EXLUSIVE : MKE WA MOMO ATOA SABABU ZA ESMA KUSEMA ANATEMBEA NA MSIZWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 176

  • @naimanurdin1354
    @naimanurdin1354 3 ปีที่แล้ว +10

    Dini inasisitiza tufichiane aibu zetu haya mambo yanakuwajee jamaniii

  • @kimwerionlinetv5574
    @kimwerionlinetv5574 3 ปีที่แล้ว +2

    Daaaah dunia hii bhana Mungu endelea kunipa namba niendelee kuyaona mengi ila nisikukosee tu.

  • @shabanbuchu2130
    @shabanbuchu2130 3 ปีที่แล้ว +16

    Media za tanzania zinaendeshwa na umbea tu.Nchi zima inazungushwa na umbea wa familia moja na maceleb nkt!

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 3 ปีที่แล้ว +16

    Siku hizi hakuna hata haja ya kuangalia bongo move interview za hawa watu zinatosha

    • @khdigahk4246
      @khdigahk4246 3 ปีที่แล้ว

      Kumbe eee 😂😂😂😂

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 3 ปีที่แล้ว

      @@khdigahk4246 😃😃😃😃Ndioo hivyo

  • @emmymtambo2874
    @emmymtambo2874 3 ปีที่แล้ว +12

    Itakuwa kweli,maana nyie wakina dada,mnapenda ela,ulijua msizwa anapesa

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 3 ปีที่แล้ว +3

    Hii familia ya kisenge sana hiii

  • @aishaabdul1712
    @aishaabdul1712 3 ปีที่แล้ว +7

    Esma siyo chizi eti halafu huyu ni wifi ake haya mambo yangekuwa hayana uhakika asingesema huyo msizwa ndo hana adabu

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi1486 3 ปีที่แล้ว +34

    Hii wasafi sasa haina maana kabisa, haina faida kwa watanzania

    • @superstuwart2434
      @superstuwart2434 3 ปีที่แล้ว +5

      Yani wanataka kufanya familia ya diamond iwe ina trend huu ni ushamba wanazingua

    • @mnubimnubi4081
      @mnubimnubi4081 3 ปีที่แล้ว +5

      @@superstuwart2434 chuki binafsi itawauwa nyie suseni kwani ukiwa na Tv ndio nyie msiwe na haki ya kuhojiwa kisa watazamaji watachukia

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 ปีที่แล้ว +3

      Peke yako,,wengine tunapenda,,,,hata radio za abroad kuna vipindi km hivi na vinapendwa

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwendraaaaaaa tuachie wasafi yetu

    • @bongomstv6517
      @bongomstv6517 3 ปีที่แล้ว

      Pita kureeeeeeeerrrre

  • @raymondkanyama6387
    @raymondkanyama6387 3 ปีที่แล้ว +11

    kumamake huu ukoo...!! Dah 😅😅😅

  • @lovemyselflovemyself954
    @lovemyselflovemyself954 3 ปีที่แล้ว +16

    Iyi familia ya mama dangote ima mambo mengi Sana ambaye ina fichwa. kwa Zamaradi Esma alisema akukuwa na mimba. Apa Inasemekana alikuwa na mimba 😩 sasa ukweli uko wapi?

    • @kinggaming928
      @kinggaming928 3 ปีที่แล้ว +1

      Mana yake esma ni muongo kweli ila iwe Mama mtoto ni sawa ana atake Diamond dad
      Sasa sikia ana atake wifi zake ni mambo Esma ni primary kicuani shame on her

    • @mwatumudogo3948
      @mwatumudogo3948 3 ปีที่แล้ว +1

      Yaaani ni mkorogo kabisa

    • @beatricemshiu2816
      @beatricemshiu2816 3 ปีที่แล้ว

      Mwenye ukweli wa mimba ni mbeba mimba mwenyew

    • @littlelloyd3930
      @littlelloyd3930 3 ปีที่แล้ว +1

      Swali:
      Huko Tanzania hakuna hospitali za kufanya DNA?

