NILIMUUA DADA YANGU NA MUME WAKE NILIMPA DAWA ILI ANIPENDE MIMI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
  • #foxetv #truestory #HardMovements Bonyeza alama ya Subscribe kisha weka notification on ili kupata matukio yote kwa wepesi zaidi Asante.#FoxeTv Ni Bora Zaidi
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    ©Instagram @FoxeTvTanzania tufollow sasa kwenye mtandao wetu wa kijamii
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    Tag;
    #video #bongomovie #truestory #majanga #mikasa #msaada #update #trendingvideo #trending #trendingnews #oman #omannews #omanchannel #omannewstoday #kenya #kenyanews #kenyadigitalnews #kenyanewsmedia #usa #usanews #america #american #amerika #tanzania #tanzaniasafari #tanzaniayetu #uganda #ugandanewsupdates #rwanda #rwandanmovies #burundi #burundinews #uchawi #mikasa #udakutz #udaku254 #ngono #VideoChafu #VideoXxx #Xxx #xxl #uchib #tikitv #tikitvkiakilizaidi #zanzibarbeach #maximumtvonline #maximumtv #DavistarMatal #mtoto #watoto #Ubakaji #diamondplatnumz #harmonize #comedy #comedyvideo #film #movie #movie #ayo #millardayo #millardayoupdates #GroblaUpdates #global

ความคิดเห็น • 174

  • @FoxeTv
    @FoxeTv  2 ปีที่แล้ว +4

    ILI KUJIUNGA NA GROUP LA WHATSAPP LA FOXE Tv UNAWEZA KUJOIN KUPITIA LINK HII HAPA👇 chat.whatsapp.com/CptUDTRfRSo5OimbjoLZ0a

    • @wanjalamwalugho
      @wanjalamwalugho 2 ปีที่แล้ว

      Si vizuri alivyo fanya

    • @gloryevance
      @gloryevance 2 ปีที่แล้ว

      @@wanjalamwalugho mwombesanamunguakuepushenahiyorohombayanautubunamunguatakusameh

    • @gloryevance
      @gloryevance 2 ปีที่แล้ว

      Kumbukakilajambolanamwanzonalinamwisho

  • @matatomlik1846
    @matatomlik1846 2 ปีที่แล้ว +1

    Tamaa mbaya sana

  • @hadijajuma3773
    @hadijajuma3773 2 ปีที่แล้ว +4

    Fundisho!!!! Weka mbali ndugu zako hata kama unawapenda na kuwajali, hugeuka na kuwa maadui wa kwanza kwenye maisha😭😭😭😭

  • @ibuphilipo7940
    @ibuphilipo7940 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe Bora ufe kbs.

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 ปีที่แล้ว +4

    Daah!hii dunia jamani ina mambo Yani nimeumia Sana💔💔💔💔😭😭😭😭wewe dada utubu na uombe Toba ya kweli tamaa imekufikisha wapi?kumuua kumwaga damu ya ndugu yako pasipo hatia

  • @veroslaa1041
    @veroslaa1041 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atusaidie sana jamani pepo hili

  • @yunusramadhan2546
    @yunusramadhan2546 2 ปีที่แล้ว +2

    Subhaanallah tubiatu wewe bado nimja wa Allah so nafas yatoba bado iko fanya toba haraka dadangu

  • @marshaly8473
    @marshaly8473 2 ปีที่แล้ว +5

    Siamini kama kweli hi umetunga story kama ni kweli lazima uwe jela

  • @kylakim2657
    @kylakim2657 2 ปีที่แล้ว +7

    Dunia ni duara dadangu.whts goes around back's around

  • @tedychiguru9027
    @tedychiguru9027 2 ปีที่แล้ว +3

    Pumbav Sana tena Sana nahis we ndouliroga mme wako

  • @dale6527
    @dale6527 2 ปีที่แล้ว +1

    Ndungu wakileo na mimi mdogo wangu amenifanyia fisa mungu akusameh

  • @kawezaseleman5794
    @kawezaseleman5794 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu anasema hata ufanye zambi kubwa kutoka aldhini Hadi mbinguni ukimuomba atakusamehe

  • @Star-qf7ls
    @Star-qf7ls 2 ปีที่แล้ว +10

    This woman is not even sorry. She can do it again.

