JINSI YA KUTATUA TATIZO LA NO SIGNAL KWENYE KING'AMUZI CHA AZAM TV. Bila fundi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
- The decoder displays the channel number but the TV is blank.
Reboot your decoder. If the problem persist, press Menu, go to search and press OK. On Auto Search, press OK twice to re-scan all the channels again.
Kwa kweli nashukuru sana umesaidia mno na pongezi kwenu kwa watu wenye shida hii kwa kweli fwata maelekezo na kingamuzi chako kitawaka freshi mim in lawrence na hii kitu kinasaidia san
Kaka asante kwa kweri nimefanikiwa kuzirejesha big up saana,from 🇧🇮
Asante kaka hakika tunajifunza kupiti nyinyi mung awe nanyi tuzidi kujifunza
Thank you so Much it worked
Big up sanaa Chanel zimerudi zote aisee ubarikiwe sana
Vipi kama nimebonyeza menyu,ila hainipi matokeo yoyote
King,amuzi changu, kinasema pleaseinsertthe smartcard nifnyje?
Towa card hakikisha umeyweka vizur
Mko powa saan
Asante mm naomba namba yako ya CM nina jambo
Nashkuru sanaa jamanii Yani nimehangaika mpaka nimeweza hilii tatizo lilikua linanikera I hope haitaharibika tenaa
Msaada cha kwangu kinaganda ganda sana niko mozambuque shida nini scrach nyingi ata akina raha aa
King'amuzi changu hakiwaki kaka mkubwa msaada 🙌
Umekitia maji au Kuna waya flani hukuweka vizuri
@@NASHEED_254 decoder haiwaki lakn ni mpya kabisa
Asante sana mungu akubariki
Nimefanya unavyoelekeza ila bado kinaonyesha no channel
jamani toka ni nunue juzi hadi leo hakioneahi chochote chaneli zaj aukifungua wanakataa shida nini mi mgeni nisaidieni
Nimeshindw kbc kurekebisha
Nitumien namba za ofisin kwao
Hizo steps bila shaka ni Kwa wenye dish,Mimi Nina antenna sijasaidika.maana hizo procedures zote hazipo
Wenye vingamuzi vyeusi mqmbo tafauti
Kaka habar
Mbna majibu! Halafu mbna kinaonesha gizahakina mwanga , nielkeze, na ona hakina hta matumaini kma kitaonesha nikuona tamthilia, nisadieni ,wafnyakazi wte kwa ujumla,nitakosa rha mmi leo, maana nimemiss kiukweli npo myuma michezo sijaiona ktmbo, tokea nimeacha Fikret,
Nimejaribu kuset inakataa Ila kwangu Kuna 7c niganyaje
Mbnaaa nashindwa kusave
Me sina remote aisee
Mbna majibu!
Mbona ya kwangu Ina 7c na 7 b nafanyaje haikubali
Aiwaki
namimi pia naomba msahada king'amuzi changu kinaandika smart card is expired
Nunua vochaa zingin
Na km kingamuzi kimeandika RPP
Ume eleweka na sisi tulifundishwa vivyo hivyo
Mbna majibu! Halafu mbna kinaonesha gizahakina mwanga , nielkeze, na ona hakina hta matumaini kma kitaonesha nikuona tamthilia, nisadieni ,wafnyakazi wte kwa ujumla,nitakosa rha mmi leo, maana nimemiss kiukweli npo myuma michezo sijaiona ktmbo, tokea nimeacha Fikret,