    • @lovemyselflovemyself954
      @lovemyselflovemyself954 3 ปีที่แล้ว

      @@littlelloyd3930 ziko nyingi Sana 2

  • @razmuhammad7223
    @razmuhammad7223 3 ปีที่แล้ว +5

    Wee momo huna akili...
    Mwanamume mzim waenda kweny media kuzungumz mambo yko na mkeo?

  • @nasmasalim2352
    @nasmasalim2352 3 ปีที่แล้ว +2

    Pole mamy 💕💕💕

  • @tresiakaovela9109
    @tresiakaovela9109 3 ปีที่แล้ว +3

    Ukiwa na mawazo ingia wasafi kwasababu kunamambo yajabu hayo nimambo kifamily inakuwaje mnaweka kwenye mtandao

  • @robertmolila7545
    @robertmolila7545 3 ปีที่แล้ว +7

    Wasafi media Ni habari za familia ya mond tuuuu

    • @ngwacahnyagwaswa9979
      @ngwacahnyagwaswa9979 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂 Media ya Familia habari za familia 😂😂😂

  • @nishaabias5694
    @nishaabias5694 3 ปีที่แล้ว +3

    Ni radio ya familia hii

  • @janatahmad7048
    @janatahmad7048 3 ปีที่แล้ว +7

    huo esma ni malay tu na tabia mbaya jamani yani ndoa imemshinda sasa anataka kuhalibia wengune dooo ewe mungu njo maana siwezi wifi mimi siwezi kua karibu na ma wifi

    • @Agnes-qq4np
      @Agnes-qq4np 3 ปีที่แล้ว

      Wifi wa mtu nimbanda yake ulikua aujuwi ilo ka mbali na mawifi

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 3 ปีที่แล้ว +2

    Yan wifi yako anaumwa, kupata muda kwenda kumuona ulikosa ila kufuatilia ela nyumban uliweza.. Aiseee wifi wenza kazi

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 3 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 2021 mwaka wa wawasafi

  • @charotelimo5026
    @charotelimo5026 3 ปีที่แล้ว +1

    TCRA Si waifunge na hii redio wasitusumbue

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 3 ปีที่แล้ว

      Sasa waifungie kwa kosa gani mbona we unafuatilia 😂 habari c uende TCRA ukatoe malalamiko

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 3 ปีที่แล้ว +3

    Hamna janga kubwa maishani kama kutokuwa na elimu ni bora uwe masikini au kipato cha kawaida ila umeenda shule . Madada wengi wa mjini kama hawa shule ndogo na ndio thinking capacity yao hii

    • @amanimanase5794
      @amanimanase5794 3 ปีที่แล้ว +1

      Ulimbukeni wa kipato broo ndomaana wanahisi Tz yao

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 3 ปีที่แล้ว

      @@amanimanase5794 Yaani ni shida haswa na ukiwa na bahati mbaya ukioa mke kama huyo umekwisha.

    • @amanimanase5794
      @amanimanase5794 3 ปีที่แล้ว +1

      @@kabwelasutiviraka4765 daah si mchezo broo ingekuwa wanawake wote wako kama ivi walahi acha nikose bahat ya kuwa na mke kabisa

  • @zaerajuma9159
    @zaerajuma9159 3 ปีที่แล้ว +5

    Interview short

  • @ahmadishaibufataha1481
    @ahmadishaibufataha1481 3 ปีที่แล้ว

    Hii wasafi imekuwa ni redio.ya familia na tv.yao na unafiki tuu washamba wamaisha sana

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 3 ปีที่แล้ว +3

    Ni mwongo tuu na huyo ricardo anajua kabisa

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 3 ปีที่แล้ว

    Ulishindwa kuenda kumuona akiumwa lakini ulienda kufata pesa? Mbna Msizwa asijiandae kuja na hela ama achague azieke alete pesa atwae instead ya kuandamana nae kwake kufata hela ukijua aumwa na hukua umemtembelea kumjulia hali? Apa mnatucheza aisee.

