❤❤ baba jay poza machungwa yote, sasa kaka lucas ndo umeupanga vizuli mda Asante san, simliz nitam, wadau njoon. Mishi mambo tayal, ila msipte kmykmya Salam kwanza nawapenda ote🌹🌹🏃
Huyu mwanadada nmempenda sana kwa maamzi yake mazuri aliyoyafanya hatassi wasikilizaji namini tumejifunza kitu hapa mutunzi malikia ubarikiwe sana umejua kuipanga vizuri hii simulizi
Daaa hongera sana mishi ulicheza kama Pele piya derick hongeta sana ndio unaambia usikate tamaa katika maisha na kila mtu alipangiwa kuishi kwake asante bro lucas kwa hii simlizi tamu sana ya mapenzi one❤❤❤❤❤
Wakati unaondoka mbona hukwenda kwa katekista?😂😂😂😂 😂😂😂 huyo Derick hana msimamo,siku nyingine ataungana tena na ndugu zake watakutenda tena,asili ya mtu haibadiliki
Pongezi sana kwamaamuzi mazuri mishi minitakuta tu mishi 😁😁😁😁kwakweli unatakiwa una maamuzi ya mwisho sio sisi tu wanawake pia wanaume hongera sana lumbasi kwasimulizi tamu ya mafunzo,❤❤❤❤
Asante sana kaka Lucas Lumbas Kwa kutuhitimishia fainali ya BABA JAY...hakika tumepata kujifunza mengi ndani ya hii story nzuri... usisahau kutuletea simulizi za kichwani 😅😅😅😅
Ushauri wangu ukishindwana na mtu usianze mahusiano mengine kabla hamja malizana na mahusiano ya kwanza maana kama mishi alipo achwa angekubali ingekua heri mbelen kuliko uko kwenye ndoa na wachepuka si poa
Akikuona wa nn Kuna wale wanasema nitampata lini mm Hadi Leo nna miaka 44 yrs na Bado Kuna wanao taka kuniowa ila siamini Tena katika mapenzi Kwa Nini iwe sasa huenda mafanikio yangu ndio sababu Wala si. Mapenzi 😊😊😊
@@TeklaNdekeja maisha tunapanga,lakini hatima yetu imo mikononi mwa Mungu,kila aina ya maisha ni sawa tu,anaesema wanaume wote ni mbwa hata babake pia?
Iko hivi kama wewe ni Roma na ulifunga ndoa roma then mkaachana kwa taraka ya mahakamani , Roma inahesabu una ndoa kama mwenza wako yupo hai Lakini ukienda Dhehebu lingine mfano walokole ama sabato unauwezo wa kufunga ndoa ni Roma tu ndio wenye misimamo mikali kwao hawa wengine wanapokea
Baba JAY ni 👍👍kuwa na furaha mama ambiya mapigo bye be happy my dear baba jay good man❤❤❤
Nimempenda bure Baba Jay😊
How I wish ndo mimi nimekutana nae
❤❤ baba jay poza machungwa yote, sasa kaka lucas ndo umeupanga vizuli mda Asante san, simliz nitam, wadau njoon. Mishi mambo tayal, ila msipte kmykmya Salam kwanza nawapenda ote🌹🌹🏃
Nyie mbona mko kimya hum ndani jamani goja niwasalim like Mimi ndie gawagawa❤
Asante 😂😂😂tunakupenda sana pia❤
@@avelinabaluhya2804 ❤️🙏
❤❤❤
ᵀᵘⁿᵃᵏᵘᵖᵉⁿᵈᵃ ᵖⁱᵃ ⁿᵈⁱᵒ ⁿᵃⁱⁿᵍⁱᵃ 😂😂😂
Kweli lucas ahadi yako kweli pongezi kwako wacha tuburudike sisi mashabiki wako❤❤❤
Kaka lucas uko juu yaani ahadi yako ahipiti mda tutakupenda daima❤❤🎉🎉
Good morning Leo nmerauka ...Lucas asante kwa mzigo❤❤❤
baba jay ni fundi bwana kwnye kitanda mishi uyo ndio mpenzi mpya ss enjoy dada kwa mahaba mazitoo ❤❤❤
Aiiiii umeupiga mwingi bro🎉
Saf san kaka wa mboga saba🎉🎉🎉🎉 Leo umejua kufany kazi nzur
Wooooow imekuja mapemakweli thankx lumbasi
Acha tu babajay achukue mzigo amuache mpuuzi ang'aeng'ae sharubu huyo ndie mwanaume bwana ❤❤❤🔥🔥🔥🌹🌹🌹💋💋💋💯
Kabisa💯😂
Wakipigwa matukio huwa mnarud ka vimbwa vilivyonyesgewa😂😂😂 na akina derrick sijui mna sgida gan
