Mungu atunusuru ushoga ni ubaya ubwela inaumiza sana Allah atulindie ndugu zetu amen asante sky kwa simulinzi nzunri big up much love from arusha tz 🎉🎉🎉
@@Chakol123-k7s ili uishi lazima kingine kife wako watu wamegundua vitu kama hivi tuna vyo tumia nasio mana bii kaziyenu niku bariki nakutumia nasio kugundua vya kwetu bblia ita waacha masikini wengi
😅😅😂mpuuzi hata ujui kitu.unazani ni kwa nn waabudu shetani wote au illuminati wanajitahidi siku zote kudhihaki ukristo au KRISTO kwa sababu ndiyo Imani ya kweli na ndiyo mpinzani wao wa kweli tangia kuwekwa kwa ulimwengu hivyo wanajitahidi kwa kila njia kuwapoteza wengi kama wewe na wakristo wapimbavu wasiyoujua ukweli halisi.
Mmmmh ila ifike tu mahali mambo ya dini yasiingiliwe au kuigizwa kwenye mambo yasiyohusiana na dini. Its just too much sasa...binadamu tumekuwa huru sana kumdhihaki Mungu karne hii. Its a shame,
😅😅😅unazani kwa nn waabudu shetani au illuminati siku zote wanajitahidi kudhihaki ukristo au KRISTO kwa maana ndiyo Imani ya kweli na ndiyo upinzani wao wa kweli tangia ulimwengu kuweko.Ni kwa sababu hakili yako imegandishwa na haujajaliwa kukujua ukweli pole.
Ina uma eeeh? Mme yisikia inavyo umwa? Acheni sasa nanyie kila siku kuchokonowa uislam. Chaajabu sasa huyo huyo mnae muunga mkono kwa ushoga na usaganaji ndo kawachokonowa nanyie japo wanasema malengo yao hayakuwa hayo. Jifunze kuheshim chamwenzako chako pia kitaheshimiwa ahsante🙏🏽
@@athumaniamani9905Shetani huwa analenga na anataka kuharibu palipo na ukweli kaka, ukiona kilasiku ukristo unadhihakiwa jua kuna kitu huko kina mkera shetani, SIKUZOTE UKWELI HUA UNAPINGWA
Ina uma eeeh? Mme yisikia inavyo umwa? Acheni sasa nanyie kila siku kuwachokonowa wa islam. Vchaajabu sasa huyo huyo mnae muunga mkono kwa ushoga na usaganaji ndo kawachokonowa nanyie japo wanasema malengo yao hayakuwa hayo. Jifunze kuheshim chamwenzako chako pia kitaheshimiwa ahsante🙏🏽
We nawe uko dunia gani? Hivi ulishaona mkristu akiudharau mwuislam? Hao wazungu hawamuamini Mungu ndo maana wanafanya ushenzi wao. Huwezi kwenda kanisani Ulaya ukakuta wazungu hata nusu kanisa, ni wageni tupu.
Ukristo unadhihakiwa sana na hakuna wa kuwanyoosha. Hii ni chimbuko la andiko linalosema "ukipigwa shavu la kushoto mgeuzie na la kulia." Hii hukumu ni ya Mungu itaharibu dini yetu, uislamu hawawezi kuvumilia maujinga haya
@@MsAggie5 walifanya nini? Huwezi kuleta vurugu kwenye nchi kama ufaransa zaidi utapiga kelele tu ila huwezi kuwatishia chochote SEMA Huwa wanaheshimu hisia za watu tu ndomana Huwa wanaoimba msamaha ila sio kwamba eti wanatishika hakuna mtu anaweza kuwafanyia chochote hizo ni nchi zenye nguvu kubwa
Neno hilo, ilikuwa fundisho la kimapinduzi, wa Israel, alikuwa wandhauliwa. Hivyo akimpiga mtu Kofi anageuza mkono kupiga mtu upande wa kulia mkiwa mnaanaliana, ikiwa mpigwaji Hana lolote au Hana heshima. Yesu anawafundisha kukabili iyodharau kwa kugeuza shavu upande wa kusho. Kitendo cha mpigaji kugeuziwa shavu. Kilimanisha anayepigwa hakubali dharu, ya kufanywa mtu wa daraja la chini. Wagiriki walikuwa wana sheria kuwabebesha mizigo njiani, sheria iliwataka kila mwembrania abebe maile kadhaa, kwa kupokedhana. Hivyo Yesu alitoa mafundisho ya kukataa. Ili kupunguza waisrael wengi kushiriki kubeba mzigo wa mgriki. Kwa hiyo aliwafusha kama njia ya kupunguza usumbufu wa kamzogo kadogo kushirikisha watu wengi. Na hivyo wabaki majumbani kuendelea kufanya kazi zao za kijamii. Fikria enzi hizo mfano mgriki ana kilo Tano za unga anakwenda umbali wa km 20. Huo mzigo wangeshiriki watu wangapi kubeba?. Ukweli hayo maneno tuyape hiyo tafsiri.
@@Oldskulgemini9991Hilo andiko.Ni andiko la kimapinduzi. Watu wanao angaliana mmojawapo akitaka kupiga mwezake shavu la kulia mkiwa mmeangaliana uso kwa uso . Mpigaji anatumia nyuma ya kiganja chake. Namna hiyo mgriki ya kupiga Kofi waisrael aliitumia kama dharau kwao. Hivyo kupiga mtu Kofi mtu ambaye mnaangaliana uso kwa uso ilimanisha huyo mtu unahofu kwamba ana nguvu na ana adhi kama yako. Yesu anafundisha watu kujitetea kwa kutokubali dharau ya wagiriki wasimame na kuonyesha wao si dhaifu na kudharauliwa. Wagiriki wakati huo waliwatumikisha waisrael. Ili kuwa sheria ukiona mgriki ana mzigo mikononi , Ilikuwa sheria mwisrael uache kazi zako ubebe mpaka umbali ulioamuliwa kisheria, na mwisrael mwingine anapokea mpaka mgriki anakokwenda. Ukifikisha mfano jirani na kwenu wewe ni mwisrael familia yenu kulingana mzigo mnalazimika kubeba umbali wa kisheria. Yesu akuja na mafundisho ya kimapinduzi kwamba kupambana hilo waisrael wawe tayari kujitoa ili sheria ile isiwe inawavurugia mfumo wa maisha mtaa mzima au Kijiji kizima au kata mzima na nk. Yesu anaimiza moyo wa kujitetea kijasiri na kujitolea. Kumbe ni ujasiri wala sio unyonge.