  • @victoriashiko7172
    @victoriashiko7172 3 ปีที่แล้ว +2

    Wasafi hii Miwani Miwani kwa TV imezindii 😁🤣

  • @simonitaagesti3657
    @simonitaagesti3657 3 ปีที่แล้ว +2

    Dah mji mzito huu

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 3 ปีที่แล้ว +1

    Redio hz zinazungumzia umbea tu
    Watanzania sijui wanapenda

  • @aisharamadhani9438
    @aisharamadhani9438 3 ปีที่แล้ว +11

    Jmn dunia cmama nishuke mmetuchosha Hali ngumu mnaleta Kiki za ovyo

  • @dktnandulenandule4970
    @dktnandulenandule4970 3 ปีที่แล้ว +3

    Esma gani Tena jamani?😂

  • @mamyamin1885
    @mamyamin1885 3 ปีที่แล้ว +3

    Muongo ulishindwa kuniona mgonjwa kwenye pesa uende ww sema kweli

    • @adamsaga6700
      @adamsaga6700 3 ปีที่แล้ว

      Sasa aache pesa zake kisa Kuna mgonjwa na ameambiwa hela ziko home

  • @zahrasulaiman8827
    @zahrasulaiman8827 3 ปีที่แล้ว +2

    Hii familia nishida hahahaa ESMA kakataa haja toa mimba Leo Maraika anasibitisha umetoa mimba mungu awalaani mtt na mama ake
    Kwa kuishi Maisha feki uku mnajisifu sio feki mko kimasilahi zaidi

  • @safiyamohamudadan6526
    @safiyamohamudadan6526 3 ปีที่แล้ว +3

    Anataka kumharibia ndoa yake imemshinda

  • @amourdelicieuse2961
    @amourdelicieuse2961 3 ปีที่แล้ว +2

    Tokaa pala we kahaba momo ana lolote Esma ni yuda ila kaongea point

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 3 ปีที่แล้ว +2

    Mmejipanga ila konde nyimbo itawaka tuh. Mara cyo baba yke mara esma nae na wifi yke mmmmh kiki

  • @leonidamatungwa5328
    @leonidamatungwa5328 3 ปีที่แล้ว +5

    Hivi hamna aibu na mambo ya familia kwenye radio

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 3 ปีที่แล้ว

      Sheytwan akikushika kakushika

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 3 ปีที่แล้ว

      Kwn lazima uwasikilize.famly inamigogoro iyo

  • @YOBOYSADIO
    @YOBOYSADIO 3 ปีที่แล้ว

    Kwa wale wapenzi wetu wanaopenda ku angalia the Story Book hii ndio account mpya ya the story book basi fanya ku subscribe video tunapost kila ijumaa asanteni

  • @com_sci123
    @com_sci123 3 ปีที่แล้ว +9

    This family I can't 🤦🤦🤦

  • @selemanmayala9374
    @selemanmayala9374 3 ปีที่แล้ว

    Ukoo wa kimjinimjini ni shida tu Bora uku bush tunaenjoy life tukikosana baadhi ya ndu wazee wambanga wanayamaliza

  • @safiyamohamudadan6526
    @safiyamohamudadan6526 3 ปีที่แล้ว +2

    Ni muongo mbona haja screen shot?

  • @goodmarkjulius8806
    @goodmarkjulius8806 3 ปีที่แล้ว +2

    Na radio ifungwe tuuuuuh haina inachofundisha kwa jamii naomba tcra tuonane chapu🤺🤺

  • @FatimaFatima-fy7yv
    @FatimaFatima-fy7yv 3 ปีที่แล้ว +3

    Duuuuuu family hii ina matatizo daaaaah ujinga kira siku

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 3 ปีที่แล้ว

      Afuu me nashangaa kitu kidg hadi mtandaon sijui nini

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 3 ปีที่แล้ว

      Sasa we unafuatilia nini

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa9413 3 ปีที่แล้ว +3

    Wasizwa na wanyange mnatuvurugaaa huku dai nyange huku msizwa eeeeh

  • @rhodajames8912
    @rhodajames8912 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Dada nimuhongo

  • @ed3ezekiel388
    @ed3ezekiel388 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe momo nae yupo 😂😂😂😂😂😂 dah .... mapenzi ya tz ya michoreshano na ukiangilia wote ni wasaka tonge wakina bill gates wanaachika sembuse nyie wenzangu na mm

  • @mariamakungwa5391
    @mariamakungwa5391 3 ปีที่แล้ว +2

    Kwani uwifi umeisha?mbona kazi ipo

    • @mubamuba3450
      @mubamuba3450 3 ปีที่แล้ว

      Walana wenyew kwa wenyew mimba nyingine izo

    • @mubamuba3450
      @mubamuba3450 3 ปีที่แล้ว

      Zinakuja utaona

  • @zachariamduma3411
    @zachariamduma3411 3 ปีที่แล้ว +2

    Lkn hyo familia ina balaa gni jmni,mama zero,watoto zero.