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 2 ปีที่แล้ว +15

    Mshenzi kabisa tena ni shetani mkubwa na muuaji na ni mchawi

    • @akishedonna9697
      @akishedonna9697 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa uyu ata afai kusamehewa

    • @aminaamina9568
      @aminaamina9568 2 ปีที่แล้ว

      @@akishedonna9697 umeonaee

    • @akishedonna9697
      @akishedonna9697 2 ปีที่แล้ว

      @@aminaamina9568 yeah kwakweli

    • @rehemakazenga8978
      @rehemakazenga8978 2 ปีที่แล้ว

      Mungu tupe moyo wa hekima tuyashinde majaribu

    • @aminaamina9568
      @aminaamina9568 2 ปีที่แล้ว

      @@rehemakazenga8978 Amiina yarab

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 ปีที่แล้ว +1

    Kwaiyo mwanaume mwengine ujawaona

  • @LailaLaila-kg2qd
    @LailaLaila-kg2qd 2 ปีที่แล้ว +1

    Mchawi mpuuzi huyo Kwendaaaaaaah

  • @alicenadiope2038
    @alicenadiope2038 2 ปีที่แล้ว +1

    Shenzi saana

  • @BJ-ep3rb
    @BJ-ep3rb 2 ปีที่แล้ว +4

    Apelekwe jela haraka nakama kumejaa aletwe huku kwetu Langata shenzi

  • @florachogo243
    @florachogo243 2 ปีที่แล้ว +2

    Mhhh,jamani, matendo yako hata shetani anakushangaa

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu wangu wew dada

    • @mediatricentakirutimana4500
      @mediatricentakirutimana4500 2 ปีที่แล้ว

      Ungekuwa kalibu yangu ningegupatia hata kibao kimoja tu kwasababu unanibowa huna hata haya shetani mukubwa

    • @getray3394
      @getray3394 2 ปีที่แล้ว

      ,ww uombe ungu msamaha uko muchawe
      sana

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 2 ปีที่แล้ว +4

    Mm nimejifunza nikiwa kwangu sito muita ndugu yangu wa kike na sito penda ndugu yangu awe na mazoweya na shemeji yake nikimuona yupo pamoja na shemeji yake namfukuza kuepusha kuja kuniuwa

    • @zamanineema3057
      @zamanineema3057 2 ปีที่แล้ว +1

      Kanywe soda Khadijah billi huu yngu

    • @rahmamosa2320
      @rahmamosa2320 2 ปีที่แล้ว

      Nawachukia ndugu kama hawa ulaniwe maisha yakoyote

    • @tabu8742
      @tabu8742 2 ปีที่แล้ว

      Kufia
      Mbari
      sana
      Shetani
      wewe

  • @mhabimina4023
    @mhabimina4023 2 ปีที่แล้ว +1

    So sad kweli mpaka unamuwua dada yako juu ya bwana humm hatari 😢

  • @mariamumbapirafreefaturt9644
    @mariamumbapirafreefaturt9644 2 ปีที่แล้ว +2

    umejua tamaa halfu malaya na uwivu

  • @bonifaceetyang4453
    @bonifaceetyang4453 2 ปีที่แล้ว +1

    Eee 🥺🥺🥺🥺 dunia hainahuruma yani dadako tu

  • @dianammari316
    @dianammari316 2 ปีที่แล้ว +2

    Macho yanaonyesha Bado hiyo roho unayo, ushindwe ktk Jina la Yesu Kristo. Patana na Mungu wako.

    • @mwajabuhaji
      @mwajabuhaji 2 ปีที่แล้ว

      Huna akili haya kidogo wanaume wamekwisha mpaka unatembea na shemeji yako

    • @Dafetty
      @Dafetty 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@mwajabuhaji sindo apo sasa

  • @rozynelish1076
    @rozynelish1076 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu amepanga hii story, anafikiria cha kusema🙊🙊

  • @priscankunika7795
    @priscankunika7795 ปีที่แล้ว

    mubwaaa weeweee kabisaaa umeniuzi mimi

  • @jovinakan3824
    @jovinakan3824 2 ปีที่แล้ว +2

    Mtafuteni mama yake,huyo binti
    Mumsikilize,je Huyo mwanaume Yuko wapi
    Huyo Binti hayuko serious na achokizungumza
    Hakila hata hapo kanisani hatufahsmu kama wamemuelewa,mchungaji wa kanisa Hilo anasemaje baada ya kusikia hiyo taarifa,majirani hapo anapokaa,hivi mnacheza na kumuua Dada Yako wa tumbo 1:Tena walizaliwa mawili tu,atamuacha nani sasa,mmmm hatari,Wasimpe Mungu wetu kazi Kwa kuwa tu halali Wala asinzii,uhue uje utubu kwenye mitandao,mmmm huyo Binti ni hatari sana nimesoma comment Bado Kuna changamoto ya jamii kutomuahani,atubu sana.

