Ali Kiba kajibu kwanini huwa haendi kwenye Tuzo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
  • Ali Kiba ambaye ni staa wa bongofleva alipita kwenye studio za Mtangazaji Millard Ayo na kuelezea mipango yake anapokwenda Marekani November 4 2015, kwanini huwa haudhurii matukio ya utolewaji wa tuzo mbalimbali anazowania, single mpya na Christian Bella na mengine.

ความคิดเห็น • 113

  • @najmaadam9331
    @najmaadam9331 9 ปีที่แล้ว +2

    love ali kiba so gentleman so genuine and so respectful guy. love from canada

  • @wamshenry1413
    @wamshenry1413 9 ปีที่แล้ว +4

    asanti mtu wangu wa nguvu ayo...
    king kiba hatariii

  • @mankaraphael2860
    @mankaraphael2860 9 ปีที่แล้ว +4

    Niceeee...He is cool..Thanks Millard

  • @anwarmohaa6904
    @anwarmohaa6904 9 ปีที่แล้ว +4

    + king kiba big up sana bro kila LA kheri....

  • @abiolakennedy6346
    @abiolakennedy6346 7 ปีที่แล้ว +2

    Nichogundua chemistry ya ali na milad iko vzur maan ally anakuwa muwaz san...tofaut na interview zak na prznta wengne

  • @meredouble9897
    @meredouble9897 9 ปีที่แล้ว +4

    U so humble king keep it like that

  • @lilyplatnumzlilyplatnamz7526
    @lilyplatnumzlilyplatnamz7526 9 ปีที่แล้ว +5

    kiba bila tuzo your still the best ....P1 Millard

  • @gadielelisa8084
    @gadielelisa8084 8 ปีที่แล้ว +7

    sikuzote huwa nape da san kuangalia interview za Alikiba jamaa yupo smart san ktk kujibu maswali hat kuzungumzia kaz zek big up Mirladayo &Alikiba show imeeleweka sana

  • @jamalizahoro4679
    @jamalizahoro4679 9 ปีที่แล้ว +5

    king Kiba ur always on top pop it in

  • @janewanjiru6393
    @janewanjiru6393 9 ปีที่แล้ว +3

    wau I like the way he was there just himself hakuna cha miwani mieusi or etc

  • @shulejisn3012
    @shulejisn3012 9 ปีที่แล้ว +3

    Alikiba ni noma sana mtu wangu wa nguvu

  • @alankimaro4464
    @alankimaro4464 4 ปีที่แล้ว +2

    Kiba una interview nzuri

  • @francesidd7057
    @francesidd7057 9 ปีที่แล้ว +4

    Nice kiba!

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 3 ปีที่แล้ว +2

    Na ulivyo kua handsome Sasa ndo kabisa😘

  • @isihakamtaalam2099
    @isihakamtaalam2099 5 ปีที่แล้ว +3

    Safi kiba.

  • @SiscaB9
    @SiscaB9 9 ปีที่แล้ว +7

    my best artist...kip going

  • @najmaadam9331
    @najmaadam9331 9 ปีที่แล้ว +3

    thankx milard

  • @shulejisn3012
    @shulejisn3012 9 ปีที่แล้ว +3

    Marekani daaah nikimuona alikiba napata raha sana apa nilipo nina furaha sana

  • @emmanuelbongo6404
    @emmanuelbongo6404 9 ปีที่แล้ว +1

    Mashabiki wa kiba kweli hamjielewi kama msanii wenu, jitu halijui thamani ya tuzo, hahaha jamani, hongera Millard kwa kuhoji machizi

  • @abdiwachelsea9429
    @abdiwachelsea9429 9 ปีที่แล้ว +7

    Ali uko juu penda sana kaka

    • @emaeve3945
      @emaeve3945 6 ปีที่แล้ว

      Abdi wachelsea sijui kiswahil ila nmekusoma

  • @samirfarid8959
    @samirfarid8959 9 ปีที่แล้ว +2

    thanks millard

  • @emmanuelmoses6112
    @emmanuelmoses6112 6 ปีที่แล้ว +3

    good baba nakutakia maisha mema

  • @onestepmediatz
    @onestepmediatz 9 ปีที่แล้ว +3

    Tisha xnaaa kiba...kingkiba

  • @amisindeu1307
    @amisindeu1307 6 ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali miaka mia na akuna kiza kinacho zuia jua
    yani namahanixha akuna anae kuzuhia