    • @connortripp9304
      @connortripp9304 3 ปีที่แล้ว

      I guess it's quite off topic but does anyone know of a good website to watch new series online ?

    • @huxleyaydin6562
      @huxleyaydin6562 3 ปีที่แล้ว

      @Connor Tripp Lately I have been using Flixzone. Just google for it :)

    • @ernestojayson3652
      @ernestojayson3652 3 ปีที่แล้ว

      @Huxley Aydin Yea, have been watching on flixzone for months myself :D

    • @connortripp9304
      @connortripp9304 3 ปีที่แล้ว

      @Huxley Aydin thanks, I signed up and it seems like they got a lot of movies there :D I appreciate it !

    • @huxleyaydin6562
      @huxleyaydin6562 3 ปีที่แล้ว

      @Connor Tripp you are welcome xD

  • @allynama5247
    @allynama5247 3 ปีที่แล้ว +1

    Msizwa kala mzigo

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 ปีที่แล้ว

    Hii media ingeitwa ukahaba Media

  • @bmbnndailylife2096
    @bmbnndailylife2096 3 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe wewe ndo uliye muambia msizwa hesma atatoa mimba

  • @mr.pilipili5289
    @mr.pilipili5289 3 ปีที่แล้ว +3

    esma muuaji kashaua kiumbe anataka wenzie waliotulia nao wawe kama yey malayaa wa mbugan

    • @naimanurdin1354
      @naimanurdin1354 3 ปีที่แล้ว +1

      Na alisema live istagramu kweli alitoa mimba alafu zamaradi alivyomuuliza anasema hapana aliongea kwa hasiraa hii familia jamanii tuiombee tu iwe na khofu ya Mungu

    • @mr.pilipili5289
      @mr.pilipili5289 3 ปีที่แล้ว

      Familia ya hovyoo sanaa lakin yoote ji kwa sababu ya shule shule ni msaaada snaaa pesa sio kila kitu Aibu kila mtu anajieka uchi kuanzia mama adi watoto dah

  • @jayfadhil8404
    @jayfadhil8404 3 ปีที่แล้ว +4

    Dunia simama nishuke ninunue njugu

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP 3 ปีที่แล้ว +1

    MALAIKA huyo anajiuza huku uarabuni ni malaya tu atashindwaje kutembea na mume wa mtu

  • @fredymassawe6125
    @fredymassawe6125 3 ปีที่แล้ว

    Malaika

  • @afrobongobeats1686
    @afrobongobeats1686 3 ปีที่แล้ว +5

    Familia ina drama hii khaaa😂😂
    Nyange family

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 3 ปีที่แล้ว

      😃😃😃😃😃Etiii nyange family

  • @rafiamasoud9166
    @rafiamasoud9166 3 ปีที่แล้ว

    Dar hii familia kiukweli ni pasua kichwa Yan baada ya kufungiwa tv yao Sasa Kila kukicha wanatuibulia vioja ili kusudi tu wasisahaulike vichwan mwa watu

  • @lusePro
    @lusePro 3 ปีที่แล้ว +3

    Yani nyie hamnaga habari zingine? Kila cku ni mambo ya familia tu!

  • @karimhamisi4627
    @karimhamisi4627 15 วันที่ผ่านมา

    Likado momo alipuuzia hii leo kimemramba

  • @Queen-by6ei
    @Queen-by6ei 3 ปีที่แล้ว

    Mjamzito gani tena ??!

