bwana awabariki sana nazidi kubarikiwa na nyimbo zenu nikiwa mombasa nchini kenya.naomba mnitumie gmail yenu tuwe twawasiliana tunaweza waitaji huku kwa huduma namba yangu ya whasap +254 743532332 pia napatikana fecbook kwa jina la bahebe kazimili kazimili
Mbarikiwe kwa kunisogeza karibu na Kristo kupitia jumbe zenu *Alivyotupenda na Nini cha kunitenga na Yesu*
kazi nzuri nyakato mungu awasimamie mfike mbali watu wa mungu tunabarikiwa East Africa na dunia yote kwa nyimbo zenu...
Jaman Mungu awabariki kwa namna mnavyojitoa kwa ajili ya utume wa kazi Mungu
Thanks for good song God bless you abundantly
Bado Rukira tunawakumbuka kwa kazi mlioyifanya Mungu awabariki
Mungu atukuzwe kupitia nyimbo zenu
Napenda Sana mnavomtukuza mungu
Mungu atukuzwe kwa ajili ya huduma yenu nzuri ya uimbaji
I'm in love with the sda songs
Mungu azidi kuwatumia
Mbarikiwe sana wana wa ADAM
I love the music so much b blessed
Mmbarikiwe sana wana wa rock city
Mungu awabariki sana kwa kazi hii nafarijika sana na nyimbo zenu
Waoh
Amen
Be blessed all
Ameen
Mm nimependa uimbaji wenu mnaimba vzur mbarikiwe sana na pia kilichonivuta sana ni jinsi mnavyotengeneza nywele zenu hamsukisuki mbarikiwe sana
Música Africana tofas
👏👏👏
bwana awabariki sana nazidi kubarikiwa na nyimbo zenu nikiwa mombasa nchini kenya.naomba mnitumie gmail yenu tuwe twawasiliana tunaweza waitaji huku kwa huduma namba yangu ya whasap +254 743532332 pia napatikana fecbook kwa jina la bahebe kazimili kazimili
Amina nawapenda sanaaa nyakato sda choir kwa nyimbo zenu nabarikiwa sanaa na huuu wimbo,mwl wa choir Sabato mwenyezi Mungu akubariki sanaaa
Nyakatoadventistchoir gmail.como
Nyakatoadventistchoir@gmail.com