❤❤😂😂😂😂🎉wacha tuskilize ss
Waooo♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹ahsante kwa uaminifu wako 🙏
Hahaaaaaa mama uko vizuri yani unakipeleka mwenyeweeee .... Nimekuheshimu Mishy msife na stress wapenzi wa Lucas ukipenda mtu kufa nae Kwan Iko nn😂😂😂😂
Bora upata mtu saa ii kuliko mateso team lucas😂😂❤❤❤🎉🎉🎉
Huyu mwanadada nmempenda sana kwa maamzi yake mazuri aliyoyafanya hatassi wasikilizaji namini tumejifunza kitu hapa mutunzi malikia ubarikiwe sana umejua kuipanga vizuri hii simulizi
Unajua kukeep promise Lucas Lumbas,,mungu azidi kukubariki,,NO WEAPON OF ENEMY SHALL HARM YOU IN GOD NAME,,AAMIIN
Amin
Leo nimewah jaman 🎉🎉🎉 nipen like zangu vipenz za asubuh
🌹🌹🌹
Waooo Shukrani 13
Ahahahahahahahahahah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Lucas unatufanya wenzio watumwa yaani nilikuwa macho ❤❤❤❤🎉🎉🎉😂😂😂 nimelia jamn 😢
Haya kaka tunamalizia stoli yetu pendwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Jamani nimepata funzo kubwa ubarikiwe sana kaka lucas nimeinjoy sana😅😅
Mishi ampende tu baba jay jamani iliapate mimba amkomeshe mume wake na mawifi zake 😂😂😂🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
😂😂😂😂
@@zenaathumani8144 ❤️❤️
@@avelinabaluhya2804 nikweli kabisaa yaani mmi siwapendi wakwe na mawifi wenye roho mbaya 😂😂😂🇮🇹🇹🇿
Upewe maua yako🎉🎉
😂😂 baba Jay hoyeeee
Mishi Safi Sana mpende akupendae 🎉🎉🎉❤❤❤
Francoo mpemimba ya mapacha huyo mishi aachekujishaua
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ya baba jay
Nmewah
Uko vizuri hongera 🎉🎉🎉🎉
😊😊😊😊😊
Daaa hongera sana mishi ulicheza kama Pele piya derick hongeta sana ndio unaambia usikate tamaa katika maisha na kila mtu alipangiwa kuishi kwake asante bro lucas kwa hii simlizi tamu sana ya mapenzi one❤❤❤❤❤
Eti ndoa pole
Wakati unaondoka mbona hukwenda kwa katekista?😂😂😂😂 😂😂😂 huyo Derick hana msimamo,siku nyingine ataungana tena na ndugu zake watakutenda tena,asili ya mtu haibadiliki
Pongezi sana kwamaamuzi mazuri mishi minitakuta tu mishi 😁😁😁😁kwakweli unatakiwa una maamuzi ya mwisho sio sisi tu wanawake pia wanaume hongera sana lumbasi kwasimulizi tamu ya mafunzo,❤❤❤❤
❤❤ nikwel maisha nikujiamlia il uish kwaaman❤
😊😊
Asante simulizi zuri
Nimekuwa 11 jamani ❤
Asante Kwa hii simuliz imekua yangu mm
Oyoooooooo hatimae
❤❤❤
Mmmmmmm ngoja tuone
Hii simulizi imeweza wallah.mtunzi ameitendea haki so mchezo🎉🎉🎉🎉hayo familia ya LLS .so ❤❤❤ly
Asante kwa simulizi nzuri❤🎉🎉
ᴷᵘⁿᵃ ᵏᵘⁿᵃᵏᵒ😅😅😅
Kila shetan na mbuyu wake baba J kashanyandua Mishi😅
BABA JAY.SAWA❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂
Bora ukatae pale pale maana Deric atakuja kukuua
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Utajuta huyo mtoto atapata shida iko siku derik atageukatuu
Asante sana kaka Lucas Lumbas Kwa kutuhitimishia fainali ya BABA JAY...hakika tumepata kujifunza mengi ndani ya hii story nzuri... usisahau kutuletea simulizi za kichwani 😅😅😅😅
Jamani jamani asante Lucas kwa simurizi nzuri ❤❤
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hadi wapigwe matukio ndiyo wapate adabu,shenzi sana,wanaondoka kama akili hazimo,matusi kama yote,pumbavu sana,mtu linakuganda kama luba chaa.