  • @iflamusa7645
    @iflamusa7645 3 ปีที่แล้ว +4

    Hio sio kiki ya kufunika wimbo wa hamo

  • @erickkisindja2670
    @erickkisindja2670 3 ปีที่แล้ว

    Kilicho nifiraisha kuona mwislam kuongelea Mambo ya Yesu kristo kuliko Muhammad akika biblia ndio Neno la kweli lsbMungu.

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 3 ปีที่แล้ว

    WANAWAKE WAKUOGOPA NA KUKAA MBALI NAO. WABAYAAA KINOMA HAO NDANI

  • @aishamusumba8469
    @aishamusumba8469 3 ปีที่แล้ว

    Sasa hawa watu ni madui na esma iweje wakubali kaka yako diamond kuwa makini hawa watu wana mipango mbaya kwako

  • @dorisjessy5960
    @dorisjessy5960 3 ปีที่แล้ว

    Lakini inaonyesha malaika humshirikisha momo kila kitu chake ambapo ni vizuri hawatofautiani kwenye kauli

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 ปีที่แล้ว

    Muda wa kufuata ela ulikuwa nao ila kwenda kumuona ulishindww

  • @vero57
    @vero57 3 ปีที่แล้ว +1

    Vua miwani dada

  • @TwalibuMussa-i3m
    @TwalibuMussa-i3m 4 หลายเดือนก่อน

    Kwnn mambo ya familia mnaleta kwenye media make ukuna patanisho ni umbea tyu media baada ya kuleta suruhu ni umbea na nyie wanandoa mnaoleta mambo yenu humu nyote amna akili sawa sawa kila mtu ana changamoto kwenye ndoa yake wanakaa wanamaliza tofauti zao

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv 3 ปีที่แล้ว +1

    Momo sauti kama mondi

  • @brainsngaugula6075
    @brainsngaugula6075 3 ปีที่แล้ว +4

    Ukiona manyoya... Niliacha kuamini wanawake kitambo!

  • @goodvibetv4065
    @goodvibetv4065 3 ปีที่แล้ว

    Toka mmetangaziwa kufungiwa basi mnahangaika na kuzalilishana ndan ya familia zenu ili tu kupata attention

  • @shuweynalove3622
    @shuweynalove3622 3 ปีที่แล้ว +2

    Uyo Malaika atoe miwani tuone anavo babaika

  • @amourdelicieuse2961
    @amourdelicieuse2961 3 ปีที่แล้ว

    Malaika uko mrembo ila uko Mnafki mume wa Esma anakutombaa sana malaya wewe momo ana mke muna leta haya nyinyi family ya dangote

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmsameh bure nae hamjui baba yake anabandikizwatu eti nimwarabu wakati niwawahindi wa kariakoo 😂😂😂

  • @neemadeo7803
    @neemadeo7803 3 ปีที่แล้ว +2

    Alikuwa mjamzito hahaha makubwa

  • @goldenfoot1102
    @goldenfoot1102 3 ปีที่แล้ว

    Hawa jamaaa wanahatari Sana

  • @gresitimoth4142
    @gresitimoth4142 3 ปีที่แล้ว

    E

  • @benjaminmahenge313
    @benjaminmahenge313 3 ปีที่แล้ว

    no problem na dada ni hviiiii

  • @venerandamasunga6789
    @venerandamasunga6789 3 ปีที่แล้ว +5

    ndugu wa diamond ni matahira tena hamnazo kabisa kinachowastiri ni pesa tu tena kwasasa siwezi kumshabikia diamond tena hawajielewi kabisa

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 3 ปีที่แล้ว +3

      Wewe ni shabiki mandazi... kwani unashabikia kazi zake au unashabikia drama za familia yake?

    • @anitaerasto5482
      @anitaerasto5482 3 ปีที่แล้ว

      haaaaaaah usinichekeshe mie

    • @josewillson1813
      @josewillson1813 3 ปีที่แล้ว +2

      Kwan umemwona diamond apo au aliyeongea ujinga ni mond

    • @venerandamasunga6789
      @venerandamasunga6789 3 ปีที่แล้ว

      @@BigZhumbe tangu wamwmkataa mzee Abdul siwakubali kwa mziki wala drama unazozungumzia

    • @kalufunyangenyakinyungu5087
      @kalufunyangenyakinyungu5087 3 ปีที่แล้ว

      Hata kabla hukuwa shabiki wa Mondi Unajinafikia mwenyewe

  • @kijahnikwelinyalinga1740
    @kijahnikwelinyalinga1740 3 ปีที่แล้ว +1

    Dada una fanan na bikidude 😂 alikua mama yako?

