R I P ER Mwansansu si amini kama haupo tena duniani I remember your ministry the time when I was in Da es salaam mahubili yako mbaka leo hii yako kwenye kinya changu
Hakika dunia mapito"Naumia sana nikimuona huyu bishop,kanilea sana toka 2010 mpaka 2015" hakika alinilea ktk malezi ya kiroho hata nikauona utukufu wa Mungu ktk maisha niishiyo "alinilea akiwa ndani ya river gospel center Riverside ubungo" Mungu amtunze ktk makazi yake
Huyu ni pastor ambaye siweziii kumsahauu nampenda sana tangu udogo wangu nabarikiwaaaa sanaaaa
Yesu akutunze uko uliko
Baba yangu wa kiroho najua upo salama ktk kiti Cha enzi kwa Baba 💯
Maneno Yako yanaishi, Asante MUNGU kwaajiri ya Mtumishi wako,😭😭😭
Nitaskiliza nyimbo zako mpaka naingia shimoni mpendwa
Mr mwansasu roho yangu inaumia sana kukupoteza unyenyekev wako na ujasiri wako KTK nenola MUNGU ambalo hakika umeimaliza kazi
R I P ER Mwansansu si amini kama haupo tena duniani I remember your ministry the time when I was in Da es salaam mahubili yako mbaka leo hii yako kwenye kinya changu
Babangu wa kiroho sitawai kukusahau.....ulibadirisha kwa upako wa baba yetu aliye mbinguni my destiny
Mungu akubariki sana kwa kuenzi kazi za baba
Mambo yote yatapira lakini Neno la Mungu litasimama unaishi kwa neno la Mungu 😢😢
Mary mutua frm kenya
Mungu awe nae pale alipo
Hakika dunia mapito"Naumia sana nikimuona huyu bishop,kanilea sana toka 2010 mpaka 2015" hakika alinilea ktk malezi ya kiroho hata nikauona utukufu wa Mungu ktk maisha niishiyo "alinilea akiwa ndani ya river gospel center Riverside ubungo" Mungu amtunze ktk makazi yake
Duuu tulikapenda sanaaaa
😭aah mtumishi wa Mungu tuseme nini juu ya mambo haya?
Barikiwa Sana
Mungu akubslik
Tutaonana tena mpendwa wetu
Balikiwa mtumishi
😢😢😢😢
Ooooh Yes ni wakati tu
Baba injili yako inafanya kz ktk ulimwengu wa roho wewe ilikuwa commando wa injili ya kweli
Nilikuwa na nyie mbagsls