WANANCHI Wachanganyikiwa na HOTUBA ya MAGUFULI , Wajuta Wamuomba MSAMAHA...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 มิ.ย. 2020
- WANANCHI Wachanganyikiwa na HOTUBA ya MAGUFULI , Wajuta Wamuomba MSAMAHA...
Baada ya Rais Magufuli kuhutubia na Kulivunja Bunge leo Juni 16, Wananchi wametoa Maoni yao juu ya ya hotuba hiyo....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Raisi magufuli haitaji kampeni.kura yangu nilishampatia kitambo sana .wanaoniunga mkono likes hapa👇tujuane
Hongera magufuli. Mimi naishi ulaya. Juzi tulikua tunakikao kazini. Wazungu wakawa wanamuongelea magufuli. Wakawa wanasema.waafrika kama wanaakili wamshikilie huyo rais kwa mikono 2 ataikomboa afrika vile anasema itakua kama ulaya ni kweli .wazungu wenyewe wanamfagilia.
Safi tunaelewa Sana'a
Usidanganywe kabisa. Hakuna mzungu anaependa maendeleo ya Afrika. Ndio maana akitikea kiongozi mwenye upeo wa kuona mbali atapigwa vita na kutafutiwa visa. Angalia kilichotokea Libya, Egypt n.k
Mkuu uko ulaya nchi gani??
Watakwambia hivyo hapo usoni. Kwani Afrika ikiendelea wao wanafaidika nini?. Mbinu zao zinafuniliwa taratibu tuu, tuendelee kusali kwa Mungu wetu
Wa Tanzania 🇹🇿 wame anza kujitambua sasa asante sana Rais John Pombe Magufuli Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu endelea kuongoza Nchi yetu ha miaka 💯
MAGUFULI NI RAIS WA KIKWELIKWELI UMPENDE UMCHUKIE HISTORIA ITAJIANDIKA YENYEWE.
Mungu ni mwaminifu wakati wote,Mungu ibariki Tanzania,Mungu tupe afya njema tushuhudie maono makubwa
Kabsaaaa kuna nguvu ndan yake viva JPM vivaaaa
Tanzania wenye akili ni wengi Sana, safi sana JPM juuuuuuuu
Huyu ni baba yetu nampenda Sana mungu akupe maisha marefu miaka ,1000
Naamini wapinzani wanakufa na tai shingoni, ila nawashauri kuwa “kheri lawama kuliko fedheha”;watamke tu kuwa MAGUFULI BABA LAO🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Mwaka huuu kuna watu wataaibika baada ya kura kupigwa
Awa wanangoja akitoka madarakani utaskia alikua the best we subiri tuu
Mimi nishatamka kuwa magufuli baba lao next time kura yangu haipotei Tena
🤣🤣🤣🤣👌wambie watarudi tu aibu wanayo mbowe bado anapata ya hangover
Magufuli,hongera,Rais wa Wanyonge,
Heri ungekuwa huku kwetu Kenya..Nakupenda bure.
Najua wakenya mnamuitaji Sana'a pamoja muombeni mungu atawapaa
Heri nihamie tu Tanzania
@@dianaanyova4026 hbr
Actually, nawapenda sana wakenya kama wewe. Tupendane tu coz hakuna anayeishi peponi kati yetu
Mie sio CCM lakini kwa jpm aedelee kuongoza hata miaka kumi 10 Tena sifikirii kama tutapata Rais kama makufuli Tena
Ww ni mzalendo kwanza sio ccm lkn umeongea vyema mpendwa
Nimewasikiliza watu mnaojitambuwa Asante sana.
Daaah! It amazing. Kwanza watu wanavyo chambua mambo ya rais magufuli. Mpaka raha yaani. Jamaa kasema. ' anajilaumu kwanini hakumpa kura'🤣
Sio endapo tutamchagua achaguliwe asichaguliwe lazima aongoze hakna mjadala atakaye mkwamisha atakwamishwa
Hakuna mwingine ni magufuli
Wapinzani uchwara kina zitto na genge lake wapate salam
Huyu jamaa akae tu km Mugabe
Ni bora magufuli aongoze tanzania hadi mwisho wa dunia mana huyu mtu ni talent sana congratulation baba lao JPM
Hongereni sana Watanzania kwa kuwa na Rais mcha Mungu, mshukuruni Mungu.
