I was there last December... it's a very beautiful place to be...am actually thinking of relocating from Mombasa to Moshi... it's a very beautiful place
Manispaa za Miji tengeni masoko maalum haina maana ya kujenga mabarabara na sehemu za watembea kwa miguu ambazo zote zimefungwa na wafanya biashara ndogo ndogo kupelekea hatari kwa watembea kwa miguu kugongwa na Magari,pikipiki, bajaji ,baiskeli ,mkokoteni n.k .Kila mtu anachangia kodi heshimuni Uhai wa mtu.
@@johnmlay4759 Nadhani kwa sababu Serekali za Mitaa na Manispaa wanapata fedha kwa wafanyabiashara wadogo wadogo hata watengeneza Magari mitaani ndio maana hayo yanaendelea na wameyafumbia macho kabisa.Hawaoni hatari za watembea kwa miguu ambao hulazimika kuweka maisha yao hatarini .Yaani kila sehemu imekuwa masoko .Ni sawa watu kutafuta rizki lakini sio kufunga njia hiyo ni changamoto sana kwa watu watembea kwa miguu.
Thank you for promoting our country.. let's do this❤ Tanzania to the world
Thanks
Beautiful town.Greetings from Kenya
You are welcome
I was there last December... it's a very beautiful place to be...am actually thinking of relocating from Mombasa to Moshi... it's a very beautiful place
Yes. It is a very beautiful city
I was in Moshi about 6 years ago, it's a good memory for me. Thanks.
Welcome back
Great video brother !
I am your fan
Thanks
Moshi ndo nyumban napakubali sana nyumaban kwa machali wapambanaji na matajiri wasomi wanapatikana moshi
Manispaa za Miji tengeni masoko maalum haina maana ya kujenga mabarabara na sehemu za watembea kwa miguu ambazo zote zimefungwa na wafanya biashara ndogo ndogo kupelekea hatari kwa watembea kwa miguu kugongwa na Magari,pikipiki, bajaji ,baiskeli ,mkokoteni n.k .Kila mtu anachangia kodi heshimuni Uhai wa mtu.
Best idea na serikali inajua hilo but sijui why haijengi center ndogondogo pembeni ya barabara ili zitumike na kutatua tatizo lililopo
Ushauri mzuri.
@@johnmlay4759 Nadhani kwa sababu Serekali za Mitaa na Manispaa wanapata fedha kwa wafanyabiashara wadogo wadogo hata watengeneza Magari mitaani ndio maana hayo yanaendelea na wameyafumbia macho kabisa.Hawaoni hatari za watembea kwa miguu ambao hulazimika kuweka maisha yao hatarini .Yaani kila sehemu imekuwa masoko .Ni sawa watu kutafuta rizki lakini sio kufunga njia hiyo ni changamoto sana kwa watu watembea kwa miguu.
Nice job kaka
Safi Sana kaka, kazi nzuri na hasa ubora wa picha ni kiwango
Ahsante sana mkuu
Next time come to explore in mwanza there is a lot to impress
Soon
Nice video tupeleke serengeti utujuze na gharama kama ni affordable
Next time
Moshi ndo nyumban napakubali sana nyumaban kwa machali wapambanaji na matajiri wasomi wanapatikana moshi