Shida yasisi watanzania atujui kujifunza mtu anazungumza nini sasa mtu naakili zako timam unauliza mtu anafanya kazi gani badala yakujifunza mtu anazungumza nini mmezoea vichambo Tena watoto wakiume ndio Mana sasa ivi watoto wakike wako mbali Sana sisi wakiume tumebakia vichambo nakutokujifunza mtu anazungumza nini Kama unaisi anachozungumza ukielewi potezea tu tumia bando lako kwajili yakujenga
Upo Sawa tatizo umaskini MTU anaahaidiwa gari nyumba na pesa muda huo huo sasa mtu anakubali baadae ndio anashtuka ndio maana kila siku utasikia wamegombana uongo uongo mwingi .
Shida yasisi watanzania atujui kujifunza mtu anazungumza nini sasa mtu naakili zako timam unauliza mtu anafanya kazi gani badala yakujifunza mtu anazungumza nini mmezoea vichambo Tena watoto wakiume ndio Mana sasa ivi watoto wakike wako mbali Sana sisi wakiume tumebakia vichambo nakutokujifunza mtu anazungumza nini Kama unaisi anachozungumza ukielewi potezea tu tumia bando lako kwajili yakujenga
Mbona unaonekn kama kuku kakatwa kchwa anatapatap
Awakika
Upo Sawa tatizo umaskini MTU anaahaidiwa gari nyumba na pesa muda huo huo sasa mtu anakubali baadae ndio anashtuka ndio maana kila siku utasikia wamegombana uongo uongo mwingi
.
Msema kweli baba
Kama hujamuelewa uelewa wako ni mdogo sana
Nakukubar sana dudubaya mungu akupe maisha marefu
Konk master anaakiri nyingi sana Brother 🔥
Facts
😂😂😂😂😂
👍✌️👊
Huyu nae nini mbona si muelewi kwani anafanya kazi gani?😂😂
Usicho kielewa achana nacho.wewe Rudi shupeni
@@mastajabudekula4828 Rudi wewe shuleni hata kuandika Shule inakushinda, mshenzi mshenzinyo weeee!🤧
😂 huwezi kumuelewa kaa hivyo hivyo 😂😂😂😂😂
We ndo walewale watumwa wa watu
@@barakabusima yaani mmevurugwa najuwa la TZ