Wadugu zangu wa tazania mm siko mtazania ila kwa raisi JPM na mm na mkubali
Anafanya kaz nzur kaka
Naomba watu tusiishie tu kumsifia JPM. Naomba twende tukampigie kura hiyo October.
The Best President ever in this world, full of purity in His heart
The best president?? ame create ajira ngapi kwa wananchi walio wasomi na wasio wasomi!! na je walioajiriwa ktk mashirika binafsi wametetewa je coz tunajua wanafanya kazi ktk viwanda hali zao ni duni sn na wala hawana mikataba wengi wao, ss unaposema ni raisi bora hebu jaribu kujustify msiendeshwe na media kumpamba mtu ilihali watu wana hali mbaya but wanahofia kuongea tatizo kubwa pia la watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kuelewa mambo huwezi kusema ni raisi bora wakati watu still wana hali mbaya
Acheni mungu aitwe mungu.kuna nguvu ndani yk magufuli,mie kula yangu haikupotea.Hakiyamungu nilihisi tu aataiweka Ichi yetu vizuri .naleo tunashuhidia .kwakweli tumshukuru mungu,nakumuombea dua njema.Nakupenda mno rais wangu kipenzi.
Jpm 100%
Magufuli MUNGU AKULINDE
Amiin
kweli huyu ni raid was watu kabisa kabisa nikipata fursa ningekata nauli nine nimupigie kura ,nirundi kwetu Kenya tena .hongera raisi mafukuli.!!!
Una rais anautubia masaa mawili bila kusoma yote yapo kichwani hadi namba za samaki waliopo baharini na ziwani.
Naona aibu, najisikia vibaya kwanini sikumpa kura yangu enzi za mabadiliko. Inamaana sikuyaona mabadiliko ya nchi yangu yapo wapi??? 😟😟😟😞. Rais Magufuli nisamehe sana. Mwaka huu sitofanya makosa lazima upite kwa kishindo. Unatujali sana Raia wako. Unatupenda mno na sisi tunakupenda Dad.
Chadema kwisha habari yake .mpaka watu wa chuga wamemkubali jpm mambo ni motoooooo
Kma uko pamoja na mawazo yangu gonga like twende pmja
Ila hongera Sana KWA kuwa Rais makini kura yangu nitakupa si lazima unilipe kitu Amani ya nchi yatosha kuwa malipo tuhangaikie kazi tz tumekosa ajira baba
Watu wa arusha mmenifurahisha sana yaani rais wetu Mungu akubariki sana watu wa ar umetufurahisha sana kura za nďio baba huna mpinzani hao wengine wanachechemea tu
Hakika tuna takiwa tumshukuru sanaaa Mungu kwa kutupa Rais mwenye weledi na upeo wa hali ya juu.Naomba tumpe miaka mingine mitano atufanyie mambo makubwa zaidi katika jina la Yesu Kristo wa Nazareti,Mungu aendelee kumlinda na kumpigania
Sijaona raise wa kumfananisha na JPMdunia mzima MNGU akubaliki
Kiukweli kwenye Dini kwenye serkali kwa ninaowajua mm mungu hajawahi kutujalia anayefana a na magufuli yani kila jambo alilolifanya naiona ni kubwa mno sioni Hata dogo nikitafakari amepata wapi hakili ya kufanya pesa za sherehe ya uhuru zitumike kujenga taifa badili ya Kula watu wachache Nashangaa nikitafakari anaweza je kupambana na wazungu wanaomzidi kila kitu pesa mabunduki kwaajili ya chawote wa tz na shangaa eee yani anatupenda anatupenda mno ajabu
Ivo ni raisi gani kama magu?.magufuli uko juu. Mzee huna haja ya kumaliza pesa kwenye kampeni. Umepita subili tu kaapishwa.
No one like JPM in the word safii akunaga
Huyu ni Elia Joseph nnayemjua au
nngemwomba mheshimiwa Rais asizunguke kuomba kura sisi Watanzania Mzee ni Msomi kuliko wote Duniani maana anatuaminisha kwa Mungu
Viva magu vivaaa
Apewe 100 kwa 100 Niko kenya
Msijute 2020 mpeni kura zenu ni rais mzuri sana tujivunie tumchague magufuli kwa kishindo kikubwa
Huyo ndo raix wetu John uko juu
Mm ni Abdillahi Salim.kutoka Mombasa Kenya. Niko naswali. Jee naweza kumpigia kura raisi MAGUFULI?
