Kutana na Mazuzu Comedy | Akili Zao Wanazijua Wenyewe

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ต.ค. 2024
  • Wanajulikana kwa uwezo wao wa kukuvunja mbavu kupitia video zao fupi zinazosambaa mitandaoni, leo ni nafasi yako ya kuwafahamu kupitia #CloudsReviews

ความคิดเห็น • 59

  • @eddybrokalieddybrokali
    @eddybrokalieddybrokali ปีที่แล้ว +1

    kuna laputopu😂😂😂huku kwenye haya mabegi

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 ปีที่แล้ว +1

    Nyie namba moja hamna mpinzani, uigizaji wenu ni tofauti na comedian wengine, rudini tena kama zamani mlipokuwa EAtv .

  • @habibuahmadiabdallah4280
    @habibuahmadiabdallah4280 2 ปีที่แล้ว

    Nawakubali mnaweza sana......
    Mnaweza ata kumfanya punda acheke....
    Ila mm kwa mawazo yangu msitafute stry au kufikiria stry flani ili muifanyie commedy...
    Maana sty nyingi tayari zimeshafanyiwa commedy na stry nyengne hazina jambo la kujifunza unapotazana...
    Mm ningeshauri mufanye commedy kuendana na matukio nchini na kuweza kuisadia jamii kujifunza...
    Au ku rise ishu ambayo watu hawailewi wanahitaji waielewe.....
    Apo mtaisaidia jamii na nchi kwa ujumla.....

  • @isayayohana6341
    @isayayohana6341 2 ปีที่แล้ว +1

    Aise hawa mijamaa kweli ni mazuzu

  • @jacksonvalence7365
    @jacksonvalence7365 3 ปีที่แล้ว +3

    Huhahhuh mazuzu kwa upyaa na mkate wa buku na buku miatano

  • @sadockalfred1710
    @sadockalfred1710 3 ปีที่แล้ว +2

    Eti kuna kipindi tunacheka wenyewe nyie noma nawapenda aise

  • @lightnessmmary7935
    @lightnessmmary7935 3 ปีที่แล้ว +1

    Upo vizuri mtangazaji tuna kupata vizur

  • @rogathikaziyamungu9554
    @rogathikaziyamungu9554 10 หลายเดือนก่อน

    2023 where are these guys?

  • @olaissaitoti3550
    @olaissaitoti3550 3 ปีที่แล้ว +1

    I love these guys

  • @Ndagoselemani
    @Ndagoselemani 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimecheka sana jaman

  • @tonymaster3619
    @tonymaster3619 ปีที่แล้ว

    Noma sana

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 ปีที่แล้ว

    etiiii kimetuleta ni njaa tu 😄🤣😂😆😄🤣😂

  • @omaryhossen8908
    @omaryhossen8908 3 ปีที่แล้ว

    Nawakubar sana

  • @abdaiiyatv7570
    @abdaiiyatv7570 3 ปีที่แล้ว +3

    Kichekoooo hatari

  • @harounsaid580
    @harounsaid580 3 ปีที่แล้ว +4

    Hahahahaa...
    masaweee

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 2 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji nimekupenda bure

  • @franciskavyega280
    @franciskavyega280 3 ปีที่แล้ว +2

    Ko uku tumekuja kukosa?!...MASAWE bna 😅 hahaha

  • @emmanuelngonda1600
    @emmanuelngonda1600 2 ปีที่แล้ว

    Mbona hamtoi mpya mazuz vp

  • @alexmlinda9399
    @alexmlinda9399 3 ปีที่แล้ว +1

    Kali Sana

  • @frankmwampamba166
    @frankmwampamba166 3 ปีที่แล้ว +2

    Atar sana

  • @ringoaskali7625
    @ringoaskali7625 3 ปีที่แล้ว +2

    Dha nimemmiss sana kiwewe na masawe noma sana hao jamaa

  • @khaidariylijonjo5716
    @khaidariylijonjo5716 3 ปีที่แล้ว +1

    Eti Mungu ni mnene 😀😀😀

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 3 ปีที่แล้ว +1

    Daah hawa jamaa kitambo nilikuwa nawakubali nooma

  • @jowimacosogo9219
    @jowimacosogo9219 3 ปีที่แล้ว

    I like it

  • @ymusic1299
    @ymusic1299 3 ปีที่แล้ว

    Hahahahaha nyie ni fireee

  • @djmaster4928
    @djmaster4928 2 ปีที่แล้ว

    Kwani huku tumekuja kukosa 😆😆😆😆😆

  • @fadhilisec8456
    @fadhilisec8456 3 ปีที่แล้ว +7

    Gonga like kama mtangazaji ni kidoti

  • @jassontv5366
    @jassontv5366 3 ปีที่แล้ว

    Sasa nini kimewafanya kurudi pamoja?..............Ni Njaa tu. daah Nimependa ahaahaaaa