  • @subiraibrahim8100
    @subiraibrahim8100 2 ปีที่แล้ว +2

    Maumivu jicho halina chozi unapretend wew

  • @naimamatata2762
    @naimamatata2762 ปีที่แล้ว +1

    jmn haya mambo hv ni ukweli ukweli kbisa?

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 2 ปีที่แล้ว +1

    Ushindwe kwajinarayesu

  • @omanwoman6713
    @omanwoman6713 2 ปีที่แล้ว +6

    Unasimuliya kabsa bila hata ya uonga na hofu ya Mungu kumkatisha Ndug yako Maisha yake wanaume wapo tumewakuta na tutawaacha nguruwe pori weweee isoliwa tena isokuwa na bucha uso mzito km kaburi la jana

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 2 ปีที่แล้ว

      Yani hyu ni mjinga san huna haya kabisa jambazi wa kazi

  • @verityngoda268
    @verityngoda268 2 ปีที่แล้ว +1

    Mii Siwezi Kufanya hivyo

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwa´amke ni mbaya sana hafai kuishi.

  • @babybaby8384
    @babybaby8384 2 ปีที่แล้ว +2

    duuh mwanamke katili sana mkavu Hana aibu

  • @falesbanda7520
    @falesbanda7520 2 ปีที่แล้ว +1

    Lakini huyu alikili hawa hawa ndiwo wanao hitaji kuolewa naomba nambayake ambaye anamuhitaji
    Hataki hela anataka upendo
    Lakini dawa akiwa aliachana nazo

  • @bintabuu2068
    @bintabuu2068 2 ปีที่แล้ว +3

    Dada mkavu huyu🙄

  • @fabshad1979
    @fabshad1979 2 ปีที่แล้ว +2

    Bado utakwenda kujibu kwa mungu wako kwa hilo hujasamehewa

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 ปีที่แล้ว +3

    Yani wewe dada unatisha Sana, 🤔 mpaka nakuogopa na kutetemeka💔

    • @JamalKhan-le9ud
      @JamalKhan-le9ud 2 ปีที่แล้ว

      Kwanza analia bado kinafki huyo nidada yako mtu mwingine analolote kaumia nini huyo mh

    • @avelinabaluhya2804
      @avelinabaluhya2804 2 ปีที่แล้ว

      Mh! ila huruma ya Mungu inavuka mipaka,anasamehe maovu yetu yote

  • @neemafrancis2487
    @neemafrancis2487 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbona kama story tu syo kweli

    • @patriciasimon3694
      @patriciasimon3694 2 ปีที่แล้ว +1

      Una akili pumbavu huna adabu pia huna fadhila wewe umelaaniwa laana zinakusumbua shetani mkubwa !!!!! Sina hamu na wewe mchawi we hukumu unayomkononi unajiliza nini maskini wa akili

    • @patriciasimon3694
      @patriciasimon3694 2 ปีที่แล้ว

      Una akili pumbavu huna adabu pia huna fadhila wewe umelaaniwa laana zinakusumbua shetani mkubwa !!!!! Sina hamu na wewe mchawi we hukumu unayomkononi unajiliza nini maskini wa akili

    • @mediatricentakirutimana4500
      @mediatricentakirutimana4500 2 ปีที่แล้ว

      Hapo mwisho inafulahisha

  • @kiri5807
    @kiri5807 2 ปีที่แล้ว +3

    Hawa ndio wakienda kufanya House manager wanaolewa na waume wa maboss wao kwa kupitia njia km hizi .
    Hasbunallah wanniimal wakili .