waislam wakianza kupinga hizi ishu watu wanasem waislam watowi haki za binaadamu wakazivamia nchi nying na nchi nyingi kuwekewa vikwazo kwa sabab hizizi, ila pia papa sio alisem anabariki hayo mambo
Wakristo mmefeli mlipoanza kuwachora na kuwajengea masanamu mitume hiyo yote ndiyo inawapeka huku. Yaani imepita miaka mingi baada ya yesu alafu anakuja mtu anamchora yesu na mnaamini huyu ni yesu
Tulikatazwa kuhukumu tusije tukahukumiwa..kila mtu alkuj dunian kivyake atafanya mambo kivyake atakufa kivyake na atahukumiwa kivyake..so Haina haja ya kusikitikia au kukosoa maisha ya mtu
Mungu wangu.likini ukifikilia awa jamaa wanajua wanacho kifanya mahana izi dini wamezileta wenyewe kwann wazikejeri wanajua walitumia dini hii kutufanya watumwa wanaziilisha wazi walitudanganya sisi wa African keep it in your mind
Hakika wanatambua nguvu ipo wapi ndiyo sababu wanavurugaa sana katika ukweli...pia lengo au madhumun ya vita ya tatu ni kuharibu ukristo na kuleta utawala wa lufica hivyo wakristo tuongezee bidii katika utiifu Kwa MUNGU ... karibuni BWANA anarudi
Ukiristo ndio fake na ndio maana mnabadilisha maandiko kila kukicha. Hamna lenu jambo. Ni rahisi kudhihakiwa Mungu wenu wenyewe mmemtundika teina nguo hafifu.@@veeJesus
THE UNSINCABLE YAAANI ISIYOZAMA KAMWE 😂😂😢😂 CHAPA KUBWA NA YA KIPEKEE ILIYOWEKWA KWA MELI YA TITANIC NA TEENA WAKASEMA HATA MUNGU HAWEZI KUIZAMISHA NAFIKIRI WALIUONA USO WA MUNGU BARABARA HII TUACHE TUU BAHARI ITAONGEA NAO😅😢😢
Halafu Kuna mpumbavu mmoja juzi wakati wa ufunguzi watu waamechoma Waya Za treni anasema magaidi wa kiislamu waislam wanajuwa Nini kinaedeleaa UFARANSA ndiyo maaana wanaishambulia hiyo nchi😫😫
Unahitaji kweli GPS, maana ni dhahiri huko tu ndiko unapata habari. Papa HARUHUSU mahusiano ya jinsia moja kubarikiwa. Sisemi 'NDOA ya jinsia moja' kwa sababu kwa sisi Wakristu neno NDOA NI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME. Sasa pengine utafute ili ujue ni nini Papa alisema, au usuburie GPS wakutafutie.
Mimi nadhani picha sio tatizo maana hatahio picha inayo dhaniwa kutumika na ukiristo nipichatuu yakufikirika na bwana davich, sio picha halis ya yesu , hivyo nadhani tunapaswa kuaminikua mungu yupo na haijui dini ya majengo namichoro, dini pekee anayo ijua mungu ni matendo safi na uaminifu katika yeye. Hivyo hio michoro ni vitu vya kufikirikatuu na ukritu uliletwa na rumi duniani nasasa papa karuhusu kubarikiwa kwa ushoga naenikiongozi wadini je, nani alikataa nakumchuliahatua, hivy picha na Dhani nisanamuhilo.
Kwanza kihistoria iyo picha sio ya yesu kwaiyo wenye kujiita wakristo musikasirishwe na kitu, kwanzia picha mpaka iyo Olympic vyote ni maigizo tu.... Navyote hivyo wenyewe wazungu ndoo wamepindua meza ( ukweli kuwa uongo, na uongo kuwa ukweli). NIPENI LIKE ZANGU WAKWANZA 😅
Tuwe waaelewa ulaya kunatabska tofauti wapo wasio amini kama mungu yupo na wasio amini katika dini na ni wengi wanafanya watakavyo kama uchokozi sio kama Africa serikali zinaingilia mambo ya dini huko hakuna wanafanya watakavyo Kwanza hawaamini kama kuna dhambi sasa nyie mnadukila tabia za watu wengi kuleta kwatu kudhalilisha watu hebu tubadilike ktk mtazamo ktk mataifa tamaduni tofauti Hilo tulijue
Ulaya ya wapi? Humsikii Sky alisoma waliolalamika ni WA ulaya wenyewe? Mbona inakosolewa dunia nzima hata America! Uhuru wao WA kuamini na kujieleza hauwapi ruhusa ya kutoheshimu imani za wenzao. France hawakomi walibutuliwa na waislamu walivyochora cartoon ya Mtume wangapi waliuawa? Wanajua wakristu hawawezi kuwaua. Hii haki za mashoga imekuwa ujinga Kwa wazungu sasa, I'm glad wamejua wamefanya kosa.
Nyie mnawabishia nn walio watea dini ndio hao ss nyie mnabisha ili iweje iyo Israel yenyew ina ruhusu ndoa ya jinsi moja ww nani ukatae… one love for everyone
Hawa walizidi kuwatetea wanawake, matokeo yako wakauoanda ushoga na usagaji. Wazungu wanaona bora wawe hivo kuliko ndoa ya halali. Tufurahi, kwa sbb huenda ndio naqma wanayo teremshiwa, na hatimae ulaya kuisha kabisa
Hao wote ambao wanamiliki makampuni, viongozi wakubwa wa serikali na waliofanya dhihaka hiyo wote ni wamoja. Utifauti ni kwamba mmoja alipewa jukumu la kufanya na wengine walipewa jukumu la kujifanya wanakemea ili wasionekane wamekaa kimya. Ila hao wote wanakutana na kupanga kufanya matukio ya ajabu kwenye matukio yanayofuatiliwa na watu wengi duniani. Kwa kuamini hilo jambo litafikiwa na wengi. Mi siwaamini hao wote wanaojifanya wamekemea. Ni sawa na mimi kama mkurugenzi wa shule Nampanga makamu mkuu wa shule tupige hela tulifanikiwa najifanya kumfukuza kazi. Mpango wa kuiba hela ulikuwa wa siri kisha namfukuza hadharani kwa kujifanya nalaani kitendo hicho. Sio rahisi kunielewa kama hujui namna dunia inavoendeshwa.