  • @rahmamwinyi167
    @rahmamwinyi167 9 ปีที่แล้ว +5

    nice kiba

  • @aliyaliykhamisi9105
    @aliyaliykhamisi9105 6 ปีที่แล้ว +3

    Kiba is King

  • @abdrabyahaya7433
    @abdrabyahaya7433 6 ปีที่แล้ว +2

    pamoja sana buroo. king

  • @eddoernest8457
    @eddoernest8457 6 ปีที่แล้ว +2

    Unaweza kiba

  • @janewanjikuwanjau7811
    @janewanjikuwanjau7811 9 ปีที่แล้ว +2

    Iwa!!!! Kiba congrats

  • @sophiamustafa4593
    @sophiamustafa4593 9 ปีที่แล้ว +1

    ilove your kingkiba

  • @MohamedAhmed-yn1lx
    @MohamedAhmed-yn1lx 9 ปีที่แล้ว +2

    Hajui kujieleza kabisaaa

  • @simbapuya2710
    @simbapuya2710 9 ปีที่แล้ว +1

    Iyo movies au nyimbo duuuu

  • @mamboshota6849
    @mamboshota6849 9 ปีที่แล้ว +2

    Ali kiba Hella kiba

  • @livinusmtakyawa6385
    @livinusmtakyawa6385 8 ปีที่แล้ว +9

    Unajua kwa mtua liyesoma hawez kuniambia kuwa ally amekosea lolote katika interview hii ckia nawaambie ally amejarbu kuelezea kitu kilichopo kuhusiana na nyimbo hyo mpya ssa kam swali linahitaj maelezo kwa nn asieleze

  • @jacobjomoda8856
    @jacobjomoda8856 9 ปีที่แล้ว +1

    "Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na mziki wangu unathamani zaidi ya tuzo"nukuu.

  • @paulswai1237
    @paulswai1237 8 ปีที่แล้ว +1

    yan anavyosema milion 700 kirahis

  • @abdallahsalum9494
    @abdallahsalum9494 8 ปีที่แล้ว +3

    Ally ana kipaji kikubwa. Ila itamuwiya vigumu kufikia mafanikio yanayofanana na ukubwa wa kipaji chake. Kuna vitu arekibishe tena seriously.
    alafu enterview zake si nzuri sana .. unajiona mkubwa sana hata anavyojib anakakibri flani .
    alaf anaongea ongea hawez kupangia mazungumzo yake ..hawez kujib vizuri maswali... anaongea sn vitu ambavyo viko nje ya mstari.

  • @mohammedrashid7735
    @mohammedrashid7735 9 ปีที่แล้ว +3

    you guys u choose to look at only bad side of him,the man got potential and really talented voice when it comes to song.how about it

  • @nasraeidrayul4383
    @nasraeidrayul4383 9 ปีที่แล้ว +3

    mi nampenda kibaa nina imanii anajuaaa hataa huyoo naseeb nadhani alivutiwa ki music kupitia wasanii kama kibaaaa kibaa anaimbaa buanaa hatarrr ila punguza pozzii kibaa wanguu unajiharibia bunaa

    • @emanuelmley8997
      @emanuelmley8997 9 ปีที่แล้ว

      kweli apunguze pause kinyozi hajisifii kuwa anajua kunyoa walionyolewa ndio wanaona
      et ha focus kwenye tuzo sku zote instagram promo za kura xo tuache kumpigia
      k

  • @uncleatvonlinenew29
    @uncleatvonlinenew29 6 ปีที่แล้ว +2

    poa sana

  • @barakamatobela2529
    @barakamatobela2529 6 ปีที่แล้ว +2

    sanaa mkuuu 😴

  • @roserose7684
    @roserose7684 9 ปีที่แล้ว +3

    Nice one

    • @angelmoris5090
      @angelmoris5090 7 ปีที่แล้ว

      Thanks milard

    • @yusuphramadhani6530
      @yusuphramadhani6530 7 ปีที่แล้ว

      anaejua anajua2,kiba anajua acha ajishauwe anahaki yakujishauwa pumbavu msiojitambua king kiba fundi bhana

  • @allyramadhani5033
    @allyramadhani5033 9 ปีที่แล้ว +4

    Hakuna kama wewe kiba kama yuko BC ndo wewe

  • @noninmaduhu3476
    @noninmaduhu3476 9 ปีที่แล้ว +2

    asili haipotei

  • @elbassaam6949
    @elbassaam6949 9 ปีที่แล้ว +1

    mshamba tu

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 8 ปีที่แล้ว +1

    Ally punguza majibu ambayo hayana haja ya kujibu.wakati mwingine si kila swali ujibu.
    ujue unapojibi mengine unayaharibu na si lazma ujibu ww mengine uongozi wako uwajibike kujibu maswali

