STEVE MWEUSI AMLIPUA CLAM VEVO '' HAWEZI KUWA NA BILLION 2/ IHEFU WAMEMZOEA YANGA'' / CLAM NI MUONGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Baada ya msanii wa maigizo nchini Clam vevo kufunguka kupitia kipindi cha Clouds Fm kinachoitwa XXL kuwa tangu ameanza kutumia TH-cam Channel yake mpaka sasa ameingiza Billion 2, rafiki yake wa karibu Steve Mweusi amefunguka ndani ya Mpenja tv kwa kusema kuwa hakuna ukweli kwenye hilo kwani yeye anajua kuhusu mapato na amempita Jumla ya watazamaji TH-cam hivyo sio kweli
    Aidha Steve Mweusi amefunguka kuwa anafanya mawasiliano na Golikipa wa timu ya Yanga Djgui Diara anatumiana nae ujumbe kutumia mitandao ya kijamii

ความคิดเห็น • 413

  • @KafrogyPep
    @KafrogyPep ปีที่แล้ว +193

    Huyu Jamaa anajitambua na anaheshimu Wote .. Hana muda wa Kuongelea wenzake.. Kazi zake zinatembea bila kuforce wala kuongeza sufuri.. Legend 🙌🏾👊🏾

  • @MswadikoMudathiru-q9g
    @MswadikoMudathiru-q9g 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukwel mimi steve mweu namkubali. Afu Mungu kamjalia mambo meng kwanza anamtanguliza Mungu kwenye mambo yako,pili hana majigambo yaan kujigamba afu la tatu na la mwisho hapendi kuyajadili mambo ya mtu mwingine anajali mambo yake. nakupenda sana steve japo mimi mwanaume mwenzio ila nimekunoki ongeza vitu jamaa angu kama vp niahirikishe hata mie nipo mwanza nataman sana nikuone ama niunge kwenye genge lako...

  • @macklineremmanuel1742
    @macklineremmanuel1742 ปีที่แล้ว +60

    Uko vizuri ndugu yangu Steve unajua maisha Sana, Mungu akusaidie zaidi✝️🙏

  • @BiddazTz
    @BiddazTz ปีที่แล้ว +44

    Kiukweli Steve kanenaa hata akipata tatizo unaweza kumchangia chochote kitu lkn hawa matapeli wanaosema wana B.l2 siku wakilata ttz watu wanashindwa kuwasaidia kwa 7bu wanaongeza sifuri mbele wanaect maisha Steve hongera🙌💪🔥🔥

  • @georgeslupopo6215
    @georgeslupopo6215 ปีที่แล้ว +22

    Uyu jama iko tofauti, nimwenye hekima fulani, natokea kumupenda zaidi , kwamwisho nimependa pale alipo sema '' mimi ni Steven Moïse nime OKOKA'' njomana uko mwenye hekima ndugu yangu sababu umeokoka. Nous t'aimons énormément frère, Que Dieu te bénisse, depuis la République démocratique du Congo 🇨🇩🇨🇩

  • @HassanMohamed-wg2ik
    @HassanMohamed-wg2ik ปีที่แล้ว +29

    Steve kweli umeongea point kaka ,kuishi maisha yako halisi inapendeza sana

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 ปีที่แล้ว +25

    Aiseeee Sikuwah Kujua Huyu Jamaa Ni Smart Saaaana .... Very Matured And Smart ,Na Naamini Vijana Wengi Wa Comedy Wamepitia Kwake Na Bado wanasaidiwa Na Yeye

  • @simaovirgiliodunia3947
    @simaovirgiliodunia3947 ปีที่แล้ว +17

    Yani Steve ni mmwelewa sana, na ninamini uyu kweli anamtegemeya mwenhyezi mungu🙏, kwaiyo anaitaji sana sapot zetu Ili asichoke kutuleteya ilimu mzuri kupitia komedy❤❤❤❤❤

  • @deogratiasbav
    @deogratiasbav ปีที่แล้ว +33

    Steve Anajitambuwa sana.heshima kwako karibu Gitega Bdi

    • @abdallahmbonabona8860
      @abdallahmbonabona8860 ปีที่แล้ว

      Unamuarifu Gitega uce umushikana mu Gishora atamba ingoma?