Sasa wanakua na hasira wakati wagiriki ndio waliandika biblia na wao miungu yote wanaijua na wameiweka kwenye biblia pia na watu wanaiabudu sasa wanachowaza ni nini
@@MsAggie5 it's bcz bible waliandika wao to foolish yu as an African ona sasa wanatimiza hzo prophecies ndio ww uone dunia inaisha 😂focus ma'am make your own heaven wao wako busy kutuangamiza ndio kwao kubaki kukoendelea 😂
C’est pas possible shame on them my GOD punish them all who attended to reject GOD amen jina la bwana halichezewi hovyo wacha MUNGU ashuke kwenye mji aliouumba 🧷🧷🥂🍾
@@lydiajoseph2571Ayubu 15:24 zaburi 20:1 zaburi 31:9 zaburi 107:6 zaburi 109:143 mithali 11:8 kasome Baadhi tu hayo maneno ya Mungu dhiki ipo kwa Sasa Kwa wana wa MUNGU,ila inakuja Ile Dhiki kuu ambayo itaambatana na chukizo la Uharibifu.
Watu wa kwanza kumdhihaki MUNGU ni wale wanamfananisha MUNGU na binadamu watu wamemkufuru MUNGU kwa kusema MUNGU ni mwanaume, Kabila yake myahudi anatokea Israel tena MUNGU huyo kazaliwa na mama ambae alikuwa bikira halafu leo mnashaanga huo ujinga uliyofanyika Olympic, kilichofanyika huko Olympic ni muendelezo tu wa kufuru, kufuru ya kwanza ilishaanza zamani ya kumfananisha MUNGU na binadamu tena mkasema mpaka ana mtoto, kuna wakina PAPA huko wamebariki ndoa za jinsia moja. Mkiambiwa ukristo sio dini acheni mihemuko kaeni chini mjitafakari
MTI WENYE MATUNDA NDIYO SIKU ZOTE HURUSHIWA MAWE, NA SI MATUNDA TU ILIMRADI MATUNDA BALI WENYE MATUNDA MAZURI NA YALIYOIVA NA MATAMU. NDUGU ZANGU WAKRISTO MSIJISIKIE VIBAYA KUDHIHAKIWA BALI WAOMBEENI, NA TUWAPENDE KWANI NAO BADO NI WATOTO WA MUNGU NA MUNGU BADO ANAWAPENDA HAIJALISHI NINI WANAFANYA, HATUJAAGIZWA CHUKI AU KISASI KWA WATUPIGAO AU KUTUKOSEA NA KUTUDHIHAKI BALI UPENDO UPENDO UPENDO. TUNDA LA ROHO NI UPENDO, FURAHA, AMANI, UVUMILIVU, UTU WEMA, FADHILI, UAMINIFU, UPOLE, KIASI (WAGALATIA 5:22-26)😊
Hiyo picha kwnz imechorwa na daVinci mtu ambaye hajawahi kumuona yesu, halafu hiyo picha wakristo wanaiamini na kuona yule ni yesu kwl, wkt mwamba mmoja tu kakaa chini kachora. Khaa wakristo mnashangaza. Baada ya kumlaumu davinci aliyechora nyie mnawalaumu wanaouchezea mchoro wa davinci??
@@sosom14 kwa hiyo katika dunia hii yote umechagua kwenda kuishi kwa MASHETANI? Binadamu utaishije na mashetani?! Does this make sense to you? Umeingalua hii video? Katika hii video umeona watu waliojitokeza kupinga kilichafanyika, sio watu wa magharibi?
@@sosom14 n 1900 nearly 95% of Europe’s population professed some form of Christianity; in 2020 the continent is 76% Christian. The main gains were made by agnostics and atheists, who together make up more than 15% of Europe’s population (from 0.4% in 1900). Bara la Europe lilikuwa linaongoza kwa namba ya Wakristu wote duniani. Miaka ya karibuni wako wengi waliouacha Ukristu. Lakini haina maana kuwa walioucha Ukristu ni wengi kushinda wale ambao bado ni Wakristu.
@@lakasid3860 warabu walikua wana dini zao za masanamu na kishirikina na wao ndio ulio wajia mwanzo uislamu na ndio wa mwanzo kuukataa miongoni mwao ndio waka ukubali sasa utasemaje dini ya warabu soma ndugu 🤣🤣
Wakati waislam wanapambana na hawa Mashetani, mnawaona waislam Magaidi.. walishawaaminisha mapambano wanayofanya waislam kulinda dini na heshima yao muwaone kama Magaidi.. ila sasa wamehamia na kwenu Christian
Mi niseme tu Ndugu zangu wa Kristo, Ila Sio kwa ubaya, Hivi mnasubiri Nini Kujiunga Na Uislam? Papa wa Roma karuhusu Mashoga kufungishwa ndoa kanisani, Anglican ndo kabisaaaa Wao Ni kitambo, Haya Sasa matukio mengine hayo na Bado patazuka mengi sana
Unajizima data, hawawezi kufikia hatua hiyo coz WANGEKULA NAO SAHANI MOJA, wakristo wameishia kulaani kwenye mitandao tu.. Kwenye Uislam ungesikia mtu anatoa DAU atayeleta kichwa cha hao washiriki.
Mungu atunusuru ushoga ni ubaya ubwela inaumiza sana Allah atulindie ndugu zetu amen asante sky kwa simulinzi nzunri big up much love from arusha tz 🎉🎉🎉
MUUMBA WETU
ATULINDE NA VIZAZI VYETU
Wao ndo walileta bibilia kwetu. Na wao ndo wameleta ushoga duniani. Mengine hatukupaswa kuyachukua zingebakia kua imani za kwao
Nafurahi Kuona kumbe bado Kuna baadhi ya watu ktk dini ya kikristo wanaithamini dini na kuiheshimu hata huko ktk nchi za ulaya ..