Bro tunashukuru kwa upendo wako. Bahati mbaya haitawezekana, but we love you KENYANS
Hata Mimi najuta huyu Rais amefanya makibwa
Mungu ibariki Tanzania ,Mungu wabarik viongozi wetu
Kweli kabisa. Kaka Acha mungu aitwe mungu kiukweli hata mm 2015 nilikua sipo tz kwahiyo siku chagua pia ktk watu wa serikali nilikua sijui mtu aitwae magufuli lkn baada ya uchaguzi nilichungulia tz nilipo oona aliyeshinda ni CCM ingawa siku jua nilikasilika sana lkn kumbe mawazo anayotuwazia mungu ni mawazo ya amani wala sia mabaya nawashukuru wote waliyoongozwa kumchagua jpm wakati huo
Najuuta kutokumchagua JPM, naumia sana mpaka chozi linanitoka.Sifanyi upuuzi tena.
JPM Jembe
Hongera jpm
Mimi nilimpa kulangu kwiukweli sikukosea kumpa
Kula ni kula chakula sema kura
Kura yangu haikwenda bure
Jamani kwa nini asitawale moja kwa moja
Haiwezekani
Tubalisheni katiba afanye Kama robati Mugabe. Nazani uchumi wetu tunaweza kuishinda sauzi na naijeria tukawa wa kwanza afrika
Mwaka 2015 kurayangu haikupotea,pia namwakahuu 2020 haitapoea kamweeeeeeeee!
Ntapiga kula kwa jpm mapema sana
Safi Sana'a chukua hatuaa
MAGUFULI BABA LAO kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿
Wapinzani ikiwa mtaendesha siasa za ustaarabu na mkiwa wazalendo wakati wa furaha hamtakuwa na fadhaa.
Diamond Geyser point sana kiongozi
Hebu mturuhusu na sisi wakaao chiii za ije tumuchague .
Hahahaha umenichekesha
Irankunda Sedrique :Kama wewe ni raia wa Tanzania, unaenda ubalozini wa chi uliyopo kwenda kupiga kura
😃 aah nyie mtamuibaa
Chuma letu
Asante asante! Huyo ndiye jpm mtumishi wa Mungu
JPM baba lao👏👏👏👏
Nina nenepa niposikia hayo maneno kijiweni kwetu nilipigwa nikimtetea magufuli leo nikifika kijiweni naitwa profesa wa siasa
😂😂😂😂
Najivunia utanzania kumpata jpm
Heshima katujengea tunaenda kifua mbele
JPM ni hatari....tambueni, tumuelewe ili hata tukiona anafaa kukaa zaidi ya miaka kumi tujue kwa nini tunafanya hivyo! Tutengeneze utaratibu wetu tu!
Huyu JPM lazima apate bonus ya miaka mingine mi5 ili atusogeze kidogo kisha ndo astaafu, katiba sio msaafu, kwanza zipo nchi zinaongozwa bila katiba na zinakimbia kiuchumi.
Katiba ni mawazo yetu tukiamua inawezekana
Sio aongeze mitano peke. Ni andele mpka amri ya Allah utakapo kuja kumchukuwa roho yake. Hakuna kusataafu. Hata bba wanyumba huendekeza uwongozi wa family yke mpka kufariki. Xx yy ni baba wanchi asiwache mke na watto wakafedheheka.
Ata 20
Mungu ni mwema
Mungu ambariki huyu dingii
Mheshimiwa jpm tunakukubali hakika tumeamini tuna Jembe toka chato Zaidi ya askofu
Huyo ndie mzee baba
Huyu mwamba anaeitwa Magufuli Anabalaa, alipoizima corona kibabe nimemkubali,me namuelewa
Yani nacheka sana nikiona eti kina Msigwa ndio wanataka kuwa Raisi yani kwa ufupi upinzani umeishiwa
Asante Mungu kwa ajili ya Rais wetu.
JPM ni baba lao. Mungu aendelee kumlinda dhindi ya maadui wa ndani na nje. Atatufikisha mbali
Hakuna Kama Magufuri, anaebeza shughuri alizofanya ni msaliti na sio mzalendo. Mungu ampe maisha mema na matefu
Mm nasema ya moyoni mwangu kuwa asiwazidishie mishahara wafanyakazi ila awajiri waliokuwa Hawana kazi kwani tupo wengi mtani tunazuga zuga baba litizame Sana hili
Mc nguli upo vizuri mkuu wangu God bless you
Magufuli safiiiiiii kabisa wewe ndiye tuliekusubili
Safi sana.
