Sadiki Ukipenda: Kitabu cha maajabu huko Zanzibar
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- Sadiki ukipenda, inasafiri hadi Pemba huko Zanzibar kukitizama kitabu kikongwe kilichookotwa baharini kikiwa kikavu bila ya kulowana. Wakaazi wanasimulia huku serikali ikijaribu kukitangaza kama mojawapo ya maajabu ya dunia. #Sadikiukipenda
Subhanallah
Subhanallah Ni akhiri zzaman
Acheni mambo ya kichawi msahafu huo uliandikwa na nan au malaika? mbona misahafu ipo kibao wala haina mambo hayo? au huo una qur'an tofauti na hii tunayoijua?
Kiasi maisha yawe magumu kwa ushirikina nyie wapemba mpaka madukani munaweka misukule majoka kwa ajili ya kuvuta wateja.pumbamvu. halafu mukikaa vibarazani munaanza kuwalaumu viongozi.ami maishani mmagumuu. Kumbe na nyie pia munachangia
Ushirikina. Wacheni kuuchafua uislamu
Qur aan ina maajabu mengi sana lakini si kwa mtazamo wenu huo
Huo ni ushirikina tu
Hakuna Ushahidi wa kuwa kiliokotwa acheni uongo
Usihukumu kwakitu usicho kijuwa.
Kilasiku watu, tumekua tunataja ushirikiana kilakitu, matokeoyake tunakosa nakupita mambomengi.
Huu ni ushirikina