EXLUSIVE : MKE WA MOMO ATOA SABABU ZA ESMA KUSEMA ANATEMBEA NA MSIZWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Dini inasisitiza tufichiane aibu zetu haya mambo yanakuwajee jamaniii
Daaaah dunia hii bhana Mungu endelea kunipa namba niendelee kuyaona mengi ila nisikukosee tu.
Media za tanzania zinaendeshwa na umbea tu.Nchi zima inazungushwa na umbea wa familia moja na maceleb nkt!
Ni upumbavu kabisa
We kwendraaaaaa si uangalie Tbc huku unafanya nn umbea tu na ww
Uko sahihi
Siku hizi hakuna hata haja ya kuangalia bongo move interview za hawa watu zinatosha
Kumbe eee 😂😂😂😂
@@khdigahk4246 😃😃😃😃Ndioo hivyo
Itakuwa kweli,maana nyie wakina dada,mnapenda ela,ulijua msizwa anapesa
Hii familia ya kisenge sana hiii
Esma siyo chizi eti halafu huyu ni wifi ake haya mambo yangekuwa hayana uhakika asingesema huyo msizwa ndo hana adabu
nikweli dada angu uko sahihi
Hii wasafi sasa haina maana kabisa, haina faida kwa watanzania
Yani wanataka kufanya familia ya diamond iwe ina trend huu ni ushamba wanazingua
@@superstuwart2434 chuki binafsi itawauwa nyie suseni kwani ukiwa na Tv ndio nyie msiwe na haki ya kuhojiwa kisa watazamaji watachukia
Peke yako,,wengine tunapenda,,,,hata radio za abroad kuna vipindi km hivi na vinapendwa
Kwendraaaaaaa tuachie wasafi yetu
Pita kureeeeeeeerrrre
kumamake huu ukoo...!! Dah 😅😅😅
Iyi familia ya mama dangote ima mambo mengi Sana ambaye ina fichwa. kwa Zamaradi Esma alisema akukuwa na mimba. Apa Inasemekana alikuwa na mimba 😩 sasa ukweli uko wapi?
Mana yake esma ni muongo kweli ila iwe Mama mtoto ni sawa ana atake Diamond dad
Sasa sikia ana atake wifi zake ni mambo Esma ni primary kicuani shame on her
Yaaani ni mkorogo kabisa
Mwenye ukweli wa mimba ni mbeba mimba mwenyew
Swali:
Huko Tanzania hakuna hospitali za kufanya DNA?
@@littlelloyd3930 ziko nyingi Sana 2
Wee momo huna akili...
Mwanamume mzim waenda kweny media kuzungumz mambo yko na mkeo?
Kwelii upuuzi sijui wanawazaga nn hawa watu
🤣🤣🤣🤣
Si kila anaevaa suruali ni mwanaume halisi,,,,
Pole mamy 💕💕💕
Ukiwa na mawazo ingia wasafi kwasababu kunamambo yajabu hayo nimambo kifamily inakuwaje mnaweka kwenye mtandao
Wasafi media Ni habari za familia ya mond tuuuu
😂😂😂😂😂 Media ya Familia habari za familia 😂😂😂
Ni radio ya familia hii
huo esma ni malay tu na tabia mbaya jamani yani ndoa imemshinda sasa anataka kuhalibia wengune dooo ewe mungu njo maana siwezi wifi mimi siwezi kua karibu na ma wifi
Wifi wa mtu nimbanda yake ulikua aujuwi ilo ka mbali na mawifi
Yan wifi yako anaumwa, kupata muda kwenda kumuona ulikosa ila kufuatilia ela nyumban uliweza.. Aiseee wifi wenza kazi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 2021 mwaka wa wawasafi
TCRA Si waifunge na hii redio wasitusumbue
Sasa waifungie kwa kosa gani mbona we unafuatilia 😂 habari c uende TCRA ukatoe malalamiko
Hamna janga kubwa maishani kama kutokuwa na elimu ni bora uwe masikini au kipato cha kawaida ila umeenda shule . Madada wengi wa mjini kama hawa shule ndogo na ndio thinking capacity yao hii
Ulimbukeni wa kipato broo ndomaana wanahisi Tz yao
@@amanimanase5794 Yaani ni shida haswa na ukiwa na bahati mbaya ukioa mke kama huyo umekwisha.
@@kabwelasutiviraka4765 daah si mchezo broo ingekuwa wanawake wote wako kama ivi walahi acha nikose bahat ya kuwa na mke kabisa
Interview short
Iko full pia
Hii wasafi imekuwa ni redio.ya familia na tv.yao na unafiki tuu washamba wamaisha sana
Ni mwongo tuu na huyo ricardo anajua kabisa
Ulishindwa kuenda kumuona akiumwa lakini ulienda kufata pesa? Mbna Msizwa asijiandae kuja na hela ama achague azieke alete pesa atwae instead ya kuandamana nae kwake kufata hela ukijua aumwa na hukua umemtembelea kumjulia hali? Apa mnatucheza aisee.