  • @njillihotz2785
    @njillihotz2785 3 ปีที่แล้ว

    Kwa Hawa jamaa hakuna anaewagusa wapo vzr

  • @veboytz7064
    @veboytz7064 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahaha, hatariii

  • @abbakarsaidimsigwa871
    @abbakarsaidimsigwa871 3 ปีที่แล้ว

    masaweeeeee

  • @fridajoseph516
    @fridajoseph516 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimewamiss sana.

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 3 ปีที่แล้ว

    Dada ilove you unatangaza vzr sana nimekupenda naomba u reply tu nifurahie jmn

    • @BongoCryptos
      @BongoCryptos 3 ปีที่แล้ว +1

      Kakuchinjia baharini😂😂😂

    • @benjaminulanga6749
      @benjaminulanga6749 3 ปีที่แล้ว

      @@BongoCryptos ndo ivo tena sina namna

  • @hafidhmajaliwa6872
    @hafidhmajaliwa6872 3 ปีที่แล้ว +2

    Mazuzu km mazuzu

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed4249 3 ปีที่แล้ว +2

    Mkate wa buku na wabuku mia tano

  • @jenynaafya
    @jenynaafya 3 ปีที่แล้ว

    Fahamu dalili za tezi dume
    1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
    2.mkojo kutoka kisiri siri
    3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
    4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
    5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
    Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
    🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
    🔸 Saratani ya tezi dume
    🔸Figo kufeli
    🔸Mawe kwenye figo
    🔸Kifo
    Kwa ushauri na tiba 0655523211

  • @simonwoisso1831
    @simonwoisso1831 ปีที่แล้ว

    Aggah

  • @hendryjoseph5196
    @hendryjoseph5196 3 ปีที่แล้ว

    Hahaha noma hakuna anao wapta

  • @joanejoel159
    @joanejoel159 3 ปีที่แล้ว

    Jaman nilikuwa na mtafuta sana masawe oyoooo umenierewaa hahaaaa

  • @ngalawekikohingalawekikohi4768
    @ngalawekikohingalawekikohi4768 3 ปีที่แล้ว +2

    Mtangazaji kwan wewe kimekuleta nn apa

  • @moudyhamisi2641
    @moudyhamisi2641 3 ปีที่แล้ว +1

    Masawe duh kitambo sana brother

  • @evamartin863
    @evamartin863 3 ปีที่แล้ว

    eti tumekuja kukosa😃😃😃

  • @jonathanicrisatijonathanic6708
    @jonathanicrisatijonathanic6708 3 ปีที่แล้ว

    Mucheki Giva akiwa na sitamina ngoma kali sana

  • @amanimanase5794
    @amanimanase5794 3 ปีที่แล้ว

    Host hakuna kitu apo

  • @josephelias3004
    @josephelias3004 3 ปีที่แล้ว +2

    hahahahahahahahahahh

  • @dicksonhealthcare3016
    @dicksonhealthcare3016 3 ปีที่แล้ว

    DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
    Ni Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.
    Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda wassap 0678496912

  • @dbwaxvevo5780
    @dbwaxvevo5780 3 ปีที่แล้ว +1

    macomedi ndo nn sema macomedian

  • @kefasonivenace4301
    @kefasonivenace4301 3 ปีที่แล้ว +2

    Inarushwa clouds au ITV

  • @mhandoomary7398
    @mhandoomary7398 3 ปีที่แล้ว

    Ww mtangazaj umefata nn😁😁😁😁

    • @didaskipe7260
      @didaskipe7260 3 ปีที่แล้ว

      Et, kama sio njaa zake😀😀

  • @RobbyDejan1234
    @RobbyDejan1234 3 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @sanimoclassic1917
    @sanimoclassic1917 3 ปีที่แล้ว

    Hyu dada hta hajui kutangaza