  • @amockkalinga1520
    @amockkalinga1520 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani wewe dada MUNGU akusamehe unaonekana kabisa una roho ya kichawi Yani unasababisha watoto wanapata shida Kwa ajiri yako 🤔💔👈

  • @williamnamende1023
    @williamnamende1023 2 ปีที่แล้ว +2

    MUNGU ni warehema dada ukitubu atakusamehe watu wamekuhukumu lakini MUNGU amekusamehe

  • @jamilankaya6825
    @jamilankaya6825 2 ปีที่แล้ว +3

    Mjaalaana wewe mjukuu wa subuhana. Subir adhabu yako kwa,,mungu

  • @etienendambara9542
    @etienendambara9542 2 ปีที่แล้ว +3

    Ibilisi mukali kabisa

  • @dativandahiriwe2851
    @dativandahiriwe2851 2 ปีที่แล้ว +2

    Ijapo alifanya kosa hilo anapashwa samehewa tunaomba shemeki yake yani mumewake kama angaliki asamehe demayi yake wachunge watoto aliye zaa naye tunakumbuka kama maandiko matakatifu ya sema kama Yakobo alimuua nduguye esau lakini alimuliliya mungu akamusamehe nakumubadilishiya jina mwaka sasa tuko familiya yake kosa alilolifanya asamehewe sana
    Tusisahau kwambiya wengine kama tamaa inaua tujiepushe natamaa tosheka nayaliyo mungu amekuandaliya chamutu ni chamtu siyo chawote samahani sana dada huyu apewe msamaha namwenyezimungu amusamehe kwakosa alilolifanya

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 2 ปีที่แล้ว +2

    Sasa kama dadaako anafaidi siutafute naww wako mume iliufaidi mshenzi ww

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 2 ปีที่แล้ว +3

    Fanya touba Mola wetu ni mwingi wa kusamehe, Arahman alrahim

  • @catherinendwiga6207
    @catherinendwiga6207 2 ปีที่แล้ว +1

    Lkn ushauwa una maana

  • @zeyanaalgheithy6561
    @zeyanaalgheithy6561 2 ปีที่แล้ว +2

    Mie hawa siwaamini nahisi kama.wanataka umaaarufu na kupromot hizi channal

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 2 ปีที่แล้ว

    Waongo. Umeanza kusema umezaliwa wewe na mdogo wako. Baadae unasema dada ako .

  • @husseinmunyentwali
    @husseinmunyentwali 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe mjinga sana musamaha huna ujuwe ukifa itaenda mwotoni

  • @lillianmasinza1787
    @lillianmasinza1787 2 ปีที่แล้ว +2

    Una roho chafu sana !
    Kuwa na chuki had I kumuua dadako ni Jambo la a jabu sana .
    Unafaa kuwekwa jela .
    Wewe ni adui mkubwa !!

    • @sarahkapange252
      @sarahkapange252 2 ปีที่แล้ว

      wewe mchawi umefadikanini nakweli nimunaafiki mkubwa

  • @thebacongroup6773
    @thebacongroup6773 2 ปีที่แล้ว +3

    Unasema nini wewe mchawi huna haya hiyo damu ya ndugu yako itakufwata ginsi ya kayini na abeli ukome na ukomazike Mungu akuazibu

    • @lugelongoi
      @lugelongoi 2 ปีที่แล้ว

      Shetan mkubwa ww

  • @paulinearumi6941
    @paulinearumi6941 2 ปีที่แล้ว +1

    bure sana ikiwa uahaiya watu wawili umetoa kwa ajili ya ujinga badoutaua wengi sana hakuna msamaha utakuwa wa azimu mpaka ukufe kama paka hata mdomo yako unajivuna bure

  • @hopekrish5433
    @hopekrish5433 2 ปีที่แล้ว +1

    Anaongea hana ata masikitiko wala kuonyesha roho ya uzuni jamn

  • @savanna3985
    @savanna3985 2 ปีที่แล้ว +7

    If this is a true story, it's murder and attempted murder and she should go to jail

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 2 ปีที่แล้ว +1

    HII NI HADITHI.KAMA NI KWELI MAPIGO 7 YA WAMISRI WALIYOPIGWA NA MUNGU YAKUPATE.

