FAHAMU MAKOSA HAYA YANAYOFANYWA NA WANAWAKE KWENYE ONLINE DATING WANAPOTAFUTA MAHUSIANO YENYE TIJA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 30

  • @shamiraali6376
    @shamiraali6376 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Shena nakupenda bure

  • @subbyluckson6231
    @subbyluckson6231 10 หลายเดือนก่อน +2

    Asante

  • @pmpaga1063
    @pmpaga1063 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eid Mubarak 🎉

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eid Mubarak

  • @kyandoenelia2540
    @kyandoenelia2540 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba kuuliza nilitaka kulipia nalipia wap kwenye assistant dating sites

  • @tatumzelela5515
    @tatumzelela5515 10 หลายเดือนก่อน +2

    🙏🙏🙏

  • @SylviaMagoda
    @SylviaMagoda 10 หลายเดือนก่อน +3

    Jamani mwenzenu tinder mbona nakutana nawatu weusi wengi kaka zetu wa hapa tz au kuna sehemu nakosea jamani

    • @Realhope-x5p
      @Realhope-x5p 10 หลายเดือนก่อน +1

      Angalia kwenye setting zako kuna sehemu ya distance kilometer na globar utaweza kuwaona walio mbali, dili na vipengele hivyo

    • @zidatv1122
      @zidatv1122 10 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅 wazungu watanawatoa josho ,hatarii sana

  • @halimahassan3031
    @halimahassan3031 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekua wa kwanza leo😂

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 10 หลายเดือนก่อน

    Swadakta dada 🔥🔥🥰

  • @suzanajonhnyodwa1561
    @suzanajonhnyodwa1561 10 หลายเดือนก่อน +4

    Nimeanzisha mahusiano na mzungu mbaba wa makamo from USA . Tunamwezi mmoja Sasa tulikutana FB Sasa tunachati what's up na video calls but Mara nyingi huwa naanzisha Mimi mazungumzo yeye hapana..Nisha mlalamikia kuusu hili akasema yupo bize na kazi na wakati mwingine anaonesha video call akiwa kazini. Na swali dada ivi huyo ananipenda kweli..? Yeye nikimuuliza anasema ananipenda plz ushauri da shena

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  10 หลายเดือนก่อน +2

      Kua na wengi wa kuwasiliana nao.. utapunguza malalamiko

    • @maryjohn2150
      @maryjohn2150 10 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu ajipe kama siku 3 hivi bila kuanza kumtafuta akiona mzungu hamuanzi amtafute kwa text moja tu ya hello then akae tena week pasipo kumtafuta .then akae mwezi pasipo kuanza kumtafuta.Mzungu asipoanza kumtafuta tena.hapo akili ajiongeze kutoendeleza tena mawasiliano.

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@OfficialDatingAssistancekwa kweli Shena umeongea point

    • @zidatv1122
      @zidatv1122 10 หลายเดือนก่อน

      Mtakufa na kihoro cha wazungu,
      Unaonekana hata akija mwehu wa kizungu unaenda, huon wala husikii,
      Wabongo tuko pale tunawaangalia

  • @frankmushendwas37
    @frankmushendwas37 10 หลายเดือนก่อน +2

    Tuko pamoja dada sheina

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official 10 หลายเดือนก่อน +3

    Hello dada
    Niko na swali .
    Bwanako ni mzungu Muslim au alibadilisha dini kwa sababu yako

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  10 หลายเดือนก่อน +3

      Hello Mimi, sio bwana ni mume… 😁Amebadili dini

    • @Mimi.Official
      @Mimi.Official 10 หลายเดือนก่อน

      @@OfficialDatingAssistance ooh ni sawa

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 10 หลายเดือนก่อน

      ALHAMDULILLAH ❤

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 10 หลายเดือนก่อน

      Shena unajielewa dada... ndicho nilichogundua

    • @zidatv1122
      @zidatv1122 10 หลายเดือนก่อน

      Wazungu na mambo ya dini itajuwa wewe

  • @godlivermbena6842
    @godlivermbena6842 10 หลายเดือนก่อน

    Kuna NAMNA ambavyo naitaji msaada wako wa ushauri nafanyaje

  • @godlivermbena6842
    @godlivermbena6842 10 หลายเดือนก่อน

    NAWEZAJE kuwasiliana nawe Kwa ushauri na changamoto