NATO ni mashoga ndo maana Putin haelewani nao
Yan wanakufuru mara 2 kufru ndan ya kufru Allah awaongoze
Mungu hadhihakiwi wamesahau yaliyotokea Brasil
Waacheni tu kitawatokea kama Brazil mungu WA wakristo hachezewi wasubili tu itakuwa mara mbili ya Brazil
Dunia yamwisho hiii Mungu atuokowe kweli
@@user-zv2ng6ov2k inasikitisha 😞
@@Chakol123-k7s ili uishi lazima kingine kife wako watu wamegundua vitu kama hivi tuna vyo tumia nasio mana bii kaziyenu niku bariki nakutumia nasio kugundua vya kwetu bblia ita waacha masikini wengi
@@user-zv2ng6ov2khakuna mwisho wa dunia
@@BarnabasFabiani angalia jaluba lilotokea Brazil utaelewa iwe kaunda mungu au binadamu kama umevuka mipka ya dini mungu ataangaika na wewe broo wait
Kwa kila mtu atakachokipani ndicho atakachokivuna mpenda uovu atavuna uovu 😢😢😢😢😢
Kweli kbsa
Ujio wa Yesu upo karibu sanaaaa ila watu wengi hawajui hii
mwe utakufa huja muona huyo yesu😢😢😢😢😢
@@kombat_coin utakuja kumbuka maneno yangu
Hata wewe hujui lini, hamna ajuaye ila ni kweli yu karibu kuja, matukio haya yamekuwa mengi sasa
Masherani mungu awape mwisho mmbaya wao na vizazi vyao ila mjue mungu yupo nataman kila mtu angejua ndani ya mwaka kama watakuwa hai
Awakosi sababu awa Mungu anawaona lakin atuwezi wauhukumu Mungu atapambana nao 😎
Ishara za kuja kwa yesu kumekaribia. Mathayo 3:2
Bwana yuhaja. Mwogopeni Mungu enyi wanadamu.
I'm proud to be Muslim.... Alhamdulillah
😅😅😂mpuuzi hata ujui kitu.unazani ni kwa nn waabudu shetani wote au illuminati wanajitahidi siku zote kudhihaki ukristo au KRISTO kwa sababu ndiyo Imani ya kweli na ndiyo mpinzani wao wa kweli tangia kuwekwa kwa ulimwengu hivyo wanajitahidi kwa kila njia kuwapoteza wengi kama wewe na wakristo wapimbavu wasiyoujua ukweli halisi.
Mmmmh ila ifike tu mahali mambo ya dini yasiingiliwe au kuigizwa kwenye mambo yasiyohusiana na dini.
Its just too much sasa...binadamu tumekuwa huru sana kumdhihaki Mungu karne hii.
Its a shame,
Ni siku za mwisho 😢
Yesu aliyajua aya namengine yatatendwa namwisho kifo2
Mashetani wakubwa sana hawa wazungu mapumbavu
Islamic ilishaonaga mrefu mnoo, sishangai tena kwann waliharamisha vitu kama hvyo, Islamic is the way of life for sure.
😅😅😅unazani kwa nn waabudu shetani au illuminati siku zote wanajitahidi kudhihaki ukristo au KRISTO kwa maana ndiyo Imani ya kweli na ndiyo upinzani wao wa kweli tangia ulimwengu kuweko.Ni kwa sababu hakili yako imegandishwa na haujajaliwa kukujua ukweli pole.
Ina uma eeeh? Mme yisikia inavyo umwa? Acheni sasa nanyie kila siku kuchokonowa uislam. Chaajabu sasa huyo huyo mnae muunga mkono kwa ushoga na usaganaji ndo kawachokonowa nanyie japo wanasema malengo yao hayakuwa hayo. Jifunze kuheshim chamwenzako chako pia kitaheshimiwa ahsante🙏🏽
Kwahyo wewe unaunga mkono ushoga na usagaji kwa sababu wew si mkristo?sijakuelewa
Hujui kitu unabwabwaja tu
@@beatricejoseph2347Mbinu wanazotumia wanaoeneza ushoga. Imani Zetu haweza kuwa Kinga. Kote kote tatizo kubwa mno.
Nashukuru MUNGU kila mtu amepinga
Ni kwa sababu MUNGU HADHIAKIWI🙌
@@zuricakes6817Mnawaonea bure mbona papa ali ruhusu mfilane na hamjapiga kelele!nyie dhambi zenu zilisha bebwa na Yesu nyie jiachieni tuu😊
@@IbniAbbas-yz3ktmakasiriko ya nin😂
Mau alikatwa masikio akasema kuwa hawajamkata kiuno kobcjui wanao mfanyia vile ni wakristo 😂
@@Nim68182 hujaeleweka ebu andika vizuri nikuelewe
Sababu Yesu ndy njia ya kweli ndio maana hawaishi kuigiza
Cyo kama njia ya ukweli Bali ni njia mbovu na ndo maan watu wengi Huwa wanaziaki
UPO SAHIHI KABISA ,MTI WENYE MATUNDA SIKU ZOTE NDIYO HURUSHIWA MAWE
@@athumaniamani9905Shetani huwa analenga na anataka kuharibu palipo na ukweli kaka, ukiona kilasiku ukristo unadhihakiwa jua kuna kitu huko kina mkera shetani, SIKUZOTE UKWELI HUA UNAPINGWA
@@athumaniamani9905 MTI UZAAO MATUNDA MAZURI NDIO UNARUSHIWA MAWE. Mti usiozaa matunda mazuri watu hawashughuliki nao. WATU WANAPENDA MATUNDA MAZURI BANA. Upo hapo?
@@athumaniamani9905kitu kibaya au njia mbaya haiziakiwi bro
Ujinga huo
Hatariiii
Ilitakiwa Celine atolee kafara kwenye sherehe hzi
I saw everything here in Paris man it's always lahillah illah laa
So sad.
I have been Olympics fun for the longest time.. But there's something dark about this one. I wont be part of it.
Ina uma eeeh? Mme yisikia inavyo umwa? Acheni sasa nanyie kila siku kuwachokonowa wa islam. Vchaajabu sasa huyo huyo mnae muunga mkono kwa ushoga na usaganaji ndo kawachokonowa nanyie japo wanasema malengo yao hayakuwa hayo. Jifunze kuheshim chamwenzako chako pia kitaheshimiwa ahsante🙏🏽
We nawe uko dunia gani? Hivi ulishaona mkristu akiudharau mwuislam? Hao wazungu hawamuamini Mungu ndo maana wanafanya ushenzi wao. Huwezi kwenda kanisani Ulaya ukakuta wazungu hata nusu kanisa, ni wageni tupu.
