CONBOI : NIMEPOTEZA MILIONI 50, WANASEMA MIMI NI ZAIDI RAPA TANZANIA / MITANDAO INASABABISHA VIFO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 62

  • @officialmadiilu9283
    @officialmadiilu9283 9 หลายเดือนก่อน +2

    @conboi msanii ambae ako naakili mingi kulikooooooooooooo brooo i do luv you ❤

  • @kaelaabivo9337
    @kaelaabivo9337 10 หลายเดือนก่อน +8

    Nishawekeza kwenye udongo nishawekeza kwenye mitii i feel this😊

  • @SantaFlavoulOFFICIAL
    @SantaFlavoulOFFICIAL 10 หลายเดือนก่อน +5

    Conboi ayeee naqual sanaaa bro

  • @hidoxtz3559
    @hidoxtz3559 10 หลายเดือนก่อน +21

    Bro nilisoma nae shule moja ingawa aliniacha madarasa "jabahila" alikua midfilder mzuri sanaaaaaa all in all we love u bro❤ Bino for life✊️

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 10 หลายเดือนก่อน +1

      ni kweri bro?🙄

    • @gohome2k194
      @gohome2k194 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂@@mrsinia3064

    • @ayoubomary9336
      @ayoubomary9336 10 หลายเดือนก่อน

      Shule gani ulisoma nae mim mdogo wng wa mtaa na rafiki wa kaka yake ivyo vyote kameza kutoka kwa kaka yake sticky yiki sio Mpira sio basketball sio Mziki ni noma yiki yiki ndevu za shingo

    • @allyomar3498
      @allyomar3498 10 หลายเดือนก่อน

      Bc kma alisoma Jabal Hira tujuane hapa wa JB

  • @OstinMajangala
    @OstinMajangala 9 หลายเดือนก่อน +1

    Appreciate bino

  • @caxhbizz
    @caxhbizz 10 หลายเดือนก่อน +1

    I feel ue bro conboi cannabino god bless ue bro to inspire me na kuachana na upuuzi

  • @reymekay1
    @reymekay1 10 หลายเดือนก่อน +2

    Back in the day, used to dream ..... gud to see FRED MULLAH AND CONBOI MADE IT! almost there homies🙌🏾🤲🏾🙏🥳

  • @negredorapha7591
    @negredorapha7591 10 หลายเดือนก่อน +4

    Ma.Nigga CONBOI.. Tunaooo👌🏼👌🏼👌🏼 Always the Meditation..... Tunaooo 🎁🎁🎁 Sema Wahuni wameisha fanya mambo mengi mpk kupelekea... Marathi.... Hpo kweny. H. I. V ili Wanetu.. Walio LOST tuwe. Nao Gang... Thug 4 Life. Sio kwa ubaya.

  • @SantaFlavoulOFFICIAL
    @SantaFlavoulOFFICIAL 10 หลายเดือนก่อน +3

    Canabizi ayeee 🔥🔥🍂

  • @johnphilipo6760
    @johnphilipo6760 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa Ana point sana ✊️

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 10 หลายเดือนก่อน +7

    Conboi Cannabino ulinipa inspiration ya kuto kugive up easy

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 10 หลายเดือนก่อน +4

    Nilo Music (Hussein Hassan) hongera Jamaa yangu kupata Platform hapo East Africa Radio

  • @DanielNgerecha-n4x
    @DanielNgerecha-n4x 8 หลายเดือนก่อน

    Conboi cannabino big up sana broo

  • @EdwardAnthony-c7u
    @EdwardAnthony-c7u 10 หลายเดือนก่อน +1

    East Africa Tv and Radio ni Broadcast kubwa sana iweje wageni wa Cob boy wamesimama? Nashauri at least mngeweka Sofa la wageni hapo nyuma ingekaa Poa sana. Pia vile vile Mick mngeongeza Moja kwa ajili ya mgeni

  • @AbassTuga
    @AbassTuga 10 หลายเดือนก่อน +7

    Con boi anayo akili nyingi sana

  • @saimooyahya
    @saimooyahya 10 หลายเดือนก่อน

    Nakubal con boi

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 10 หลายเดือนก่อน +4

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @BienfaitBienfano
    @BienfaitBienfano 10 หลายเดือนก่อน

    Flowers 🎉 from drcongo

  • @Combtoepatv
    @Combtoepatv 10 หลายเดือนก่อน

    I appreciate

  • @abrahamfelix95
    @abrahamfelix95 10 หลายเดือนก่อน +2

    kuna mjuba yupo nyuma apo ana vidredi dah sijui kala dry yupo higher kinoma

  • @negredorapha7591
    @negredorapha7591 10 หลายเดือนก่อน

    Ukikaàa kwa mbaliiii Bi.Mdada anamkubaliiiii Conbino ...Tunaoo.👌👌 Thugs Life Forbever.

  • @TysonMhechela
    @TysonMhechela 10 หลายเดือนก่อน

    Nakubali sana

  • @raymondfrancis7921
    @raymondfrancis7921 7 หลายเดือนก่อน

    Nashangaa Bongo matajiri wanaogopa ku invest kwenye mziki.