  • @MustafaAdrianoTadeu-w6y
    @MustafaAdrianoTadeu-w6y ปีที่แล้ว +34

    Steve wew unakili sana unakuja kujibu hata aujisifu natokea Moçambique namkubali sana

  • @dr.peterofficial6390
    @dr.peterofficial6390 ปีที่แล้ว +21

    Atakuketisha na wakuu safi sana Steve kwa kumuweka Mungu mbele

  • @ZDZ.COMPANY.LIMITED
    @ZDZ.COMPANY.LIMITED ปีที่แล้ว +23

    Lijamaa linaongea likiwa limetulia sana nakukubali steven

  • @fd..dangote...6lack72
    @fd..dangote...6lack72 ปีที่แล้ว +8

    Nakubal stev mweusi bro huwa mkwl san big up bro

  • @manutheejungle2678
    @manutheejungle2678 ปีที่แล้ว +31

    Watching from Kenya,,,I like the way mweusi is answering the questions, he's the only comedian am watching in from Tanzania

  • @swaggaboy-ro7zt
    @swaggaboy-ro7zt ปีที่แล้ว +13

    Bro nakukubali xana umeongea point watoto hawajui maisha endelea kuwapa elimu

  • @abdallahmwanga5792
    @abdallahmwanga5792 ปีที่แล้ว +17

    Nakuelewa sana ndg yangu Steve,long life to you....😂😂😂

  • @LindaMbilinyi-p8s
    @LindaMbilinyi-p8s ปีที่แล้ว +8

    Tatizo la clam ni sifa na ulimbukeni Ila Kuna siku utamponza,,hongera stev kwa kujitambua

  • @JamesOscar-k6p
    @JamesOscar-k6p ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali xana mwanangu Steve Huna mambo ya kumuongelea mtu mungu akujalie uwe hvo

  • @FatmaMuhammad-f5t
    @FatmaMuhammad-f5t ปีที่แล้ว +3

    Hamzidi clam kiuchekeshaji

  • @TWAGIRAYEZUJackson
    @TWAGIRAYEZUJackson ปีที่แล้ว +43

    Kiukweli Steve nakukubali mno.maana maisha unayajua sana

  • @SuleimanSalim-q9j
    @SuleimanSalim-q9j ปีที่แล้ว +16

    Anajiita mweusi steve big up broo mbna nakukubali xan much love from us

  • @CrideGarden
    @CrideGarden 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sema jamaa ni mkwel sana steve congratulations brother ❤

  • @HassanAbbas-lb9jx
    @HassanAbbas-lb9jx ปีที่แล้ว +22

    Stive unayajua maisha uwemshauri kwa sisi

  • @PauloCharicha-xp5hy
    @PauloCharicha-xp5hy ปีที่แล้ว +12

    Bloo unajuw kuongea na Medea kiukwel you are my favorite comedian

  • @DoublevisionTVKE
    @DoublevisionTVKE ปีที่แล้ว +38

    This man is very wise. He speaks when necessary and he fights to keep his personal life private. He is a Wise man

  • @flaviejuliusanney2823
    @flaviejuliusanney2823 ปีที่แล้ว +6

    Safi sana Steve mweusi, uko na hekima sana!
    ..big up bro be blessed

  • @Amourharoub-rf1tc
    @Amourharoub-rf1tc ปีที่แล้ว +19

    Safi sana Steve mpe elimu bwanamdogo ache kujitapa mm namini hata milioni kumi hafikishi😊

  • @NzeyimanaFrancis
    @NzeyimanaFrancis ปีที่แล้ว +4

    Tumusapoti ndugu yetu Steve we love you in Burundi 🇧🇮

  • @MoiseCristia
    @MoiseCristia 7 หลายเดือนก่อน +1

    Una juwa ongeya kweli ndugu yangu Steven. Suis congolais.

  • @DanielWillison-fd6ql
    @DanielWillison-fd6ql ปีที่แล้ว +7

    Kaka upo vizuri xana steve nakuombea ufanikiwe zaidi

  • @jemimamachimo7506
    @jemimamachimo7506 ปีที่แล้ว +5

    Utafika mbali Kaka, Mungu akupe maisha marefu saaaana tuendlee kujifunza vijaana

  • @Humble-m-2tk
    @Humble-m-2tk 5 หลายเดือนก่อน

    Haaaa Asante sana Steve nifuraha kubwa kufatilia kipindi cako alafu naskia unataja mchezaji wetu Ntibazonkiza🇧🇮🇧🇮🇧🇮💕👌

  • @GloryNdanshau
    @GloryNdanshau ปีที่แล้ว +4

    Yaan nmkubali san uyu kak alfu pia anajua maisha ni nin😍Mungu Akuzidishie ya kadri uombavy🙏

  • @officialjoakim3555
    @officialjoakim3555 ปีที่แล้ว +8

    Interview nzr sema Steve nilichoona auitaji kujikuza Sana Ni Mambo mazur big up bro.