Hatukuelew
Wanatakiwa kutubu ama mwisho wao ni jongomeo hadi kuzimu.
Ukristo unadhihakiwa sana na hakuna wa kuwanyoosha. Hii ni chimbuko la andiko linalosema "ukipigwa shavu la kushoto mgeuzie na la kulia."
Hii hukumu ni ya Mungu itaharibu dini yetu, uislamu hawawezi kuvumilia maujinga haya
Kama wangeigiza muislamu ungefanya nini sasa? Hayo ni mataifa yenye nguvu yanaweza fanya chochote kiovu na hakuna kitu utawafanya
@@Oldskulgemini9991umesahau waislamu walivyokinukisha hapohapo ufaransa Kwa sababu ya lile gazeti lililomchora Mtume Mohamed? Miaka si mingi
@@MsAggie5 walifanya nini? Huwezi kuleta vurugu kwenye nchi kama ufaransa zaidi utapiga kelele tu ila huwezi kuwatishia chochote SEMA Huwa wanaheshimu hisia za watu tu ndomana Huwa wanaoimba msamaha ila sio kwamba eti wanatishika hakuna mtu anaweza kuwafanyia chochote hizo ni nchi zenye nguvu kubwa
Neno hilo, ilikuwa fundisho la kimapinduzi, wa Israel, alikuwa wandhauliwa. Hivyo akimpiga mtu Kofi anageuza mkono kupiga mtu upande wa kulia mkiwa mnaanaliana, ikiwa mpigwaji Hana lolote au Hana heshima. Yesu anawafundisha kukabili iyodharau kwa kugeuza shavu upande wa kusho. Kitendo cha mpigaji kugeuziwa shavu. Kilimanisha anayepigwa hakubali dharu, ya kufanywa mtu wa daraja la chini. Wagiriki walikuwa wana sheria kuwabebesha mizigo njiani, sheria iliwataka kila mwembrania abebe maile kadhaa, kwa kupokedhana. Hivyo Yesu alitoa mafundisho ya kukataa. Ili kupunguza waisrael wengi kushiriki kubeba mzigo wa mgriki. Kwa hiyo aliwafusha kama njia ya kupunguza usumbufu wa kamzogo kadogo kushirikisha watu wengi. Na hivyo wabaki majumbani kuendelea kufanya kazi zao za kijamii. Fikria enzi hizo mfano mgriki ana kilo Tano za unga anakwenda umbali wa km 20. Huo mzigo wangeshiriki watu wangapi kubeba?. Ukweli hayo maneno tuyape hiyo tafsiri.
@@Oldskulgemini9991Hilo andiko.Ni andiko la kimapinduzi. Watu wanao angaliana mmojawapo akitaka kupiga mwezake shavu la kulia mkiwa mmeangaliana uso kwa uso . Mpigaji anatumia nyuma ya kiganja chake. Namna hiyo mgriki ya kupiga Kofi waisrael aliitumia kama dharau kwao. Hivyo kupiga mtu Kofi mtu ambaye mnaangaliana uso kwa uso ilimanisha huyo mtu unahofu kwamba ana nguvu na ana adhi kama yako. Yesu anafundisha watu kujitetea kwa kutokubali dharau ya wagiriki wasimame na kuonyesha wao si dhaifu na kudharauliwa. Wagiriki wakati huo waliwatumikisha waisrael. Ili kuwa sheria ukiona mgriki ana mzigo mikononi , Ilikuwa sheria mwisrael uache kazi zako ubebe mpaka umbali ulioamuliwa kisheria, na mwisrael mwingine anapokea mpaka mgriki anakokwenda. Ukifikisha mfano jirani na kwenu wewe ni mwisrael familia yenu kulingana mzigo mnalazimika kubeba umbali wa kisheria. Yesu akuja na mafundisho ya kimapinduzi kwamba kupambana hilo waisrael wawe tayari kujitoa ili sheria ile isiwe inawavurugia mfumo wa maisha mtaa mzima au Kijiji kizima au kata mzima na nk. Yesu anaimiza moyo wa kujitetea kijasiri na kujitolea. Kumbe ni ujasiri wala sio unyonge.
Sky nakubatiza Jina. A reliable source. Nipo Michigan niadd insta tuna mengi ya kushare katika Habari, mi ni mdau
waislam wakianza kupinga hizi ishu watu wanasem waislam watowi haki za binaadamu wakazivamia nchi nying na nchi nyingi kuwekewa vikwazo kwa sabab hizizi, ila pia papa sio alisem anabariki hayo mambo
Sio kweli Papa hajabariki ushoga sijui hizo habari mnazipata wapi
Uislam kamwe hauwezwi kuchezewa namna hii ila tatizo uyo papa kiongozi wa wakristo anasaport ushoga sasa maana yake nini
Mara ngapi Quran zinachomwa hadharani kudhihaki uislamu, huwa mnaanzisha vita baada ya hapo? No, kulaumu na kulaani tuu
Nyamaza tuu na wewe hayakuhusu na uisilamu wako ya wakristo waachie wenyewe
Upo sahihi kabisa uislam peke yake ndie dini ya haki
@@aminielkombe66tulia lije agano jipya jengine Muolewe
Hakuna haki tunaishi na waislam na madhambi yao tunayaona wazi kulinda jina bila kujiheshimu nisawa kutumia fedha kuyayushia dhahabu, Useless
Wakristo mmefeli mlipoanza kuwachora na kuwajengea masanamu mitume hiyo yote ndiyo inawapeka huku. Yaani imepita miaka mingi baada ya yesu alafu anakuja mtu anamchora yesu na mnaamini huyu ni yesu
Sio wakristo kaka ni dini ya Rumi hiyo, biblia ya kikristo inapinga sanamu
Tulikatazwa kuhukumu tusije tukahukumiwa..kila mtu alkuj dunian kivyake atafanya mambo kivyake atakufa kivyake na atahukumiwa kivyake..so Haina haja ya kusikitikia au kukosoa maisha ya mtu
@@robertmosha6801Asante sana 😢😢
Mungu wangu.likini ukifikilia awa jamaa wanajua wanacho kifanya mahana izi dini wamezileta wenyewe kwann wazikejeri wanajua walitumia dini hii kutufanya watumwa wanaziilisha wazi walitudanganya sisi wa African keep it in your mind
Udini umechangia sana...ivi mbona amkutpatia habari za Celindion kurejea
Hii michezo niya kfreemasoni
Kwanini ni uikristo tu ndo wakufanyiwa masihara😢😢Wangegusa uislam lingelipuliwa bomu ilo kwenye uwanja watu wapasuliwe
MTI WENYE MATUNDA SIKU ZOTE NDIYO HURUSHIWA MAWE.
