Ali Kiba kajibu kwanini huwa haendi kwenye Tuzo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Ali Kiba ambaye ni staa wa bongofleva alipita kwenye studio za Mtangazaji Millard Ayo na kuelezea mipango yake anapokwenda Marekani November 4 2015, kwanini huwa haudhurii matukio ya utolewaji wa tuzo mbalimbali anazowania, single mpya na Christian Bella na mengine.
love ali kiba so gentleman so genuine and so respectful guy. love from canada
asanti mtu wangu wa nguvu ayo...
king kiba hatariii
Niceeee...He is cool..Thanks Millard
+ king kiba big up sana bro kila LA kheri....
Nichogundua chemistry ya ali na milad iko vzur maan ally anakuwa muwaz san...tofaut na interview zak na prznta wengne
U so humble king keep it like that
kiba bila tuzo your still the best ....P1 Millard
sikuzote huwa nape da san kuangalia interview za Alikiba jamaa yupo smart san ktk kujibu maswali hat kuzungumzia kaz zek big up Mirladayo &Alikiba show imeeleweka sana
king Kiba ur always on top pop it in
wau I like the way he was there just himself hakuna cha miwani mieusi or etc
Alikiba ni noma sana mtu wangu wa nguvu
Kiba una interview nzuri
Nice kiba!
Na ulivyo kua handsome Sasa ndo kabisa😘
Safi kiba.
my best artist...kip going
thankx milard
Huna jipya wewe
Marekani daaah nikimuona alikiba napata raha sana apa nilipo nina furaha sana
Mashabiki wa kiba kweli hamjielewi kama msanii wenu, jitu halijui thamani ya tuzo, hahaha jamani, hongera Millard kwa kuhoji machizi
Ali uko juu penda sana kaka
Abdi wachelsea sijui kiswahil ila nmekusoma
thanks millard
good baba nakutakia maisha mema
Tisha xnaaa kiba...kingkiba
Nakukubali miaka mia na akuna kiza kinacho zuia jua
yani namahanixha akuna anae kuzuhia
nice kiba
Kiba is King
pamoja sana buroo. king
Unaweza kiba
Iwa!!!! Kiba congrats
ilove your kingkiba
Hajui kujieleza kabisaaa
Iyo movies au nyimbo duuuu
Ali kiba Hella kiba
Unajua kwa mtua liyesoma hawez kuniambia kuwa ally amekosea lolote katika interview hii ckia nawaambie ally amejarbu kuelezea kitu kilichopo kuhusiana na nyimbo hyo mpya ssa kam swali linahitaj maelezo kwa nn asieleze
"Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na mziki wangu unathamani zaidi ya tuzo"nukuu.
+jacob jomoda ispokuwa tuzo za KILI
yan anavyosema milion 700 kirahis
nice
Ally ana kipaji kikubwa. Ila itamuwiya vigumu kufikia mafanikio yanayofanana na ukubwa wa kipaji chake. Kuna vitu arekibishe tena seriously.
alafu enterview zake si nzuri sana .. unajiona mkubwa sana hata anavyojib anakakibri flani .
alaf anaongea ongea hawez kupangia mazungumzo yake ..hawez kujib vizuri maswali... anaongea sn vitu ambavyo viko nje ya mstari.
huko sawa
you guys u choose to look at only bad side of him,the man got potential and really talented voice when it comes to song.how about it
mi nampenda kibaa nina imanii anajuaaa hataa huyoo naseeb nadhani alivutiwa ki music kupitia wasanii kama kibaaaa kibaa anaimbaa buanaa hatarrr ila punguza pozzii kibaa wanguu unajiharibia bunaa
kweli apunguze pause kinyozi hajisifii kuwa anajua kunyoa walionyolewa ndio wanaona
et ha focus kwenye tuzo sku zote instagram promo za kura xo tuache kumpigia
k
poa sana
sanaa mkuuu 😴
Nice one
Thanks milard
anaejua anajua2,kiba anajua acha ajishauwe anahaki yakujishauwa pumbavu msiojitambua king kiba fundi bhana
Hakuna kama wewe kiba kama yuko BC ndo wewe
asili haipotei
mshamba tu
Ally punguza majibu ambayo hayana haja ya kujibu.wakati mwingine si kila swali ujibu.
ujue unapojibi mengine unayaharibu na si lazma ujibu ww mengine uongozi wako uwajibike kujibu maswali
kba manner bhana uko Na stck tena aaaaah unaniangusha
huyu ni mtu huwa hapendi kijinadi
al matambo kinoma
wenimkali alikiba
mbona dear god ya kala jeremiah ujaongelea ambayo haina coras kiba unazingua mwana pia video enyewe ilikuwa haikuwa serius demu hakueleweka mtu wake
huyu kumbe mbululaa kwlkwl..kiburii....😆😆
weutabaki kua king mnyama
Kiba mimi ni shabiki wako ila broo una maneno mengi mpaka unaongea vitu havikuhusu aiseee
Said Pazi we fala vitu gan kaviongelea kuma we
Said Pazi nimekuelewa bro
Na hili ndo kubwa Lao LA wehu
Dah! kiba unatuangusha kak japo tunakkbal san
DIAMOND PLUTNUMZ NI HOMA YA JIJI
+Twalib Abdulkarim KINGKIBA anawauguza sana mpaka mnataman kujua kila anacho kifanya
+Rizden pop it in unachekesha...millardayo kapost habari na haki ya kujua yanayo jiri...sasa nakushangaa sana...kumpa sifa diamond roho imekuuma...nyambisi...