  • @SophlaJackson-nt1nc
    @SophlaJackson-nt1nc ปีที่แล้ว +15

    Daa steve MUNGU aku baliki huna sifa 🙏🙏🙏

  • @Humble-m-2tk
    @Humble-m-2tk 5 หลายเดือนก่อน

    Steve uko vizuli sana na mimi pia ni fan wako kutoka Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮💕💕👌

  • @JenniferKasaba-uz6xz
    @JenniferKasaba-uz6xz ปีที่แล้ว +3

    🎉🎉chukuwa mauwa yako kabla hujafa Mungu akupe maisha malefu huna baya.

  • @chrisieMD
    @chrisieMD ปีที่แล้ว +16

    Steve uko vizuri man keep it up

  • @NGUNGUNISYAIE
    @NGUNGUNISYAIE ปีที่แล้ว +18

    Steve mwenye akili sana na pia naweza penda kuiga muenendo wake...love from Kenya artist 👌👌👌

  • @kelymbilinyi2274
    @kelymbilinyi2274 ปีที่แล้ว +9

    Dah mshikaji yupo very simple hongera

  • @jenvonmumbere5943
    @jenvonmumbere5943 ปีที่แล้ว +3

    Mimi ni mcongomani nasema stivu ata jaza goma na bukavu aaadi Lubumbashi 🎉🎉❤❤

  • @Bad7official-tz1pv
    @Bad7official-tz1pv ปีที่แล้ว +11

    Katavi stend up uko xahihi broh🌹🌹🌹

  • @JustineChristopher-t7u
    @JustineChristopher-t7u ปีที่แล้ว +4

    Sikuwahi kukufata but umenishawishi steve. You are the best. May God double for you

    • @albertkatuga2434
      @albertkatuga2434 ปีที่แล้ว

      Natafuta comment yenye kupinga alichokiongea lakini sioni hata moja

    • @muksinjuma4685
      @muksinjuma4685 ปีที่แล้ว

      ​@@albertkatuga2434hautopata me nimeshindwa sijaipata😂

  • @mussahosseni8229
    @mussahosseni8229 ปีที่แล้ว +17

    Safi sana steve huna baya kakaaa humsemagi m2 kakaaaa tukupe maua yako kakaaa

  • @irfanabdi8877
    @irfanabdi8877 ปีที่แล้ว +28

    Safi sana Steve kwa kua mkweli na Hali unayoishi

  • @pontianekakoro1737
    @pontianekakoro1737 ปีที่แล้ว +1

    This man is very wise and modest i have come to respect him very very much. Msanii wasioongelea wengine ni wachache sana. Mola ambariki sana na kazi yake daima na milele

  • @mtanganyika-films
    @mtanganyika-films ปีที่แล้ว +1

    Wanakutukana sana lakin shabiki zako hatuhami . Steve unajitambua bro 💪💪

  • @patrickmusyokipaul7824
    @patrickmusyokipaul7824 ปีที่แล้ว +6

    Big up ndugu Steve, you're so humble

  • @SamuelMwendwa-d9m
    @SamuelMwendwa-d9m ปีที่แล้ว +11

    Steve madze napenda lifestyle ako bro,,,hujigambi aisee

  • @CarlosHenriquesNankodya-nl5ps
    @CarlosHenriquesNankodya-nl5ps ปีที่แล้ว +13

    Steve nakukubali ndugu yangu kazi njema mungu akuliki🙏
    MOZ 🇲🇿

  • @RashidJuma-de7zg
    @RashidJuma-de7zg ปีที่แล้ว +3

    Tatzo Clam anapenda brand sana alaf utoto unamsumbua mdogo wetu yule mwachen2 au mpuuzien cz hafikirii kuhusu future😢

  • @BensonDaud-mk3ri
    @BensonDaud-mk3ri ปีที่แล้ว

    Nikajuaga huyu jamaa ni dishi kweli,,, kumbe mmmh jamaa Lina hekima sana hili mungu amzidishie... Msalimie Hamad kijicho

  • @Igweezysirleem
    @Igweezysirleem ปีที่แล้ว +18

    Steve mweusi Ako very humble

  • @NaduJiii
    @NaduJiii ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂 Unajielewwa Sana stive Amos kutoka burundii

  • @JoelFikirini
    @JoelFikirini ปีที่แล้ว +23

    Kiukweli steve wewe utafika mbali maana hata mwenyez MUNGU anatuambia tuseme kweli,na ninavyokuona wewe ni mkweli sana.