UJIULIZI KWA NINI WANADHAMBULIA UKRISTO IZO ZENGINE NI FAKE UTAWAHI KUSKIA MABADHA AU DINI YOYOTE KWA SABABU HAZINA ISSUE
Hakika wanatambua nguvu ipo wapi ndiyo sababu wanavurugaa sana katika ukweli...pia lengo au madhumun ya vita ya tatu ni kuharibu ukristo na kuleta utawala wa lufica hivyo wakristo tuongezee bidii katika utiifu Kwa MUNGU ... karibuni BWANA anarudi
Ukristu unafundisha kusamehe na kuombeana lakini wakiwadhihaki waislamu wanajua watakachokipata. Hawajasahau walivyowabomu na kuwaua walivyo mchora katuni Mtume Mohamed
Ukiristo ndio fake na ndio maana mnabadilisha maandiko kila kukicha. Hamna lenu jambo. Ni rahisi kudhihakiwa Mungu wenu wenyewe mmemtundika teina nguo hafifu.@@veeJesus
Dunia imefika mwisho mashetani
Mimi nafurahia ili tukio
Na baada ya kufurahi umepata nini ? Mbona bado ni masikini vilevile tu 😂😂😂😂😂
mashoga wote wamefurahia hili tukio
Ubuhuzi Sana Tena Sana shetani mtupu... Watu Hawana ufu na Mungu... Tena. Bora ule dogo akamatwe Aliya fanya izi Pic
Wazungu wanautumia ukiristo kisiasa. Wanautumia kupenyeza agenda zao
Kabisa ndugu haya mambo yote yamepangwa ila wanajifanya hawajui
THE UNSINCABLE YAAANI ISIYOZAMA KAMWE 😂😂😢😂 CHAPA KUBWA NA YA KIPEKEE ILIYOWEKWA KWA MELI YA TITANIC NA TEENA WAKASEMA HATA MUNGU HAWEZI KUIZAMISHA NAFIKIRI WALIUONA USO WA MUNGU BARABARA HII TUACHE TUU BAHARI ITAONGEA NAO😅😢😢
Kweli kabisa.
Wazungu kwa ushoga kma mma 😂
Niwaambie tuu waafrica tuende tuu kwenye dini zetu
Mm nimeludi kwenye mizim
Mm nimeludi kwenye mizim
Uzuri haya mambo walileta wao na wameanza kuchafua wenyewe dini zimechafuliwa na wao
Jamani papa mtakatifu si aliwaruhusu na kanisa katoliki limekubali kuwaozesha
Halafu Kuna mpumbavu mmoja juzi wakati wa ufunguzi watu waamechoma Waya Za treni anasema magaidi wa kiislamu waislam wanajuwa Nini kinaedeleaa UFARANSA ndiyo maaana wanaishambulia hiyo nchi😫😫
Shambulieni mkipigwa msije kulia mitandaoni
@@emmadora7848 kiazi matosani 🌈💯 Hakuna mtu anayelia UFARANSA ndiyo inaumiaga siku zote
Hakuna hofu ya kifo @@emmadora7848
Tunataka GPS kaka huo ushoga ni kwa wazungu ....na baadhi wa wakristo km papaa alivyovariki ndoa za jinsi moja
Unahitaji kweli GPS, maana ni dhahiri huko tu ndiko unapata habari. Papa HARUHUSU mahusiano ya jinsia moja kubarikiwa. Sisemi 'NDOA ya jinsia moja' kwa sababu kwa sisi Wakristu neno NDOA NI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME. Sasa pengine utafute ili ujue ni nini Papa alisema, au usuburie GPS wakutafutie.
Waliobariki ndoa ya jinsia moja ni CHURCH OF ENGLAND kanisa linaloongonzwa na QUEEN AU KING OF UNITED KINGDOM. Sio Papa.
Mimi nadhani picha sio tatizo maana hatahio picha inayo dhaniwa kutumika na ukiristo nipichatuu yakufikirika na bwana davich, sio picha halis ya yesu , hivyo nadhani tunapaswa kuaminikua mungu yupo na haijui dini ya majengo namichoro, dini pekee anayo ijua mungu ni matendo safi na uaminifu katika yeye. Hivyo hio michoro ni vitu vya kufikirikatuu na ukritu uliletwa na rumi duniani nasasa papa karuhusu kubarikiwa kwa ushoga naenikiongozi wadini je, nani alikataa nakumchuliahatua, hivy picha na Dhani nisanamuhilo.
Wakristo walianza kujidhalilisha wao kwa kuruhus ushoga
Asili ya ushoga si uktisto, fatilia.
Washenzi hao
Duuuh 🙄
MUNGU hadhihakiwi... MUNGU atamtumia Rasia kuiharibu France na Europe nzima pamoja na Marekani
Kwanza kihistoria iyo picha sio ya yesu kwaiyo wenye kujiita wakristo musikasirishwe na kitu, kwanzia picha mpaka iyo Olympic vyote ni maigizo tu.... Navyote hivyo wenyewe wazungu ndoo wamepindua meza ( ukweli kuwa uongo, na uongo kuwa ukweli). NIPENI LIKE ZANGU WAKWANZA 😅
kumbe hatawao wanaumia mung kukufuriwa sasa siwakatazi hiyo
Tuwe waaelewa ulaya kunatabska tofauti wapo wasio amini kama mungu yupo na wasio amini katika dini na ni wengi wanafanya watakavyo kama uchokozi sio kama Africa serikali zinaingilia mambo ya dini huko hakuna wanafanya watakavyo Kwanza hawaamini kama kuna dhambi sasa nyie mnadukila tabia za watu wengi kuleta kwatu kudhalilisha watu hebu tubadilike ktk mtazamo ktk mataifa tamaduni tofauti Hilo tulijue
Ulaya ya wapi? Humsikii Sky alisoma waliolalamika ni WA ulaya wenyewe? Mbona inakosolewa dunia nzima hata America! Uhuru wao WA kuamini na kujieleza hauwapi ruhusa ya kutoheshimu imani za wenzao. France hawakomi walibutuliwa na waislamu walivyochora cartoon ya Mtume wangapi waliuawa? Wanajua wakristu hawawezi kuwaua. Hii haki za mashoga imekuwa ujinga Kwa wazungu sasa, I'm glad wamejua wamefanya kosa.
