ALIKIBA anawachelewesha WASANII wake? Ukweli wote huu hapa! VANILLAH afunguka A to Z, avunja UKIMYA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- #alikiba #vanillah
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co... - บันเทิง
Kwemye kuwapeleka mbele wasanii kwa kweli ali kiba anazingua kila siku hawakui
INTERVIEW YENYE VIWANGO NA MAJIBU NA MASWALI 💯🔥
Watu hatujui Kwan bila kings kuwepo Nan angemjua vanilla au k2ga watu wanampa alikiba lawama kwamba hawap support , support wanayo ipata inawatosha na ndio maana bado wako pale siku wasipo ona wanacho kipata hakitoshi wao SI Wana akili timamu na mameneja wao wataondoka Kama akina killy na cheed alafu watu msiforce kings music ifanane na label nyingine mwishowe msanii anataka kuondoka katka label inakuwa vita baina ya msanii na boss ko mashabiki tukae kmy we enjoy mzik mzuri
Umeongea point sana👍
Tuambie Vanilah na hao umetaja umeisha ona au kusikia wanapiga show hata ya buza? Mauzo ya music yao kwenye music platforms unaionaje? Kuwa mkweli
Wabongo mnachokosea ni kusema bila fulani tusingemjua fulani mnasahau kinachofanya tumjue msanii fulani ni kipaji chake huyo aliyemsaidia ni njia tu iliyotumika kumpushi msanii ajulikane hata kama njia hiyo ingefungwa ingefunguka njia ingine kwasababu wadau wa muziki wapo wengi ndiyo maana wasanii wengi hawajatoka kupitia mtu mmoja mfano; Harmonize katoka kupitia Mondi, Vanilla tumemjua kupitia Alikiba, Nandy katoka kupitia Tht chini ya Ruge. Kwahiyo wabongo tuondoe ili neno bila msanii fulani tusingemjua msanii fulani, jibu ni kuwa msanii mwenye kipaji anayepambana hata bila ya mtu fulani aliyemsaidia kutoka kimuziki bado tu tungemjua kwasababu njia za kutoka kimuziki zipo nyingi, ridhiki ya kuwatoa wasanii haipo kwa Mondi wala Alikiba peke yao ndiyo maana wengine mfano; sarafina hajasaidiwa na Mondi wala Alikiba lakini ameshatoka kimuziki, mwingine Abby chams hajasaidiwa na Mondi wala Alikiba lakini kashatoka kimuziki, kipaji cha kweli hakizuiliki kitacheleweshwa tu, msanii mwenye kipaji cha kweli hata akishindwa kutoka kwa njia moja akipambana atatoka kwa njia nyingine.
Ukiwa unamskiliza vanilla unajua tu kuwa ni bora zaidi Tanzania kuliko wote
Safari ya mziki inaitaji uvumilivu Sana, Big up vanilla❤❤❤
Alikiba siyo nyonyaji ndiyo mana vinatokeya vitokamahivi anasaydia mpaka seu flani si raiysi
Kila mtu ana karama zake hapa duniani, Watu hawafanani wote,Msanii ukiona unachelewa wahi mwenyewe au tafuta mtu mwingine akutoe
.
Alikiba na Hamonize hawajui kuwatoa watu hawana bidii kabisa katika kupromot,hawajui kabisa kujitolea usemwe ukweli daimond peke yake ndio anaweza
Haya wewe mwenye bidii mbona hatuoni wasanii wako
Ukihitajika utaitwa Shenziiii ww
@@jacobgabriel656wacha ujinga. Mwenzako kaongea ukweli
Mi nashangaa, kuna lebo tuu za kawaida wasanii wao wanapiga show wanapiga magoma yanahit east africa, lakini mac voice, ibrah na hawa kina K2GA hawaeleweki. Hafanyi show na ngoma haziko mtaani.
@@ursulinenyandindi3051 na utaendelea kushangaa si umepewa macho bure
Ibraah ni muimbaji mzuri sana lakini Hamo amemsahau kabisa anatoa yeye nyimbo tu msaidie mwenzako kama ulivyofanyiwa na dai
Wapi kill na chid?
Kaka angu vanilla jitaidi Sana wewe unaweza ilá namini kama alikiba ni MTU anaekuchelewecha ilá pole Kaka jitaidi Mimi naitua Chedy kutoka Mozambiki makonde mwenyewe
Anawachelewesha sana
anawachelewesha sana sana
Hao wanaroho mbayaaaa km ngoxi ya matako
Vanilla boy
Awo wa Dogo wote wa Kings Music Waje Bja kutuburufisha siku moja
Ni kweli mahana cajona wasanii WA alikiba kuwa wakubwa kiivo wakat wanauzo mkubwa sana
Vanilla kama vanny 🔥🔥🔥🔥
Hivi kweli wew vanilla ndiyo wako wambia kuwa Alikiba anakuchelewesha kweli binadamu
Sana janja❤❤
Brow você Vanilla é bom pra escrita✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
Basi Mimi wa 2😅😅😅
Spanaa unajua
Vanilla 🎉
Unyama mwingi 🔥😀
Wa kwanz leo
Msimlaumu kiba sana bali uwezo fedha kuwekeza kwenye muziki ndani ya kings music, wanafanya kazi kama kundi na mtu akitaka kutoka ruksa maana hakuna mkataba kwa msanii yoyote kings. Wcb wao wamewekeza pesa kwa wasanii wao ndiyo maana wanaingia mikataba tofauti na kings music,
🎉🎉🎉 Upo vizuri sana Vanilla
Kwa kipaji alichonacho Vanillah alitakiwa awe mbali sana lakini hapo King’s siyo, atasota sana. Angalia waliokutangulia wako wapi? K2ga na wenzie utadhani bado underground tu
Umemjuaje ? Mbna katambulishwa mwaka jana na had Sasa Yuko 🔥
Kama unacheleweshwa sasa si utoke wehende mwenyewe.
Musione mtu amekua mkubwa mukaona ni rahisi ata ali kiba siri ya mafanikio yake ya kukaa kwenye gemu kwa muda mrefu alistahamili na kusota ndio unajifunza vitu vingi
🫡❤❤