Ila huyu dada khaaa alshndwa kujtetea kuchukua ata jambia pumbavu saana mtu unipge km babang ata umenilipia mahali ujingaaaa na marasta yke km fagio la choon 😅😅😅😅😅
Sasa unataka ujue hali yake na unaona tena keshapigwa ila sio vizuri huyo dem alikua anampenda sana huyo msela sema n makosa kidogo tu ya kibinadamu ambayo yanarekebishika huwez kumuhudumia mwanamke anayekupenda na huwa hapendi kukupa mzigo matokeo yake huwa ni hayo
Me nadhani ungeweka recommendation kwa wateja wako anapovuka mipaka basi hatua kali itachukuliwa dhidi yake, kwa sababu mtu qkishapanic anaweza kufanya jambo baya sana ona kama kaka alivompiga huyu dada na amefunga mlango maana yake huwezi toa msaada wowote je angefanya tukio kubwa zaidi huoni kama ungekua matatani kaka Kiredio? Plz fanya marekebisho kwa 7bu kazi yako ni nzuri inasaidia watu wengi lkn shida inakuja kwenye watu wakisha PANIC
Umalaya muache wasenge nyinyi muwe mnaridhika Mara kwa hamisi Mara dullah muwe mnaridhika mashetani nyinyi angekutoa macho tu kakugusq tu hpo angekutia na harama
Michael Msamehee...huyo demu anakupenda sana. Na wewe kiredio anzeni kutembea na Bodyguards kwenye contents kama hizi... mtasababisha vifo. Mbuzi wakubwa ongezeni weredi na professional katika utendaji. Kondoo wa kondoa nyie.
Yaan kirediooo unajifany kam umeumia kumbe ndio umependa Hahahahhaa kazi nzuriiii❤
Nipo single 🙌🤭😂 Yan naogopa ivyo vitu 😂stki mie HHhH 😅
Kiledio we msenge kweli mpaka umeonyesha vitendo
Ila huyu dada khaaa alshndwa kujtetea kuchukua ata jambia pumbavu saana mtu unipge km babang ata umenilipia mahali ujingaaaa na marasta yke km fagio la choon 😅😅😅😅😅
Hii kazi usiache kiredio mpka wakuuwe kaka😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Are u crazy or something sina mbavu yaan asiiche mpk wamuue 😅😂😂😅😂
Daah! Ilawananyie hatareee sana daah!! Sema maiko kaferisha story tam😊😊
Me naon lahaaa😂😂😂mtu unapew kila unachotk jmn aisee sisi wanawake tuna tamaa san jmn😢
Eti mmeniharibia... Wamekuharibia vip umalaya wako😅😅
Hongera bwana kiredio wenye tabia ya kupretend mahusiano waaibishwe tuh wajifunze kuwa waaaminifu ila mimi usinifate😆😆😆🤣🤣
Uyo kaka ameumia sanaa jaman njoo kwangu sitakuchearty😊
Nimeipendaaa
Kazi nzr kiledio
Ila kiredio mnafiki sana😁😁😁
Nmecheka kwa nguvu 🤣🤣🤣✋
😂😂😂😂😂😂😂daah, ila fresh tuendelee mwanangu mpk tuwe waaminifu safr hii
😂😂😂😂😂
Huyu maiko mwenyewe anakimbia kama vile mshale ila kiredio nimshezi ila mwanamke alivyoinama 😂😂😂😂
😂
Hahahaha kiredio umenichekesh et mtu kapgw alaf unamuliza kama kaumia unatak akujib nn
Kiredio tuletee part 3 yake,mambo yameshachangamka
Mr uky hapo anasema chapa kabisa
😅😅😅
Yan nipigwe na mtu hajanitolea mali 😂😂😂😂😂 aisee atalala segerea akashike ukuta
Mbona alikubali kuhudumiwa wakati ajatolewa mahali😅
Yan mm akinipiga amekunya
jamaaa kwann ampigeee kiredioo mtafungwa nyieeeee😅😅😅😅😅😅
jaman tuwen uaminifu kweny mapenz yen mwish wasik ndokuzalilishan😂😂😂
Ww dada achana naee Kwan mwanaumee mmojaa
Sasa unataka ujue hali yake na unaona tena keshapigwa ila sio vizuri huyo dem alikua anampenda sana huyo msela sema n makosa kidogo tu ya kibinadamu ambayo yanarekebishika huwez kumuhudumia mwanamke anayekupenda na huwa hapendi kukupa mzigo matokeo yake huwa ni hayo
Me bwana wangu angeniua
nimetega masikio nisikie yale matusi nimesikia2 nisamee
😀😀 kumbe jeuri ya kwenye simu
Kiredioo usiachee hii kazii 😅😅😅 inakufaa sanaaah ety kaina ukaonaa kiunoo dahaa😅😅❤
Nimeipenda hii
😂😂😂 kiredio msenge et kainama
😂😂😂🤣Afu mnaangalian mnacheka
Kiredioo mtu mbadyy😅😅
We kiredio weee watakuroga 😅😅