Nyie mnawabishia nn walio watea dini ndio hao ss nyie mnabisha ili iweje iyo Israel yenyew ina ruhusu ndoa ya jinsi moja ww nani ukatae… one love for everyone
Hawa walizidi kuwatetea wanawake, matokeo yako wakauoanda ushoga na usagaji. Wazungu wanaona bora wawe hivo kuliko ndoa ya halali. Tufurahi, kwa sbb huenda ndio naqma wanayo teremshiwa, na hatimae ulaya kuisha kabisa
Ndio mana namsapot Putin
Hamna din wakiristo
Sioni Gps kulikoni tena
Hao wote ambao wanamiliki makampuni, viongozi wakubwa wa serikali na waliofanya dhihaka hiyo wote ni wamoja. Utifauti ni kwamba mmoja alipewa jukumu la kufanya na wengine walipewa jukumu la kujifanya wanakemea ili wasionekane wamekaa kimya. Ila hao wote wanakutana na kupanga kufanya matukio ya ajabu kwenye matukio yanayofuatiliwa na watu wengi duniani. Kwa kuamini hilo jambo litafikiwa na wengi. Mi siwaamini hao wote wanaojifanya wamekemea. Ni sawa na mimi kama mkurugenzi wa shule Nampanga makamu mkuu wa shule tupige hela tulifanikiwa najifanya kumfukuza kazi. Mpango wa kuiba hela ulikuwa wa siri kisha namfukuza hadharani kwa kujifanya nalaani kitendo hicho.
Sio rahisi kunielewa kama hujui namna dunia inavoendeshwa.
Sasa wanakua na hasira wakati wagiriki ndio waliandika biblia na wao miungu yote wanaijua na wameiweka kwenye biblia pia na watu wanaiabudu sasa wanachowaza ni nini
SKY TUNAOMBA GPS PLEASE PLEASE
Mbona kila prophecy hutimizwa na wazungu ila sio waafrika??😂😂
Kweli hivi kwanini
Shetani anafanya kazi kwao Kwa kiasi kikubwa kuliko kwetu.
@@MsAggie5 it's bcz bible waliandika wao to foolish yu as an African ona sasa wanatimiza hzo prophecies ndio ww uone dunia inaisha 😂focus ma'am make your own heaven wao wako busy kutuangamiza ndio kwao kubaki kukoendelea 😂
@@arkei4003 kwani kuna Bible ya wazungu na ya waafrica? Sikuelewi. Jielimishe wewe mwenyewe Kwanza ndo unielimishe mimi, na kama unataka nikuelimishe
@@MsAggie5 mi sio mjinga kma ww 😂 elimisha akili yako 🤫
GPS vip jamani??
Mungu hayupo acheni kupigwa nyie wala shetani hayupo hii ni mipango ya binadam
Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema.
Zaburi 14:1
@@drmpemba5528vina kusaidia nini toka ume vipata
@@drmpemba5528 sunday nisiku yajua wewe ndo siku ya kusali kumwabudu mungu jua
NDOMAANA RAISI PUTIN HAPATANI NAWO HAWA JAMAA WASHENZI,MAHANISI MASHOGA WAMELAANIKA. "NATO"
C’est pas possible shame on them my GOD punish them all who attended to reject GOD amen jina la bwana halichezewi hovyo wacha MUNGU ashuke kwenye mji aliouumba 🧷🧷🥂🍾
Hii haijakaa poa ata kidg
Ukijua asili ya hata mashindo hutashangaa kinachotokea
Mambo yote hayo yanayoendelea kufanyika ni Utungu
Ila ule mwisho Bado,
Tujiandae Kwa Dhiki kuu.
Dhiki kuu itatokea baada ya Unyakuo . So ni vizuri watu kutubu dhambi zao na kumgeukia YESU na kujiweka tayali Kwa ajili ya unyakuo
@@lydiajoseph2571Ayubu 15:24
zaburi 20:1
zaburi 31:9
zaburi 107:6
zaburi 109:143
mithali 11:8
kasome Baadhi tu hayo maneno ya Mungu
dhiki ipo kwa Sasa Kwa wana wa MUNGU,ila inakuja Ile Dhiki kuu ambayo itaambatana na chukizo la Uharibifu.
Unauhakika gani kwamba dhiki kuu itakuja baada unyakuo? @@lydiajoseph2571
Mti wenye matunda ndio wapigwa mawe
MATUNDA YA USHOGA?
True biblia imepinga ushoga no wonder freemasons na LGBTQ wanapigana na hiyo imani.
@@alicejumaa89andiko gani biblia imepinga ushoga?
@@barakashaban9698 unamaanisha kitabu gani au biblia gani. Ni hii yangu hapa
@@barakashaban9698 andiko la Leviticus 18:22 unaelewa?
Watu wa kwanza kumdhihaki MUNGU ni wale wanamfananisha MUNGU na binadamu watu wamemkufuru MUNGU kwa kusema MUNGU ni mwanaume, Kabila yake myahudi anatokea Israel tena MUNGU huyo kazaliwa na mama ambae alikuwa bikira halafu leo mnashaanga huo ujinga uliyofanyika Olympic, kilichofanyika huko Olympic ni muendelezo tu wa kufuru, kufuru ya kwanza ilishaanza zamani ya kumfananisha MUNGU na binadamu tena mkasema mpaka ana mtoto, kuna wakina PAPA huko wamebariki ndoa za jinsia moja. Mkiambiwa ukristo sio dini acheni mihemuko kaeni chini mjitafakari
Angalau Elon amesema kweli ni wazi kabisa
MTI WENYE MATUNDA NDIYO SIKU ZOTE HURUSHIWA MAWE, NA SI MATUNDA TU ILIMRADI MATUNDA BALI WENYE MATUNDA MAZURI NA YALIYOIVA NA MATAMU.