Safi
Kenyans watch out. We may not be the largest economy in the region in a few years time if we continue burying our heads in the sand.
Magufuli baba lao Mungu aendelee kukutetea baba angu
Ndio jpm wangu
Hapa kaz tuu
Hadi machozi yananilenga
Siyo wewe tu kaka
@@habibmohamed4766 tuzid kumuombea tu huyu Mzee maana hatuna cha kumlipa
😥
Kufanya kosa sio kosa, kosa nikurudia kosa. Oct 2020 mpigie kura ya ndio JPM.
Sìna cha kusema bali nashukuru mungu kwa kukuleta wakati unaokubarika Raisi wangu usiogope mungu yuko nawe usiku na mchana🙏
Ni Raisi wa Dunia kweli. Umesema kinachotokea moyoni
Tahadhari: Raisi wetu ni Raisi wa kujivunia lakini tusimpe sifa za unabii Tukajitia matatizoni
Kula YANGU haikwenda bule nilichagua jembe hongera sana Raisi wangu MUNGU Akulinde
JPM umetisha sana RAIS wangu
Oooyooooo piga kelele kwa raisi wetuuuu ,chezea anko magu ww nakuombea uishi miaka mingi kwanza tunaendelea kupiga kura za nn wakati tunamkombozi wetu hakuna kama magufuli ....
Chadema kwishaaa
Kama Arusha wanasema hivi , kuna nini tena ???
Mbona cc majirani zenu twawaonea wivu mzuri tuu. Atakua rais wakwanza kushinda bila kampeni kwani hahitaji aliyofanya yanaonekana ni mchapa kazi na nyinyi ni watu wakutumia bongo sio vibaraka wa wamagharibi kama cc. Peace be with you guys but pray for US too
In Sha Allah Atawajaalieni mnachokitaka. Sisi hatujafika 100% but we are trying, Alhamdulillah
In fact yaaan kama ndugu zangu wa Arusha mnakubali rais magufuli , basi naamini huu mwaka atapata asimilia nyingi sana kunako uchuguzi. Maana watu wa Arusha mlikua upande wa mlengo wa kushoto miaka ming. Nimefurahi kwakweli. JPM ni rais wa dunia kwa Sasa.
Arusha ccm oyeee.
Aise chuga mmemkubali magu basi mwaka. Huu 💯 anazo
MUNGU ibariki Tanzania bairiki Rais wetu
Akimaliza tz aje Kenya
😂😂😂😂
Aisee
Ni kweli yasemwayo..t unakupenda rais wetu..naye pia anatupenda..mzalendo
Simba wa TZ
Magufuli ni raisi ambae anazungumzwa katika vyombo vya habari vya dunia,hususan kuhusu papai kuwa na Corona.
Wapinzan mnakufa na tai shingon ,awamu hii sidhani kama mtapata hata madiwan .
Mimi nipo Marekani, Yani watu tunashangaa jinsi raisi anavyofanya miradi mingi kwa muda mufupi sana kama sgr, ndege, bwawa rufiji, hosipital na flyovers me nashauri asizunguke kupiga kampein, aombe tu kura kupitia tv na redio kama juzi alivyofunga bunge, watu wote watasikia sera zake
Wewe ndo una akili sana. Hongera sana. Sio kama Mange kima, na wapinzani wenzake. Kila siku kupinga tu
Ila magufuli hakuna wakufananishwa naye ni mtu wa pekee duniani mungu ambariki nampenda sana my precedent
Safi sana jpm
Watanzania tujiukize Nani kamleta magufuli CNA Malibu nampenda sana raise yangu
Hata mimi siishi bongo ila JPM ningekuwa m bongo kura yangu ingekuwa kwake kabisa hana ata wa pili wake nazhani pia mwaka huu atajiongeza muhula wake wapili na pia atatekeleza iyo njia ya treni ya kisasa itafika mpaka uku kwetu Bujumbura kama jinsi alivyovitamka ajili ni mtu ambaye anatenda sio kutamka tu
Magufuli ni DUMEeee mpeni kura vijana
Kula yangu iko poa kwako
Kweli mwaka huu hakuna campeni, magufuli baba lao!.