DADA DOLLZ AFUNGUKA MWANAUME ALIYEZAA NAE, ANAISHI MAREKANI - "SINA MPANGO WA KUHAMIA HUKO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
- DADA DOLLZ AFUNGUKA MWANAUME ALIYEZAA NAE, ANAISHI MAREKANI - "SINA MPANGO WA KUHAMIA HUKO"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Hivi ni kwanini watu wengi waliomaliza Chuo kuanzia mwaka 2017 hawajui Kingereza na hawajui kutumi L na R. Unakuta mtu ana Digrii lakini kuona kaandika Lehema badala ya Rehema ni kitu cha kawaida saaana. Elimu ya Bongo watu wanasema wanasoma kwaajili ya Show off.
🤣🤣🤣iyo kingereza hapo umetupiga my dongoz🤣🤣ila mnapenda kujizalilisha wenyewe khaa
Ilove you so much Regina ❤❤❤
The Tumbo mbele😂😂😂 kingerezaa ni huzunii jaman
Nawapenda sana siz
Love from🇧🇮
Sasa mbona mnaongeya sana?? Muace jamanii apumzike kam amekosea nibasi
Si ndoa huyuuu kwenye UTU ya Kiba
Ndieee
Yeah
Ni yeye ndio
❤❤
Diva anauliza maswali kama hajajiandaa. Kwa hiki kipindi, Diamond kapigwa.
Hahahaha my duguz wadogo love it
😂😂😂 nkajua mim tu nmeckia
Si uongee kiswahili
Yaani wanajiaibisha sana hawa hahahaaaa
English inagomba mwamba inakuwa ngumu kujieleza
Hahahahaaaa si waongee kiswahili tu
Kiswahili mbona kipo poa tu
Hich kipind huwa ni sk gan na mda gan
My nduguz 😅😅😅😅wadogo 😅😅😅
My wazazis😂😂😂
Nyie English ya nini khaaaa mnakela
My ndugus wadogos😂kah
🤣🤣🤣🤣🤣
Dah! Acha niongezee, wajombaz, shangaziz
😅
khaaa ndo huyu wa kunnua gar na hela ya boom jmn mmmmmh Kwan kiswahili ukiongea c unaeleweka tu nyie kuaibika tu
Kuwa msani haumaanisha kuwa lizami uongee kingereza, kiswahili ni luga safi na inaeleweka 😏🤔🤔acheni kutukera na kingereza fake, kwani ukiongea kiswahili utakuwa umepungukiwa nini
Nonsense interview
Poor English 😢
Ni huzuni kwakwel 😂😂😂😂😂
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Lakini wenyewe wanaona wanaweza kingereza mtihani mkubwa huo.