Wasafi hii Miwani Miwani kwa TV imezindii 😁🤣
Dah mji mzito huu
Redio hz zinazungumzia umbea tu
Watanzania sijui wanapenda
Mashamsham NI umbea maana yake
Jmn dunia cmama nishuke mmetuchosha Hali ngumu mnaleta Kiki za ovyo
😁😁😁
Unashuka kituogani
😂😂😂
Esma gani Tena jamani?😂
Muongo ulishindwa kuniona mgonjwa kwenye pesa uende ww sema kweli
Sasa aache pesa zake kisa Kuna mgonjwa na ameambiwa hela ziko home
Hii familia nishida hahahaa ESMA kakataa haja toa mimba Leo Maraika anasibitisha umetoa mimba mungu awalaani mtt na mama ake
Kwa kuishi Maisha feki uku mnajisifu sio feki mko kimasilahi zaidi
Anataka kumharibia ndoa yake imemshinda
Tokaa pala we kahaba momo ana lolote Esma ni yuda ila kaongea point
Mmejipanga ila konde nyimbo itawaka tuh. Mara cyo baba yke mara esma nae na wifi yke mmmmh kiki
Hivi hamna aibu na mambo ya familia kwenye radio
Sheytwan akikushika kakushika
Kwn lazima uwasikilize.famly inamigogoro iyo
Kwa wale wapenzi wetu wanaopenda ku angalia the Story Book hii ndio account mpya ya the story book basi fanya ku subscribe video tunapost kila ijumaa asanteni
This family I can't 🤦🤦🤦
🙅hata mimi nimechoka kabisa
Ukoo wa kimjinimjini ni shida tu Bora uku bush tunaenjoy life tukikosana baadhi ya ndu wazee wambanga wanayamaliza
Ni muongo mbona haja screen shot?
Na radio ifungwe tuuuuuh haina inachofundisha kwa jamii naomba tcra tuonane chapu🤺🤺
Duuuuuu family hii ina matatizo daaaaah ujinga kira siku
Afuu me nashangaa kitu kidg hadi mtandaon sijui nini
Sasa we unafuatilia nini
Wasizwa na wanyange mnatuvurugaaa huku dai nyange huku msizwa eeeeh
Huyu Dada nimuhongo
Kumbe momo nae yupo 😂😂😂😂😂😂 dah .... mapenzi ya tz ya michoreshano na ukiangilia wote ni wasaka tonge wakina bill gates wanaachika sembuse nyie wenzangu na mm
Kwani uwifi umeisha?mbona kazi ipo
Walana wenyew kwa wenyew mimba nyingine izo
Zinakuja utaona
Lkn hyo familia ina balaa gni jmni,mama zero,watoto zero.
I guess it's quite off topic but does anyone know of a good website to watch new series online ?
@Connor Tripp Lately I have been using Flixzone. Just google for it :)
@Huxley Aydin Yea, have been watching on flixzone for months myself :D
@Huxley Aydin thanks, I signed up and it seems like they got a lot of movies there :D I appreciate it !
@Connor Tripp you are welcome xD
Msizwa kala mzigo
Hii media ingeitwa ukahaba Media
Kumbe wewe ndo uliye muambia msizwa hesma atatoa mimba
esma muuaji kashaua kiumbe anataka wenzie waliotulia nao wawe kama yey malayaa wa mbugan
Na alisema live istagramu kweli alitoa mimba alafu zamaradi alivyomuuliza anasema hapana aliongea kwa hasiraa hii familia jamanii tuiombee tu iwe na khofu ya Mungu
Familia ya hovyoo sanaa lakin yoote ji kwa sababu ya shule shule ni msaaada snaaa pesa sio kila kitu Aibu kila mtu anajieka uchi kuanzia mama adi watoto dah
Dunia simama nishuke ninunue njugu
MALAIKA huyo anajiuza huku uarabuni ni malaya tu atashindwaje kutembea na mume wa mtu
Malaika
Familia ina drama hii khaaa😂😂
Nyange family
😃😃😃😃😃Etiii nyange family
Dar hii familia kiukweli ni pasua kichwa Yan baada ya kufungiwa tv yao Sasa Kila kukicha wanatuibulia vioja ili kusudi tu wasisahaulike vichwan mwa watu
Yani nyie hamnaga habari zingine? Kila cku ni mambo ya familia tu!
Likado momo alipuuzia hii leo kimemramba
Mjamzito gani tena ??!
Hio sio kiki ya kufunika wimbo wa hamo
Kilicho nifiraisha kuona mwislam kuongelea Mambo ya Yesu kristo kuliko Muhammad akika biblia ndio Neno la kweli lsbMungu.