  • @jescaramadhani2038
    @jescaramadhani2038 8 ปีที่แล้ว +2

    kba manner bhana uko Na stck tena aaaaah unaniangusha

  • @benjaminkusekwa708
    @benjaminkusekwa708 6 ปีที่แล้ว +1

    huyu ni mtu huwa hapendi kijinadi

  • @yasinimwinyi371
    @yasinimwinyi371 9 ปีที่แล้ว +1

    al matambo kinoma

  • @samuelclement4437
    @samuelclement4437 9 ปีที่แล้ว +2

    wenimkali alikiba

  • @Msonjo
    @Msonjo 8 ปีที่แล้ว +1

    mbona dear god ya kala jeremiah ujaongelea ambayo haina coras kiba unazingua mwana pia video enyewe ilikuwa haikuwa serius demu hakueleweka mtu wake

  • @madeeteapain7578
    @madeeteapain7578 8 ปีที่แล้ว +1

    huyu kumbe mbululaa kwlkwl..kiburii....😆😆

  • @saidpazi1642
    @saidpazi1642 8 ปีที่แล้ว +8

    Kiba mimi ni shabiki wako ila broo una maneno mengi mpaka unaongea vitu havikuhusu aiseee

    • @abdulendrew1595
      @abdulendrew1595 7 ปีที่แล้ว +1

      Said Pazi we fala vitu gan kaviongelea kuma we

    • @othmanmathew9141
      @othmanmathew9141 6 ปีที่แล้ว

      Said Pazi nimekuelewa bro

  • @emmanuelbongo6404
    @emmanuelbongo6404 9 ปีที่แล้ว +1

    Na hili ndo kubwa Lao LA wehu

  • @daudaburuan6428
    @daudaburuan6428 9 ปีที่แล้ว +1

    Dah! kiba unatuangusha kak japo tunakkbal san

  • @twalibabdulkarim6463
    @twalibabdulkarim6463 9 ปีที่แล้ว +2

    DIAMOND PLUTNUMZ NI HOMA YA JIJI

    • @rizdenpopitin2537
      @rizdenpopitin2537 9 ปีที่แล้ว

      +Twalib Abdulkarim KINGKIBA anawauguza sana mpaka mnataman kujua kila anacho kifanya

    • @twalibabdulkarim6463
      @twalibabdulkarim6463 9 ปีที่แล้ว

      +Rizden pop it in unachekesha...millardayo kapost habari na haki ya kujua yanayo jiri...sasa nakushangaa sana...kumpa sifa diamond roho imekuuma...nyambisi...

    • @rizdenpopitin2537
      @rizdenpopitin2537 9 ปีที่แล้ว

      +Twalib Abdulkarim sasa siungetafuta post ya huyo unae msifia ili umusifie huko hko kwani umeona kaongelewa hapo ? mwanaume unaleta umbea kwenye kaz za watu nyie ndo mtatusumbua mkisha zeeka

    • @twalibabdulkarim6463
      @twalibabdulkarim6463 9 ปีที่แล้ว

      Rizden pop it in kinacmhokuuma nini????coz kiba hamna kitu kaongea ndio maana nimempa sifa diamond

    • @twalibabdulkarim6463
      @twalibabdulkarim6463 9 ปีที่แล้ว

      ***** labda wewe ndio ulale chali kwa huo ujinga unaojikosha nao

  • @jackbill9643
    @jackbill9643 9 ปีที่แล้ว +1

    Oplez

  • @musahmbughi6004
    @musahmbughi6004 2 ปีที่แล้ว +1

    Kkkkkkkk

  • @lindaowambo4941
    @lindaowambo4941 9 ปีที่แล้ว +9

    that tooth pick is annoying waah Alikiba plizzzz,good job though .

    • @rosenamilia4140
      @rosenamilia4140 9 ปีที่แล้ว

      owambo Linda nakuunga mkono kwa star kama Ali Kiba kwenda studio kwa ajili ya interview na tooth -pick mdomoni! !!!!!!Au Kiba
      hana uzoefu wa kukaa mbele ya kamera? Pull up your socks Kiba.

    • @Majosa3010
      @Majosa3010 8 ปีที่แล้ว

      +Rosena Milia very true am annoyed as well

    • @aliali189
      @aliali189 8 ปีที่แล้ว +1

      kiba namba moja tz hakuna mpzan jaman

    • @rosenamilia4140
      @rosenamilia4140 8 ปีที่แล้ว

      Ali Ali No comment ali.

  • @ambrosepuruh7874
    @ambrosepuruh7874 8 ปีที่แล้ว +1

    kiba u r a guwd musician but a bad interviewee,punguza kujipa sifa tuko hapa kukusifu ukitoa vichupa vikali kama mwana na nagharamia, n if kip on lyk this u risk luzin your fans me being one of them.

  • @lidyanzamukunda4807
    @lidyanzamukunda4807 9 ปีที่แล้ว +1

    ni ukweli haki wewe ni musani bore tanzania.

