PATANISHO : WANJOHI - MKE WANGU ALINIACHA JUU NILIKUWA MLEVI SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
#RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghostasubuhi
Subscribe to RadioJambo TH-cam - bit.ly/39wwc6u
Mitandao ya Kijamii
Instagram - rb.gy/e154d1
Facebook - rb.gy/09d1b9
Twitter - rb.gy/e23220
Second too see
🤣🤣🤣🤣🤣 Eti mshahara inachelewa... Lakini a whole Radio Jambo hawajaeka credit surely??
Hiyo jina wanjohi inamanisha pombe kiukuyuni abadilishe jina wanjohi
😂😂
😂😂😂wat about wahome 😢bcx wangu ametushinda na pombe mpaka nikaondoka kidogo
Even me am like name has power
@@luckydubebello1131 waa sorry dea ataacha siku moja
Nope hamanishi hivo,Inamanisha mpenda wanawake
Nilisema Wanjohi hawezi kuacha pombe 🙂😊
Nice.
First to see this
😂😂😂 sometimes jina kweli umatter alot ,jirani wetu aliita kijanake sisheno ,in Kiswahili means shetani , walaai yale mambo huyo kijana anafanya 😅Ata sheto mwenye jina anamuogopa,mara amekata ngombe mkia mara anastua watu usiku kwa matsnga ,mara ameiba kwa police 😂😂
😂😂😂😂😂nimecheka vnye ulikuwa unataka
@@salimkhadija6593 🤣🤣asante Mimi nilikuwa nathani ni bangi BT kuchunguza wavuta bangi NI watu taratibu Sana nikajua lo hii ni jina ,sisheno
@@user-cg3vf2bl6b Niue kabisa😂🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Mpee Time
Huyu labda aitwe Wamushie au jina ingine mzuri, abadilishe jina
Hio jina wanjohi, siwezi ita mtoi wangu, sio jina poa
😂😂😂😂😂😂credit mshikila Hahaha
😮Wanjohi means mtu wa pombe.
Wanjohi is my neighbor
😂😂😂hizo ni story tu, tangu lini mlevi aombe msamaha , mapema ndio best
😂😂😂 lakini ghost
Wiki mbili ni kidogo bana ata jina lenyewe laogopesha