BAHARIA: WALITOSWA BAHARINI/ SAMAKI MTU/ ALINIOKOA/ NILIKATAZWA KUSEMA/MAISHA/UMALAYA!... | PART 04

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #safari #baharia #mbanga

ความคิดเห็น • 29

  • @dar24media
    @dar24media  ปีที่แล้ว +6

    Kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na juma tano saa nne kamili asubuhi, kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba #0653127761, muendelezo wa kipindi hiki utaruka siku ya jumamosi ya tarehe 12/08/2023, saa nne kamili asubuhi

  • @japanisyakuza8198
    @japanisyakuza8198 ปีที่แล้ว +4

    Apo kwenye jafongo 😂😂 Baharia Mzee 1993 🇿🇦✈️🇹🇿

  • @FatakiFabien-co2qs
    @FatakiFabien-co2qs ปีที่แล้ว +6

    Nime wayi nipeni liké yangu

  • @user-kn6mz8li9v
    @user-kn6mz8li9v ปีที่แล้ว +4

    Mabaharia wanakwama wapi story zao na maisha yao ya sasa tofauti sana walikwama wapi

  • @dottowache5149
    @dottowache5149 ปีที่แล้ว +1

    Bravo mzazi don't lose hope

  • @peacemakerdxb6012
    @peacemakerdxb6012 ปีที่แล้ว +3

    Waiting, MGRRRRRR😅

  • @victordavidmmbaga8491
    @victordavidmmbaga8491 7 หลายเดือนก่อน +1

    Yuzo mwamba kamharibu Dupe, anauliza maswali ya kibaharia kabisa .. 😂😂😂

  • @hijaxmnyika9643
    @hijaxmnyika9643 ปีที่แล้ว +1

    Oya noma sana, sema nn ofsa dupa usicheleweshe part 5 mwanetu

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 ปีที่แล้ว +2

    Kwamba watu wakikabana ndege inaelemea upande 🤣🤣🤣🤣 nimecheka kichoko

  • @manmsha7479
    @manmsha7479 ปีที่แล้ว +4

    oya dupa sna mzazi nazida pata vitu kwa kk angu bundala au gamba mla chake ,, naona wana familia washaanza kumuita mzee wa kachori na kachumbali km ivyokua kwa kk baloz mzee wa kabinyau au mzee wa kwiyo.

  • @user-kn6mz8li9v
    @user-kn6mz8li9v ปีที่แล้ว

    Baharia ana swqgg sana tunaenjoy

  • @ibrahimngayonga7210
    @ibrahimngayonga7210 ปีที่แล้ว +2

    Mzee wa mhhhhhhhh😂

  • @InnocentWillbald-du9en
    @InnocentWillbald-du9en ปีที่แล้ว +1

    Raia zinakabana kwenye ndege kweli😅😅

  • @raymanmwangosi5041
    @raymanmwangosi5041 ปีที่แล้ว

    Daaa hata kama ni uongo lakini nimèfurahi sana issue ya kukabiana katkat ile kubalance ndege😂😂😂

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw ปีที่แล้ว

    Dah😂😂mzee wetu alikuwa noma sana

  • @andrewdankanidankanichilal8944
    @andrewdankanidankanichilal8944 ปีที่แล้ว +1

    Mzee mcheshi sana

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 ปีที่แล้ว

    Respect

  • @keishababy-fh2dy
    @keishababy-fh2dy ปีที่แล้ว

    Dah , kama movie hivi !!

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 ปีที่แล้ว +3

    Kaka hizi story zako. Nahisi kuzamia zamia na Mimi.

    • @bakari-si1pw
      @bakari-si1pw ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 ปีที่แล้ว

      Fanya mazoezi ya kufunga wiki bila kula km utaweza nakushauri zamia

  • @johnmero2851
    @johnmero2851 ปีที่แล้ว

    Huyo Mzee mganga nilikua namfahamu,na bibi yake alikua anauza Maandazi

  • @mwanaishasaleh8327
    @mwanaishasaleh8327 ปีที่แล้ว

    Mzee wa mmmmhhhhhhhh

  • @andrewdankanidankanichilal8944
    @andrewdankanidankanichilal8944 ปีที่แล้ว

    Kuluma malume ngiyabonga awe awe

  • @reney95
    @reney95 ปีที่แล้ว +1

    hahahahahahahaha

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 ปีที่แล้ว

    Hahaha

  • @hassanbaraza1165
    @hassanbaraza1165 ปีที่แล้ว +1

    Mzee wa kachori na kachumbari😀🤣🤣