Naomba bin seifu fuatilia Hilo Ili wasifu wa wasaanii usipotee Kuna watu wanasema ameimba saada Mohd lakini SI kweli umeimbwa Nasma kidogo Akiwa zanziba
Wimbo huu umeimbwa na marehemu Nasma khamis kidogo na kama mtu anabisha hataki kukubali aende sauti ya Tanzania Zanzibar wenye kumbukumbu ya nani aliimba kabla ajajiunga na TOT akiwa na malindi ya Zanzibar na hiyo sauti ni Marehemu Nasma
Daah! Nyimbo yangu pendwa hii miaka ya 89 kwenda mbele daah! Wapi Amour Abdallah Ally!
Naam nyimbo naipenda hii Wallah
hii nyimbo inaujumbe mzito ndani yake
Asijifakhari,sio umbo walasura zinazofuatiwa,twabia ilionjema atuhulilia.
Sauti ya Sada mohammed
Ndio kwanza naanza shule miaka ya 80s naskia wimbo huu asubuhì
mashaallah mashaallah hasanta kwa wimbo huo
kweli sada sio upigwao. ata huyu mwimbaji angalia shairi linavo kuja kisha angalia na mdomo wake. majipu yamo mpaka katika majimbo
Old is gold
OHHH OUR ZANZIBAR ISLAND...✍️
...Ikiwa hana busara atajijutia...
Mashaallah
Mashallah..i like her!
Video haiendani na mziki hii nyimbo ya culture video ya Nadi Akhwaan Safaa show ilipigwa mwaka 2005
IMeniongoa ya kale, tamu sana, ziwapi hizi kwa sasa??!!!!
muelezen aache kujizuzua,,masikin hadhi yapotea....
Naomba bin seifu fuatilia Hilo Ili wasifu wa wasaanii usipotee Kuna watu wanasema ameimba saada Mohd lakini SI kweli umeimbwa Nasma kidogo Akiwa zanziba
asante
mbona huu wimbo ni wa culture Musical Club na huku Nadi ikhwan safaa ilikuwaje?
Kikundi cha taifa, mchanganyiko
Hichi kilikua kikundi cha taifa walichanganyika
MashaaAlla hii nyimbo 😁😁
Wimbo huu umeimbwa na marehemu Nasma khamis kidogo na kama mtu anabisha hataki kukubali aende sauti ya Tanzania Zanzibar wenye kumbukumbu ya nani aliimba kabla ajajiunga na TOT akiwa na malindi ya Zanzibar na hiyo sauti ni Marehemu Nasma
Bi Nasma Akiwa bado ana umri mdogo Akiwa zanzibar