  • @EfendiZewanga
    @EfendiZewanga 10 หลายเดือนก่อน

    I feel this

  • @bensonycharles7956
    @bensonycharles7956 10 หลายเดือนก่อน +3

    🏆🏆🏆🏆💯

  • @chazmwasele8238
    @chazmwasele8238 10 หลายเดือนก่อน

    Darasa zuri leo conboi

  • @ZaituniIddy-o2c
    @ZaituniIddy-o2c 10 หลายเดือนก่อน

    Coniboi

  • @SingeliTanzania
    @SingeliTanzania 10 หลายเดือนก่อน +4

    Presenters changamoto sana kwenye kuuliza open ended question. Wanauliza majibu instead ya maswali

    • @lesasid6494
      @lesasid6494 10 หลายเดือนก่อน

      Tutajifunza ufurahi mkubwa ✊🏽

    • @SingeliTanzania
      @SingeliTanzania 10 หลายเดือนก่อน

      Wewe uko fit sana, wale wengine sasa@@lesasid6494

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 10 หลายเดือนก่อน

      Waandishi wa michongo hao. Wanavamia fani, hasa kufanya interviews wanaulizaga maswali ya kiwaki.

  • @CrashMpaka
    @CrashMpaka 9 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sana huyu jamaa

  • @acrorapper8449
    @acrorapper8449 10 หลายเดือนก่อน +1

    Bino is the dopest in Tz

  • @qailahoguguhoward5064
    @qailahoguguhoward5064 10 หลายเดือนก่อน +1

    please am a kenyan fun whats the name OF BACKGROUND beats unatumia hapo mwanzo tafadhali,,,,msalimu conbi

    • @richvetty3243
      @richvetty3243 10 หลายเดือนก่อน

      Iyo ni nyimbo ya moni ft chidbenz inaitwa kovu

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@richvetty3243mwongo wewe fala usidanganye watu hiyo track inaitwa birthday alifanya yeye na Ibrahim nation kaa ujue hiyo

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 10 หลายเดือนก่อน

      Asikudanganye my friend toka 255 hiyo jamaa hiyo ngoma inaitwa birthday alifanya con boi na alifanya na ibrah nation

    • @cuulkidd
      @cuulkidd 10 หลายเดือนก่อน

      Ngoma ni ya moni hiyo ninayo apa

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 10 หลายเดือนก่อน +1

    Cannabino🔥🔥

  • @emmakisula3601
    @emmakisula3601 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ma presenta wa siku hizi hamna kitu, mpaka wanaelekezwa kenye namna ya kuuendesha vipindi hawana maadalizi mazuri, hata interview ni conboi hastag za kiwaki ambazo hata hazimuhusu, maandalizi ya interview ni muhimu usifree style maswali

  • @abrazo2639
    @abrazo2639 10 หลายเดือนก่อน +1

    Cannabinooo

  • @kiatu
    @kiatu 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kuna mwandishi hapo anatafsiri art literally-sio kwamba kila artwork ni mambo msanii anapitia-tunaposema artist ni kioo cha jamii mojawapo ya maana yake ni wanajaribu kurepresent kile ambacho members wa jamii wanaweza kupitia, sio lazima msanii mwenyewe. Kwa kifupi naweza sema ni waigizaji wa namna fulani hivi.

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 10 หลายเดือนก่อน +2

      Comment zako zinakuaga Noma Sana broh I know what you say

    • @kiatu
      @kiatu 10 หลายเดือนก่อน +1

      @@bainolatino3412 be blessed bruh

    • @dalla8186
      @dalla8186 10 หลายเดือนก่อน

      Mtangazaji wa kiume ana muuliza sana maswali sahihi ili asiwe muongo..dada yuko ki mahaba sana

  • @JohnCharles-j9l
    @JohnCharles-j9l 10 หลายเดือนก่อน

    🚀

  • @ChachaMalwa-x1o
    @ChachaMalwa-x1o 10 หลายเดือนก่อน

    Ya kale ni ya dhahabu but for now naiyona in ya conboi

  • @AraphatAbdallah-th3tp
    @AraphatAbdallah-th3tp 10 หลายเดือนก่อน +1

    Canbino for life

  • @Meshackcarlos-t3q
    @Meshackcarlos-t3q 9 หลายเดือนก่อน

    Bino

  • @benedictboniface6140
    @benedictboniface6140 10 หลายเดือนก่อน

    🎉

  • @dalla8186
    @dalla8186 10 หลายเดือนก่อน

    Sija elewa kwanini kaogopa beat afanye free style, nahis kaogopa hata fiti, na sija wahi sikia artist aki sema hataki chana kwa beat tofauti kuna jambo haliko sawa hapa, hata hela kupotea😅😅

    • @starboss8131
      @starboss8131 10 หลายเดือนก่อน +1

      Freestyle pia unatoa free ni pesa izo.umwai muona fid au unju waking Freestyle out of nyimbo zao ? We have to pay for every bars

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 10 หลายเดือนก่อน

    Conboi kama nakuerew hivi....

  • @Latinozahoro
    @Latinozahoro 10 หลายเดือนก่อน +1

    Canabino

  • @luganoluvanda336
    @luganoluvanda336 10 หลายเดือนก่อน

    Planet imekuja kuwa kipindi kibaya sana toka dulla aondoke. Mnashindwa kuandaa maswali mazuri mnakurupuka tu mpaka conboi anawaelekeza kuwa kaja kufanya nini🚮

  • @PaulinaChundu-fr4gp
    @PaulinaChundu-fr4gp 10 หลายเดือนก่อน

    Binno

  • @ekicrevo6890
    @ekicrevo6890 10 หลายเดือนก่อน +1

    Con