  • @israelyeremia3439
    @israelyeremia3439 ปีที่แล้ว +1

    Kwa mara ya kwanza nimemwelewa Steven.

  • @BivanyTV
    @BivanyTV ปีที่แล้ว +6

    Nakubal brother Steve

  • @jamesluckson2367
    @jamesluckson2367 ปีที่แล้ว +15

    Steve Asante sana Kwa kuwa mkweli😂😂😂😂

  • @princeJones11
    @princeJones11 ปีที่แล้ว +2

    Mi nikiskia2 sauti ya stivu mweusi😊ah mmi hufrahi saaana🎉

  • @EdingntoneChao
    @EdingntoneChao 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera steve ndio maana nimekupenda sana sababu hutaki uongo uongo

  • @leekaijage6815
    @leekaijage6815 ปีที่แล้ว +3

    Msema kweli mpenzi wa Mungu unazidi kuongeza wafuasi kwa sababu unajitambua kaka

  • @gedionwafula9878
    @gedionwafula9878 ปีที่แล้ว +3

    I just love this man he is so wise... Iam his fun... Forever 👍👍😍❤️❤️... And also he's funny my all time commedian

  • @MaryValentine-w1q
    @MaryValentine-w1q ปีที่แล้ว +4

    Uko vizuri mungu akupe maisha marefu

  • @CHIEF_WA_BUJONDE
    @CHIEF_WA_BUJONDE ปีที่แล้ว +7

    sema yanga sana kaka Steve uko vizur

  • @musamchaga7103
    @musamchaga7103 ปีที่แล้ว +7

    Kuanzia leo shabiki yako broo umetisha

  • @constantemmanuel3484
    @constantemmanuel3484 ปีที่แล้ว +4

    Vraiment j'apprécie ta sage tu es très sage vraiment tu as bien répondu Que te bénisse abondamment mon frère

  • @lawrenceoponyomakari4435
    @lawrenceoponyomakari4435 6 หลายเดือนก่อน

    Steve napenda ulivyo mkwwli na muwazi mungu akuzidishie saaan kakaa kipaji unayooo

  • @mossijuma-h6p
    @mossijuma-h6p ปีที่แล้ว

    Huyu kijana sikuwa nafikiria kama yuko ivi, hakika wewe ni mutu mkubwa kiakili, yani nilikuwa nikikuchukuliya kama unavyo cheza nikajisaulisha kuwa ni kazi, hakika Big up brother

  • @shwaibukhatibu2838
    @shwaibukhatibu2838 ปีที่แล้ว +20

    Wasanii wengi NI matajiri Ila usijitangaze chameleon ni tajiri Sana Ila he is still cool

  • @MeidesBrayson
    @MeidesBrayson ปีที่แล้ว +8

    Stiv uko pow mimi nakukubali

  • @princekilosho6088
    @princekilosho6088 ปีที่แล้ว

    Ukweli lazma tuseme mambo tunasikia mitandaoni na interview ya Steve kuhusu bifu ya Steve na clam si kweli kabisa , Steve hekima n'a anabusara ataki kuongelea majina za watu.big up bro.

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki ปีที่แล้ว +1

    Steve mweusi ❤❤❤ ukovizuri sana lakini unacekesha😂asikukuzi nini😂😂

  • @AyubuNgubi
    @AyubuNgubi ปีที่แล้ว

    Dah nakuelewa sana my brother huna baya kabisa aise nimependa umesema ukwel kabisa❤❤❤❤❤❤

  • @stanoh92
    @stanoh92 4 หลายเดือนก่อน

    Kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 napenda steve mweusi na Ndaro

  • @ChristianBahati-j5z
    @ChristianBahati-j5z 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umesema kweli broh

