Nawakubali mnaweza sana...... Mnaweza ata kumfanya punda acheke.... Ila mm kwa mawazo yangu msitafute stry au kufikiria stry flani ili muifanyie commedy... Maana sty nyingi tayari zimeshafanyiwa commedy na stry nyengne hazina jambo la kujifunza unapotazana... Mm ningeshauri mufanye commedy kuendana na matukio nchini na kuweza kuisadia jamii kujifunza... Au ku rise ishu ambayo watu hawailewi wanahitaji waielewe..... Apo mtaisaidia jamii na nchi kwa ujumla.....
Fahamu dalili za tezi dume 1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku 2.mkojo kutoka kisiri siri 3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali. 4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume. 5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa. Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama 🔸 Upungufu wa nguvu za kiume 🔸 Saratani ya tezi dume 🔸Figo kufeli 🔸Mawe kwenye figo 🔸Kifo Kwa ushauri na tiba 0655523211
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Ni Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege. Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0678496912
kuna laputopu😂😂😂huku kwenye haya mabegi
Nyie namba moja hamna mpinzani, uigizaji wenu ni tofauti na comedian wengine, rudini tena kama zamani mlipokuwa EAtv .
Nawakubali mnaweza sana......
Mnaweza ata kumfanya punda acheke....
Ila mm kwa mawazo yangu msitafute stry au kufikiria stry flani ili muifanyie commedy...
Maana sty nyingi tayari zimeshafanyiwa commedy na stry nyengne hazina jambo la kujifunza unapotazana...
Mm ningeshauri mufanye commedy kuendana na matukio nchini na kuweza kuisadia jamii kujifunza...
Au ku rise ishu ambayo watu hawailewi wanahitaji waielewe.....
Apo mtaisaidia jamii na nchi kwa ujumla.....
Aise hawa mijamaa kweli ni mazuzu
Huhahhuh mazuzu kwa upyaa na mkate wa buku na buku miatano
Eti kuna kipindi tunacheka wenyewe nyie noma nawapenda aise
Upo vizuri mtangazaji tuna kupata vizur
2023 where are these guys?
I love these guys
Nimecheka sana jaman
Noma sana
etiiii kimetuleta ni njaa tu 😄🤣😂😆😄🤣😂
Nawakubar sana
Kichekoooo hatari
Hahahahaa...
masaweee
Mtangazaji nimekupenda bure
Ko uku tumekuja kukosa?!...MASAWE bna 😅 hahaha
Mbona hamtoi mpya mazuz vp
Kali Sana
Atar sana
Dha nimemmiss sana kiwewe na masawe noma sana hao jamaa
Eti Mungu ni mnene 😀😀😀
Daah hawa jamaa kitambo nilikuwa nawakubali nooma
I like it
Hahahahaha nyie ni fireee
Kwani huku tumekuja kukosa 😆😆😆😆😆
Gonga like kama mtangazaji ni kidoti
Sasa nini kimewafanya kurudi pamoja?..............Ni Njaa tu. daah Nimependa ahaahaaaa
Kwa Hawa jamaa hakuna anaewagusa wapo vzr
Hahahahaha, hatariii
masaweeeeee
Nimewamiss sana.
Dada ilove you unatangaza vzr sana nimekupenda naomba u reply tu nifurahie jmn
Kakuchinjia baharini😂😂😂
@@BongoCryptos ndo ivo tena sina namna
Mazuzu km mazuzu
Mkate wa buku na wabuku mia tano
Fahamu dalili za tezi dume
1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
2.mkojo kutoka kisiri siri
3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
🔸 Saratani ya tezi dume
🔸Figo kufeli
🔸Mawe kwenye figo
🔸Kifo
Kwa ushauri na tiba 0655523211
Mazuzu is fire
Aggah
Hahaha noma hakuna anao wapta
Jaman nilikuwa na mtafuta sana masawe oyoooo umenierewaa hahaaaa
Mtangazaji kwan wewe kimekuleta nn apa
Masawe duh kitambo sana brother
eti tumekuja kukosa😃😃😃
Mucheki Giva akiwa na sitamina ngoma kali sana
Host hakuna kitu apo
hahahahahahahahahahh
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Ni Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.
Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0678496912
macomedi ndo nn sema macomedian
Inarushwa clouds au ITV
CLOUDS TV
@@winniemmary6900 OK
@@winniemmary6900 inaluswa siku gani na muda gani?
Ww mtangazaj umefata nn😁😁😁😁
Et, kama sio njaa zake😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣
Hyu dada hta hajui kutangaza
Katangaze wew