Endelea tuu mbaka waache kuchepuka wapuuz hawa, maisha magumu una mtunzamtu yukobize nakuku cheat
Wambea Hawa jamani 😀😀
Hata ningekuwa mm ningecheka 😂
Nataman hii crip aione mkeo 😂😂😂
Mama samiya msitishe hi kazi huyu kirediyo Haina mna kazi anayo fanya
Mr uk alivokaa kibarazan kasmama km nguv hana akat wameyataka wenyew
Mapenzii bn
Kiredio hii kazi walau utafikia pepon Mana inaumbua vibaya
Duuuuu wallah nimecheka Kiredio unafurahisha😂😂😂😂
Maiko kachachamaa nywele hadi mbio😊
Aiseee ee jamn😢njo na Arusha vicee 😂😂
Mbona nacheka jaman hata huruma sina😂😂😂
😂😂😂😂mbn yule jamaa mwingine aje💔
Ilaa kiredioo mtu mbadiiii
Funguen basii paziaa tuon vizr
Mungu anakuona ww😂😂
Nani Sasa 😂😂😂
Ila kiredio na mwenzakoo ni wanafikii mbn wanachka
Kiredio chizi kweli wewe😂😂😂eti mtoto mzuri lakini jaman😂😂😂
Me nadhani ungeweka recommendation kwa wateja wako anapovuka mipaka basi hatua kali itachukuliwa dhidi yake, kwa sababu mtu qkishapanic anaweza kufanya jambo baya sana ona kama kaka alivompiga huyu dada na amefunga mlango maana yake huwezi toa msaada wowote je angefanya tukio kubwa zaidi huoni kama ungekua matatani kaka Kiredio? Plz fanya marekebisho kwa 7bu kazi yako ni nzuri inasaidia watu wengi lkn shida inakuja kwenye watu wakisha PANIC
Kiredio mpuuzi wew😂😂
That’s Violence.kiredio acha kudeal na wajinga kama huyo fidodido michael.watakuponza
Mchukueni mumpel eke hospital nyie wa mbea sana mngepig wa nyie
Unatakiwa kuwa na mabaunsa , huwezi kuruhusu mtu anapigwa akiuliwa hapo na una rekodi.
😂😂😂😂 yaaan nyie
😂😂😂eti majitu yanamlaumu kiredio mchonganish, fikiria mtu unampa pesa zaid hata ya nduguzo nahujamuoa halaf anacheat kwamakusud ukioa je!!?
kirediy museng demu kainama umesahawu kiricokureta😂😂😂😂😂
Umalaya muache wasenge nyinyi muwe mnaridhika Mara kwa hamisi Mara dullah muwe mnaridhika mashetani nyinyi angekutoa macho tu kakugusq tu hpo angekutia na harama
Kiredio wewe jamanii eti alivoinama dah
Kiredio akili zako kwahiyo umemtamani ishinao umeshamuaribia
😂😂😂
😅😅😅
Bora angewapiga nyie kiredio na mwe nzako hamna akili kabisa na hao Wana okubali kuhojiwa na nyie ni waongo hovyoooooo
Ukijiamin unammoja uwez ogopa kuhojiwa ukiogopa jua unawengi
Mmh we kirendo acha hizo 😂
Me Sina umaalufu ila wakija kujichanganya nakula ninyi
Dah ila tinted imemtesa sana kiredio😅😅😅
We kirediyo hi kazi iwache
Umalaya tu umewajaa tele piga mpka akome
Nawapenda sana kiredio
Ana bahati sura haijaonekana
Jmn kiredio mtasabbsha tuje kuwawa😂😂
Usiache kazi hii mpaka ufe Yuko pamoja
Nalaan mara elf kumi😢
Ila kiredio ww mshenz kwel😂😂😂😂😂ety alivyoinama
😂😂😂 kimenuka
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂ety kainama
😂😂😂😂🎉❤
Kiredio ni chizi😅
Mmeyasababisha nyie wakina kiredio hayo hovyooo mtav unja mahusiano ya watu
Umalaya aahh😂😂😂
Duuh jaman
😂😂😂😂😂😂dah
Jmn jiran poleee😂😂😂😂
Jamani tumeuliza challenge bei gani
Ila leo umewezekanika
😂😂😂😂hii ni burudani embu wapatanishe bhn
Michael Msamehee...huyo demu anakupenda sana. Na wewe kiredio anzeni kutembea na Bodyguards kwenye contents kama hizi... mtasababisha vifo. Mbuzi wakubwa ongezeni weredi na professional katika utendaji. Kondoo wa kondoa nyie.
So sad🤣🤣
Mtakuja kupingwa na ninyi au kupata kesi
Run 😂😂😂😂😂😂
Tafuteni ulinzi wazee kama apo kiredio ka msogelea uwezi jua dem ana nn
Nyie wenyewe wachonganishi. Nakuchukia sana kiredio. Kati ya nyie na maiko nan kazingua. Mambwa wakubwa
😂😂😂😂😂
Maiko piga kabsa🎉
Hajapigwa vizuri huyo analia kwa procedure...... MIMI NINGEMTAWANYA
😂😂😂😂 ety kainama
😂😂😂 ila kredio et umeumia
😂