  • @athumantuwa4542
    @athumantuwa4542 ปีที่แล้ว

    ANAONGEA POINT HALAF ANAJBU KAMA HAYUPO SERIOUS INALETA LADHA ZAID KUONA KAMA YUPO KWNY COMEDY. Gud interview

  • @AllyRumela-cg2qu
    @AllyRumela-cg2qu ปีที่แล้ว +9

    Nakubar sana steve

  • @rayhanidjumarayhanidjuma
    @rayhanidjumarayhanidjuma 14 วันที่ผ่านมา +1

    nampenda saan stive

  • @kadijaa7771
    @kadijaa7771 ปีที่แล้ว

    Good job may god bless you in your life unajua kutumia ulimi safi sana kaka❤❤ from Kenya

  • @Jimmie_theDirector
    @Jimmie_theDirector ปีที่แล้ว

    Umuhimu wa kua Muture..... Ahsante Mweusi........

  • @godlovekyela7807
    @godlovekyela7807 ปีที่แล้ว

    Unyenyekevu Tu kaka UNATOSHA sana kwenye Maisha Utafika mbali

  • @peterludala4583
    @peterludala4583 ปีที่แล้ว +1

    Bora ukawa mkweli kama sitivu hongera kijana

  • @DanWafula-vw9md
    @DanWafula-vw9md ปีที่แล้ว +32

    I love your videos 😍

  • @MohamedMwanikwa
    @MohamedMwanikwa ปีที่แล้ว

    ❤mi nakupenda na unazid kunifuraisha steve abd sele

  • @NdakizeDume
    @NdakizeDume ปีที่แล้ว +6

    Nasi huku USA tunamkubali sana Steve barikiwa Dallas tunakufwata sana

  • @nzukokatavali78
    @nzukokatavali78 ปีที่แล้ว

    Hekina ni kitu kikubwa maishani mwa mtu Steve fundi sana endeleya hivyo hivyo

  • @MugishoNyakabanga
    @MugishoNyakabanga ปีที่แล้ว

    Steve uko vizuri sana mungu akuzidishiye sana

  • @RobertAlukwe-io7et
    @RobertAlukwe-io7et 10 หลายเดือนก่อน

    Steve Mweusi mtu wangu kabisa wewe ndio mwamba wa uigizaji hapo Bongo

  • @FelisterDuway
    @FelisterDuway ปีที่แล้ว +10

    😂😂😂😂😂😂 yaani we hamadi kijicho leo umenichekesha

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana steve black unasema ukweli mtupu

  • @AllyIssa-p4q
    @AllyIssa-p4q ปีที่แล้ว +1

    Kk umetisha Sana kwenyemaisha kufunguka hali halisi niki2 yabusara Sana. Ila menaomba kuwa mwana Chama wako naweza kuigiza komed and serious alafu sy kuweza 2 pia napenda kuigiza

  • @deodatusmramba7597
    @deodatusmramba7597 ปีที่แล้ว +5

    Uko vizuri kiongozi

  • @manuelraulchimangande
    @manuelraulchimangande ปีที่แล้ว +4

    Wewe steve uliomba nsaada kwa clam.uongo kweli ? Sema kweli

  • @ZawadiKelvin
    @ZawadiKelvin ปีที่แล้ว

    Uko vzr stev karibu manyara tunakupendaa ❤❤❤❤❤

  • @AgatonyMayala
    @AgatonyMayala ปีที่แล้ว +1

    Namkubali sana stive hana Masifa kama hawa wengne hawa wengne anajitambua

  • @MusyokiMainga
    @MusyokiMainga ปีที่แล้ว +2

    From Kenya I support you and I reely love your comedy

  • @ZainabuNsabimana
    @ZainabuNsabimana ปีที่แล้ว +1

    Stive kweli anajuwa natamani sikumoja tufanye naye kazi ni clovis

  • @dnx_Gr
    @dnx_Gr ปีที่แล้ว +40

    This guy is masterpiece

  • @RajabMashina
    @RajabMashina ปีที่แล้ว +16

    bro Steve ukopis sn kk mung akupe uli mlef

  • @NuruKhamisi-d7l
    @NuruKhamisi-d7l ปีที่แล้ว

    Hebu mwambie Steve aache kutudanganya bwanaaaaa😅😅😅😅😂😂😂😝😝🤪🤪😀😀😮😮😮🥴🥴🥴😅😅😆😆😆🤣🤣🤣🤣😃😃😃😃😁😁