WANAWAKE WAKUOGOPA NA KUKAA MBALI NAO. WABAYAAA KINOMA HAO NDANI
Sasa hawa watu ni madui na esma iweje wakubali kaka yako diamond kuwa makini hawa watu wana mipango mbaya kwako
Lakini inaonyesha malaika humshirikisha momo kila kitu chake ambapo ni vizuri hawatofautiani kwenye kauli
Muda wa kufuata ela ulikuwa nao ila kwenda kumuona ulishindww
Vua miwani dada
Kwnn mambo ya familia mnaleta kwenye media make ukuna patanisho ni umbea tyu media baada ya kuleta suruhu ni umbea na nyie wanandoa mnaoleta mambo yenu humu nyote amna akili sawa sawa kila mtu ana changamoto kwenye ndoa yake wanakaa wanamaliza tofauti zao
Momo sauti kama mondi
Kweli
Ukiona manyoya... Niliacha kuamini wanawake kitambo!
Aaaaaaa Tutake radhi bwana
Toka mmetangaziwa kufungiwa basi mnahangaika na kuzalilishana ndan ya familia zenu ili tu kupata attention
Uyo Malaika atoe miwani tuone anavo babaika
Umeona eeh
Kweli ana sema urongo
Malaika uko mrembo ila uko Mnafki mume wa Esma anakutombaa sana malaya wewe momo ana mke muna leta haya nyinyi family ya dangote
Mmsameh bure nae hamjui baba yake anabandikizwatu eti nimwarabu wakati niwawahindi wa kariakoo 😂😂😂
Nacheka comet yako
Aloo haha
😃😃😃😃😃😃
Alikuwa mjamzito hahaha makubwa
Dah kazi kweli kweli
Hawa jamaaa wanahatari Sana
E
no problem na dada ni hviiiii
ndugu wa diamond ni matahira tena hamnazo kabisa kinachowastiri ni pesa tu tena kwasasa siwezi kumshabikia diamond tena hawajielewi kabisa
Wewe ni shabiki mandazi... kwani unashabikia kazi zake au unashabikia drama za familia yake?
haaaaaaah usinichekeshe mie
Kwan umemwona diamond apo au aliyeongea ujinga ni mond
@@BigZhumbe tangu wamwmkataa mzee Abdul siwakubali kwa mziki wala drama unazozungumzia
Hata kabla hukuwa shabiki wa Mondi Unajinafikia mwenyewe
Dada una fanan na bikidude 😂 alikua mama yako?
Dida una fanana na bikidude ni mama yako😂
Ww mbingu utaisikia tu😂😂😂
Freemason wameanza kuvuruga family.
Mjamzito??
Si amesema hakuwahi kua na mimba ya msizwa
Hicho ndo kino ni changanya mie pia, kwenye interview na zamaradi kasema haku wahi kushika mimba
Mbona media mambo ya familia daily
Ulijua msizwa anapesa malaya tu wewe
Hii TV saiv ni ya ukoo maana interview zote za ndugu tu mnataka ukoo mzima uwe maharufu
Hapa na pale dukani maneno yamepishana
Ricardo momo wenu kachapiwa
😁😁😁
😃😃😃😃
Upuzi mtupu
Kwani wasafi imekua patanisho
Useless kabisaaa
Uyo msizwa na wewe muke WA mutu, wote mazwazwa,, we umemwambia mwezio upo busy, amekuomba ukamjulie Hali anaumwa, we ungesema upo busy, harafu unaenda home kwake,!🤔
KUNA LAANA KATIKA FAMILIA YA MAMA D.MAMBO YAO NI MATUKIO YA AJABU AJABU.WANAHITAJI MAOMBI
Sanaaa
Momo ametoa mahari lakini?😂😂😂😂😂
Mahari si swalaaa tuu😃😃
Acheni drama mikundu nyie mwataka muwatoe watu kwenye inshu ya ma dangote ya ukahaba mwatuketea mambo ya msinzwa
Kiki za ujinga..
mambo mengiiii daah , family imejaa balaa, im losing interest.
Redio ya kipuuzi sana hii ....ujingaaaa mtupu
Sam onaukiro acha uchoko wewe icho ni kipindi na wapo wenye interest nacho kukifatilia ivyo Kama unaona hakikupi Mambo unayotaka wewe pita kushoto kasikilize tbc mbona ipo unafata Nini uku punguza shobo
@@albertkadyanji9722 sawa shoga la wasafi nimekuelewa matako ww na redio ya famil
@@samonaukiro4391 choko wewe unaonekana mwanaume sio ridhiki wewe wanaume wa shoka hatuna kodi hizo choko fresh wewe
FAMILIA YOTE MALAYA😆😆😆😅