Uaminifu na upendo ni vitu muhimu sana katika haya maisha , Baba levo ni rafiki wa kweli kwa Diamond. There's no doubt about that. Much love baba leo& stay safe 🇳🇴
KILA MWANAUME ANAETAKA KUMUOA ANAKUFA, WAKATI MWINGINE MATITI YAKE HUPOTEA KIFUAN NA ANAKUWA KAMA MWANAUME. SHETANI ANATESA WATU SANA CHINI YA JUA HILI, YATUPASWA KUSIMAMA NA MUNGU KWA UAMINIFU MKUBWA ILI AWEZE KUTUOKOA NA MUOVU HUYU. TAZAMA BINT HUYU MREMBO WA KABILA LA KINYAKYUSA LA MBEYA ANAVYOPITIA NJIA NGUMU YA MAISHA YAKE. WAZAZI WAKE WALITAKA KUMUOZESHA KWA NGUVU KWA MGANGA WA KIENYEJI NA PESA WALIKULA. BINTI ALIKUWA AOLEWE NA KUWA MKE WA NNE NA MBABA MTU MZIMA NDO AKATOROKA KUJA DAR. SASA KILA AKIPATA MCHUMBA ANAFARIKI GHAFRA, AU YEYE MAZIWA YAKE YANAPOTEA KIFUANI. KARIBU UTAZAME TUKIO ZIMA AMEONGEA NA MKOI TV. AHSANT KWA KUUNGA MKONO JUHUDI KUBWA ZINAZOFANYWA NA MKOI TV ZA KUWASAIDIA WATANZANIA WENZETU KWA KUIBUA CHANGAMOTO ZAO. TUNA UHITAJI WA VIFAA VYA PRODUCTIONS, Camera, Lapto, Mic, NA MAHITAJI YOTE YA PRODUCTION, HIVYO UNAWEZA KUTUCHANGIA CHOCHOTE KUPITIA NO TIGO PESA +255713575718. JINA LIVINGSTONE MKOI. UPATIKANAJI WA VIFAA HIVI UTASAIDIA KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI NA TUTARUSHA MFUMO WA VIDEO KAMILI. AHSANT SANA, MUNGU WA MBINGUNI AWABARIKI SANA.🙏🏻🙏🏻 th-cam.com/video/bgTUMnB2q0M/w-d-xo.html
Yani ukipata Mtu kama baba levo mwenye mapenzi yakwer dhidi yadaimond nisafi Sana kwenye haya maisha,,ila baba levo namkubalig Sana yani,,,na baba levo anamkubali Sana Daimond safii,,baba levo nakajua kufiti kwenye nafasi yake Kwa Daimond safi,,mungu awatunze na urafiki wao ,,asikwambie mtu ukimpata mtu mwenye mapenzi yadhati na wewe kama baba levo Yani unaweza kumpa Kila kitu chako Yani,,,safi
Uaminifu na upendo ni vitu muhimu sana katika haya maisha , Baba levo ni rafiki wa kweli kwa Diamond. There's no doubt about that. Much love baba leo& stay safe 🇳🇴
Kweli aise
True
Kabisa
Kweli kabisa bro
KILA MWANAUME ANAETAKA KUMUOA ANAKUFA, WAKATI MWINGINE MATITI YAKE HUPOTEA KIFUAN NA ANAKUWA KAMA MWANAUME.
SHETANI ANATESA WATU SANA CHINI YA JUA HILI, YATUPASWA KUSIMAMA NA MUNGU KWA UAMINIFU MKUBWA ILI AWEZE KUTUOKOA NA MUOVU HUYU.
TAZAMA BINT HUYU MREMBO WA KABILA LA KINYAKYUSA LA MBEYA ANAVYOPITIA NJIA NGUMU YA MAISHA YAKE.
WAZAZI WAKE WALITAKA KUMUOZESHA KWA NGUVU KWA MGANGA WA KIENYEJI NA PESA WALIKULA.
BINTI ALIKUWA AOLEWE NA KUWA MKE WA NNE NA MBABA MTU MZIMA NDO AKATOROKA KUJA DAR.
SASA KILA AKIPATA MCHUMBA ANAFARIKI GHAFRA, AU YEYE MAZIWA YAKE YANAPOTEA KIFUANI.
KARIBU UTAZAME TUKIO ZIMA AMEONGEA NA MKOI TV.
AHSANT KWA KUUNGA MKONO JUHUDI KUBWA ZINAZOFANYWA NA MKOI TV ZA KUWASAIDIA WATANZANIA WENZETU KWA KUIBUA CHANGAMOTO ZAO.
TUNA UHITAJI WA VIFAA VYA PRODUCTIONS, Camera, Lapto, Mic, NA MAHITAJI YOTE YA PRODUCTION, HIVYO UNAWEZA KUTUCHANGIA CHOCHOTE KUPITIA NO TIGO PESA +255713575718. JINA LIVINGSTONE MKOI.
UPATIKANAJI WA VIFAA HIVI UTASAIDIA KUWAFIKIA WATU WENGI ZAIDI NA TUTARUSHA MFUMO WA VIDEO KAMILI.
