Hapa comment ni chache. Inadhihirisha jinsi ibilisi ameteka fikira za watu ktk mitandao. Ingekuwa mambo ya uasi comments zingekuwa nyingi sana hapa. Hapa shetani hawezi kujifitini maana unamfunua hila na mbinu zake. Mungu akupe neema ya kutufikia na sisi tunaekuhitaji sana utufundishe namna ya kujinasua na kabali alizotukwida na kuendelea kututesa ili tumsujudie. Kwa maarifa haya hasujudu MTU hapa yeye akae sawa maana kabali itamkwida mwenyewe si muda mrefu, Haleluya. Anatuchosha sana lkn tutamshinda. Ubarikiwe dada Grace!
Mungu nisaidie nimeota ndoto mara nyingi na inarudia mara mbili kuna mda na sali kunamda na puuzia Asante Mungu kwaku nifungua sintapuuzia tena
Amen mtumishi wa Mungu akubariki
Hapa comment ni chache. Inadhihirisha jinsi ibilisi ameteka fikira za watu ktk mitandao. Ingekuwa mambo ya uasi comments zingekuwa nyingi sana hapa. Hapa shetani hawezi kujifitini maana unamfunua hila na mbinu zake.
Mungu akupe neema ya kutufikia na sisi tunaekuhitaji sana utufundishe namna ya kujinasua na kabali alizotukwida na kuendelea kututesa ili tumsujudie.
Kwa maarifa haya hasujudu MTU hapa yeye akae sawa maana kabali itamkwida mwenyewe si muda mrefu, Haleluya. Anatuchosha sana lkn tutamshinda.
Ubarikiwe dada Grace!
Ubarikiwe mwalimu
Thank you Jesus for the word.iam blessed.thank you woman of God ,il always pray whenever I dream.iam not gonna tire but il pray continuously
Ubarikiwe na Bwana mwl. Asante kwa mafundisho sitapuuzia tena ndoto. Mungu anisaidie
Ahsante Sana Mungu akubariki Upeo Mtumishi wa Bwana Mwl Grace.Mungu atuwezeshe kupambana Daima.
Ubarikiwe sana mama
Amina, ubarikiwe mwalimu
Amen Amen Amen ubarikiwee mwl
Be blessed mwalimu somo mazuri mungu ni mwema kila wakati
Shalom mwalimu nisaidie Mimi nimuombaji lakini Sasa siwezi kuomba tena naumia
Amen
Pp