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 2 ปีที่แล้ว +2

    Unamuua dada yako sababu ya mwanaume dah 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🥱🤲

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v ปีที่แล้ว

    Wewe unavyo vigezo

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 2 ปีที่แล้ว +3

    Daaa ushindwe na ulegee mshenzi wewe utajuta lazima ulipie hili

    • @pillimussa
      @pillimussa 2 ปีที่แล้ว

      Uliua kwa upanga utakufa kwa upanga hata huna haya

  • @paulinearumi6941
    @paulinearumi6941 2 ปีที่แล้ว +3

    Hata bado unafurahi hauna sorry bure sana hata nawewe utakufa bureeeeeeeeeeeeeee satani amkuu

  • @fabshad1979
    @fabshad1979 2 ปีที่แล้ว +2

    Wewe huto badikika ukipewa fursa ya pili pia utafanya tena//

  • @زينببورندي
    @زينببورندي 2 ปีที่แล้ว +1

    Hupaswi kupewa musaada wowote uyo baba kama yupo hayi awacukiwe wanaye nawewe nenda kwamama yako

  • @omanwoman6713
    @omanwoman6713 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwan mwanaume Ndy huyo mmoja tu ulimuona wengine hukuwaona Mpaka umtowe Ndug yako uhayi kisa mwanaume afu unasimuliya uso mkavu km unachoma ubani kifokolokwinyo usokuwa na haya wala usojuwa vibaya ujiandae Kesh mbele ya ALLAH kujibu dhambi ya kuuwa au ukatumikie adhabu ya kuuwa dagaa mchele weweee nyoooooo

  • @jovinakan3824
    @jovinakan3824 2 ปีที่แล้ว +2

    Na Tena haitoshi umchukukie na mtoto pia loh.

  • @gracechimoti485
    @gracechimoti485 2 ปีที่แล้ว +1

    Muongo ww hii story yakutunga

  • @pieremchome5202
    @pieremchome5202 2 ปีที่แล้ว +2

    Huo ni uongo mtupu,story ya kutunga bhana,MTU aliyeuwa sasa hivi angekuwa jela,hata kama MTU ameua miaka 10 iliyopita lazima angechukuliwa hatua za kisheria.mbwa we we acha kutumalizia MB zetu

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v ปีที่แล้ว

    Siyo kiganya icho

  • @falesbanda7520
    @falesbanda7520 2 ปีที่แล้ว +1

    Wewe nimushenzi kabisa ebu toa upumbafu hapo muaji mukubwa halafu bila haya unaongea mbele yacamela

  • @petronilagurty6933
    @petronilagurty6933 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni story au mbona kama hajajuta kabisa

    • @hellenjohn9592
      @hellenjohn9592 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ni mujinga Sana humbwa mkubwa wewe hutateseka miaka Yako yote

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 ปีที่แล้ว +1

    HUYO ASINGEKUPELEKA KWAKE MAANA WIVU WAKO NA HUYO MAMA UNGEMWUA.

  • @yuriaudi9746
    @yuriaudi9746 2 ปีที่แล้ว +2

    Kalipo dunia ulimwengu utakifunz ww adi kufa kwako utobarikiwa ww

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v ปีที่แล้ว

    Mungu Mkumb wa

  • @lulu5111
    @lulu5111 2 ปีที่แล้ว +2

    Kiki za kipuuzi tu.. mbona ako uraiani bc

  • @zuhuradinya902
    @zuhuradinya902 2 ปีที่แล้ว +2

    ibilisi wewe utayakuta hayo uliyoyatenda kwa muumba

  • @lD20595
    @lD20595 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mwanamke anaudhi mchawi

    • @amockkalinga1520
      @amockkalinga1520 2 ปีที่แล้ว

      Yani amenikwanza huyu dada hata kama mkasa wake unafundisha tusifanye hivyo kweli anasababisha watoto kuishi maisha ya shida na kuachwa yatima Kwa ajiri ya tamaa zake Yani Mimi binafsi nimeumia jamani mpaka machozi yamenitoka💔💔😭😭😭😭😭😭😭

  • @merisamerisa1452
    @merisamerisa1452 2 ปีที่แล้ว +1

    Mtoi wa dadako asaidiwe na baba lakini wewe na mtoto wako mganga anafaa kufaa .........wengi wanateseka juu ya waganga