😊😊😊
❤❤ wanaume kuashkisha adabu bila hvo wanajikia sn
Ila inahitaji ujasiri na kutokua na huruma
Baba j j moto🔥🔥🔥
🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️❤️
Ushauri wangu ukishindwana na mtu usianze mahusiano mengine kabla hamja malizana na mahusiano ya kwanza maana kama mishi alipo achwa angekubali ingekua heri mbelen kuliko uko kwenye ndoa na wachepuka si poa
Asante kwa simulizi nimeipenda sana
🎉🎉🎉❤
❤❤Mbona kmya nyie ote? Hamjafulah bajay kaondoa machungwa ya mwanamke mwezetu? Mh hv ndvo inatakiwa Mt akkuona hufai😂😂
Akikuona wa nn Kuna wale wanasema nitampata lini mm Hadi Leo nna miaka 44 yrs na Bado Kuna wanao taka kuniowa ila siamini Tena katika mapenzi Kwa Nini iwe sasa huenda mafanikio yangu ndio sababu Wala si. Mapenzi 😊😊😊
Hongera mwaya,umevuka magumu♥️
@@avelinabaluhya2804 weeachat kunakat hua nacheka km chiz aginesi shabiki mwezetu wasimliz anapenda kuandka wanaume ote nimbwat🤣🤣
@@TeklaNdekeja maisha tunapanga,lakini hatima yetu imo mikononi mwa Mungu,kila aina ya maisha ni sawa tu,anaesema wanaume wote ni mbwa hata babake pia?
Muda mwingine binadam dam haziendani kwenye kuzaa ila mawifi tuache kuingilia ndoa za kaka zetu 😢
Nyie ndoa mbili zakanisani hata bila mume wazamani Kuga dooooh hii sijawai sikia
Mishi muache ajinyonge mwana kuyafind ndo kuyaget kinyaga kubwa kubwa mamii
Huyu derick ni kama hanisi hazalishi yy ndiye mwenye shida huyo mke wake alivumilia sana
Unajiitaje malaya wakati umetangaziwa kuachwa?
Asante sana ❤❤❤
Huyo habadiliki
Acha mishi apoze moyo kwaajili ya isia zisimuumize
🎉🎉🎉🎉🎉
Alipitisha muda tuu, Franco njo mume, Nadia y’a kupigwa kilasiku ?? Y’a nini?
Nani anaona baba jay atachukua mke
😅😅😅🤔
Yaani Mishi unataka kurudi Tena Kwa Deric ukaendeleze kibondo? Usikubali Tena nenda kwenye tulizo la roho yako
Hello..hebu naomb kuuliza ni kwamba kwa Wakristo hii imekaaje kuwa na ndoa ya pili i mean kwenda kufunga ndoa nyingine
Iko hivi kama wewe ni Roma na ulifunga ndoa roma then mkaachana kwa taraka ya mahakamani , Roma inahesabu una ndoa kama mwenza wako yupo hai
Lakini ukienda Dhehebu lingine mfano walokole ama sabato unauwezo wa kufunga ndoa ni Roma tu ndio wenye misimamo mikali kwao hawa wengine wanapokea
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante kwa simulizi nimeipenda sana
❤❤❤
❤❤❤🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉❤❤❤❤❤