NDUGU ZANGU WAKRISTO MSIJISIKIE VIBAYA KUDHIHAKIWA BALI WAOMBEENI, NA TUWAPENDE KWANI NAO BADO NI WATOTO WA MUNGU NA MUNGU BADO ANAWAPENDA HAIJALISHI NINI WANAFANYA, HATUJAAGIZWA CHUKI AU KISASI KWA WATUPIGAO AU KUTUKOSEA NA KUTUDHIHAKI BALI UPENDO UPENDO UPENDO.
TUNDA LA ROHO NI UPENDO, FURAHA, AMANI, UVUMILIVU, UTU WEMA, FADHILI, UAMINIFU, UPOLE, KIASI (WAGALATIA 5:22-26)😊
Hiyo picha kwnz imechorwa na daVinci mtu ambaye hajawahi kumuona yesu, halafu hiyo picha wakristo wanaiamini na kuona yule ni yesu kwl, wkt mwamba mmoja tu kakaa chini kachora. Khaa wakristo mnashangaza. Baada ya kumlaumu davinci aliyechora nyie mnawalaumu wanaouchezea mchoro wa davinci??
Matatizo mengine ni kujitakia 2😂
Utakapo yaona hayo changamkeni...watavuna sio muda
Ndio maan Putin hawapend hawa mashoga
Magaribi nimashetani
Sio kweli, ni wachache sana. Sikiliza na angalia hii habari kwa masikio mawili, na sio kwa hisia
@@zuricakes6817 kwahiyo unapinga sister I live in uk i know what I mean
@@sosom14 kwa hiyo katika dunia hii yote umechagua kwenda kuishi kwa MASHETANI? Binadamu utaishije na mashetani?! Does this make sense to you? Umeingalua hii video? Katika hii video umeona watu waliojitokeza kupinga kilichafanyika, sio watu wa magharibi?
@@sosom14 n 1900 nearly 95% of Europe’s population professed some form of Christianity; in 2020 the continent is 76% Christian. The main gains were made by agnostics and atheists, who together make up more than 15% of Europe’s population (from 0.4% in 1900).
Bara la Europe lilikuwa linaongoza kwa namba ya Wakristu wote duniani. Miaka ya karibuni wako wengi waliouacha Ukristu. Lakini haina maana kuwa walioucha Ukristu ni wengi kushinda wale ambao bado ni Wakristu.
Wamekata tamaa putin kawapiga sana
PUMBAVU ZAO WOTE WALIO UDHIHAKI UKRISTO NA NAWAONBEA LAANA YA MUNGU MWENYEWE IWAPATE SAWA SAWA NA WALICHO KIFANYA😠😠😠
MUNGU ATAIADHIBU UFARANSA...SI PUNDE
Bora wakristo mshaanza kuamka Sasa maana freemason wamelikamata kanisa hivyo ndug zang kuweni makini na mafunzo ya kanisa la leo
Umeandika vizuri sana
Ilikua ni ushetani mtupu
Mashoga hao ndo walioandaa hilo, hawaupendi ukristu hata wanajua unakataa ushoga wamefanya makusudi
Ukristo upo Africa tu
Wenye dini yao hao ndio wana fanya wanavo taka African ndio wanatakiwa wao wajitambue
kama Uislamu ulivyo uarabuni tu
@@lakasid3860 warabu walikua wana dini zao za masanamu na kishirikina na wao ndio ulio wajia mwanzo uislamu na ndio wa mwanzo kuukataa miongoni mwao ndio waka ukubali sasa utasemaje dini ya warabu soma ndugu 🤣🤣
@@MohamedAhmada-ie7ke sasa siumeanzia huko uarabuni au hujui Africa mababu zetu walikuwa wakiabudu miti na mizimu 😂
Wakati waislam wanapambana na hawa Mashetani, mnawaona waislam Magaidi.. walishawaaminisha mapambano wanayofanya waislam kulinda dini na heshima yao muwaone kama Magaidi.. ila sasa wamehamia na kwenu Christian
Usalama haupo kwenye dini zote. Ushoga hajalishi uko Imani hipi. Kama Imani Kinga basi Zanzibar usingesikia ushoga kuwepo huko.
Paris kudadadeki washenzi wakubwa hawo wapumbazu🖕🖕🖕
Kristo wenyewe wapenda ushoga papa wa Roma si alipitisha ushoga ,,,😂
Alipitisha lini?
@@MsAggie5
Mwenzetu uko dunia gani au upo sayari ya pluto?
@@humbleshoal ni watu tu na ubongo wao waliosema kama Papa karuhusu ushoga sio kweli ukinambia church of England hapo nitakubali sio Papa
Wakristo hamjielewi😂
😂😂😂😂 wewe unajielewa? 😂😂
Wewe peke yako ndo unaejielewa 😂
Si muda yatatimia yaliyoandikwa
😂😂😂😂 wamefikiwa na wao c wanasapoti LGBTQ hawa
Alf utaskia watu humu wanawaita taifa la Mungu,na hii IPO chini ya uzayuni
Mi niseme tu Ndugu zangu wa Kristo, Ila Sio kwa ubaya, Hivi mnasubiri Nini Kujiunga Na Uislam? Papa wa Roma karuhusu Mashoga kufungishwa ndoa kanisani, Anglican ndo kabisaaaa Wao Ni kitambo, Haya Sasa matukio mengine hayo na Bado patazuka mengi sana
Uislamu?????????????
@@MsAggie5 Ndio
@@jawadimwalim3634 over my dead body lol
Hayo ni mawazo yake yeye Papa na c ukristo, kujiunga uislam utanisamehe kiukweli hapana.
@@humbleshoal eti!
HAWAUSUMBUI UISLAMU SABABU HAMNA KITU MULE, MTU KAMA ANAPOTEA UNAHANGAIKA NAE WANINI? MTI WENYE MATUNDA HUPIGWA MAWE.
😂😂😂 Kwan wa kristo si kwel mna support mashogaaa
Unajizima data, hawawezi kufikia hatua hiyo coz WANGEKULA NAO SAHANI MOJA, wakristo wameishia kulaani kwenye mitandao tu.. Kwenye Uislam ungesikia mtu anatoa DAU atayeleta kichwa cha hao washiriki.
Shame on LGBTQ++++++++++
LGBTQ WASIPO PIGWA VITA MAMBO YATA KUWA MABAYA ZAIDI YA HIYO WALIO FANYA
🧭🤳🙄🙄
SKY TUNAOMBA GPS PLEASE PLEASE