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 ปีที่แล้ว +1

    Freemason wameanza kuvuruga family.

  • @subirangellah8779
    @subirangellah8779 3 ปีที่แล้ว +2

    Mjamzito??

    • @subirangellah8779
      @subirangellah8779 3 ปีที่แล้ว +1

      Si amesema hakuwahi kua na mimba ya msizwa

    • @thisiszai2045
      @thisiszai2045 3 ปีที่แล้ว

      Hicho ndo kino ni changanya mie pia, kwenye interview na zamaradi kasema haku wahi kushika mimba

  • @lamzashedu9825
    @lamzashedu9825 3 ปีที่แล้ว

    Mbona media mambo ya familia daily

  • @bmbnndailylife2096
    @bmbnndailylife2096 3 ปีที่แล้ว +4

    Ulijua msizwa anapesa malaya tu wewe

  • @amaningonyani2775
    @amaningonyani2775 3 ปีที่แล้ว

    Hii TV saiv ni ya ukoo maana interview zote za ndugu tu mnataka ukoo mzima uwe maharufu

  • @flavianwilliams2888
    @flavianwilliams2888 3 ปีที่แล้ว

    Hapa na pale dukani maneno yamepishana

  • @H-moneybags
    @H-moneybags 3 ปีที่แล้ว +1

    Ricardo momo wenu kachapiwa

  • @H-moneybags
    @H-moneybags 3 ปีที่แล้ว +1

    Upuzi mtupu

  • @Vince-kw9hu
    @Vince-kw9hu 3 ปีที่แล้ว

    Kwani wasafi imekua patanisho
    Useless kabisaaa

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 3 ปีที่แล้ว +1

    Uyo msizwa na wewe muke WA mutu, wote mazwazwa,, we umemwambia mwezio upo busy, amekuomba ukamjulie Hali anaumwa, we ungesema upo busy, harafu unaenda home kwake,!🤔

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 3 ปีที่แล้ว +2

    KUNA LAANA KATIKA FAMILIA YA MAMA D.MAMBO YAO NI MATUKIO YA AJABU AJABU.WANAHITAJI MAOMBI

  • @mutalemwagabrie9791
    @mutalemwagabrie9791 3 ปีที่แล้ว

    Momo ametoa mahari lakini?😂😂😂😂😂

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 3 ปีที่แล้ว

      Mahari si swalaaa tuu😃😃

  • @adamismailly1784
    @adamismailly1784 3 ปีที่แล้ว

    Acheni drama mikundu nyie mwataka muwatoe watu kwenye inshu ya ma dangote ya ukahaba mwatuketea mambo ya msinzwa

  • @frenchygigi
    @frenchygigi 3 ปีที่แล้ว

    Kiki za ujinga..

  • @yusramohamed111
    @yusramohamed111 3 ปีที่แล้ว

    mambo mengiiii daah , family imejaa balaa, im losing interest.

  • @samonaukiro4391
    @samonaukiro4391 3 ปีที่แล้ว

    Redio ya kipuuzi sana hii ....ujingaaaa mtupu

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 ปีที่แล้ว

      Sam onaukiro acha uchoko wewe icho ni kipindi na wapo wenye interest nacho kukifatilia ivyo Kama unaona hakikupi Mambo unayotaka wewe pita kushoto kasikilize tbc mbona ipo unafata Nini uku punguza shobo

    • @samonaukiro4391
      @samonaukiro4391 3 ปีที่แล้ว

      @@albertkadyanji9722 sawa shoga la wasafi nimekuelewa matako ww na redio ya famil

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 3 ปีที่แล้ว

      @@samonaukiro4391 choko wewe unaonekana mwanaume sio ridhiki wewe wanaume wa shoka hatuna kodi hizo choko fresh wewe

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 3 ปีที่แล้ว

    FAMILIA YOTE MALAYA😆😆😆😅