Huu wimbo siwezi kulala bila kuusikiliza kwani unanibarika sana nikiusikiliza huku nautafakari na kutafakari makuu Mwenyezi Mungu atendayo, Mungu awabariki ktk utungaji wenu na uimbaji wenu
MUNGU awabarki sana sayun band jaman nambarkiwe sana nafatiria sana kz zenu nawapenda sana naona dadang umezba pengo La mgogo ubarkiwe sana dada na wote kwaujumla jaman mbeya mnapatkan sehem gan cku nikija niweze kushrk japo hata ibada moja na nyinyi
cna chakuwapa lkn naombea mpate kuifanya kz zaid namfanikiwe zaid yan mpo vzr sana kwa kila kitu producer wenu yupo vizr video zenu zinaonyesha uhalisia wa mkoa wetu wa mbeya mbalikiwe sana
2024 Nataka nikuone Yesu,,nitangaze wema wako
AMEN nataka nikuone kwenye maisha yangu YESU
Huu wimbo siwezi kulala bila kuusikiliza kwani unanibarika sana nikiusikiliza huku nautafakari na kutafakari makuu Mwenyezi Mungu atendayo, Mungu awabariki ktk utungaji wenu na uimbaji wenu
Hakika Bwana aendelee kuwaonekania Mtashinda na zaidi ya kushinda Msimtumainie mwanadamu maana hana mbingu ya kuwapeleka
Amina...! nyimbo nzuri saana.... mbarikiwe saana watumishi wa jehova....
Nyimbo nzuri Sana, mpo wapi jamani toeni nyimbo Basi toahata kolabo na Mama Amani vaileth Mwaisumo it's hit sana
Mungu wa mbinguni azidi kuwaonesha yote yawe mema kwa kwel. nawapenda saana kama Mtumishi wa Bwana
Huu wimbo unanitoa machozi kila nikiusikia unanikumbusha mbali sana nawependa sana sayuni bend mungu awabariki kwa kazi nzuli
ukweli nawapenda sana saying bendi Ila mgogo ariharibu kukimbilia dar. turibarikiwa sana na album ya Kwanza. mungu awatie moyo sana.
Mungu akubariki dada akuongezee uwezo unaimbia vizur
Mungu hashindwi na jambo lolote lile msikate tamaa endeleeni kupambana
hingereni sana kwa nyimbo zenu zinanibariki sana,Mungu awazidishie vipaji zaidi Amina
MUMEBARIKIWA SANA NDUGU ZAANGU.....NATAMANI SANA KUFANYA INJILI NA NINYI WATU.. HII BAND YENU SIO YA KAWAIDA INA UPAKO WA AJABU SANA
Muuinuliwe juu yesu atatenda kwenu
MUNGU awabarki sana sayun band jaman nambarkiwe sana nafatiria sana kz zenu nawapenda sana naona dadang umezba pengo La mgogo ubarkiwe sana dada na wote kwaujumla jaman mbeya mnapatkan sehem gan cku nikija niweze kushrk japo hata ibada moja na nyinyi
Emeni my sister
Napenda sayuni choir. Mgogo ameowa ametoka kwa hii band poleni sana muta muona Yesu sayuni band don't give up
Nabarikiwa sana na ujumbe mzito ulimo ndani ya wimbo, Mungu awabariki sana.
Be blessed servant of God
pole watumwa wa bwana mungu azidi kuwabariki
Barikiwa watumishi wa Mungu,mnahubiri kwa njia ya uimbaji.Yesu awatunze.by Pearl
+kelvin kibassa
Ubarikiwe enderea kubarikiwa
Nawakubali sana kwa kazin zenu nzuri za Kiroho. Mungu aendelee kuwabariki Sayuni band.
Mtanzania Junior mungu wabariki watumishi wabwana
Mungu azidi kuwapigania watumish wa mungu
Kazi Nzuri, Mungu azidi kuwabariki na kuwatumia kwa ajili ya utukufu wake
barikiwa na mungu wetu.mtangaze wema wake.
mungu hatawaacha kamwe katika kutumika kwenu,mwanibariki ,amina
wow, nataka nikuone Bwana. God bless you watumishi.
Nikipata pesa hii Band ni ya kuishika mkono
God bless u
Huu wimbo umenipa feelings za mbali sana mbarikiwe sana waimbaji
Nnawaelewa sana sana.
Huyuu Yesu anastahili sifa
sayuni band mungu awabariki san
Amen
Mungu awabariki sana
Safi sn nawapenda sn jamani
2019 nataka nikuona Yesu
Libalikiwe
Amen mbarikiwe zaidi
Nataka nikuone bwana
Nawaombea mfikie makusudio yenu !!
mbarikiwe kwa wimbo mzr
nawapenda sana jaman dah wimbo huu unanifariji sana kwa mengi mbarikiwe sana na mungu wa mbingun
Amen, nice song
Ubarikiwe xn
mungu awabariki sana
mbarikiwe
amen
kazi njema sana watumishi
Emmanuel Mgogo,yuko wapi.?
cna chakuwapa lkn naombea mpate kuifanya kz zaid namfanikiwe zaid yan mpo vzr sana kwa kila kitu producer wenu yupo vizr video zenu zinaonyesha uhalisia wa mkoa wetu wa mbeya mbalikiwe sana
K
Nautafuta ule wimbo unaosema "NYAMAZA ACHA KULIA" nitaupataje?, otherwise mnafanyiaka baraka sana kwangu!
leonard protas andika festina mwadwanga
Hv ety album yao ya Kwanzaa inaitwaje
Iko wap njia
Thank your
mme nibaliki sana Mungu awabaliki sana. mnaweza kuongea na mimi hapa aa2951140@gmail.com naomba
Why do you show this bad roads in your videos
2024 Nataka nikuone Yesu,,nitangaze wema wako
pole watumwa wa bwana mungu azidi kuwabariki