  • @samsonmathew7562
    @samsonmathew7562 9 ปีที่แล้ว

    Mimi ananiboa anaongea kama mtoto anayeota meno au mtu mwenye jipu mdomoni.......sasa tooth stick ya nini mdomoni.........kama sio pozi za kishamba......halafu ana mbwembwe utadhani mtu aliyeingiziwa Dollar billion 50 kwenye account.......hebu ajifunze public speaking skills........hayupo vizuri kujipresent......

  • @emanuelmley8997
    @emanuelmley8997 9 ปีที่แล้ว +1

    the man has a good voice
    talented one
    but he fails always wen it coms to interview
    too much proud
    eti sijafocus kwenye tuzo
    daily mnapiga kelele nipigieni kura kumbe huw hamzihitaji bro u ve to refresh be4 u talk coz ur destroyin ur credibility
    msikilize mdogo wako Diamond always he gve back thanks to dre fan dt are the one who made him to be there
    sasa wwe unasma hutaki tuzo
    je suis sur que tu vas rester locale tourjour
    il faut se renseigner de motiver les fans

  • @Pembaboytz
    @Pembaboytz 8 ปีที่แล้ว

    anasema mziki wke ni mkubwa zaidi ya 2nzo ss mbna alipokosa 2nzo nigeria mbna aliongea sn, si angekaa kmya 2 km 2nzo sio dili sn kwake hana lolote, sio km hazitaki 2nzo bc kiwango bdo cha kubeba 2nzo nje ya nchi labda abebe za hapa hapa TZ za kili

    • @Pembaboytz
      @Pembaboytz 8 ปีที่แล้ว

      +Jossy Mjuba,,kwan mi nilikwambia anasoma au

    • @Pembaboytz
      @Pembaboytz 8 ปีที่แล้ว

      Huna jipya ww na huyo kiba wko

    • @Pembaboytz
      @Pembaboytz 8 ปีที่แล้ว

      Fala labda ww boya weee

    • @Pembaboytz
      @Pembaboytz 8 ปีที่แล้ว

      Mi mfiraji shauri zako nizoee 2

    • @Pembaboytz
      @Pembaboytz 8 ปีที่แล้ว

      Vp na ww kwani unataka au

  • @stevdougie3220
    @stevdougie3220 9 ปีที่แล้ว +2

    Ali have to practice more about interviews, kwa haya majibu Na ni interview ya kiswahili.. anajing'ata.. anasema anaigiza.. mara directin,, haya umedirect movie gan.. anasema ndo ana practice.. smh.. wtf is he talkin?? Still wen it comes kwenye interview manner.. ameingia na toothpick.. ya nn?? Yan kama muimba visingelie

  • @mwajumamapunda624
    @mwajumamapunda624 9 ปีที่แล้ว

    uyu naye kiba anajishaugwa akiojia anajiuma uma tu kujieleza sijiwi ajui maana mtt wa kiume unajishauwa

    • @stevdougie3220
      @stevdougie3220 9 ปีที่แล้ว

      Saaana Na ataendelea kukanyagwa na naseeb

    • @sadamosses9763
      @sadamosses9763 9 ปีที่แล้ว

      nasib hawezi kumkanyaga kiba , anaweza kumkanyaga mama yake nasib

    • @stevdougie3220
      @stevdougie3220 9 ปีที่แล้ว

      sada mosses ndio nn saasa sada

    • @barakacharamba6833
      @barakacharamba6833 8 ปีที่แล้ว

      kwa mdomo ni rahisi

  • @rehemasimon1769
    @rehemasimon1769 8 ปีที่แล้ว +1

    inakera kiukwel hujui kujib maswal ...yaaan unaongeaongea tu...no point...umekunywa nn

    • @emaeve3945
      @emaeve3945 6 ปีที่แล้ว

      rehema simon we kolo kwel

  • @trendingvideos6651
    @trendingvideos6651 8 ปีที่แล้ว +1

    Yani cjaelewa Ali umeongea nini kwanza umetumia dk 6 kujisifia na hiyo video yenu na bela dah u need interview lessons rafkiangu hujiamini tuache tukusifie 😡 hebu ongea km profession artist mtu umesha safiri Sana umekutana na wasanii mbalimbali lkn unaongea km underground punguza presha fanya Kazi acha mashindano action speak louder bro

    • @aldanaudana2633
      @aldanaudana2633 6 ปีที่แล้ว

      Tracy Mike kweli huyu ana penda masifa lakini hanaga inayowasaidia ni izo nguvu za ki friimans tu wote hawa waimbaji waleo

  • @diamonblajckblajck6981
    @diamonblajckblajck6981 8 ปีที่แล้ว +2

    ali nice story

  • @samuelclement4437
    @samuelclement4437 9 ปีที่แล้ว +1

    wenimkali alikiba