AHSANT SANA, MUNGU WA MBINGUNI AWABARIKI SANA.🙏🏻🙏🏻
th-cam.com/video/bgTUMnB2q0M/w-d-xo.html
Baba levo wewe uwaga unaongeya ukweli, ila mwijaku yeye anapenda kutembeya na upepo aijalishi ni kweli au siyo kweli, kwakweri ana kera sana
Yani ukipata Mtu kama baba levo mwenye mapenzi yakwer dhidi yadaimond nisafi Sana kwenye haya maisha,,ila baba levo namkubalig Sana yani,,,na baba levo anamkubali Sana Daimond safii,,baba levo nakajua kufiti kwenye nafasi yake Kwa Daimond safi,,mungu awatunze na urafiki wao ,,asikwambie mtu ukimpata mtu mwenye mapenzi yadhati na wewe kama baba levo Yani unaweza kumpa Kila kitu chako Yani,,,safi
Leo ndo nime amini kwamba wewe ni mtu mzima,baba levo ❤️❤️ ngonja ni ji unge kwenye comptes zako baba ❤️❤️
Safi Sana baba levo uko na mapenzi yakweli wewe siyo munafki❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Huyu Jamaa yuko real Sana kwa Mondi🤝…Mwijaku mnafiki ndo maana anapapalika kwa kila mwenye hela
Rafiki mnafiki hafai kabisa hongera Sana babalevo kwa kudumisha urafiki wako wa kwel kwa Diamond❤
Safi sana Diamond kumfukuza huyo shoga Mwinjamama 🤏🤏🤏
Mwijaku anaongea sana ila hana point anaongea mbaka anabowa hata kama ingekuwa ni mimi sidhani kama ungechukuwa hata wiki mmoja
Actually mwijaku anazingua
Anazidish uongo
Good sana baba levo
BABA LEVO NI MZIMA
Safi baba levo
kubali sana baba levo
Baba levo mnamuona Kma mweu lakini anajitambua
Baba levo ni kichaa ila kichaa anaye jitambua ila mwijaku kichaa aliye longwa ajitambui kabisaaa yeye ana angalia upepo una vuma wapi aende
Baba levo🔥🔥🔥🔥🔥
Baba levo ana mapenz ya dhati kwa Diamond. Mwijaku anaongea bila point ya msingi
Baba Levo Hilo Koti Lako La Upinde Usiende Nalo Kenya,Kuna Sheria Katika Mchakato Kwa Ajili Ya Kuwashughulikia.
😂😂😂😂 tulikubaliana tujifanye wehu lakini nikaona mwenzangu amekuwa mwehu kweli kweli 😂😂😂😂
😂😂😂
Sifa sio nzuri B Levo leo mwijako jana bodyguard na weye iko siku itakuwa weye
Mwijaku kakidhiri kwakweli
mmesikia hapo sijui kama na Sallam… Sallam na Diamond kwishney..
Mwana wa kwelii
Baba Revo👍
Baba levo kua mkweli bro ,usije uka umwa waanze kutembeza kopo
Alipotoka jela ulisikia kopo likitembezwa ulichangia ngapi?
Yaani Baba Revo❤️❤️❤️
Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kabisaaaaa mwijaku kuchwa kibovu
Kimeja maji musimpokee tena
Sijuh km na salaam
Maua 🎉🎉🎉
Tunatoka katika familia, malezi, elimu, ujuzi, maarifa, dini, ustaaarabu tofauti HATUWEZI KUWA SAWA, KUNAMUDA INABIDI TUHESHIMU HUO UTOFAUTI
Baba levo kukuba sana hata kama unatafuta ridhik lakin unaupendo wa kwel diamond yaan simbaaa namaanisha chibudenga
Hahahah, wabongo bana.. kwa kutaja milion kirahisi lakin mfukon wana laki 2
Mwijaku anatamaa
Fundi❤🎉😊
❤
Nakubali funding majumba
Hapo kwa Salam sk vip?
Riziki huwa anatoa Mungu Tu kwa waja huwa zinaputia
Yule misifa mingi
Sasa kwa nini mwenzako anaenda kuwa chizi kweli au kitambo cha nyuma aliwahigi kuwa chizi akapona na sasa uchizi umerudi tena 😂😂😂😂😂😂
Bora mwijaku anaongea kupitiliza anaboa
😂😂😂😂❤
Acha uchocheze LilOmyy Sasa Domo ajuwi hutaki ashambuliw kwa nn
Mukataze h baba
Diamond anaroho mbaya, kila mtu akitaka kujiweza anamfukuza
😂😂😂😂
Uwezi kuongea bila kumtaja harmonaizi wewe pimbi
Unateseka ukiwa wapi😂
Masikini anateseka kinyama.😂😂😂 na bado Diamond atawatoa koromeo bila kuwagusa popote
Baba Levo Hilo Koti Lako La Upinde Usiende Nalo Kenya,Kuna Sheria Katika Mchakato Kwa Ajili Ya Kuwashughulikia.