  • @ValentinaNjovu
    @ValentinaNjovu ปีที่แล้ว +1

    Pumbavu hufai kabisa kwa dunia hii, kafie huko

  • @TatuTatu-f1v
    @TatuTatu-f1v ปีที่แล้ว

    Unajiliza nini mnafiki

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 2 ปีที่แล้ว +2

    Yani unaongea hata hofu ya mungu hauna

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 ปีที่แล้ว +3

    NA KUWA KM MIMI MME WAKO HURUDI KABISA MAANA WEWE UTAMWUA HUYO MME. UTAENDA TENA KWA MGANGA. WEWE MME NA NDUGU MSIJARIBU KABISA KUMPOKEA HUYO ATAWAUWA

  • @uwimanazaujia5038
    @uwimanazaujia5038 2 ปีที่แล้ว

    Wewe ppumbafu nafikiri hautakuya ?

  • @hopekrish5433
    @hopekrish5433 2 ปีที่แล้ว +1

    Anaongea bila ata haya jmn

  • @aishamzeehamissi6859
    @aishamzeehamissi6859 2 ปีที่แล้ว +1

    Unalaanaa wewe nyooo, mshenzi mkubwa, mnafiki mkubwaa wewe shetanihuko kanisani hawajuwi ushenzi wako kamfufuwe dada yakowehuu wewe

  • @margaretnamba1674
    @margaretnamba1674 2 ปีที่แล้ว +1

    This is a drafted story because they need more subscriptions.

  • @subiraibrahim8100
    @subiraibrahim8100 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu hana aibu hata

  • @عبادالبلوشي-ي7غ
    @عبادالبلوشي-ي7غ 2 ปีที่แล้ว +2

    🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♂️🙆‍♀️🙆‍♂️🙆‍♀️🙆‍♂️🙆‍♀️🙆‍♂️🙆‍♀️

  • @tatumwakitwange8369
    @tatumwakitwange8369 2 ปีที่แล้ว +2

    Sasa umempata mume wa dada yako endelea kufaidi sasa usijite Roho mbaya mpaka unaua ndugu yako

  • @ilhamally2581
    @ilhamally2581 2 ปีที่แล้ว +2

    Mmh roho ngumu

  • @florachogo243
    @florachogo243 2 ปีที่แล้ว +1

    Bado usilie

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 2 ปีที่แล้ว +1

    Hivi mtu anaekili kuua si hua anafungwa jamani huyu kesi yake ni yapolisi

  • @neemamhongole2801
    @neemamhongole2801 2 ปีที่แล้ว +4

    Story ya UONGO hiyo,jambo Kama hilo huwezi kusimulia USO ukiwa mkavu hivyo!

  • @زينببورندي
    @زينببورندي 2 ปีที่แล้ว +1

    Yani natamani nikupige likofi limoja,huna ATA AYIBU kuongeya ibilisi wewe

  • @siashao169
    @siashao169 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu anatokea mkoa gani jamani?Eti ametokea kijiji cha Muendapole!....

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj 2 ปีที่แล้ว +4

    Dhulma haidumu. Ikidum inangamiza. Umedhulum nafsi isiyokuw nahatia

  • @زينببورندي
    @زينببورندي 2 ปีที่แล้ว

    Dawa zina MWISHO mapenzi ya dawa siyo mapenzi Ila uyu dada Ni SHETWANI IBILISI mkubwa Yani ningekuwa mama yako hungesogeya pembeni yangu

  • @MightyLumber
    @MightyLumber 2 ปีที่แล้ว +2

    Wanawake kwa tamaa na wivu wa kijinga hawajambo. Unakuta kila mwanamke hapa mjini anaishi kwa pressure ya kupata mwanamme mwenye hela ili atunzwe na kutambia wenzake. Mwanamke ndiye kiumbe pekee awezaye kuua best wake ili aolewe na mume wake (mume wa best wake).

    • @agnesmajora4765
      @agnesmajora4765 2 ปีที่แล้ว

      Mshezi wewe acha ujinga umeshapandia hata watoto wako raana

  • @kabwefrancine99
    @kabwefrancine99 2 ปีที่แล้ว +1

    Ulaaniwe pepo mkubwa mtumwa wa shetani 👹👹

  • @neemafrancis2487
    @neemafrancis2487 2 ปีที่แล้ว +3

    Hii ni fake story tunaomba na ndugu zake wahojiwe wa karbu tujue