VITASA | Mussa Mareges vs Seleman Kidunda | CDF CUP 27/07/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- Tazama jinsi bondia Seleman Kidunda alivyoibuka na ushindi wa pointi dhidi ya Mussa Mareges, pambano la raundi tatu.....
Ni katika mashindano ya majeshi Tanzania #CDFCup2024 , vitasa vikipigwa kambi ya Twalipo, Dar es Salaam.
Sele siyo bondia mzuri
Zimetua sana ngumi
Wote wanajesh hii ni show wameonesha 💯
Huyu bondia kampa challenge nzuri Sana kidunda
Kidunda ni mpenda ngumi.Hata Akija na suti mazoezini Akiambiwa Acheze Sparing Atacheza hata na suti yake
Nakubali kaka kidunda chapa uyo
Kilo 10 ndani ya miezi 3 huyu kidunda discipline hana
Kidunda kawa bonge sana
Champion
Hapa rafiki yangu kidunda ni 50/50
Tusemen ukweli
Ki performance kidunda yipo juu anakwepa, anemone, anamchi
Na hata kub score pia
Hv nyinyi wachambuz huwa mnakunywa mbege? Maana mnachokiongea na tunachoona haviendani
Kidunda mbona Kama kachezea ?
Kidunda kapewa tuu kutunza heshima yake ila kapigwa vizuri tuu, ngumi za mopinzani zte zimetua usoni mwake .
kidunda anabebwa sanaaaaaaaaa
Ndio maana nasema Tanzania bondia ni mwakinyo tu
Kuna ngumi hapo ingempata kidunda basi ingekuwa ndio mwanzo wa kutengeneza jeneza
Kidunda mbona kanenepa hvo, hii ilikua drawn bhana dogo yupo vzuri
Kodunda yuko levuli ya Mandonga
hii ya mda kabla kidında hajaingia profesion boxing hapa
ilikuwa Amarture
Si unaona hapo 2024 na tare 27/7/2024🤣🤣
Hayo ni mashindano ya majeshi
Cdf cup ayo mashindano mapya ya mjeshi 😂😂😂uyo jamaa sio mfatiliaji kakurupuka
Unaona kabisa Kidunda umri umeenda
Huyo afande anaepgn na kidunda Yuko vzur San,natamani angepewa yul msouz Wa kidunda acngetamba.Jamaa mzur sana
Alipotea t
Sio fear
Kwani uyu ndo Kidunda ninaemjua mm au mwingne!!!
Anapiga sparing tu
@@GibsonNtamamiloIlo unajua wewe chawa wake, hujajibu swali la msingi.
Hapa naona kidunda alikuwa hana mudi nahii mechi
Hii yalini tena
Leo 😊
Mmmm
Ya Juzi 27/7/2024.
Kindunda angestahafu ngumi tu
😂😂😂😂😂
Amna kitu apo BWANGA anawaua wote apo
Bwanga tena