ilimpasa safi sana mungu awabariki sana nyakato natamani niwape zawadi ila cjui ifikaje mwalimu wa kwaya hii respect to u kweli umetunga pia natamani kuwaona nitawatembela watumshi wa mungu. hao sorolist nimewakubali
Ninawakumbuka zamani wakati mulitembelea kanisa la BIBARE SDA , KIGALI, RWANDA mulikua pamoja na Pastor Daniel MACHANGO , mkutuno wenu sitausahau milele !!!!!!
Mbalikiwe sana yani nyimbo zenu ni za zaman lakini sichoki kuzisikiliza hasa hii album nimependa sana bwana awe nanyi pia nimefurahi wanawake bado mko vzuri mnazngatia maadili ya kiadventista nywele hamsuki safi kabisa bwana awabaliki
Hello wapendwa katika BWANA mbarikiwe kwa kazi yenye tija shamban mwake naomba kuimba kwenu kuwe na kicho mkatumike kwa ajili ya maelfu wasio MUNGU ili siku ajapo YESU taji zenu zikang'ae mara mia zaidi
Jamani nabarkiwa sana tena sana nimebatinzwa nyakato mwanza nika amia dar hipo cku ntaruditu namukumbuka sana mama Edema Edward musimaminz wangu nawapenda sana nyakato
ilimpasa safi sana mungu awabariki sana nyakato natamani niwape zawadi ila cjui ifikaje mwalimu wa kwaya hii respect to u kweli umetunga pia natamani kuwaona nitawatembela watumshi wa mungu. hao sorolist nimewakubali
ubarikiwe
Ninawakumbuka zamani wakati mulitembelea kanisa la BIBARE SDA , KIGALI, RWANDA mulikua pamoja na Pastor Daniel MACHANGO , mkutuno wenu sitausahau milele !!!!!!
Fikeni mbali sana wapendwa
Ni kwaya niliopenda Sana nikiwa Nyakato Tanzania. Mungu awabariki Sana.
Jaman nawapendaaaaaaa sana atakaesoma ujumbe huu anitext Whatsapp tafadhali
Nabarikiwa sana
Kwaya hii inanibariki sana
Amina nabarikiwa sana na wimbo wa album mbarikiwe sana
Nyimbo nzuri sana. I am blessed, be blessed too Nyakato and all believers. Amina
Bwana awabark
Amen blessed brothers , nimewamisi sana but true niyawaona from Canada
Mbarikiwa sana kwa kazi yamungu nyimbo zinafanya burudani ktk changamoto zetu za maisha wakati tunasubri Mwokozi wetu arudipo mara ya pili YESU
Naomba wimbo wenu unaoutwa Miaka Elfu 1000
mubarikiwe kwa injiri Nzuri naomba mzidi kutubariki kwa njia ya nyimbo nzuri
Namuguu awabariki kwanyimbozur xanaa kwamajina natwaa John Hagare kutokaa kanixaa wa divestistr wasabato bugarikaa mwazaa
Bakiriwen sana wana na binti za mungu nyimbo haikinai
nyimbo zenu nzuri sana
nakuona mama selery Katika ubora wako!!
Good songs
Amein
Mbalikiwe sana yani nyimbo zenu ni za zaman lakini sichoki kuzisikiliza hasa hii album nimependa sana bwana awe nanyi pia nimefurahi wanawake bado mko vzuri mnazngatia maadili ya kiadventista nywele hamsuki safi kabisa bwana awabaliki
barikiweni sana
Bwana awabariki sana .
Hello wapendwa katika BWANA mbarikiwe kwa kazi yenye tija shamban mwake naomba kuimba kwenu kuwe na kicho mkatumike kwa ajili ya maelfu wasio MUNGU ili siku ajapo YESU taji zenu zikang'ae mara mia zaidi
To God be the Glory
Amena Nyakato choir, nyimbo zenu zinaujumbe mzuri najisikia kubarikiwa.
amina
Mubarikiwe jaman kwa kazi yake muuba
mbarikiwa xana
mbarikiwe sana
Mbarikiwe Sana, Bwana awe nanyi
listening now
So uplifting. Be blessed
mbalikiwe sana
Inapendeza sana
Kuna ule unaimbwa watu wengine ni wagonjwa hospitalini hawajiwezi inaitwaje???
Amina
Kinondoni
mbarikiwe
wanatisha
Mbarikiwe Sana
are love that?
amina
Amina
Jamani nabarkiwa sana tena sana nimebatinzwa nyakato mwanza nika amia dar hipo cku ntaruditu namukumbuka sana mama Edema Edward musimaminz wangu nawapenda sana nyakato
Aaaamen
T
Naweza pata huu wimbo wa kanisa nimeupenda mno.....my watsapp number ni 0655080806
Mubarikiwe sana
Barikiweni Sana
mbarikiwe sana
Kinondoni
amina