Darassa: Nimechoka / Hatutaki Watu WAKUWE, Wapate Nafasi, Wafanye wanchofanya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Interview ya #Darassa kwenye #ThePlaylist Times FM na #LilOmmy ameongea mengi kuhusu kukaa kwake kimya kwa muda mrefu na mengi kuhusu muziki wake!
    Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp, Facebook au Twitter.
    Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
    / lilommy
    / lilommy
    www.lilommy.com
    for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea www.lilOmmy.com

ความคิดเห็น • 32

  • @mortishavida2273
    @mortishavida2273 6 ปีที่แล้ว

    Darassa asante kwa kurudi kwenye game mzee! nakupenda sana. na umeongea ukweli kabisa"Ngwea" hakupewa heshima wakati wauhai wake kabisa.

  • @mvungigaming
    @mvungigaming 6 ปีที่แล้ว +2

    Class eeeh!!

  • @maitharobert6833
    @maitharobert6833 6 ปีที่แล้ว

    Bongo Kuna watu nishawapenda Sana kiuhalisia. Kwenye music ilikuwa Ngwair na since Darassa nikujue bro....nilikuwa fan number moja Wako toka wimbo Wako WA kwanza kuuisikiliza.....pia nimefurahi venye mmemuongelea Tupac Shakur 'Makaveli'. His art and intelligence lives forever. Nakuombea bro Darassa ueke hiyo legacy ya Tupac. Me mpaka Leo najua hakuna Rapper mkali kumliko. Darassa wee ndio Tupac wetu hapa Africa. Kaaza kamba bro

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 6 ปีที่แล้ว

    welcome back mkubwa wa kuchana. you were missed too much

  • @princehancesam9892
    @princehancesam9892 6 ปีที่แล้ว +4

    #lilommy tv noma

  • @millardyleonardy9766
    @millardyleonardy9766 6 ปีที่แล้ว

    MVP kizaziii Sanaaahh

  • @sixsix9251
    @sixsix9251 6 ปีที่แล้ว +2

    wcb 4rever...wcb 4 life

  • @tahrinkessy7119
    @tahrinkessy7119 6 ปีที่แล้ว

    Good 😍

  • @johnmwangi2435
    @johnmwangi2435 6 ปีที่แล้ว

    Nice show

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 6 ปีที่แล้ว +3

    LilOmmy Tv
    Mshauli huyu Jamaa
    Astumie madawa yatammaliza

  • @ndenzakokalenzo2158
    @ndenzakokalenzo2158 6 ปีที่แล้ว +6

    Darassa anajielewa na pia kichwa kimetulia kuliko wasanii wote Tz.just mtazamo wangu🏗

  • @bwanaafyasmart342
    @bwanaafyasmart342 6 ปีที่แล้ว +1

    👍👍

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 6 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 6 ปีที่แล้ว

    hapana tatizo, ukiamua kukaa kimya ili utengeneze mazingira yalokua yakikupa changa moto,
    pia sawa, darassa hasauliki mtaani

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 6 ปีที่แล้ว

    Pambn sana darassa bdo tunakuitji

  • @rashidsaid2697
    @rashidsaid2697 6 ปีที่แล้ว +4

    Wasanii wengi wanatoa nyimbo kwa kupaniki co ubunifu wa kvutia.bora ata killer aniangushagi.mpeni pasi killer

  • @thmbyntomby3275
    @thmbyntomby3275 6 ปีที่แล้ว

    Ulinyonywa mzee

  • @reymavahicha6014
    @reymavahicha6014 6 ปีที่แล้ว +3

    hajawah feliii namkubalii mieee

  • @talazain1017
    @talazain1017 6 ปีที่แล้ว +3

    We

  • @WentExtinct
    @WentExtinct 6 ปีที่แล้ว

    Huyu sio darasa wamemfanyia cloning

  • @youngkiller1410
    @youngkiller1410 5 ปีที่แล้ว +1

    The people is smoking

  • @malimanyanja4248
    @malimanyanja4248 6 ปีที่แล้ว +4

    Kama unagali lako unaitaji fundi waya nicheki 0767319257

  • @sixsix9251
    @sixsix9251 6 ปีที่แล้ว

    we mteja tu

  • @kasepatv
    @kasepatv 6 ปีที่แล้ว +1

    MUVI Kali iliyo tafsiriwa KISWAHILI bofya bluu- th-cam.com/video/_TPLxg7Pd_Q/w-d-xo.html ll

  • @hakunamatata8065
    @hakunamatata8065 6 ปีที่แล้ว

    Jamaa kweli kijugu check sura ilivyonyauka unga kweli haujawai kumuweka mtu salama 🤔🤔

  • @omarymandengule8367
    @omarymandengule8367 6 ปีที่แล้ว

    unga sio poa chek alivyo konda

  • @jumamkongowe9046
    @jumamkongowe9046 6 ปีที่แล้ว

    Dalasa tatizo lako unakopi cn

    • @erickfestor4542
      @erickfestor4542 6 ปีที่แล้ว

      wewe hata kuandika jina lake hujui alafu umeona alipokosea. ???

    • @mortishavida2273
      @mortishavida2273 6 ปีที่แล้ว

      Juma Mkongowe anakopi sana? alishawahi kukopi Nani?