na followers wa kutosha!!!
Huyo ndio mswahili,msaidie utakavyo weza lazima atakunanga
Wewe ndaro na mwanya ni fala2 na hamuwezi maisha ya yuyo jamaa pia kama unaweza kuazima azima tuone bs
🇹🇿 ni icho yenye fujo zisizoumiza tafuta pesa
Anakosea sana
Huyu jamaa anasumbuliwa na ushamba sana
HUY MGANGA WA JADI AU MWANAMAZINGAOMBWE 😅MBON AKIITWA KWENY REDIIO YOYOT ANAKWEPA KWEND MUONGOOOOOOOO
Toka apa Vimbao 😂
Jamani watu waongee vyote lkn chief godlove hela anazo japo tuliona kibao lkn vp clip zake zote kuna vibaoo chief baba upige mwingi tu hakuna mtu anaeweza kupita njia yako iliokufikisha hapo hio ni siri yetu tusonge mbele
Acha mambo zenu chef anapesa kabisa zakutosha muhacheni ujinga nahasira huyo jama niboss Sana
Huyu pesa hana ila anaridhisha nafsi yake mpuuz
Sasa ndaro unajilinganisha na chief wewe na mwanya ni makumakuma tu
Mfano wamtumwenye PESA mtazame bakhresa
Mbwa hauna ela bwege
Chifu niazime namimi vimbao natambe kwetu
Kwel huyu ni kichaa
Libaya lijitu lenyewe
MUONGOOO HUYU BABU YAK GANI CHIEF WAKAT ANAENDAGA DHAMBIA KUNUNUA UCHAWI
Jamaa anafanya ualisia wa maisha yake ila wanadamu wapo kwajili yakumchafua mtu alie fanikiwa ili ashuke alipo anachokifanya godlove ni sahihi kwa ajili ya maisha yake respect blotter
Nakubali Kaka...sema bongo wivu tu na rohoo mbaya tu inatusmbua
@@user-ch2it3qt5z😂❤😊2❤0
kama kujishusha atajishusha mwenyewe nanyodo zake we mbele yamalofa kibao unaonyesha ukwasi , si watakuloga wandewa
Dunia inakutesa wewe.wenye hela hawaongei.