+Twalib Abdulkarim sasa siungetafuta post ya huyo unae msifia ili umusifie huko hko kwani umeona kaongelewa hapo ? mwanaume unaleta umbea kwenye kaz za watu nyie ndo mtatusumbua mkisha zeeka
Rizden pop it in kinacmhokuuma nini????coz kiba hamna kitu kaongea ndio maana nimempa sifa diamond
***** labda wewe ndio ulale chali kwa huo ujinga unaojikosha nao
Oplez
Kkkkkkkk
that tooth pick is annoying waah Alikiba plizzzz,good job though .
owambo Linda nakuunga mkono kwa star kama Ali Kiba kwenda studio kwa ajili ya interview na tooth -pick mdomoni! !!!!!!Au Kiba
hana uzoefu wa kukaa mbele ya kamera? Pull up your socks Kiba.
+Rosena Milia very true am annoyed as well
kiba namba moja tz hakuna mpzan jaman
Ali Ali No comment ali.
kiba u r a guwd musician but a bad interviewee,punguza kujipa sifa tuko hapa kukusifu ukitoa vichupa vikali kama mwana na nagharamia, n if kip on lyk this u risk luzin your fans me being one of them.
ni ukweli haki wewe ni musani bore tanzania.
Mimi ananiboa anaongea kama mtoto anayeota meno au mtu mwenye jipu mdomoni.......sasa tooth stick ya nini mdomoni.........kama sio pozi za kishamba......halafu ana mbwembwe utadhani mtu aliyeingiziwa Dollar billion 50 kwenye account.......hebu ajifunze public speaking skills........hayupo vizuri kujipresent......
wewe ndio una matatizo mkuu
the man has a good voice
talented one
but he fails always wen it coms to interview
too much proud
eti sijafocus kwenye tuzo
daily mnapiga kelele nipigieni kura kumbe huw hamzihitaji bro u ve to refresh be4 u talk coz ur destroyin ur credibility
msikilize mdogo wako Diamond always he gve back thanks to dre fan dt are the one who made him to be there
sasa wwe unasma hutaki tuzo
je suis sur que tu vas rester locale tourjour
il faut se renseigner de motiver les fans
anasema mziki wke ni mkubwa zaidi ya 2nzo ss mbna alipokosa 2nzo nigeria mbna aliongea sn, si angekaa kmya 2 km 2nzo sio dili sn kwake hana lolote, sio km hazitaki 2nzo bc kiwango bdo cha kubeba 2nzo nje ya nchi labda abebe za hapa hapa TZ za kili
+Jossy Mjuba,,kwan mi nilikwambia anasoma au
Huna jipya ww na huyo kiba wko
Fala labda ww boya weee
Mi mfiraji shauri zako nizoee 2
Vp na ww kwani unataka au
Ali have to practice more about interviews, kwa haya majibu Na ni interview ya kiswahili.. anajing'ata.. anasema anaigiza.. mara directin,, haya umedirect movie gan.. anasema ndo ana practice.. smh.. wtf is he talkin?? Still wen it comes kwenye interview manner.. ameingia na toothpick.. ya nn?? Yan kama muimba visingelie
Ok uko
uyu naye kiba anajishaugwa akiojia anajiuma uma tu kujieleza sijiwi ajui maana mtt wa kiume unajishauwa
Saaana Na ataendelea kukanyagwa na naseeb
nasib hawezi kumkanyaga kiba , anaweza kumkanyaga mama yake nasib
sada mosses ndio nn saasa sada
kwa mdomo ni rahisi
inakera kiukwel hujui kujib maswal ...yaaan unaongeaongea tu...no point...umekunywa nn
rehema simon we kolo kwel
Yani cjaelewa Ali umeongea nini kwanza umetumia dk 6 kujisifia na hiyo video yenu na bela dah u need interview lessons rafkiangu hujiamini tuache tukusifie 😡 hebu ongea km profession artist mtu umesha safiri Sana umekutana na wasanii mbalimbali lkn unaongea km underground punguza presha fanya Kazi acha mashindano action speak louder bro
Tracy Mike kweli huyu ana penda masifa lakini hanaga inayowasaidia ni izo nguvu za ki friimans tu wote hawa waimbaji waleo
ali nice story
wenimkali alikiba