Mimi paskali Charles namuomba mungu anitendee miujiza yake nipate kujenga kiuraisi mke wangu ashike ujauzito kiraisi tupate kua na mtoto wetu kiraisi kabisa afungue kaziyangu kiraisi nipate wateja wengi Sana naamini mungu atatenda mungu amponye mke wangu maumivu anayo yasikia kwenye ziwa lake la kulia namagonjwa mengine yote yanayo jitokeza juu yake amen naamini mungu wetu utatenda
Namuomba mungu anitendee kupitia kongamano la siku ya kuzaliwa kula keki ya upako nikaponywe kila ugonjwa kwenye kizazi na kila kifungo kilicho nifunga kifuani na mwili wangu ukaponywe nipate uzao nishike ujauzito kiraisi
Mungu naomba unilinde mimi familia yangu na Dunia nzima 🥹🤲👏💕💘💝
Mungu naomba utupatie kiwanja nakujenga nyumba yetu ya kitajiri Ameeen
Mungu naomba linda maisha yangu na ya familia yangu tuepushe na mashetani na mambo mengine mabaya
Ameeen mungu awe nasisi siku zote mimi na familia yangu
Mungu wangu nisaidie kwa ili nalo pitia nilishinde siku moja nije kutoa shuhuda nipo kwenye kipindi kiguhumu sana niokoe Mungu wangu
Mtumishi Anapopanda tu madhabahuni, Nipokee Uponyaji, KAZI na NDOA pia Mchumba wangu JESKA apokee Roho ya hekima 🙏
Nazidi kukamata wezi wangu jamani tuamini tu mungu wa arize&shine anatenda tuamini tu❤❤❤❤
Mungu naomba linda maisha yangu na ya familia yangu
Mungu wamadhabahu ya arise and shine naomba tatizo langu la kuibiwa kazin lizae faida mara kum napokea kwajina layesu
Mungu wangu kakaangu apite kwenye ajira amina
Mungu naomba umzidishie nguvu za kutosha pambana maadui zake mpe maisha marefu
God I beg you give us health, guide us and live with us forever
Mungu wangu naomba uniepushe na magonjua
Mungu naomba umlinde mama yangu naomba asipate ugonjwa wowote na umlinde baba yangu na Dunia nzima 🥹🤲👏💗
Mungu tuepushe na mashetani katika hii Dunia nzima 🥹🤲👏💗🥰🩵💙❤️🧡💛🔥⭐💫🦸🧘♥️❤️🔥💝💘💕
Mungu naomba tusipate ugombanishi katika familia yangu
Mimi paskali Charles namuomba mungu anitendee miujiza yake nipate kujenga kiuraisi mke wangu ashike ujauzito kiraisi tupate kua na mtoto wetu kiraisi kabisa afungue kaziyangu kiraisi nipate wateja wengi Sana naamini mungu atatenda mungu amponye mke wangu maumivu anayo yasikia kwenye ziwa lake la kulia namagonjwa mengine yote yanayo jitokeza juu yake amen naamini mungu wetu utatenda
Mungu naomba uwalinde walimu wangu
Mungu ningoze katika masomo yangu napambana na maadui zangu hata iwe marafiki zangu 🤲🧘🦸🫶❤️🔥
Mungu nakuomb unilindiye.watot wang na uwaondolee marazi
Mungu naomba umlinde mama yangu na umponye mguu wake 🥹🤲👏💗🥰💕💘💝
Mungu naomba utufanye matajiri na utulinde ❤️🔥🫶🦸🧘💗🤲👏
Mungu wambingun umpe mtoto wangu watoto 2wakiume nawakike wenyew afya nzuri
Namuomba mungu anitendee kupitia kongamano la siku ya kuzaliwa kula keki ya upako nikaponywe kila ugonjwa kwenye kizazi na kila kifungo kilicho nifunga kifuani na mwili wangu ukaponywe nipate uzao nishike ujauzito kiraisi
Nazidi kukamata wezi wangu jamani tuamini tu mungu wa arize&shine anatenda tuamini tu
Mungu wamwanposa nisaidie nami nipate mimba yabamapasatu kupitiya maombi ihi mungu anijibu
Amen
Mungu wangu nipe mume sahihi awe mwaminifu sio mshirikina kama yule
Mungu niongoze Mimi na familia yangu 🥹🥰💗♥️💝💘💕👏🤲
Mungu naomba huu mwaka nisitende Dhambi nani umalize vizuri kabisaaa mimi familia yangu na Dunia nzima 🥹🤲👏💗💝💘💕🦸🧘♥️🫶🩵💙❤️🧡💛🔥⭐💫
Mungu wambingun mponye mtoto wangu Joseph kwajina layesu
naoba
mungu
anisaidie
nipate
kiwaja
nyumbani
mungu
nitakuchugulu
sana
Mungu wangu nipe mume na mm nimechoka kudundia wanaume zawatu mungu nipe wangu mpambanaji kama mm
Mungu utuponye wote
Asntemu mungu naamin Leo nitapokea mume sahh
muposa mungu akutuze sana🙏🙏🙏
Glory to god
mungu naomba uniponye ugonjwa
mim nashukul sandaka yangu kwako mwanaugu kafaulul vizur naomba apate nafas zot mungu mwema wanagu wote wasome wapate kaz
Nipo apa mungu wangu naomba unirehemu kwa yote nimekosa unipe Neema ya maombi
Mungu tukomboe na utulinde
Nataka viwanda namajumba mungu anisaidie
Mungu naomba umlinde dada yangu Valentina huko alipo 👏💕🥹♥️💗🤲💘💝
Mungu naomba utuzidishie upendo na amani katika familia yangu na Dunia nzima 🥹🤲👏💗🥰🩵💙❤️🧡💛🔥 y⭐🫶❤️🔥🦸🧘🥹💕💘
E Mungu naomba uniponye
Mungu wa mbingun nipe mume mwenye hekima kama suleiman nataka kudeka na mmm
Mungu tusaidie tuepukane na ziki
Mungu natak mdog wang aliumiy.mguu wak apokee.uponyaj.sahi na akwamin.ww.mung.na ajiungamanishe na maombi
Mung natk unipony na nile chakul chichot nisichaguw😊
Plz God me the answer of what I go through plz God
Mung msaidie harun abdara aache pombe 14:00
Napokea KAZI na NDOA MWAKA HUU
Mungu natak mwangu jose uko aliko shule apone uginjwa aliwo nao
Mung atufungulie milango ya Baraka na alibalik tumbo Lang la uzazi nipate mapacha katka hii Ibada ya leo
AUGUSTINE MWAMBURI NAJIUNGANISHA NA MATHABAU YA LEO WAKATI HUU MFUNGO NA MAOMBI
❤️🔥🫶🦸🧘👏🤲💗💝💘💕
Mung msaidie harun abdara aache pombe
naomb nifunguliwe nipate mchumba niolewe
Natk mwangu rahimu uko shulen.kinachomsumbua kweny kooakitapike
Pia nipate ela kilahs kwajina layesu
God I beg you give us health, guide us and live with us forever
Mungu wambingun mponye mtoto wangu Joseph kwajina layesu
God I beg you give us health, guide us and live with us forever
Mungu wambingun mponye mtoto wangu Joseph kwajina layesu
God I beg you give us health, guide us and live with us forever
Mungu wambingun mponye mtoto wangu Joseph kwajina layesu